< Kutoka 40 >

1 Kisha Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
L’Éternel parla à Moïse en ces termes:
2 “Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka lazima wewe uandae hema la kukutania.
"A l’époque du premier mois, le premier jour du mois, tu érigeras le tabernacle de la Tente d’assignation.
3 Utaweka sanduku la ushuhuda ndani yake, na utaziba sanduku kwa pazia.
Tu y déposeras l’arche du Statut et tu abriteras cette arche au moyen du voile.
4 Utaleta ndani meza na kuandaa kwa mpangilio vitu vyake. Kisha utaleta kinara cha taa na kuandaa taa.
Tu introduiras la table et tu en disposeras l’appareil; tu introduiras le candélabre et tu en allumeras les lampes.
5 Nawe utaweka madhabahu ya dhahabu ya uvumba mbele ya sanduku la ushuhuda, na utaweka pazia katika mwingilio wa hema la kukutania.
Tu installeras l’autel d’or, destiné à l’encensement, devant l’arche du Statut, puis tu mettras le rideau d’entrée devant le tabernacle.
6 Utaweka madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa mbele ya mwingilio wa hema ya kukutania.
Tu installeras l’autel de l’holocauste devant l’entrée du tabernacle de la Tente d’assignation.
7 Utaweka ile saani kubwa katikati ya hema la kukutania na madhabahu na utaweka maji ndani yake.
Tu mettras la cuve entre la Tente d’assignation et l’autel et tu l’empliras d’eau.
8 Uandae nyuani inayoizunguka, na utundike pazia katika mwingilio wa nyuani.
Tu dresseras le parvis tout autour et tu poseras le rideau-portière du parvis.
9 Lazima uchukuwe mafuta ya upako na upake hema la kukutania na kila kitu kilichopo ndani yake. Lazima uitenge na samani zake kwangu; kisha itakuwa takatifu.
Puis tu prendras l’huile d’onction, pour oindre le tabernacle et tout son contenu, tu le consacreras ainsi que toutes ses pièces et il deviendra chose sacrée.
10 Lazima upake mafuta madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na vyombo vyake. Lazima utenge madhabhu kwa ajili yangu na itakuwa takatifu kwangu.
Tu en oindras l’autel de l’holocauste et tous ses ustensiles, tu consacreras ainsi cet autel et il deviendra éminemment saint.
11 Upake mafuta beseni la shaba na sakafu yake na uitenge kwa ajili yangu.
Tu en oindras la cuve et son support et tu les consacreras.
12 Umlete Aruni na wanae kwa mwingilio wa hema la kukutania na uwaoshe wote kwa maji.
Alors tu feras avancer Aaron et ses fils à l’entrée de la Tente d’assignation et tu les feras baigner.
13 Utamfunika Aruni kwa mavazi yaliyo tengwa kwa ajili yangu, mpake mafuta na umtenge ili anitumikie kama kuhani.
Tu revêtiras Aaron du saint costume, tu l’oindras et le consacreras à mon ministère.
14 Utawaleta wana wake na kuwafunika kwa nguo nzito.
Puis tu feras approcher ses fils et tu les vêtiras de leurs tuniques.
15 Utawapaka mafuta kama ulivyo mpaka baba yao ili wanitumikie kama makuhani. Upako wao utawafanya makuhani wa kudumu vizazi vyote vya watu wao.”
Tu les oindras, ainsi que tu auras oint leur père et ils deviendront mes ministres; et ainsi leur sera conféré le privilège d’un sacerdoce perpétuel, pour toutes leurs générations."
16 Hivi ndivyo Musa alivyo sema; alifuata yote Yahweh aliyo muamuru. Alifanya vitu vyote hivi.
Moïse obéit: tout ce que l’Éternel lui avait prescrit, il s’y conforma.
17 Hivyo hema la kukutania liliandaliwa siku ya kwanza ya mwezi wa mwaka wa pili.
Ce fut au premier mois de la deuxième année, au premier jour du mois, que fut érigé le Tabernacle.
18 Musa alianda hema la kukutania, akaeka sakafu zake sehemu yake, akaanda fremu zake, akashikisha chuma zake, na akaanda minara na nguzo zake.
Moïse dressa d’abord le tabernacle; il en posa les socles, en planta les solives, en fixa les traverses, en érigea les piliers;
19 Alitandaza mfuniko juu ya hema la kukutania na kuweka hema juu yake, kama Yahweh alivyo muamuru.
il étendit le pavillon sur le tabernacle et posa sur le pavillon sa couverture supérieure, ainsi que l’Éternel le lui avait ordonné.
20 Alichukuwa amri za agano na kuweka kwenye sanduku. Pia aliweka nguzo kwenye sanduku na kuweka mfuniko wa kiti cha rehema.
Il prit ensuite le Statut qu’il déposa dans l’arche; il appliqua les barres à l’arche, plaça le propitiatoire par-dessus;
21 Aliichukuwa sanduku na kuweka ndani ya hema la kukutania. Aliandaa pazia ili lizibe sanduku la ushuhuda, kama Yahweh alivyo muamuru.
introduisit l’arche dans le Tabernacle et suspendit le voile protecteur pour abriter l’arche du Statut, comme l’Éternel le lui avait ordonné.
22 Alieka meza kwenye hema la kukutania, kwa upande wa kaskazini mwa hema la kukutania, nje ya pazia.
II plaça la table dans la Tente d’assignation vers le flanc nord du Tabernacle, en dehors, du voile
23 Alieka mkate kwa mpangilio katika meza ya Yahweh, kama Yahweh alivyo amuru.
et y disposa l’appareil des pains devant le Seigneur, comme celui-ci le lui avait ordonné.
24 Alieka kinara cha taa kwenye hema la kukutania, upande wa pili wa meza, kusini mwa hema la kukutani.
Il posa le candélabre dans la Tente d’assignation, en face de la table, au flanc méridional du Tabernacle
25 Aliwasha taa mbele za Yahweh, kama Yahweh alivyo muamuru.
et alluma les lampes devant le Seigneur, comme celui-ci le lui avait ordonné.
26 Aliweka madhabahu ya dhahabu ya uvumba ndani ya hema la kukutania mbele ya pazia.
Il établit l’autel d’or dans la Tente d’assignation, devant le voile
27 Alichoma uvumba wa manukato hapo, kama Yahweh alivyo muamuru.
et y fit l’encensement aromatique, comme le Seigneur lui avait prescrit.
28 Alitundika pazia katika hema ya kukutania.
Puis il fixa le rideau d’entrée du Tabernacle
29 Aliweka madhabahu ya sadaka ya kuteketeza katika hema ya kukutania. Aliitolea sadaka ya kuteketeza na sadaka ya unga, kama Yahweh alivyo muamuru.
et l’autel aux holocaustes, il le dressa à l’entrée du tabernacle de la Tente d’assignation. Il y offrit l’holocauste et l’oblation, comme le lui avait prescrit le Seigneur.
30 Aliweka beseni katikati ya hema ya kukutunia na madhabahu, na maji ya kuoshea.
Il installa la cuve entre la Tente d’assignation et l’autel et y mit de l’eau pour les ablutions.
31 Musa, Aruni, na wanae waliosha mikono yao na miguu kwenye beseni
Moïse, Aaron et ses fils devaient s’y laver les mains et les pieds.
32 muda wowote walipoenda kwenye hema ya kukutania na muda wowote walipoenda kwenye madhabahu. Walijisafisha, kama Yahweh alivyo muamuru Musa.
C’Est en entrant dans la Tente d’assignation ou quand ils s’approchaient de l’autel, qu’ils devaient faire ces ablutions, ainsi que le Seigneur l’avait prescrit à Moïse.
33 Musa alianda nyuani nyuma ya hema ya kukutania na madhabahu. Alianda pazia katika mwingilio wa nyuani. Katika hili, Musa alimaliza kazi.
Il dressa le parvis autour du Tabernacle et de l’autel, il posa le rideau-portière du parvis; et ainsi Moïse termina sa tâche.
34 Kisha wingu likafunika hema ya kukutania, na utukufu wa Yahweh ukafunika hema ya kukutania.
Alors la nuée enveloppa la Tente d’assignation et la majesté du Seigneur remplit le Tabernacle.
35 Musa hakuweza kuingia hema ya kukutania kwasababu wingu lilikuwa juu yake, na kwasababu utukufu wa Yahweh ulijaza hema ya kukutania.
Et Moïse ne put pénétrer dans la Tente d’assignation, parce que la nuée reposait au sommet et que la majesté divine remplissait le Tabernacle.
36 Muda wowote wingu lilipo chukuliwa juu kutoka hema ya kukutania, watu wa Israeli waliendelea na safari yao.
Lorsque la nuée se retirait de dessus le tabernacle, les enfants d’Israël quittaient constamment leur station
37 Lakini kama wingu haliku nyanyuka juu kutoka hema ya kukutania, kisha basi watu hawaku safiri. Walibaki hadi siku lilipo nyanyuliwa juu.
et tant que la nuée ne se retirait pas, ils ne décampaient point jusqu’à l’instant où elle se retirait.
38 Kwa kuwa wingu la Yahweh lilikuwa juu ya hema ya kukutania mchana, na moto wake ulikuwa juu yake usiku, wazi kwa watu wote wa Israeli kipindi chote cha safari yao.
Car une nuée divine couvrait le Tabernacle durant le jour et un feu y brillait la nuit, aux yeux de toute la maison d’Israël, dans toutes leurs stations.

< Kutoka 40 >