< Kutoka 40 >

1 Kisha Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
E IL Signore parlò a Mosè, dicendo:
2 “Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka lazima wewe uandae hema la kukutania.
Nel primo giorno del primo mese rizza la Tenda del Tabernacolo della convenenza.
3 Utaweka sanduku la ushuhuda ndani yake, na utaziba sanduku kwa pazia.
E mettivi dentro l'Arca della Testimonianza, e tendi la Cortina davanti all'Arca.
4 Utaleta ndani meza na kuandaa kwa mpangilio vitu vyake. Kisha utaleta kinara cha taa na kuandaa taa.
Poi portavi [dentro] la Tavola, e ordina ciò che deve essere ordinato in quella; portavi parimente il Candelliere, e accendi le sue lampane.
5 Nawe utaweka madhabahu ya dhahabu ya uvumba mbele ya sanduku la ushuhuda, na utaweka pazia katika mwingilio wa hema la kukutania.
E metti l'Altare d'oro per li profumi davanti all'Arca della Testimonianza; metti eziandio il Tappeto all'entrata del Tabernacolo.
6 Utaweka madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa mbele ya mwingilio wa hema ya kukutania.
E metti l'Altare degli olocausti davanti all'entrata della Tenda del Tabernacolo della convenenza.
7 Utaweka ile saani kubwa katikati ya hema la kukutania na madhabahu na utaweka maji ndani yake.
E metti la Conca fra il Tabernacolo della convenenza, e l'Altare; e mettivi dentro dell'acqua.
8 Uandae nyuani inayoizunguka, na utundike pazia katika mwingilio wa nyuani.
Disponi ancora il Cortile d'intorno, e metti il Tappeto all'entrata del Cortile.
9 Lazima uchukuwe mafuta ya upako na upake hema la kukutania na kila kitu kilichopo ndani yake. Lazima uitenge na samani zake kwangu; kisha itakuwa takatifu.
Poi piglia l'olio dell'Unzione, e ungine il Tabernacolo, e tutto quello chi vi [sarà] dentro; e consacralo, con tutti i suoi arredi; e sarà cosa santa.
10 Lazima upake mafuta madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na vyombo vyake. Lazima utenge madhabhu kwa ajili yangu na itakuwa takatifu kwangu.
Ungi parimente l'Altar degli olocausti, e tutti i suoi strumenti, e consacra l'Altare; e sarà cosa santissima.
11 Upake mafuta beseni la shaba na sakafu yake na uitenge kwa ajili yangu.
Ungi ancora la Conca, e il suo piè, e consacrala.
12 Umlete Aruni na wanae kwa mwingilio wa hema la kukutania na uwaoshe wote kwa maji.
Poi fa' accostare Aaronne e i suoi figliuoli, all'entrata del Tabernacolo della convenenza; e lavali con acqua.
13 Utamfunika Aruni kwa mavazi yaliyo tengwa kwa ajili yangu, mpake mafuta na umtenge ili anitumikie kama kuhani.
E fai vestire ad Aaronne i vestimenti sacri, e ungilo, e consacralo; e così amministrimi egli il sacerdozio.
14 Utawaleta wana wake na kuwafunika kwa nguo nzito.
Fa' eziandio accostare i suoi figliuoli, e fa' lor vestir le toniche.
15 Utawapaka mafuta kama ulivyo mpaka baba yao ili wanitumikie kama makuhani. Upako wao utawafanya makuhani wa kudumu vizazi vyote vya watu wao.”
E ungili, come tu avrai unto il padre loro; e così amministrinmi il sacerdozio; e la loro Unzione sarà loro per sacerdozio perpetuo, per le lor generazioni.
16 Hivi ndivyo Musa alivyo sema; alifuata yote Yahweh aliyo muamuru. Alifanya vitu vyote hivi.
E Mosè fece interamente come il Signore gli avea comandato.
17 Hivyo hema la kukutania liliandaliwa siku ya kwanza ya mwezi wa mwaka wa pili.
E nell'anno secondo, nel primo [giorno] del primo mese, fu rizzato il Tabernacolo.
18 Musa alianda hema la kukutania, akaeka sakafu zake sehemu yake, akaanda fremu zake, akashikisha chuma zake, na akaanda minara na nguzo zake.
Mosè adunque rizzò il Tabernacolo; e, posati i suoi piedistalli, dispose le sue assi, e vi mise le sbarre, e rizzò le sue colonne.
19 Alitandaza mfuniko juu ya hema la kukutania na kuweka hema juu yake, kama Yahweh alivyo muamuru.
E stese la Tenda sopra il Tabernacolo, e pose la coverta della Tenda sopra essa al disopra; come il Signore gli avea comandato.
20 Alichukuwa amri za agano na kuweka kwenye sanduku. Pia aliweka nguzo kwenye sanduku na kuweka mfuniko wa kiti cha rehema.
Poi prese la Testimonianza, e la pose dentro all'Arca; e mise le stanghe all'Arca; e posò il Coperchio in su l'Arca, disopra.
21 Aliichukuwa sanduku na kuweka ndani ya hema la kukutania. Aliandaa pazia ili lizibe sanduku la ushuhuda, kama Yahweh alivyo muamuru.
E portò l'Arca dentro al Tabernacolo, e mise la Cortina che s'avea da tender davanti, e [la] tese davanti all'Arca della Testimonianza; come il Signore gli avea comandato.
22 Alieka meza kwenye hema la kukutania, kwa upande wa kaskazini mwa hema la kukutania, nje ya pazia.
Poi mise la Tavola nel Tabernacolo della convenenza, dal lato settentrionale del Tabernacolo, difuori della Cortina;
23 Alieka mkate kwa mpangilio katika meza ya Yahweh, kama Yahweh alivyo amuru.
e mise per ordine sopra essa i pani che si aveano da tenere in ordine davanti al Signore; come il Signore gli avea comandato.
24 Alieka kinara cha taa kwenye hema la kukutania, upande wa pili wa meza, kusini mwa hema la kukutani.
Poi mise il Candelliere nel Tabernacolo della convenenza, dirimpetto alla Tavola, dal lato australe del Tabernacolo;
25 Aliwasha taa mbele za Yahweh, kama Yahweh alivyo muamuru.
e accese le lampane davanti al Signore; come il Signore gli avea comandato.
26 Aliweka madhabahu ya dhahabu ya uvumba ndani ya hema la kukutania mbele ya pazia.
Poi mise l'Altar d'oro nel Tabernacolo della convenenza, davanti alla Cortina;
27 Alichoma uvumba wa manukato hapo, kama Yahweh alivyo muamuru.
e bruciò sopra esso il profumo degli aromati; come il Signore gli avea comandato.
28 Alitundika pazia katika hema ya kukutania.
Poi mise il Tappeto all'entrata del Tabernacolo.
29 Aliweka madhabahu ya sadaka ya kuteketeza katika hema ya kukutania. Aliitolea sadaka ya kuteketeza na sadaka ya unga, kama Yahweh alivyo muamuru.
E pose l'Altar degli olocausti all'entrata della Tenda del Tabernacolo della convenenza; e offerse sopra esso l'olocausto, e l'offerta; come il Signore gli avea comandato.
30 Aliweka beseni katikati ya hema ya kukutunia na madhabahu, na maji ya kuoshea.
E pose la Conca fra il Tabernacolo della convenenza, e l'Altare; e vi mise dentro dell'acqua, da lavare.
31 Musa, Aruni, na wanae waliosha mikono yao na miguu kwenye beseni
E Mosè, ed Aaronne, e i suoi figliuoli, se ne lavarono le mani ed i piedi.
32 muda wowote walipoenda kwenye hema ya kukutania na muda wowote walipoenda kwenye madhabahu. Walijisafisha, kama Yahweh alivyo muamuru Musa.
Quando entravano nel Tabernacolo della convenenza, e quando si accostavano all'Altare, si lavavano; come il Signore avea comandato a Mosè.
33 Musa alianda nyuani nyuma ya hema ya kukutania na madhabahu. Alianda pazia katika mwingilio wa nyuani. Katika hili, Musa alimaliza kazi.
Poi rizzò il Cortile d'intorno al Tabernacolo, e all'Altare; e mise il Tappeto all'entrata del Cortile. Così Mosì fornì l'opera.
34 Kisha wingu likafunika hema ya kukutania, na utukufu wa Yahweh ukafunika hema ya kukutania.
E la nuvola coperse il Tabernacolo della convenenza, e la gloria del Signore empiè il Tabernacolo.
35 Musa hakuweza kuingia hema ya kukutania kwasababu wingu lilikuwa juu yake, na kwasababu utukufu wa Yahweh ulijaza hema ya kukutania.
E Mosè non potè entrare nel Tabernacolo della convenenza; conciossiachè la nuvola si fosse posata sopra esso, e la gloria del Signore empiesse il Tabernacolo.
36 Muda wowote wingu lilipo chukuliwa juu kutoka hema ya kukutania, watu wa Israeli waliendelea na safari yao.
Or, quando la nuvola s'alzava d'in sul Tabernacolo, i figliuoli d'Israele si partivano; [ciò avvenne] in tutte le lor mosse.
37 Lakini kama wingu haliku nyanyuka juu kutoka hema ya kukutania, kisha basi watu hawaku safiri. Walibaki hadi siku lilipo nyanyuliwa juu.
E, quando la nuvola non si alzava, non si partivano, fino al giorno ch'ella s'alzava.
38 Kwa kuwa wingu la Yahweh lilikuwa juu ya hema ya kukutania mchana, na moto wake ulikuwa juu yake usiku, wazi kwa watu wote wa Israeli kipindi chote cha safari yao.
Perciocchè la nuvola del Signore [era] di giorno sopra il Tabernacolo, e un fuoco [v'era] di notte, alla vista di tutta la casa d'Israele, in tutti i lor viaggi.

< Kutoka 40 >