< Kutoka 6 >

1 Kisha Yahweh akasema na Musa, “Sasa utaona nitakacho fanya kwa Farao. Utaona hili, kwa kuwa ata waacha waenda kwa mkono wangu hodari. Kwasababu ya mkono wangu hodari, ata waondoa nje ya nchi.”
Then said Yahweh unto Moses, Now, shalt thou see, what I will do to Pharaoh, for with a strong hand, shall he let them go, and with a strong hand, shall he drive them out from his land.
2 Mungu akasema na Musa na kumwambia, “Mimi ni Yahweh.
And God spake unto Moses, —and said unto him, I, am Yahweh:
3 Nilimtokea Ibrahimu, Isaka, na Yakobo kama Mungu mwenye nguvu; lakini kwa jina langu, Yahweh, sikujuliikana kwao.
I appeared, therefore, unto Abraham unto Isaac, and unto Jacob, as GOD Almighty, —although, by my name Yahweh was I not made known to them;
4 Pia niliimarisha agano langu na wao, ilikuwapatia nchi ya Kanani, nchi walioishi kama sio raia, nchi walio tanga tanga.
Moreover also I established my covenant with them, to give them the land of Canaan, —even the land of their sojournings wherein they sojourned.
5 Zaidi ya yote, nimesikia kilio cha Waisraeli ambao wa Misri wame wa chukua watumwa, na nimekumbuka agano langu.
Moreover also, I heard the groaning of the sons of Israel, whom the Egyptians, were holding in servitude, So then I remembered my covenant.
6 Kisha basi, sema kwa Waisraeli, 'Mimi ni Yahweh. Nitawatoa kwenye utumwa chini ya wa Misri, na kuwaweka huru na nguvu zao. Nitawaokoa kwa kudhihirisha nguvu zangu, na kwa matendo ya ajabu ya hukumu.
Therefore say thou to the sons of Israel-I, am Yahweh, Therefore will I bring you forth from under the burdens of Egypt, And will deliver you out of their service, And will redeem you with a stretched-out arm, and with great judgments;
7 Nitawaleta kwangu kama watu wangu, na nitakuwa Mungu wenu. Mtajua kuwa mimi ndiye Yahweh Mungu wenu, aliye watoa kwenye utumwa chini ya wa Misri.
And will take you to myself for a people, And will become your God, —And ye shall know that, I Yahweh, am your God, who brought you forth from under the burdens of Egypt:
8 Nitawaleta kwenye nchi niliyo muahidi kumpa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Nitawapa kama mali yenu. Mimi ni Yahweh.”'
And I will bring you into the land as to which I uplifted my hand to give it to Abraham, to Isaac, and to Jacob, —and will give it to you as an inheritance: I, am Yahweh.
9 Musa alipo waambia haya Waisraeli, hawakumsiliza kwasababu ya mateso magumu ya utumwa wao.
And Moses spake thus unto the sons of Israel, but they hearkened not unto Moses, through shortness of spirit, and through hard service.
10 Hivyo Yahweh akazungumza na Musa na kumwambia,
And Yahweh spake unto Moses saying:
11 “Nenda umwambie Farao, mfalme wa Misri, awaache watu wa Israeli waondoke kwenye nchi yake.”
Go in speak unto Pharaoh king of Egypt, that he let the sons of Israel go out of his land.
12 Musa akamwambia Yahweh, “Kama Waisraeli hawajanisikiliza mimi, kwa nini Farao anisikillize mimi, tangu mimi sio mzuri wakuzungumza?”
And Moses spake before Yahweh, saying, —Lo! the sons of Israel have not hearkened unto me, how then shall Pharaoh, hear, I, also being of uncircumcised lips.
13 Yahweh akasema na Musa na Aruni. Akawapa amri ya Waisraeli na Farao, mfalme wa Misri, awatoe Waisraeli kutoka nchi ya Misri.
Thus then did Yahweh speak unto Moses and unto Aaron, yea he gave them a charge unto the sons of Israel, and unto Pharaoh king of Egypt, for the bringing forth of the sons of Israel out of the land of Egypt.
14 Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao: wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Rubeni.
These, are the heads of their ancestral house: The sons of Reuben the first-born of Israel, Hanoch and Pallu, Hezron and Carmi. These are the families of, Reuben.
15 Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli - mwana wa mwanamke wa Kanani. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Simeoni.
And, the sons of Simeon, Jemuel and Jamin and Ohad and Jachin and Zohar, and Shaul the son of a Canaanitess. These, are the families of, Simeon.
16 Hapa yameorodheshwa majina ya wana wa Lawi, pamoja na uzo wao. Walikuwa ni Gerishoni, Kohathi, na Merari. Lawi aliishi mpaka alipo kuwa na miaka 137.
And, these, are the names of the sons of Levi by their generations, Gershon, and Kohath and Merari, And, the years of the life of Levi, were a hundred and thirty-seven years.
17 Wana wa Gerishoni walikuwa Libni na Shimei.
The sons of Gershon, Libni and Shimei by their families.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli. Kohathi aliishi hadi miaka 133.
And the sons of Kohath, Amram and Izhar, and Hebron and Uzziel. And the years of the life of Kohath, were a hundred and thirty-three years.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi. Hawa walikuja kuwa mababu wa ukoo wa Walawi, pamoja na uzao wao.
And the sons of Merari, Mahli and Mushi. These, are the families of the Levites by their generations.
20 Amramu alimuoa Yokebedi, dada yake baba yake. Alimzalia Aruni na Musa. Amramu aliishi miaka 137 na akafa.
So then, Amram took Jochebed, his father’s sister to himself to wife, and she bare to him—Aaron and Moses. And, the years of the life of Amram, were a hundred and thirty-seven.
21 Wana wa Izhari walikuwa Kora, Nefegi, na Zikri.
And the sons of Izhar, Korah and Nepheg, and Zichri.
22 Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elizafani na Sithri.
And the sons of Uzziel, Mishael and Elzaphan, and Sithri.
23 Aruni alimuoa Elisheba, binti wa Aminadabu, dada wa Nashoni. Alimzaa Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.
And Aaron took Elisheba, daughter of Amminadab, sister of Nahshon, to himself to wife, —and she bare to him—Nadab, and Abihu, Eleazar, and Ithamar.
24 Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasa. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Wakora.
And the sons of Korah, Assir and Elkanah, and Abiasaph. These are the families of the Korahites.
25 Eleazari, mwana wa Aruni, alimuoa mmoja wa mabinti Wa Putieli. Alimzalia Fineazi. Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao miongoni mwa Walawi, pamoja na uzao wao.
And Eleazar, son of Aaron took to himself [one] of the daughters of Putiel, to himself to wife, and she bare to him Phinehas. These, are the heads of the fathers of the Levites by their families.
26 Hawa wanaume wawili walikuwa Musa na Aruni ambao Yahweh alisema, “Waleteni Waisraeli kutoka nchi ya Misri, kwa makundi ya wanaume wapiganaji.”
The same, Aaron and Moses, —to whom said Yahweh, Bring ye forth the sons of Israel out of the land of Egypt, according to their hosts:
27 Aruni na Musa wakazungumza na Farao, mfalme wa Misri, awaruhusu Waisraeli watoke Misri. Hawa walikuwa Musa na Aruni wale wale.
They who were to speak unto Pharaoh king of Egypt, to bring forth the sons of Israel out of Egypt: The same, Moses and Aaron.
28 Pale Yahweh alipo zungumza na Musa katika nchi ya Misri,
Thus came it to pass, that on a certain day, Yahweh spake unto Moses in the land of Egypt.
29 alimwambia, “Mimi ni Yahweh. Sema kwa Farao, mfalme wa MIsri, kila kitu nitacho kwambia.”
So then Yahweh spake unto Moses, saying—I, am Yahweh: Speak thou unto Pharaoh king of Egypt, all that, I, am speaking unto thee.
30 Lakini Musa alimwambia Yahweh, “Mimi sio mzuri wa kuongea, hivyo kwanini Farao anisikilize mimi?”
And Moses said before Yahweh, —Lo! I, am of uncircumcised lips, how then will Pharaoh hearken unto me?

< Kutoka 6 >