< Kutoka 35 >
1 Musa akawakusanya jamii yote ya Waisraeli na kuwaambia, “Haya ndio mambo Yahweh aliyo waamuru mfanye.
Ainsi, toute la multitude des enfants d’Israël assemblée, il leur dit: Voici ce que le Seigneur a commandé que l’on fasse.
2 Kwa siku sita kazi ya weza fanywa, lakini kwako, siku ya saba lazima iwe siku takatifu, siku ya Sabato ya mapumziko, takatifu kwa Yahweh. Yeyote atakaye fanya kazi hiyo siku lazima auawe.
Pendant six jours, vous travaillerez, le septième jour vous sera saint, étant le sabbat et le repos du Seigneur; celui qui travaillera en ce jour-là sera mis à mort.
3 Haupaswi kuwasha moto kwenye nyumba zenu siku ya Sabato.”
Vous n’allumerez de feu dans aucune de vos demeures au jour du sabbat.
4 Musa akasema na jamii yote ya Waisraeli, kwa kusema, “Hichi ndicho kitu Yahweh alicho amuru.
Moïse dit encore à toute l’assemblée des enfants d’Israël: Voici la parole qu’a ordonnée le Seigneur, disant:
5 Chukuwa sadaka kwa ajili ya Yahweh, wote wenye moyo mkunjufu. Leta sadaka kwa Yahweh - dhahabu, fedha, shaba,
Mettez à part chez vous des prémices pour le Seigneur. Que chacun offre volontairement et porte de cœur au Seigneur, de l’or, de l’argent et de l’airain;
6 buluu, zambarau, sufu nyekundu na kitambaa kizuri; nywele za mbuzi;
De l’hyacinthe, et de la pourpre, de l’écarlate deux fois teinte, du fin lin, des poils de chèvre;
7 ngozi za kondoo zilizotiwa rangi nyekundu na ngozi za pomboo; na mbao za mshita;
Des peaux de béliers teintes en rouge, et des peaux violettes, des bois de sétim;
8 mafuta ya taa kwa pahali patakatifu, viungo vya manukato kwa hayo mafuta ya kutiwa,
De l’huile pour entretenir les luminaires, et pour composer le parfum à oindre et le parfum à brûler d’une odeur très suave:
9 kwa uvumba mzuri na vito vya shohamu na vito vya kutiwa kwa hiyo naivera, na kwa hicho kifuko cha kifuani.
Des pierres d’onyx et des pierres précieuses pour l’ornement de l’éphod et du rational.
10 Kila mwanaume mwenye ustadi kati yenu aje na afanye kila kitu ambacho Yahweh aliyaamuru —
Quiconque de vous est intelligent, qu’il vienne, et qu’il fasse ce que le Seigneur a commandé:
11 hema la kuabudia, na kifuniko chake, na vifungo vyake, na mbao zake, nguzo, na sakafu;
C’est-à-dire, le tabernacle, son toit, et la couverture, les anneaux, les ais avec les leviers, les pieux et les soubassements,
12 pia sanduku na nguzo zake, kiti cha rehema, na pazia la kusitiri.
L’arche et les leviers, le propitiatoire et le voile qui est suspendu devant lui;
13 Walileta meza na miguu yake, vyombo vyake vyote, na mkate wa wonyesho;
La table avec les leviers, les vases et les pains de proposition;
14 kinara cha taa, vyombo vyake, taa, na mafuta ya zile taa;
Le chandelier pour soutenir les luminaires, ses vases et les lampes et l’huile pour l’entretien des lumières;
15 ile madhabahu ya uvumba na nguzo zake, mafuta ya upako na uvumba ulitiwa maukato; kishikizo cha mwingilio wa hema ya kuabudia;
L’autel du parfum à brûler et les leviers, l’huile de l’onction et le parfum à brûler, composé d’aromates; le voile à la porte du tabernacle;
16 madhabahu ya sadaka ya kuteketeza na kitunzi cha shaba na nguzo na vyombo; na ile beseni kubwa na sakafu yake.
L’autel de l’holocauste, et sa grille d’airain avec ses leviers et ses vases; le bassin et sa base;
17 Walileta vishikizo kwa ajili ya nyuani na nguzo zake na sakafu yake, na pazia kwa ajili mwingilio wa nyauni;
Les rideaux du parvis avec les colonnes et leurs soubassements; le voile à la porte du vestibule;
18 na ile misumari ya hema la kuabudia na nyuani, pamoja na kamba zake.
Les pieux du tabernacle et du parvis avec leurs cordages;
19 Walileta mavazi yaliyofumwa kutumikia sehemu takatifu, mavazi takatifu ya Aruni kuhani na wanae, kwa wao kutumika kama makuhani.”
Les vêtements, dont l’usage est pour le service du sanctuaire, les ornements d’Aaron, le pontife, et ceux de ses fils, afin qu’ils exercent les fonctions du sacerdoce pour moi.
20 Kisha makabila yote ya Israeli yakaondoka na kwenda kutoka uweponi mwa Musa.
Alors toute la multitude des enfants d’Israël étant sortie de la présence de Moïse,
21 Kila mtu moyo wake ulimchochea na aliye andaliwa na roho yake alikuja na kuleta sadaka kwa Yahweh kwa matengenezo ya hema ya kuabudia, kwa vitu vyote kwajili ya huduma ndani yake, na kwa vazi takatifu.
Ils offrirent d’un cœur très empressé et dévoué les prémices au Seigneur, pour faire l’ouvrage du tabernacle de témoignage. Pour tout ce qui était nécessaire au culte et aux vêtements saints,
22 Walikuja, wote wanaume kwa wanawake, wote waliokuwa na moyo wa utayari. Walileta madini, hereni, pete, na vitu vya thamani, vitu vyote tofauti vyenye madini ya dhahabu. Waliwasilisha sadaka za dhahabu kama sadaka ya kupunga kwa Yahweh.
Les hommes avec les femmes donnèrent des bracelets, des pendants d’oreilles, des anneaux et des ornements de la main droite: tout vase d’or fut mis à part comme offrandes au Seigneur.
23 Kila mmoja alikuwa na sufu ya buluu, dhambarau, au nyekundu, nguo nzuri, singa za mbuzi, ngozi za kondoo zilizobadili kuwa nyekundu, na ngozi ya pomboo walivileta.
Si quelqu’un avait de l’hyacinthe, de la pourpre, de l’écarlate deux fois teinte, du fin lin, des poils de chèvre, des peaux de béliers teintes en rouge et des peaux violettes,
24 kila mmoja alitengeneza sadaka ya fedha au shaba walizileta kama sadaka kwa Yahweh, na kila mmoja aliyekuwa na mti wa mshita kwa matumizi ya kazi aliuleta.
Des métaux d’argent et d’airain, il les offrit au Seigneur, ainsi que des bois de sétim, pour les divers usages.
25 kila mwanamke mwenye ustadi walisokota sufu kwa mikono yao na walileta sufu walizosokota za buluu, dhambarau, au sufu nyekundu, au nguo nzuri.
Or les femmes habiles aussi donnèrent ce qu’elles avaient filé, l’hyacinthe, la pourpre, l’écarlate, le fin lin,
26 Wanawake wote wenye mioyo iliyochochewa na walio na ustadi walisokota singa za mbuzi.
Et les poils de chèvre, accordant toutes ces choses de leur propre mouvement.
27 Viongozi walileta mawe ya shohamu na mawe mengine kwaajili ya kuwekwa kwenye hiyo naivera na hicho kifuko cha kifuani;
Mais les princes offrirent les pierres d’onyx, les pierres précieuses pour l’éphod et le rational,
28 walileta viungo na mafuta kwaajili ya taa, kwa mafuta ya upako, na kwa uvumba wa manukato.
Les aromates et l’huile pour entretenir les luminaires et pour préparer le parfum à oindre, et composer le parfum à brûler d’une odeur très suave.
29 Waisraeli walileta sadaka ya hiyari kwa Yahweh; kila mwanaume na mwanamke ambao mioyo yao ilikuwa tayari walileta vifaa kwaajili kazi zote ambazo Yahweh aliamuru kupitia Musa zifanyike.
Tous les hommes et toutes les femmes offrirent leurs présents d’un cœur dévoué, afin que fussent faits tous les ouvrages que le Seigneur avait commandés par l’entremise de Moïse. Ainsi tous les enfants d’Israël dédièrent des offrandes volontaires au Seigneur.
30 Musa alisema kwa waisraeli, “Tazama, Yahweh ameita kwa jina juu ya Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huri, kutoka kabila la Yuda.
Alors Moïse dit aux enfants d’Israël: Voilà que le Seigneur a appelé nommément Béséléel, fils d’Uri, fils de Hur, de la tribu de Juda;
31 Aliijaza Bezaleli kwa Roho yake, kumpa hekima, uwelewa, na maarifa, kwa aina zote za ujenzi,
Et il l’a rempli de l’esprit de Dieu, de sagesse, d’intelligence, de science et de toute connaissance,
32 kufanya sanaa ya ubunifu na kufanya kazi za dhahabu, shaba, na shaba;
Pour inventer et faire un travail en or, en argent et en airain,
33 pia kukata na kupanga mawe na mbao iliochongwa- kufanya kazi za aina zote kwa ubunifu na ujenzi.
Ainsi qu’en gravure de pierres et en ouvrage de menuiserie. Tout ce qui peut être trouvé par l’art,
34 Aliiweka kufundisha ndani ya moyo wake, yeye pamoja na Oholiabu mwana wa Ahisamaki, kutoka kabila la Dani.
Il l’a mis en son cœur. Il a appelé aussi Ooliab, fils d’Achisamech, de la tribu de Dan.
35 Aliwajaza kwa ustadi wa kufanya kazi za aina zote, kufanya kazi ya kama kuchora mawe, kama mwerevu, kama mtia taraza katika nyuzi za rangu ya buluu, dhambarau, na nyekundu na nguo nzuri, na kama washonaji. Walikuwa wachonga mawe wa kazi zote, na walikuwa wabunifu wa sanaa.
Il les a doués tous les deux de sagesse, afin qu’ils exécutent des ouvrages de menuisier, de tisseur en diverses couleurs, de brodeur d’hyacinthe, de pourpre, d’écarlate deux fois teinte et de fin lin; qu’ils fassent de tous les tissus et qu’ils en trouvent des nouveaux de toutes sortes.