< Kutoka 37 >
1 Bezaleli akafanya Sanduku la mbao za mshita. Mikono miwili na nusu urefu wake, na mkono mmoja na nusu upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.
Fez também Bezaleel a arca de madeira de cetim: o seu comprimento era de dois côvados e meio; e a sua largura dum côvado e meio; e a sua altura dum côvado e meio.
2 Kisha akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje na kulifanyia ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.
E cobriu-a de ouro puro por dentro e por fora; e fez-lhe uma coroa de ouro ao redor;
3 Kisha akalitengenezea pete nne za dhahabu, za juu ya miguu yake minne, pete mbili upande wake mmoja na pete mbili upande wake mwingine
E fundiu-lhe quatro argolas de ouro aos seus quatro cantos, num lado duas, e no outro lado duas argolas;
4 Kisha akafanya miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.
E fez varais de madeira de cetim, e os cobriu de ouro;
5 Halafu akaitia miti hiyo kwenye zile pete zilizo pande za Sanduku ili kulibeba Sanduku.
E meteu os varais pelas argolas aos lados da arca, para levar a arca.
6 Naye akafanya kifuniko cha dhahabu safi. Mikono miwili na nusu urefu wake, na mkono mmoja na nusu upana wake.
Fez também de ouro puro o propiciatório: o seu comprimento era de dois côvados e meio, e a sua largura dum côvado e meio.
7 Bezaleli akafanya makerubi wawili wa dhahabu. Kwa kazi ya kufua akawafanya kwenye miisho yote miwili ya kifuniko.
Fez também dois cherubins de ouro; da obra batida os fez, às duas extremidades do propiciatório;
8 Kerubi mmoja kwenye mwisho ule, na yule kerubi mwingine kwenye mwisho huu. Aliwafanya makerubi juu ya kifuniko kwenye miisho yote miwili.
Um cherubim a uma extremidade desta banda, e o outro cherubim à outra extremidade da outra banda: do mesmo propiciatório fez sair os cherubins às duas extremidades deles.
9 Nao wakawa makerubi wanaonyoosha mabawa yao mawili kuelekea juu, wakisitiri kifuniko kwa mabawa yao, nazo nyuso zao zilikuwa zikielekeana. Nyuso za makerubi hao zilielekea kifuniko hicho.
E os cherubins estendiam as asas por cima, cobrindo com as suas asas o propiciatório: e os seus rostos estavam defronte um do outro: os rostos dos cherubins estavam virados para o propiciatório.
10 Bezaleli akafanya meza ya mbao za mshita. Mikono miwili urefu wake, na mkono mmoja upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.
Fez também a mesa de madeira de cetim: o seu comprimento era de dois côvados, e a sua largura dum côvado, e a sua altura dum côvado e meio.
11 Halafu akaifunika kwa dhahabu safi na kufanya ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
E cobriu-a de ouro puro, e fez-lhe uma coroa de ouro ao redor.
12 Kisha akafanya mzingo wa upana wa kiganja kuizunguka na kufanya ukingo wa dhahabu kwa ajili ya mzingo wake kuizunguka pande zote.
Fez-lhe também uma moldura da largura de uma mão ao redor: e fez uma coroa de ouro ao redor da sua moldura.
13 Tena, akatengeneza pete nne za dhahabu kwa ajili yake na kuziweka pete hizo kwenye zile pembe nne zilizokuwa kwa ajili ya ile miguu minne.
Fundiu-lhe também quatro argolas de ouro; e pôs as argolas aos quatro cantos que estavam aos seus quatro pés.
14 Pete hizo zilikuwa karibu na ule mzingo, ili kutegemeza ile miti ya kuibeba meza hiyo.
Defronte da moldura estavam as argolas para os lugares dos varais, para levar a mesa.
15 Halafu akafanya ile miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu ili kuibeba ile meza.
Fez também os varais de madeira de cetim, e os cobriu de ouro, para levar a mesa.
16 Baada ya hilo akafanya kutokana na dhahabu safi vile vyombo vilivyo juu ya meza, sahani zake na vikombe vyake na mabakuli yake na mitungi yake iliyotumiwa kumimina matoleo ya kinywaji.
E fez os vasos que haviam de estar sobre a mesa, os seus pratos, e as suas colheres, e as suas escudelas, e as suas cobertas, com que se haviam de cobrir, de ouro puro.
17 Kisha akafanya kinara cha taa cha dhahabu safi. Kwa kazi ya kufua akakifanya kinara cha taa. Pande zake na matawi yake, vikombe vyake, mafundo yake na maua yake vikatokea kwake.
Fez também o castiçal de ouro puro: da obra batida fez este castiçal: o seu pé, e as suas canas, os seus copos, as suas maçãs, e as suas flores do mesmo
18 Na matawi sita yalikuwa yakitoka kwenye pande zake, matawi matatu ya kinara cha taa kutoka kwenye upande wake mmoja na matawi mengine matatu ya kinara cha taa kutoka kwenye ule upande wake mwingine.
Seis canas saiam dos seus lados: três canas do castiçal, de um lado dele, e três canas do castiçal, de outro lado.
19 Vikombe vitatu vyenye umbo la maua ya mlozi vilikuwa kwenye kikundi kimoja cha matawi, vifundo na maua yakifuatana; na vikombe vitatu vyenye umbo la maua ya mlozi vilikuwa kwenye kile kikundi kingine cha matawi, vifundo na maua yakifuatana. Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa yale matawi sita yaliyokuwa yakitoka katika kile kinara cha taa.
Numa cana estavam três copos a modo de amêndoas, uma maçã e uma flôr: e em outra cana três copos a modo de amêndoas, uma maçã e uma flôr: assim para as seis canas que saiam do castiçal.
20 Na kwenye kile kinara cha taa kulikuwa na vikombe vinne vyenye umbo la maua ya mlozi, vifundo vyake na maua yake yakifuatana.
Mas no mesmo castiçal havia quatro copos a modo de amêndoas com as suas maçãs e com as suas flores.
21 Na kile kifundo chini ya matawi mawili kilitoka kwake, na kifundo kilicho chini ya yale matawi mengine mawili kilitoka kwake, na kifundo kingine kilicho chini ya matawi mengine mawili zaidi kilitoka kwake, kwa ajili ya matawi sita yanayotoka katika kinara.
E era uma maçã debaixo de duas canas do mesmo; e outra maçã debaixo de duas canas do mesmo; e mais uma maçã debaixo de duas canas do mesmo: assim se fez para as seis canas, que saiam dele.
22 Vifundo vyake na matawi yake vilitoka kwake, vyote vilikuwa kitu kimoja cha kazi ya kufua, cha dhahabu safi.
As suas maçãs e as suas canas eram do mesmo: tudo era uma obra batida de ouro puro.
23 Kisha akafanya taa zake saba na mikasi ya tambi zake na vyetezo vyake kutokana na dhahabu safi.
E fez-lhe sete lâmpadas: os seus espivitadores e os seus apagadores eram de ouro puro.
24 Alikifanya kwa talanta ya dhahabu safi, hicho pamoja na vyombo vyake vyote.
Dum talento de ouro puro o fez, e todos os seus vasos.
25 Sasa akafanya madhabahu ya uvumba kutokana na mbao za mshita. Mkono mmoja urefu wake na mkono mmoja upana wake, ikiwa mraba, na mikono miwili kimo chake. Pembe zake zilitoka kwake.
E fez o altar do incenso de madeira de cetim: dum côvado era o seu comprimento, e de um côvado a sua largura, quadrado; e de dois côvados a sua altura: dele mesmo eram feitos os seus cornos.
26 Kisha akaifunika kwa dhahabu safi, upande wake wa juu na pande zake za kando kuizunguka na pembe zake, naye akafanya ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
E cobriu-o de ouro puro, a sua coberta, e as suas paredes ao redor, e os seus cornos: e fez-lhe uma coroa de ouro ao redor.
27 Naye akaifanyia pete mbili za dhahabu chini ya ukingo wake kwenye pande zake mbili, kwenye pande zake mbili zinazoelekeana, za kutegemeza ile miti ya kuibeba.
Fez-lhe também duas argolas de ouro debaixo da sua coroa, e os seus dois cantos, de ambos os seus lados, para os lugares dos varais, para leva-lo com eles.
28 Kisha akafanya ile miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.
E os varais fez de madeira de cetim, e os cobriu de ouro.
29 Tena akafanya yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na ule uvumba safi uliotiwa manukato, kazi ya mtengenezaji wa marhamu.
Também fez o azeite santo da unção, e o incenso aromático, puro, de obra do perfumista.