< Kutoka 6 >
1 Kisha Yahweh akasema na Musa, “Sasa utaona nitakacho fanya kwa Farao. Utaona hili, kwa kuwa ata waacha waenda kwa mkono wangu hodari. Kwasababu ya mkono wangu hodari, ata waondoa nje ya nchi.”
Manke Rəbbee Mısayk'le eyhen: – Həşde vak'le g'acesın, Zı hucooyiy fironuk ha'a. Yizde xənne gucune ögiyl, mang'vee manbı g'avkasınbıb, vuk'lele haa'as saccu cune ölkeençe hudooracenva.
2 Mungu akasema na Musa na kumwambia, “Mimi ni Yahweh.
Qiyğa Allahee Mısayk'le eyhen: – Zı Rəbb vorna.
3 Nilimtokea Ibrahimu, Isaka, na Yakobo kama Mungu mwenye nguvu; lakini kwa jina langu, Yahweh, sikujuliikana kwao.
Zı İbrahimıs, I'saq'ı's, Yaaq'ubus Gırgın Əxəna Allah xhinne gyagu, Zıcar Zı manbışis YAHVE xhinne qıvats'ı'ı deş.
4 Pia niliimarisha agano langu na wao, ilikuwapatia nchi ya Kanani, nchi walioishi kama sio raia, nchi walio tanga tanga.
Zı manbışika mugaavileniy hav'u, co menne cigaynbı xhinne aaxvan Kana'anğançenbışin cigabı cos helesva.
5 Zaidi ya yote, nimesikia kilio cha Waisraeli ambao wa Misri wame wa chukua watumwa, na nimekumbuka agano langu.
Zak'le İzrailybışe, Misirbışde xılençe ts'ıts'a'an uts'ur ats'an. Zasse şenbışika hav'una mugaavile yik'el hipxın deş.
6 Kisha basi, sema kwa Waisraeli, 'Mimi ni Yahweh. Nitawatoa kwenye utumwa chini ya wa Misri, na kuwaweka huru na nguvu zao. Nitawaokoa kwa kudhihirisha nguvu zangu, na kwa matendo ya ajabu ya hukumu.
Mançil-alla İzrailybışik'le eyhe: «Zı Rəbb vorna. Zı şole Misirbışda xamut g'avşesda. Zı Yizde xənne gucuka Misirbışis yı'q'na cazaa huvu, şu manbışde nukariyvalike g'attivxhan haa'asınbı.
7 Nitawaleta kwangu kama watu wangu, na nitakuwa Mungu wenu. Mtajua kuwa mimi ndiye Yahweh Mungu wenu, aliye watoa kwenye utumwa chini ya wa Misri.
Zı şoke Zasın millet ha'as, Zı vuşda Allah ixhes. Manke şok'le ats'axhxhesın, Zı şu Misireene əq'übeençe g'attivxhan hav'una vuşda Rəbb Allah vor.
8 Nitawaleta kwenye nchi niliyo muahidi kumpa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Nitawapa kama mali yenu. Mimi ni Yahweh.”'
Zı şu İbrahimıs, I'saq'ı's, Yaaq'ubus k'ın g'assır helesva uvhuyne cigabışeeqa quvkees. Man cıgabı vuşunbı ixhes. Zı Rəbb vorna».
9 Musa alipo waambia haya Waisraeli, hawakumsiliza kwasababu ya mateso magumu ya utumwa wao.
Mısee man uvhuynbı İzrailybışis yuşana'a. Manbı əq'übayn rı'hı'le g'av'uva, manbışe mang'ul k'ırı iliyxhe deş.
10 Hivyo Yahweh akazungumza na Musa na kumwambia,
Manke Rəbbee Mısayk'le eyhen:
11 “Nenda umwambie Farao, mfalme wa Misri, awaache watu wa Israeli waondoke kwenye nchi yake.”
– Fironusqa, Misirne paççahısqa, hark'ın eyhe, İzrailybı cune ölkeençe g'avkecen.
12 Musa akamwambia Yahweh, “Kama Waisraeli hawajanisikiliza mimi, kwa nini Farao anisikillize mimi, tangu mimi sio mzuri wakuzungumza?”
Mısee Rəbbik'le eyhen: – İzrailybışe zal k'ırı ilydiyxhe, fironee nəxüd zal k'ırı ilixheye? Zasse yugrar yuşana'as əxə deş.
13 Yahweh akasema na Musa na Aruni. Akawapa amri ya Waisraeli na Farao, mfalme wa Misri, awatoe Waisraeli kutoka nchi ya Misri.
Rəbb Mısaykayiy Harunuka yuşan hı'ı, manbı fironusqa Misirne paççahısqa g'uxoole, İzrailybı cune ölkeençe g'avkecenva.
14 Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao: wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Rubeni.
İzrailybışde nasılbışin ç'ak'ınbı inbı vob: İzrailyne ts'erriyne duxayn Ruvenın dixbı: Xanok, Pallu, Xetsroniy Karmi. İn xizanbı Ruvenıke g'adıynbı vod.
15 Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli - mwana wa mwanamke wa Kanani. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Simeoni.
Şimonun dixbı: Yemuel, Yamin, Ohad, Yakin, Tsoxar. Sayir Kana'anğançene xhunaşşeykena dix Şaul. İn xizanbı Şimonıke g'adıynbı vod.
16 Hapa yameorodheshwa majina ya wana wa Lawi, pamoja na uzo wao. Walikuwa ni Gerishoni, Kohathi, na Merari. Lawi aliishi mpaka alipo kuwa na miaka 137.
Xərıng'ule otçu k'ıning'ulqamene Leviyne dixbışin dobı: G'erşon, Qohat, Merari. Levee vəşşe xhebts'ale yighılle sen ha'a.
17 Wana wa Gerishoni walikuwa Libni na Shimei.
G'erşonun dixbı: Livniyiy Şimey. Manbışqad xizanbı ıxha.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli. Kohathi aliishi hadi miaka 133.
Qohatın dixbı: Amram, İtshar, Xevron, Uzziel. Qohatee vəşşe xhebts'ale xhebılle sen ha'a.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi. Hawa walikuja kuwa mababu wa ukoo wa Walawi, pamoja na uzao wao.
Merariyn dixbı: Maxliyiy Muşi. İn xizanbı Leviyke g'adıynbı vod.
20 Amramu alimuoa Yokebedi, dada yake baba yake. Alimzalia Aruni na Musa. Amramu aliishi miaka 137 na akafa.
Amramee cuna mamasiy Yoxeved hee'e. Məng'ee Amramıs Haruniy Mısa vuxu. Amramee vəşşe xhebts'ale yighılle sen ha'a.
21 Wana wa Izhari walikuwa Kora, Nefegi, na Zikri.
İtsharın dixbı: Qorax, Nefeg, Zixri.
22 Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elizafani na Sithri.
Uzzielin dixbı: Mişael, Eltsafan, Zıtri.
23 Aruni alimuoa Elisheba, binti wa Aminadabu, dada wa Nashoni. Alimzaa Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.
Harunee Amminadavna yiş Elişeeva hee'e. Mana Naxşonna yiçu yixha. Məng'ee Harunus Nadav, Avihu, Eliazar, İtamar vuxu.
24 Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasa. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Wakora.
Qoraxın dixbı: Assir, Elqana, Aviasaf. İnbı Qoraxın xizanbı.
25 Eleazari, mwana wa Aruni, alimuoa mmoja wa mabinti Wa Putieli. Alimzalia Fineazi. Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao miongoni mwa Walawi, pamoja na uzao wao.
Harunne duxee Eliazaree Putielyne yişbışda sa hee'e. Məng'ee Eleazarıs Pinxas uxu. Leviyne xizanbışin ç'ak'ınbı inbı vob.
26 Hawa wanaume wawili walikuwa Musa na Aruni ambao Yahweh alisema, “Waleteni Waisraeli kutoka nchi ya Misri, kwa makundi ya wanaume wapiganaji.”
İne nasılenbıniy vob Haruniy Mısa. Rəbbe manbışik'leniy uvhu, İzrailybı Misirğançe g'oşunbı xhinne qığee'ecenva.
27 Aruni na Musa wakazungumza na Farao, mfalme wa Misri, awaruhusu Waisraeli watoke Misri. Hawa walikuwa Musa na Aruni wale wale.
Manbıniy fironuka Misirne paççahıka İzrailybı Misirğançe qığav'uyne hək'ee yuşan hav'u. İnəxbın insanar vuxha Mısayiy Harun.
28 Pale Yahweh alipo zungumza na Musa katika nchi ya Misri,
Rəbb Mısayka Misir yuşana'ang'a
29 alimwambia, “Mimi ni Yahweh. Sema kwa Farao, mfalme wa MIsri, kila kitu nitacho kwambia.”
uvhuynniy: – Zı Rəbb vorna! Zı vak'le uvhuyn gırgın kar fironuk'le, Misirne paççahık'le eyhe.
30 Lakini Musa alimwambia Yahweh, “Mimi sio mzuri wa kuongea, hivyo kwanini Farao anisikilize mimi?”
Mısee Rəbbik'le eyhen: – Zasse yugrar yuşana'as əxə deş, nəxüdne fironee zal k'ırı alixhxhes?