< Kutoka 6 >
1 Kisha Yahweh akasema na Musa, “Sasa utaona nitakacho fanya kwa Farao. Utaona hili, kwa kuwa ata waacha waenda kwa mkono wangu hodari. Kwasababu ya mkono wangu hodari, ata waondoa nje ya nchi.”
Potem je Gospod rekel Mojzesu: »Sedaj boš videl kaj bom storil faraonu, kajti z močno roko jih bo pustil oditi in z močno roko jih bo pognal iz svoje dežele.«
2 Mungu akasema na Musa na kumwambia, “Mimi ni Yahweh.
Bog je Mojzesu spregovoril in mu rekel: »Jaz sem Gospod.
3 Nilimtokea Ibrahimu, Isaka, na Yakobo kama Mungu mwenye nguvu; lakini kwa jina langu, Yahweh, sikujuliikana kwao.
Prikazal sem se Abrahamu, Izaku in Jakobu po imenu Bog Vsemogočni, toda po svojem imenu, Jahve, jim nisem bil znan.
4 Pia niliimarisha agano langu na wao, ilikuwapatia nchi ya Kanani, nchi walioishi kama sio raia, nchi walio tanga tanga.
Z njimi sem utrdil tudi svojo zavezo, da jim dam kánaansko deželo, deželo njihovega popotovanja, v kateri so bili tujci.
5 Zaidi ya yote, nimesikia kilio cha Waisraeli ambao wa Misri wame wa chukua watumwa, na nimekumbuka agano langu.
In tudi sam sem slišal stokanje Izraelovih otrok, ki jih Egipčani držijo v suženjstvu, in spomnil sem se svoje zaveze.
6 Kisha basi, sema kwa Waisraeli, 'Mimi ni Yahweh. Nitawatoa kwenye utumwa chini ya wa Misri, na kuwaweka huru na nguvu zao. Nitawaokoa kwa kudhihirisha nguvu zangu, na kwa matendo ya ajabu ya hukumu.
Zatorej reci Izraelovim otrokom: ›Jaz sem Gospod in jaz vas bom izpeljal izpod bremen Egipčanov in jaz vas bom odstranil iz njihovega suženjstva in jaz vas bom odkupil z iztegnjenim laktom in z velikimi sodbami.
7 Nitawaleta kwangu kama watu wangu, na nitakuwa Mungu wenu. Mtajua kuwa mimi ndiye Yahweh Mungu wenu, aliye watoa kwenye utumwa chini ya wa Misri.
Jaz vas bom vzel k sebi za ljudstvo in jaz vam bom Bog in vi boste vedeli, da jaz sem Gospod, vaš Bog, ki vas osvobaja izpod bremen Egipčanov.
8 Nitawaleta kwenye nchi niliyo muahidi kumpa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Nitawapa kama mali yenu. Mimi ni Yahweh.”'
Jaz vas bom privedel v deželo, v zvezi s katero sem prisegel, da jo dam Abrahamu, Izaku in Jakobu, in dal vam jo bom za dediščino. Jaz sem Gospod.‹«
9 Musa alipo waambia haya Waisraeli, hawakumsiliza kwasababu ya mateso magumu ya utumwa wao.
Mojzes je tako govoril Izraelovim otrokom. Toda Mojzesu niso prisluhnili zaradi tesnobe duha in zaradi krutega suženjstva.
10 Hivyo Yahweh akazungumza na Musa na kumwambia,
Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
11 “Nenda umwambie Farao, mfalme wa Misri, awaache watu wa Israeli waondoke kwenye nchi yake.”
»Vstopi in govori faraonu, egiptovskemu kralju, da naj pusti Izraelove otroke oditi iz njegove dežele.«
12 Musa akamwambia Yahweh, “Kama Waisraeli hawajanisikiliza mimi, kwa nini Farao anisikillize mimi, tangu mimi sio mzuri wakuzungumza?”
Mojzes je govoril pred Gospodom, rekoč: »Glej, Izraelovi otroci mi niso prisluhnili. Kako bo potem faraon slišal mene, ki sem neobrezanih ustnic?«
13 Yahweh akasema na Musa na Aruni. Akawapa amri ya Waisraeli na Farao, mfalme wa Misri, awatoe Waisraeli kutoka nchi ya Misri.
Gospod je govoril Mojzesu in Aronu ter jima naložil skrb za Izraelove otroke in faraona, egiptovskega kralja, da Izraelove otroke privedeta iz egiptovske dežele.
14 Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao: wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Rubeni.
To so poglavarji hiš svojih očetov. Sinovi Rubena, Izraelovega prvorojenca: Henoh in Palú, Hecrón in Karmí; to so bile Rubenove družine.
15 Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli - mwana wa mwanamke wa Kanani. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Simeoni.
Simeonovi sinovi: Jemuél, Jamín, Ohad, Jahín, Cohar in Šaúl, sin kánaanske ženske. To so Simeonove družine.
16 Hapa yameorodheshwa majina ya wana wa Lawi, pamoja na uzo wao. Walikuwa ni Gerishoni, Kohathi, na Merari. Lawi aliishi mpaka alipo kuwa na miaka 137.
To so imena Lévijevih sinov glede na njihove rodove: Geršón, Kehát in Merarí. Let Lévijevega življenja je bilo sto sedemintrideset let.
17 Wana wa Gerishoni walikuwa Libni na Shimei.
Geršónova sinova: Libni in Šimí, glede na njuni družini.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli. Kohathi aliishi hadi miaka 133.
Kehátovi sinovi: Amrám, Jichár, Hebrón in Uziél. Let Kehátovega življenja je bilo sto triintrideset let.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi. Hawa walikuja kuwa mababu wa ukoo wa Walawi, pamoja na uzao wao.
Meraríjeva sinova: Mahlí in Muší. To so družine Lévijevcev glede na svoje rodove.
20 Amramu alimuoa Yokebedi, dada yake baba yake. Alimzalia Aruni na Musa. Amramu aliishi miaka 137 na akafa.
Amrám si je za ženo vzel Johébedo, sestro svojega očeta. Rodila mu je Arona in Mojzesa. Let Amrámovega življenja je bilo sto sedemintrideset let.
21 Wana wa Izhari walikuwa Kora, Nefegi, na Zikri.
Jichárjevi sinovi: Korah, Nefeg in Zihrí.
22 Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elizafani na Sithri.
Uziélovi sinovi: Mišaél, Elicafán in Sitrí.
23 Aruni alimuoa Elisheba, binti wa Aminadabu, dada wa Nashoni. Alimzaa Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.
Aron si je vzel za ženo Elišébo, Aminadábovo hčer, Nahšónovo sestro. Rodila mu je Nadába in Abihúja, Eleazarja in Itamárja.
24 Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasa. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Wakora.
Korahovi sinovi: Asír, Elkaná in Abiasáf. To so družine Korahovcev.
25 Eleazari, mwana wa Aruni, alimuoa mmoja wa mabinti Wa Putieli. Alimzalia Fineazi. Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao miongoni mwa Walawi, pamoja na uzao wao.
Aronov sin Eleazar si je za ženo vzel eno izmed Putiélovih hčera. Rodila mu je Pinhása. To so poglavarji očetov Lévijevcev glede na njihove družine.
26 Hawa wanaume wawili walikuwa Musa na Aruni ambao Yahweh alisema, “Waleteni Waisraeli kutoka nchi ya Misri, kwa makundi ya wanaume wapiganaji.”
To sta tista Mojzes in Aron, ki jima je Gospod rekel: »Izpeljita Izraelove otroke iz egiptovske dežele glede na njihove vojske.«
27 Aruni na Musa wakazungumza na Farao, mfalme wa Misri, awaruhusu Waisraeli watoke Misri. Hawa walikuwa Musa na Aruni wale wale.
To sta tista, ki sta govorila egiptovskemu kralju faraonu, da izpeljeta Izraelove otroke iz Egipta. To sta tista Mojzes in Aron.
28 Pale Yahweh alipo zungumza na Musa katika nchi ya Misri,
In pripetilo se je na dan, ko je Gospod spregovoril Mojzesu v egiptovski deželi,
29 alimwambia, “Mimi ni Yahweh. Sema kwa Farao, mfalme wa MIsri, kila kitu nitacho kwambia.”
da je Gospod spregovoril Mojzesu, rekoč: »Jaz sem Gospod. Govori faraonu, egiptovskemu kralju vse, kar ti povem.«
30 Lakini Musa alimwambia Yahweh, “Mimi sio mzuri wa kuongea, hivyo kwanini Farao anisikilize mimi?”
Mojzes je rekel pred Gospodom: »Glej, jaz sem neobrezanih ustnic in kako mi bo faraon prisluhnil?«