< Kutoka 40 >

1 Kisha Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
Reče Jahve Mojsiju:
2 “Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka lazima wewe uandae hema la kukutania.
“Na prvi dan prvoga mjeseca podigni Prebivalište, Šator sastanka.
3 Utaweka sanduku la ushuhuda ndani yake, na utaziba sanduku kwa pazia.
Ondje postavi Kovčeg svjedočanstva, onda Kovčeg zakloni zavjesom.
4 Utaleta ndani meza na kuandaa kwa mpangilio vitu vyake. Kisha utaleta kinara cha taa na kuandaa taa.
Potom unesi stol i što na nj spada poredaj; unesi i svijećnjak i svijeće mu pripremi.
5 Nawe utaweka madhabahu ya dhahabu ya uvumba mbele ya sanduku la ushuhuda, na utaweka pazia katika mwingilio wa hema la kukutania.
A zlatni žrtvenik za kađenje postavi pred Kovčeg svjedočanstva. Onda objesi zastor nad ulazom u Prebivalište.
6 Utaweka madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa mbele ya mwingilio wa hema ya kukutania.
Stavi žrtvenik za žrtve paljenice pred ulaz Prebivališta, Šatora sastanka.
7 Utaweka ile saani kubwa katikati ya hema la kukutania na madhabahu na utaweka maji ndani yake.
Između Šatora sastanka i žrtvenika smjesti umivaonik i u nj nalij vode.
8 Uandae nyuani inayoizunguka, na utundike pazia katika mwingilio wa nyuani.
Naokolo napravi dvorište i objesi zastor nad dvorišnim ulazom.
9 Lazima uchukuwe mafuta ya upako na upake hema la kukutania na kila kitu kilichopo ndani yake. Lazima uitenge na samani zake kwangu; kisha itakuwa takatifu.
Zatim uzmi ulja za pomazanje pa pomaži Prebivalište i sve što je u njemu; posveti ga i sav njegov pribor, pa će svetim postati.
10 Lazima upake mafuta madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na vyombo vyake. Lazima utenge madhabhu kwa ajili yangu na itakuwa takatifu kwangu.
Pomaži potom žrtvenik za žrtve paljenice i sav njegov pribor; posveti žrtvenik i presvetim će žrtvenik postati.
11 Upake mafuta beseni la shaba na sakafu yake na uitenge kwa ajili yangu.
Pomaži umivaonik s njegovim stalkom: posveti ga!
12 Umlete Aruni na wanae kwa mwingilio wa hema la kukutania na uwaoshe wote kwa maji.
Dovedi zatim Arona i njegove sinove na ulaz Šatora sastanka pa ih operi vodom.
13 Utamfunika Aruni kwa mavazi yaliyo tengwa kwa ajili yangu, mpake mafuta na umtenge ili anitumikie kama kuhani.
Stavi onda na Arona posvećenu odjeću; pomaži ga i posveti da mi služi kao svećenik.
14 Utawaleta wana wake na kuwafunika kwa nguo nzito.
Dovedi i njegove sinove, na njih stavi košulje
15 Utawapaka mafuta kama ulivyo mpaka baba yao ili wanitumikie kama makuhani. Upako wao utawafanya makuhani wa kudumu vizazi vyote vya watu wao.”
i pomaži ih, kako si pomazao i njihova oca, da mi služe kao svećenici. Njihovo pomazanje neka ih uvede u vječno svećenstvo u sve njihove naraštaje.”
16 Hivi ndivyo Musa alivyo sema; alifuata yote Yahweh aliyo muamuru. Alifanya vitu vyote hivi.
Tako Mojsije učini. Kako mu je Jahve naredio, sve je tako i učinio.
17 Hivyo hema la kukutania liliandaliwa siku ya kwanza ya mwezi wa mwaka wa pili.
Prvoga dana prvoga mjeseca druge godine Prebivalište bi podignuto.
18 Musa alianda hema la kukutania, akaeka sakafu zake sehemu yake, akaanda fremu zake, akashikisha chuma zake, na akaanda minara na nguzo zake.
Ovako Mojsije namjesti Prebivalište: razmjesti njegova podnožja, onda uspravi njegove trenice, zatim postavi priječnice i podiže stupove.
19 Alitandaza mfuniko juu ya hema la kukutania na kuweka hema juu yake, kama Yahweh alivyo muamuru.
Zatim raspne Šator nad Prebivalište, a povrh njega stavi pokrov Šatora, kako je Jahve Mojsiju naredio.
20 Alichukuwa amri za agano na kuweka kwenye sanduku. Pia aliweka nguzo kwenye sanduku na kuweka mfuniko wa kiti cha rehema.
Uze onda Svjedočanstvo i stavi ga u Kovčeg; na Kovčeg postavi motke; onda stavi Pomirilište ozgo na Kovčeg.
21 Aliichukuwa sanduku na kuweka ndani ya hema la kukutania. Aliandaa pazia ili lizibe sanduku la ushuhuda, kama Yahweh alivyo muamuru.
Potom unese Kovčeg u Prebivalište; objesi zavjesu za zaklon. Tako zastre Kovčeg svjedočanstva, kako je Jahve i naredio Mojsiju.
22 Alieka meza kwenye hema la kukutania, kwa upande wa kaskazini mwa hema la kukutania, nje ya pazia.
Zatim postavi stol u Šator sastanka, Prebivalištu sa sjeverne strane, ali izvan zavjese.
23 Alieka mkate kwa mpangilio katika meza ya Yahweh, kama Yahweh alivyo amuru.
Po njemu poreda kruhove pred Jahvom, kako je Jahve naredio Mojsiju.
24 Alieka kinara cha taa kwenye hema la kukutania, upande wa pili wa meza, kusini mwa hema la kukutani.
Onda smjesti svijećnjak u Šator sastanka naprama stolu, na južnoj strani Prebivališta.
25 Aliwasha taa mbele za Yahweh, kama Yahweh alivyo muamuru.
I postavi svjetiljke pred Jahvom, kako je Jahve naredio Mojsiju.
26 Aliweka madhabahu ya dhahabu ya uvumba ndani ya hema la kukutania mbele ya pazia.
Zlatni žrtvenik smjesti u Šator sastanka, pred zavjesu.
27 Alichoma uvumba wa manukato hapo, kama Yahweh alivyo muamuru.
Na njemu zapali miomirisnog tamjana, kako je Jahve naredio Mojsiju.
28 Alitundika pazia katika hema ya kukutania.
Poslije toga stavi zavjesu na ulaz u Prebivalište.
29 Aliweka madhabahu ya sadaka ya kuteketeza katika hema ya kukutania. Aliitolea sadaka ya kuteketeza na sadaka ya unga, kama Yahweh alivyo muamuru.
Kod ulaza u Prebivalište, u Šator sastanka, postavi žrtvenik za žrtve paljenice. Na njemu prinese žrtvu paljenicu i žrtvu od žita, kako je Jahve naredio Mojsiju.
30 Aliweka beseni katikati ya hema ya kukutunia na madhabahu, na maji ya kuoshea.
Između Šatora sastanka i žrtvenika smjesti umivaonik pa u nj ulije vode za pranje.
31 Musa, Aruni, na wanae waliosha mikono yao na miguu kwenye beseni
Iz njega su Mojsije, Aron i njegovi sinovi prali svoje ruke i svoje noge.
32 muda wowote walipoenda kwenye hema ya kukutania na muda wowote walipoenda kwenye madhabahu. Walijisafisha, kama Yahweh alivyo muamuru Musa.
A prali su se kad su ulazili u Šator sastanka i kad su pristupali k žrtveniku, kako je Jahve naredio Mojsiju.
33 Musa alianda nyuani nyuma ya hema ya kukutania na madhabahu. Alianda pazia katika mwingilio wa nyuani. Katika hili, Musa alimaliza kazi.
Napokon Mojsije napravi dvorište oko Prebivališta i žrtvenika i postavi zavjesu na dvorišnim vratima. Tako Mojsije završi taj posao.
34 Kisha wingu likafunika hema ya kukutania, na utukufu wa Yahweh ukafunika hema ya kukutania.
A onda oblak prekri Šator sastanka i slava Jahvina ispuni Prebivalište.
35 Musa hakuweza kuingia hema ya kukutania kwasababu wingu lilikuwa juu yake, na kwasababu utukufu wa Yahweh ulijaza hema ya kukutania.
Mojsije nije mogao ući u Šator sastanka zbog oblaka koji je na njemu stajao i slave Jahvine koja je ispunjala Prebivalište.
36 Muda wowote wingu lilipo chukuliwa juu kutoka hema ya kukutania, watu wa Israeli waliendelea na safari yao.
Sve vrijeme njihova putovanja, kad god bi se oblak digao s Prebivališta, Izraelci bi krenuli;
37 Lakini kama wingu haliku nyanyuka juu kutoka hema ya kukutania, kisha basi watu hawaku safiri. Walibaki hadi siku lilipo nyanyuliwa juu.
ali ako se oblak ne bi digao, ni oni ne bi na put polazili sve do dana dok se ne bi digao.
38 Kwa kuwa wingu la Yahweh lilikuwa juu ya hema ya kukutania mchana, na moto wake ulikuwa juu yake usiku, wazi kwa watu wote wa Israeli kipindi chote cha safari yao.
Jer sve vrijeme njihova putovanja oblak Jahvin danju stajaše nad Prebivalištem, a noću bi se u oblaku pojavila vatra vidljiva svemu domu Izraelovu.

< Kutoka 40 >