< Kutoka 36 >

1 Hivyo Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Yahweh aliye mpa ustadi na uwezo kujua jinsi ya kufanya kazi katika ujenzi wa sehemu takatifu wafanye kazi kadiri ya yote Yahweh aliyo amuru.”
And Bezaleel, and Aholiab, and every wise-hearted man, in whom YHWH has given wisdom and understanding to know to do every work of the service of the holy place, have done according to all that YHWH commanded.
2 Musa akamuita Bezaleli, Oholiabu, na kila mtu mwenye ujuzi ambaye Yahweh kampa ujuzi, na ambaye moyoni mwake ulichochewa kuja na kufanya kazi.
And Moses calls to Bezaleel, and to Aholiab, and to every wise-hearted man in whose heart YHWH has given wisdom, everyone whom his heart lifted up, to come near to the work to do it.
3 Walipokea kutoka kwa Musa sadaka zote ambazo Waisraeli walizo leta kwa ujenzi ya sehemu takatifu. Watu walikuwa bado wanaleta sadaka za hiari kila asubui kwa Musa.
And they take from before Moses all the raised-offering which the sons of Israel have brought in for the work of the service of the holy place to do it; and still they have brought to him a willing-offering morning by morning.
4 Hivyo watu wote walikuwa na ujuzi walikuwa wakifanya kazi sehemu takatifu walikuja kutoka kwenye kazi walikuwa wakifanya.
And all the wise men, who are doing all the work of the holy place, each come from his work which they are doing,
5 Wachonga mawe walimwabia Musa, “Watu wanaleta zaidi sana ya yanayo itajika kufanya kazi Yahweh aliyo tuamuru.”
and speak to Moses, saying, “The people are multiplying to bring in more than sufficient for the service of the work which YHWH commanded [us] to do.”
6 Hivyo Musa akaamuru mtu yeyote asilete tena kwa ujenzi wa sehemu takatifu. Kisha watu wakaacha kuleta hivi vitu.
And Moses commands, and they cause a voice to pass over through the camp, saying, “Do not let man or woman make anymore work for the raised-offering of the holy place”; and the people are restrained from bringing,
7 Walikuwa na zaidi ya vitu vya ujenzi.
and the work has been sufficient for them, for all the work, to do it, and to leave.
8 Hivyo wachonga mawe miongoni mwao wakajenga lile hema la kuabudia kwa mapazia kumi yaliyo jengwa kitamba kizuri na buluu, zambarau, na sufu nyekundu kwa aina ya kerubi. Hii ni kazi ya Bezaleli, mjenzi mwenye ujuzi sana.
And all the wise-hearted ones among the doers of the work make the Dwelling Place; he has made them [with] ten curtains of twined linen, and blue, and purple, and scarlet, [with] cherubim, the work of a designer.
9 Urefu wa kila pazia ulikuwa mikono ishirini na nane, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa vyote hivyo vilikuwa na kipimo kimoja.
The length of one curtain [is] twenty-eight by the cubit, and the breadth of one curtain [is] four by the cubit; one measure [is] for all the curtains.
10 Bezaleli akaunganisha vitambaa vitano pamoja, na vile vitambaa vingine vitano akaviunganisha pamoja.
And he joins the five curtains to one another, and the [other] five curtains he has joined to one another;
11 Kisha akafanya vitanzi vya uzi wa bluu kwenye upindo wa kitambaa kilicho mahali pa kuungania. Akafanya vivyo hivyo kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pale pengine pa kuungania.
and he makes loops of blue on the edge of one curtain, at the end, in the joining; so he has made in the edge of the outmost curtain, in the joining of the second;
12 Akafanya vitanzi hamsini kwenye kitambaa kimoja, akafanya vitanzi hamsini kwenye mwisho wa kitambaa kilichokuwa mahali pale pengine pa kuungania, vitanzi hivyo vikiwa vinaelekeana.
he has made fifty loops in the first curtain, and he has made fifty loops in the end of the curtain which [is] in the joining of the second; the loops are taking hold on one another.
13 Mwishowe akafanya kulabu hamsini za dhahabu na kuviunganisha vitambaa hivyo pamoja kwa kulabu hizo, hivi kwamba hiyo ikawa maskani moja.
And he makes fifty hooks of gold, and joins the curtains to one another by the hooks, and the Dwelling Place is one.
14 Bezaleli akafanya vitambaa vya mahema vya manyoya ya mbuzi kwa ajili ya hema lililo juu ya maskani. Vitambaa kumi na moja ndivyo alivyofanyiza.
And he makes curtains of goats’ [hair] for a tent over the Dwelling Place; eleven curtains he has made them;
15 Urefu wa kila kitambaa ulikuwa mikono thelathini, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa hivyo kumi na moja vilikuwa na kipimo kimoja.
the length of one curtain [is] thirty by the cubit, and the breadth of one curtain [is] four cubits; one measure [is] for the eleven curtains;
16 Kisha akaunganisha vitambaa vitano pamoja na vile vitambaa vingine sita pamoja.
and he joins the five curtains apart, and the six curtains apart.
17 Kisha akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pa kuungania, naye akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kile kitambaa kingine kilichoungana nacho.
And he makes fifty loops on the outer edge of the curtain, in the joining; and he has made fifty loops on the edge of the curtain which is joining the second;
18 Bezaleli akafanya kulabu hamsini za shaba kwa ajili ya kuliunganisha hilo hema pamoja liwe kipande kimoja.
and he makes fifty hooks of bronze to join the tent—to be one;
19 Naye akafanya kifuniko cha hema kutokana na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu na kifuniko kutokana na ngozi za sili, upande wa juu.
and he makes a covering for the tent of rams’ skins made red, and a covering of tachashim skins above.
20 Bezaleli akafanya viunzi vya mbao vya hema ya kukutani kutokana na mbao za mshita.
And he makes the boards for the Dwelling Place of shittim wood, standing up;
21 Urefu wa kiunzi ulikuwa mikono kumi, nao upana wa kila kiunzi ulikuwa mkono mmoja na nusu.
ten cubits [is] the length of the [one] board, and a cubit and a half the breadth of the [one] board;
22 Kila kiunzi kilikuwa na ndimi mbili zilizounganishwa. Hivyo ndivyo alivyofanya viunzi vyote vya maskani.
two handles [are] to one board, joined to one another; so he has made for all the boards of the Dwelling Place.
23 Basi akafanya viunzi vya maskani, viunzi ishirini kwa ajili ya upande kuelekea kusini.
And he makes the boards for the Dwelling Place; twenty boards for the south side southward;
24 Bezaleli akafanya vikalio arobaini vya fedha viwe chini ya vile viunzi ishirini, vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja pamoja na ndimi zake mbili na vikalio vingine viwili chini ya kiunzi kingine pamoja na ndimi zake mbili.
and he has made forty sockets of silver under the twenty boards: two sockets under one board for its two handles, and two sockets under the other board for its two handles.
25 Na kwa ajili ya ule upande mwingine wa maskani, upande wa kaskazini, akafanya viunzi ishirini
And for the second side of the Dwelling Place, for the north side, he has made twenty boards,
26 na vikalio vyake arobaini vya fedha. Vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja na vikalio viwili chini ya kiunzi kingine
and their forty sockets of silver: two sockets under one board, and two sockets under the other board;
27 Na kwa ajili ya zile pande za nyuma za maskani kuelekea magharibi akafanya viunzi sita.
and for the sides of the Dwelling Place westward, he has made six boards;
28 Naye akafanya viunzi viwili vya pembeni ya maskani kwenye pande zake mbili za nyuma
and he has made two boards for the corners of the Dwelling Place, in the two sides;
29 Hizi zilikuwa pacha upande wa chini, lakini juu ya kila moja kwenye pete ya kwanza. Hivyo ndivyo alivyoifanya yote miwili, ile miimo ya pembeni.
and they have been twins below, and together they are twins at its head, at one ring; so he has done to both of them at the two corners;
30 Basi vikajumlika kuwa viunzi vinane na vikalio vyake kumi na sita vya fedha, vikalio viwili kando ya vikalio viwili chini ya kila kiunzi.
and there have been eight boards; and their sockets of silver [are] sixteen sockets, two sockets under one board.
31 Bezaleli akafanya miti ya mshita, mitano kwa ajili ya viunzi vya upande mmoja wa maskani,
And he makes bars of shittim wood: five for the boards of the first side of the Dwelling Place,
32 na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya upande ule mwingine wa maskani na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya maskani kwa ajili ya zile pande mbili za nyuma za magharibi.
and five bars for the boards of the second side of the Dwelling Place, and five bars for the boards of the Dwelling Place, for the sides westward;
33 Kisha akafanya mti wa katikati upitie katikati ya vile viunzi toka mwisho mmoja mpaka ule mwingine.
and he makes the middle bar to enter into the midst of the boards from end to end;
34 Naye akavifunika vile viunzi kwa dhahabu, akafanyiza pete zake za dhahabu ziwe vitegemezo kwa ajili ya ile miti, akaifunika ile miti kwa dhahabu.
and he has overlaid the boards with gold, and he has made their rings of gold, places for bars, and he overlays the bars with gold.
35 Bezaleli akafanya pazia, la uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa cha rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kalitia makerubi kwa kazi ya mjenzi.
And he makes the veil of blue, and purple, and scarlet, and twined linen; he has made it [with] cherubim—the work of a designer;
36 Kisha akalifanyia nguzo nne za mshita na kuzifunika kwa dhahabu, vibanio vyake vikiwa vya dhahabu, na kutengeneza vikalio vinne vya fedha kwa ajili yake.
and he makes four pillars of shittim [wood] for it, and overlays them with gold; their pegs [are] of gold; and he casts four sockets of silver for them.
37 Naye akafanya kisitiri kwa ajili ya mwingilio wa hema kutokana na uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kazi ya mfumaji.
And he makes a covering for the opening of the tent, of blue, and purple, and scarlet, and twined linen, the work of an embroiderer,
38 Pia akafanya na nguzo zake tano na vibanio vyake. Naye akavifunika vilele vyake na viungo vyake kwa dhahabu, lakini vile vikalio vyake vitano vilikuwa vya shaba.
also its five pillars, and their pegs; and he overlaid their tops and their fillets [with] gold, and their five sockets [are] bronze.

< Kutoka 36 >