< Kutoka 36 >
1 Hivyo Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Yahweh aliye mpa ustadi na uwezo kujua jinsi ya kufanya kazi katika ujenzi wa sehemu takatifu wafanye kazi kadiri ya yote Yahweh aliyo amuru.”
Saa gjorde Bezaleel og Oholiab og hver Mand, som var viis i Hjertet, hvilke Herren havde givet Visdom og Forstand til at vide at gøre alle Haande Gerning til Helligdommens Tjeneste, efter alt det som Herren havde befalet.
2 Musa akamuita Bezaleli, Oholiabu, na kila mtu mwenye ujuzi ambaye Yahweh kampa ujuzi, na ambaye moyoni mwake ulichochewa kuja na kufanya kazi.
Og Mose kaldte ad Bezaleel og ad Oholiab og ad hver Mand, som var viis i Hjertet, som Herren havde givet Visdom i hans Hjerte, hver den som Hjertet drev til at tage fat paa Gerningen for at gøre den.
3 Walipokea kutoka kwa Musa sadaka zote ambazo Waisraeli walizo leta kwa ujenzi ya sehemu takatifu. Watu walikuwa bado wanaleta sadaka za hiari kila asubui kwa Musa.
Og de modtoge af Mose hele Offergaven, som Israels Børn fremførte til Helligdommens Tjenestes Gerning, for at gøre den færdig; og de fremførte desuden til ham frivillige Gaver hver Morgen.
4 Hivyo watu wote walikuwa na ujuzi walikuwa wakifanya kazi sehemu takatifu walikuja kutoka kwenye kazi walikuwa wakifanya.
Da kom alle de viise, som gjorde al Helligdommens Gerning, hver Mand fra sit Arbejde, som de gjorde,
5 Wachonga mawe walimwabia Musa, “Watu wanaleta zaidi sana ya yanayo itajika kufanya kazi Yahweh aliyo tuamuru.”
og de sagde til Mose saalunde: Folket bærer mere frem, end der gøres behov til Tjenesten, til Gerningen, hvilken Herren har befalet at gøre.
6 Hivyo Musa akaamuru mtu yeyote asilete tena kwa ujenzi wa sehemu takatifu. Kisha watu wakaacha kuleta hivi vitu.
Saa befalede Mose, og de udraabte igennem Lejren, sigende, at hverken Mand eller Kvinde skulde forfærdige noget mere som Offergave til Helligdommen, og Folket hørte op med at bringe.
7 Walikuwa na zaidi ya vitu vya ujenzi.
Thi de havde nok af alle disse Ting til al Gerningen, til at gøre den, og der var tilovers.
8 Hivyo wachonga mawe miongoni mwao wakajenga lile hema la kuabudia kwa mapazia kumi yaliyo jengwa kitamba kizuri na buluu, zambarau, na sufu nyekundu kwa aina ya kerubi. Hii ni kazi ya Bezaleli, mjenzi mwenye ujuzi sana.
Saa gjorde hver, som var viis i Hjertet, iblandt dem, som udførte Gerningen, Tabernaklet af ti Tæpper af hvidt, tvundet Linned og blaat uldent og Purpur og Skarlagen; med Keruber, med kunstigt Arbejde gjorde man dem.
9 Urefu wa kila pazia ulikuwa mikono ishirini na nane, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa vyote hivyo vilikuwa na kipimo kimoja.
Eet Tæppe var otte og tyve Alen langt, og fire Alen bredt var eet Tæppe, alle Tæpper havde eet Maal.
10 Bezaleli akaunganisha vitambaa vitano pamoja, na vile vitambaa vingine vitano akaviunganisha pamoja.
Og man fæstede de fem Tæpper sammen, det ene til det andet, og fæstede atter fem Tæpper sammen, det ene til det andet.
11 Kisha akafanya vitanzi vya uzi wa bluu kwenye upindo wa kitambaa kilicho mahali pa kuungania. Akafanya vivyo hivyo kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pale pengine pa kuungania.
Og man gjorde Stropper af blaat uldent paa det første Tæppes Æg, yderst, hvor det skulde fæstes sammen; ligesaa gjorde man paa det yderste Tæppes Æg, hvor det anden Gang skulde fæstes sammen.
12 Akafanya vitanzi hamsini kwenye kitambaa kimoja, akafanya vitanzi hamsini kwenye mwisho wa kitambaa kilichokuwa mahali pale pengine pa kuungania, vitanzi hivyo vikiwa vinaelekeana.
Halvtredsindstyve Stropper gjorde man paa det første Tæppe, og halvtredsindstyve Stropper gjorde man yderst paa Tæppet, der anden Gang skulde fæstes til; Stropperne vare hæftede sammen, den ene til den anden.
13 Mwishowe akafanya kulabu hamsini za dhahabu na kuviunganisha vitambaa hivyo pamoja kwa kulabu hizo, hivi kwamba hiyo ikawa maskani moja.
Og man gjorde halvtredsindstyve Guldhager og fæstede Tæpperne, det ene til det andet med Hagerne, saa det blev eet Tabernakel.
14 Bezaleli akafanya vitambaa vya mahema vya manyoya ya mbuzi kwa ajili ya hema lililo juu ya maskani. Vitambaa kumi na moja ndivyo alivyofanyiza.
Og man gjorde Tæpperne af Gedehaar til et Paulun over Tabernaklet; elleve Tæpper gjorde man.
15 Urefu wa kila kitambaa ulikuwa mikono thelathini, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa hivyo kumi na moja vilikuwa na kipimo kimoja.
Hvert Tæppe var tredive Alen langt, og hvert Tæppe var fire Alen bredt; de elleve Tæpper havde eet Maal.
16 Kisha akaunganisha vitambaa vitano pamoja na vile vitambaa vingine sita pamoja.
Og de fem Tæpper fæstede man sammen for sig og de seks Tæpper for sig.
17 Kisha akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pa kuungania, naye akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kile kitambaa kingine kilichoungana nacho.
Og man gjorde halvtredsindstyve Stropper paa det første Tæppes Æg, yderst, hvor de skulde fæstes sammen; og man gjorde halvtredsindstyve Stropper paa Æggen af det Tæppe, der anden Gang skulde fæstes til.
18 Bezaleli akafanya kulabu hamsini za shaba kwa ajili ya kuliunganisha hilo hema pamoja liwe kipande kimoja.
Og man gjorde halvtredsindstyve Kobberhager, at fæste Paulunet sammen med, til at vorde eet.
19 Naye akafanya kifuniko cha hema kutokana na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu na kifuniko kutokana na ngozi za sili, upande wa juu.
Og man gjorde et Dække over Paulunet af rødlødede Væderskind, og et Dække af Grævlingeskind derover.
20 Bezaleli akafanya viunzi vya mbao vya hema ya kukutani kutokana na mbao za mshita.
Og man gjorde Fjælene til Tabernaklet af Sithimtræ, saa at de kunde staa.
21 Urefu wa kiunzi ulikuwa mikono kumi, nao upana wa kila kiunzi ulikuwa mkono mmoja na nusu.
Hver Fjæl var ti Alen lang, og hver Fjæl var halvanden Alen bred.
22 Kila kiunzi kilikuwa na ndimi mbili zilizounganishwa. Hivyo ndivyo alivyofanya viunzi vyote vya maskani.
Der var to Tappe paa hver Fjæl, den ene Tap forbunden med den anden; saaledes gjorde man paa alle Tabernaklets Fjæle.
23 Basi akafanya viunzi vya maskani, viunzi ishirini kwa ajili ya upande kuelekea kusini.
Og man gjorde Fjæle til Tabernaklet, tyve Fjæle til den søndre Side mod Sønden.
24 Bezaleli akafanya vikalio arobaini vya fedha viwe chini ya vile viunzi ishirini, vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja pamoja na ndimi zake mbili na vikalio vingine viwili chini ya kiunzi kingine pamoja na ndimi zake mbili.
Og man gjorde fyrretyve Sølvfødder under de tyve Fjæle, to Fødder under den ene Fjæl for dens to Tappe og to Fødder under den anden Fjæl for dens to Tappe.
25 Na kwa ajili ya ule upande mwingine wa maskani, upande wa kaskazini, akafanya viunzi ishirini
Og til Tabernaklets anden Side mod den nordre Side gjorde man tyve Fjæle,
26 na vikalio vyake arobaini vya fedha. Vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja na vikalio viwili chini ya kiunzi kingine
og deres fyrretyve Sølvfødder, to Fødder under den ene Fjæl og to Fødder under den anden Fjæl.
27 Na kwa ajili ya zile pande za nyuma za maskani kuelekea magharibi akafanya viunzi sita.
Og til Bagsiden af Tabernaklet imod Vesten gjorde man seks Fjæle.
28 Naye akafanya viunzi viwili vya pembeni ya maskani kwenye pande zake mbili za nyuma
Og man gjorde to Fjæle til Tabernaklets Hjørner paa begge Sider.
29 Hizi zilikuwa pacha upande wa chini, lakini juu ya kila moja kwenye pete ya kwanza. Hivyo ndivyo alivyoifanya yote miwili, ile miimo ya pembeni.
Og de vare dobbelte fra neden af, og i lige Maade vare de dobbelte til det øverste, saa der blev en Ring; saaledes gjorde man med dem begge paa begge Hjørner.
30 Basi vikajumlika kuwa viunzi vinane na vikalio vyake kumi na sita vya fedha, vikalio viwili kando ya vikalio viwili chini ya kila kiunzi.
Og der var otte Fjæle og deres Sølvfødder, seksten Fødder, to Fødder under hver Fjæl.
31 Bezaleli akafanya miti ya mshita, mitano kwa ajili ya viunzi vya upande mmoja wa maskani,
Og man gjorde Tværstænger af Sithimtræ; fem til Fjælene ved den ene Side af Tabernaklet,
32 na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya upande ule mwingine wa maskani na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya maskani kwa ajili ya zile pande mbili za nyuma za magharibi.
og fem Tværstænger til Fjælene ved den anden Side af Tabernaklet, og fem Tværstænger til Tabernaklets Fjæle, bagtil mod Vesten.
33 Kisha akafanya mti wa katikati upitie katikati ya vile viunzi toka mwisho mmoja mpaka ule mwingine.
Og man gjorde den midterste Stang til at gaa tværsover paa Midten af Fjælene, fra den ene Ende til den anden.
34 Naye akavifunika vile viunzi kwa dhahabu, akafanyiza pete zake za dhahabu ziwe vitegemezo kwa ajili ya ile miti, akaifunika ile miti kwa dhahabu.
Og man beslog Fjælene med Guld, og deres Ringe gjorde man af Guld til at stikke Tværstængerne udi, og man beslog Tværstængerne med Guld.
35 Bezaleli akafanya pazia, la uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa cha rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kalitia makerubi kwa kazi ya mjenzi.
Man gjorde og et Forhæng af blaat uldent og Purpur og Skarlagen og hvidt, tvundet Linned; man gjorde med kunstigt Arbejde Keruber paa det.
36 Kisha akalifanyia nguzo nne za mshita na kuzifunika kwa dhahabu, vibanio vyake vikiwa vya dhahabu, na kutengeneza vikalio vinne vya fedha kwa ajili yake.
Og man gjorde fire Støtter dertil af Sithimtræ og beslog dem med Guld, deres Kroge vare af Guld; og man støbte fire Fødder dertil af Sølv.
37 Naye akafanya kisitiri kwa ajili ya mwingilio wa hema kutokana na uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kazi ya mfumaji.
Og man gjorde Dækket for Paulunets Dør af blaat uldent og Purpur og Skarlagen og hvidt, tvundet Linned, stukket Arbejde,
38 Pia akafanya na nguzo zake tano na vibanio vyake. Naye akavifunika vilele vyake na viungo vyake kwa dhahabu, lakini vile vikalio vyake vitano vilikuwa vya shaba.
og dets fem Støtter med deres Kroge, og beslog deres Knapper og deres Stænger med Guld, og deres fem Fødder vare af Kobber.