< Kutoka 37 >

1 Bezaleli akafanya Sanduku la mbao za mshita. Mikono miwili na nusu urefu wake, na mkono mmoja na nusu upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.
A HANA iho la o Bezalela i ka pahu, he laau sitima; elua kubita a me ka hapalua kona loihi, a hookahi kubita a me ka hapalua kona laula; a hookahi kubita a me ka hapalua kona kiekie:
2 Kisha akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje na kulifanyia ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.
A uhi iho la oia ia mea i ke gula maikai, maloko, a mawaho, a hana iho la oia nona i lei gula a puni.
3 Kisha akalitengenezea pete nne za dhahabu, za juu ya miguu yake minne, pete mbili upande wake mmoja na pete mbili upande wake mwingine
A hoohehee oia i eha apo gula nona, no kona mau kihi eha; i elua apo ma kekahi aoao ona, a i elua apo ma kekahi aoao ona.
4 Kisha akafanya miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.
A hana iho la oia i mau auamo laau sitima, a uhi iho la ia mau mea i ke gula.
5 Halafu akaitia miti hiyo kwenye zile pete zilizo pande za Sanduku ili kulibeba Sanduku.
Hookomo ae la oia i na auamo iloko o na apo, ma na aoao o ka pahu e amo ai i ka pahu.
6 Naye akafanya kifuniko cha dhahabu safi. Mikono miwili na nusu urefu wake, na mkono mmoja na nusu upana wake.
A hana iho la oia i ka noho aloha, he gula maikai; elua kubita a me ka hapalua kona loa, a hookahi kubita a me ka hapalua kona laula.
7 Bezaleli akafanya makerubi wawili wa dhahabu. Kwa kazi ya kufua akawafanya kwenye miisho yote miwili ya kifuniko.
A hana iho la oia i elua kerabima, he gula paa wale no, hookahi apana ia i hana'i ia laua ma na welau o ka noho aloha.
8 Kerubi mmoja kwenye mwisho ule, na yule kerubi mwingine kwenye mwisho huu. Aliwafanya makerubi juu ya kifuniko kwenye miisho yote miwili.
Hookahi kerubima ma kekahi welau, ma keia aoao, a o kekahi kerubima ma kekahi welau ma kela aoao. Maluna o ka noho aloha oia i hana'i i na kerubima, ma kona mau welau elua.
9 Nao wakawa makerubi wanaonyoosha mabawa yao mawili kuelekea juu, wakisitiri kifuniko kwa mabawa yao, nazo nyuso zao zilikuwa zikielekeana. Nyuso za makerubi hao zilielekea kifuniko hicho.
A hohola ae la na kerubima i ko laua mau eheu iluna, a uhi ao la ko laua mau eheu i ka noho aloha, a ku pono iho la ko laua mau maka kekahi i kekahi, ma ka noho aloha na maka o na kerubima.
10 Bezaleli akafanya meza ya mbao za mshita. Mikono miwili urefu wake, na mkono mmoja upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.
Hana no hoi oia i ka papaaina, he laau sitima; elua kubita kona loa, hookahi kubita kona laula, a hookahi kubita a me ka hapa kona kiekie.
11 Halafu akaifunika kwa dhahabu safi na kufanya ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
A uhi iho la oia ia i ke gula maikai, a hana ae la i lei gula nona a puni.
12 Kisha akafanya mzingo wa upana wa kiganja kuizunguka na kufanya ukingo wa dhahabu kwa ajili ya mzingo wake kuizunguka pande zote.
A hana no hoi oia i kae a puni ia mea, i hookahi lima ka laula, a hana ae la ia i lei gula no ua kae la a puni.
13 Tena, akatengeneza pete nne za dhahabu kwa ajili yake na kuziweka pete hizo kwenye zile pembe nne zilizokuwa kwa ajili ya ile miguu minne.
A hoohehee oia nona i eha apo gula, a kau oia i na apo ma na kihi eha ma kona mau wawae eha.
14 Pete hizo zilikuwa karibu na ule mzingo, ili kutegemeza ile miti ya kuibeba meza hiyo.
I ku pono na apo i ko kae, na wahi e komo ai na auamo e lawe i ka papaaina.
15 Halafu akafanya ile miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu ili kuibeba ile meza.
A nana iho la oia i na auamo, he laau sitima, a uhi iho la ia lakou i ke gula, i mea e lawe ai i ka papaaina.
16 Baada ya hilo akafanya kutokana na dhahabu safi vile vyombo vilivyo juu ya meza, sahani zake na vikombe vyake na mabakuli yake na mitungi yake iliyotumiwa kumimina matoleo ya kinywaji.
A hana no hoi oia i ka oihana maluna o ka papa, i kona mau kiaha, a me kona mau puna, a me kona mau ipu, a me na poi e ninini ai, he gula maikai.
17 Kisha akafanya kinara cha taa cha dhahabu safi. Kwa kazi ya kufua akakifanya kinara cha taa. Pande zake na matawi yake, vikombe vyake, mafundo yake na maua yake vikatokea kwake.
A hana iho la ia i ka ipukukui manamana he gula maikai, hana oia i ka ipukukui he gula wale no a paa, o kona kumu, a me kona lala, o kona mau puupuu, a me kona mau pua, oia apana hookahi no.
18 Na matawi sita yalikuwa yakitoka kwenye pande zake, matawi matatu ya kinara cha taa kutoka kwenye upande wake mmoja na matawi mengine matatu ya kinara cha taa kutoka kwenye ule upande wake mwingine.
Eono no lala e puka ana mawaho o kona mau aoao; ekolu manamana o ka ipukukui mai kekahi aoao ona mai, a ekolu manamana o ka ipukukui, mai kela aoao ona mai.
19 Vikombe vitatu vyenye umbo la maua ya mlozi vilikuwa kwenye kikundi kimoja cha matawi, vifundo na maua yakifuatana; na vikombe vitatu vyenye umbo la maua ya mlozi vilikuwa kwenye kile kikundi kingine cha matawi, vifundo na maua yakifuatana. Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa yale matawi sita yaliyokuwa yakitoka katika kile kinara cha taa.
Ekolu no ipu e like me na alemona ma ka mana hookahi, he puupuu, a me ka pua; a ekolu no ipu e like me na alemona ma kekahi mana, he puupuu a me ka pua: a pela wale no ma na manamana eono, e puka ana mawaho o ka ipukukui manamana.
20 Na kwenye kile kinara cha taa kulikuwa na vikombe vinne vyenye umbo la maua ya mlozi, vifundo vyake na maua yake yakifuatana.
Eha no ipu ma ke knmukukui, ua hanaia e like me na alemona, o kona mau puupuu, a me kona mau pua.
21 Na kile kifundo chini ya matawi mawili kilitoka kwake, na kifundo kilicho chini ya yale matawi mengine mawili kilitoka kwake, na kifundo kingine kilicho chini ya matawi mengine mawili zaidi kilitoka kwake, kwa ajili ya matawi sita yanayotoka katika kinara.
A he puupuu malalo o kona mau lala elua, a he puupuu malalo iho o kona mau lala elua, a he puupuu malalo iho o kona mau lala elua, e like me na lala eono, o puka mai ana mawaho ona.
22 Vifundo vyake na matawi yake vilitoka kwake, vyote vilikuwa kitu kimoja cha kazi ya kufua, cha dhahabu safi.
Hookahi no apana ko lakou puupuu, a me ko lakou manamana. Hookahi no apana ia hana a pau, he gula maikai.
23 Kisha akafanya taa zake saba na mikasi ya tambi zake na vyetezo vyake kutokana na dhahabu safi.
A hana no hoi oia i kona mau ipu aila ehiku, a me kona mau upaahi, a me kona mau upakolikukui, he gula maikai.
24 Alikifanya kwa talanta ya dhahabu safi, hicho pamoja na vyombo vyake vyote.
Hana no oia ia mea, a me kona oihana a pau, hookahi talena gula maikai.
25 Sasa akafanya madhabahu ya uvumba kutokana na mbao za mshita. Mkono mmoja urefu wake na mkono mmoja upana wake, ikiwa mraba, na mikono miwili kimo chake. Pembe zake zilitoka kwake.
A hana no hoi oia i ke kuahu no ka mea ala, he laau sitima: hookahi kubita kona loa, hookahi kubita kona laula, he ahalike; a elua kubita kona kiekie, a hookahi no ia apana me kona mau pepeiao elua.
26 Kisha akaifunika kwa dhahabu safi, upande wake wa juu na pande zake za kando kuizunguka na pembe zake, naye akafanya ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
A uhi oia ia mea i ke gala maikai, ma ko luna ona a me kona mau aoao a puni, a me kona mau pepeiao. A hana no hoi oia i lei gala a puni ia mea.
27 Naye akaifanyia pete mbili za dhahabu chini ya ukingo wake kwenye pande zake mbili, kwenye pande zake mbili zinazoelekeana, za kutegemeza ile miti ya kuibeba.
A hana iho la oia i elua apo gula nona, malalo iho o kona lei, ma kona mau kihi elua, ma na aoao ona elua, i wahi no na auamo, e amo ai ia mea.
28 Kisha akafanya ile miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.
A hana iho la oia i na auamo, he laau sitima, a uhi iho la ia mau mea i ke gula.
29 Tena akafanya yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na ule uvumba safi uliotiwa manukato, kazi ya mtengenezaji wa marhamu.
A hana iho la oia i ka aila poni laa, a me ka mea ala maikai i hua ala loa, e like me ka hana ana a ka mea kaawili laau.

< Kutoka 37 >