< Kutoka 36 >
1 Hivyo Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Yahweh aliye mpa ustadi na uwezo kujua jinsi ya kufanya kazi katika ujenzi wa sehemu takatifu wafanye kazi kadiri ya yote Yahweh aliyo amuru.”
Therefore, Bezalel, and Oholiab, and every wise man, to whom the Lord gave wisdom and intelligence, so as to know how to work skillfully, made that which was necessary for the uses of the Sanctuary and which the Lord had instructed.
2 Musa akamuita Bezaleli, Oholiabu, na kila mtu mwenye ujuzi ambaye Yahweh kampa ujuzi, na ambaye moyoni mwake ulichochewa kuja na kufanya kazi.
And when Moses had called them and every man of learning, to whom the Lord had given wisdom, and who, of their own accord, had offered themselves in order to accomplish this work,
3 Walipokea kutoka kwa Musa sadaka zote ambazo Waisraeli walizo leta kwa ujenzi ya sehemu takatifu. Watu walikuwa bado wanaleta sadaka za hiari kila asubui kwa Musa.
he handed over to them all the donations of the sons of Israel. And while they were pursuing this work, the people offered what they had vowed each day, in the morning.
4 Hivyo watu wote walikuwa na ujuzi walikuwa wakifanya kazi sehemu takatifu walikuja kutoka kwenye kazi walikuwa wakifanya.
The artisans were compelled by this to go
5 Wachonga mawe walimwabia Musa, “Watu wanaleta zaidi sana ya yanayo itajika kufanya kazi Yahweh aliyo tuamuru.”
to Moses and to say, “The people offer more than is needed.”
6 Hivyo Musa akaamuru mtu yeyote asilete tena kwa ujenzi wa sehemu takatifu. Kisha watu wakaacha kuleta hivi vitu.
Therefore, Moses ordered this to be recited, with a voice of proclamation: “Let neither man nor woman offer anything further for the work of the Sanctuary.” And so they ceased from offering gifts,
7 Walikuwa na zaidi ya vitu vya ujenzi.
because what was offered was sufficient and was more than an abundance.
8 Hivyo wachonga mawe miongoni mwao wakajenga lile hema la kuabudia kwa mapazia kumi yaliyo jengwa kitamba kizuri na buluu, zambarau, na sufu nyekundu kwa aina ya kerubi. Hii ni kazi ya Bezaleli, mjenzi mwenye ujuzi sana.
And all those who were wise of heart, in order to accomplish the work of the tabernacle, made ten curtains of fine twisted linen, and hyacinth, and purple, and twice-dyed scarlet, with diverse workmanship by the art of embroidery.
9 Urefu wa kila pazia ulikuwa mikono ishirini na nane, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa vyote hivyo vilikuwa na kipimo kimoja.
Each of these was twenty-eight cubits in length, and in width, four. All the curtains were of one measure.
10 Bezaleli akaunganisha vitambaa vitano pamoja, na vile vitambaa vingine vitano akaviunganisha pamoja.
And he joined five curtains to one another, and the other five he coupled to one another.
11 Kisha akafanya vitanzi vya uzi wa bluu kwenye upindo wa kitambaa kilicho mahali pa kuungania. Akafanya vivyo hivyo kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pale pengine pa kuungania.
He also made loops of hyacinth along the edge of one curtain on both sides, and similarly along the edge of the other curtain,
12 Akafanya vitanzi hamsini kwenye kitambaa kimoja, akafanya vitanzi hamsini kwenye mwisho wa kitambaa kilichokuwa mahali pale pengine pa kuungania, vitanzi hivyo vikiwa vinaelekeana.
so that the loops might meet against one another and might be joined together.
13 Mwishowe akafanya kulabu hamsini za dhahabu na kuviunganisha vitambaa hivyo pamoja kwa kulabu hizo, hivi kwamba hiyo ikawa maskani moja.
For these, he also cast fifty gold rings, which would retain the loops of the curtains and so make the tabernacle one.
14 Bezaleli akafanya vitambaa vya mahema vya manyoya ya mbuzi kwa ajili ya hema lililo juu ya maskani. Vitambaa kumi na moja ndivyo alivyofanyiza.
He also made eleven canopies from the hair of goats, in order to cover the roof of the tabernacle:
15 Urefu wa kila kitambaa ulikuwa mikono thelathini, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa hivyo kumi na moja vilikuwa na kipimo kimoja.
one canopy held in length thirty cubits, and in width four cubits. All the canopies were of one measure.
16 Kisha akaunganisha vitambaa vitano pamoja na vile vitambaa vingine sita pamoja.
Five of these he joined by themselves, and the other six separately.
17 Kisha akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pa kuungania, naye akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kile kitambaa kingine kilichoungana nacho.
And he made fifty loops along the edge of one canopy, and fifty along the edge of the other canopy, so that they might be joined to one another,
18 Bezaleli akafanya kulabu hamsini za shaba kwa ajili ya kuliunganisha hilo hema pamoja liwe kipande kimoja.
and fifty buckles of brass, with which the roof might be woven together, so that from all the canopies there would be made one covering.
19 Naye akafanya kifuniko cha hema kutokana na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu na kifuniko kutokana na ngozi za sili, upande wa juu.
He also made a covering for the tabernacle from the skins of rams, dyed-red; and another cover above it, from violet skins.
20 Bezaleli akafanya viunzi vya mbao vya hema ya kukutani kutokana na mbao za mshita.
He also made the standing panels of the tabernacle, from setim wood.
21 Urefu wa kiunzi ulikuwa mikono kumi, nao upana wa kila kiunzi ulikuwa mkono mmoja na nusu.
Ten cubits was the length of one panel, and one and one half cubits comprised the width.
22 Kila kiunzi kilikuwa na ndimi mbili zilizounganishwa. Hivyo ndivyo alivyofanya viunzi vyote vya maskani.
There were two dovetails along every panel, so that one might be joined to the other. Thus did he make all the panels of the tabernacle.
23 Basi akafanya viunzi vya maskani, viunzi ishirini kwa ajili ya upande kuelekea kusini.
Of these, twenty were toward the meridian area, opposite the south,
24 Bezaleli akafanya vikalio arobaini vya fedha viwe chini ya vile viunzi ishirini, vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja pamoja na ndimi zake mbili na vikalio vingine viwili chini ya kiunzi kingine pamoja na ndimi zake mbili.
with forty bases of silver. Two bases were set under one panel at each of two sides at the corners, where the joints of the sides terminate in corners.
25 Na kwa ajili ya ule upande mwingine wa maskani, upande wa kaskazini, akafanya viunzi ishirini
Likewise, at that side of the tabernacle which looks toward the north, he made twenty panels,
26 na vikalio vyake arobaini vya fedha. Vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja na vikalio viwili chini ya kiunzi kingine
with forty bases of silver, two bases for each board.
27 Na kwa ajili ya zile pande za nyuma za maskani kuelekea magharibi akafanya viunzi sita.
Yet truly, opposite the west, that is, toward that part of the tabernacle which looks out toward the sea, he made six panels,
28 Naye akafanya viunzi viwili vya pembeni ya maskani kwenye pande zake mbili za nyuma
and two others at each corner of the tabernacle at the back,
29 Hizi zilikuwa pacha upande wa chini, lakini juu ya kila moja kwenye pete ya kwanza. Hivyo ndivyo alivyoifanya yote miwili, ile miimo ya pembeni.
which were joined from bottom to top and held together by one joint. So did he make both corners on that side.
30 Basi vikajumlika kuwa viunzi vinane na vikalio vyake kumi na sita vya fedha, vikalio viwili kando ya vikalio viwili chini ya kila kiunzi.
So then, there were altogether eight panels, and they had sixteen bases of silver, with, of course, two bases under each panel.
31 Bezaleli akafanya miti ya mshita, mitano kwa ajili ya viunzi vya upande mmoja wa maskani,
He also made bars from setim wood: five to hold together the panels at one side of the tabernacle,
32 na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya upande ule mwingine wa maskani na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya maskani kwa ajili ya zile pande mbili za nyuma za magharibi.
and five others to fit together the panels of the other side, and, in addition to these, five other bars toward the western area of the tabernacle, opposite the sea.
33 Kisha akafanya mti wa katikati upitie katikati ya vile viunzi toka mwisho mmoja mpaka ule mwingine.
He also made another bar, which came through the middle of the panels from corner to corner.
34 Naye akavifunika vile viunzi kwa dhahabu, akafanyiza pete zake za dhahabu ziwe vitegemezo kwa ajili ya ile miti, akaifunika ile miti kwa dhahabu.
But the panels themselves he overlaid with gold, casting silver bases for them. And he made their rings from gold, through which the bars might be able to be drawn. And he covered the bars themselves with layers of gold.
35 Bezaleli akafanya pazia, la uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa cha rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kalitia makerubi kwa kazi ya mjenzi.
He also made a veil from hyacinth, and purple, from vermillion as well as fine twisted linen, with varied and distinctive embroidery,
36 Kisha akalifanyia nguzo nne za mshita na kuzifunika kwa dhahabu, vibanio vyake vikiwa vya dhahabu, na kutengeneza vikalio vinne vya fedha kwa ajili yake.
and four columns of setim wood, which, along with their heads, he overlaid with gold, casting silver bases for them.
37 Naye akafanya kisitiri kwa ajili ya mwingilio wa hema kutokana na uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kazi ya mfumaji.
He also made a tent at the entrance of the tabernacle from hyacinth, purple, vermillion, and fine twisted linen, wrought with embroidery,
38 Pia akafanya na nguzo zake tano na vibanio vyake. Naye akavifunika vilele vyake na viungo vyake kwa dhahabu, lakini vile vikalio vyake vitano vilikuwa vya shaba.
and five columns with their heads, which he covered with gold, and he cast their bases from brass.