< Kutoka 34 >
1 Yahweh akamwabia Musa, “Kata mbao mbili za mawe kama zile za awali. Nitaandika kwenye hizi mbao za mawe maneno yaliyo kuwa kwenye mbao za mawe za mwanzo, mbao za mawe ulizo zivunja.
И рече Господь к Моисею: истеши себе две скрижали каменны, якоже и первыя, и взыди ко Мне на гору: и напишу на скрижалех словеса, яже бяху на скрижалех первых, яже сокрушил еси:
2 Kuwa tayari asubui na uje Mlima Sinai, na uje mbele zangu juu ya mlima.
и буди готов заутра, и взыдеши на гору Синайскую и предстанеши Мне тамо на версе горы:
3 Hakuna atakaye kuja nawe. Usiruhusu mtu yeyote aonekana popote kwenye mlima. Hakuna kundi la mifugo wanao ruhusiwa ata kula mbele ya mlima.”
и да никтоже взыдет с тобою, ниже да явится на всей горе: и овцы и говяда да не пасутся близ горы тоя.
4 Hivyo Musa akakata mbao mbili za mawe kama za mwanzo, na akaamka asubui mapema na kwenda juu ya Mlima Sinai, kama Yahweh alivyo muelekeza. Musa alibeba mbao za mawe mikononi mwake.
И истеса две скрижали каменны, якоже и первыя: и утренневав Моисей заутра, взыде на гору Синайскую, якоже завеща ему Господь: и взя Моисей с собою две скрижали каменныя.
5 Yahweh akaja chini katika wingu na akasima mbele za Musa, na akatamka jina “Yahweh.”
И сниде Господь во облаце, и предста ему тамо Моисей, и призва именем Господним.
6 Yahweh akapita kwake na kukiri, “Yahweh, Yahweh, Mungu ni wa rehema na wa neema, sio mwepesi wa hasira, na anadumu katika uwaminifu wa agano na uadilifu,
И мимоиде Господь пред лицем его и воззва: Господь, Господь Бог щедр и милостив, долготерпелив и многомилостив и истинен,
7 ukishika uaminifu wa agano kwa vizazi maelfu, ukisamehe maasi, makosa, na dhambi. Lakini hamsafishi mwenye hatia. Ataleta adhabu ya dhambi za baba kwa watoto wao na watoto wa watoto wao, kwa kizazi cha tatu na hadi cha nne.”
и правду храняй, и творяй милость в тысящы, отемляй беззакония и неправды и грехи, и повиннаго не очистит, наводяй грехи отцев на чада, и на чада чад, до третияго и четвертаго рода.
8 Musa haraka akainamisha kichwa chake kwenye ardhi na kuabudu.
И потщався Моисей, приник на землю, поклонися Богу
9 Kisha akasema, “Kama sasa nimepata upendeleo machoni pako, Bwana wangu, tafadhali nenda pamoja nasi, kwa kuwa hawa watu ni wa korofi. Samehe maasi yetu na dhambi zetu, na utuchukuwe kama urithi wako.”
и рече: аще обретох благодать пред Тобою, да идет Господь мой с нами: людие бо жестоковыйнии суть: и отимеши ты грехи нашя и беззакония наша, и будем Твои.
10 Yahweh akasema, “Ona, ninakaribu kufanya agano. Mbele za watu wako, nitafanya maajabu ambayo hayajawai kufanywa duniani kote wala kwenye taifa lote. Watu wote miongoni mwako wataona matendo yangu, kwa kuwa ni kitu cha hofu ninacho fanya kwako.
И рече Господь к Моисею: се, Аз полагаю тебе завет пред всеми людьми твоими, и сотворю славная, яже не быша по всей земли и во всех языцех: и узрят вси людие, в нихже еси ты, дела Господня, яко чудна суть, яже Аз сотворю тебе:
11 Tii amri zangu leo. Ninawaondoa mbele yako Waamori, Wakanani, Wahivi, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
внемли ты вся, елика Аз заповедаю тебе: се, Аз изжену пред лицем вашим Аморреа и Хананеа, и Хеттеа и Ферезеа, и Евеа и Гергесеа и Иевусеа:
12 Kuwa mwanglifu usifanye agano na wakazi wa nchi unayo kwenda, au wata kuwa mtego kwako.
внемли себе, да не когда завещаеши завет седящым на земли, в нюже внидеши, да не будет соблазн в вас:
13 Badala yake, lazima uvunje madhabahu zao, ponda nguzo zao za mawe, na kukata nguzo zao za Ashera.
капища их разорите и кумиры их сокрушите, и дубравы их посецыте, и изваяная богов их сожжите огнем,
14 Kwa kuwa wewe haupaswi kumuabudu mungu mwingine, maana Yahweh, ambaye jina lake ni Uwivu, ni Mungu wa uwivu.
не бо поклонитеся богом иным: ибо Господь Бог ревниво имя, Бог ревнив есть:
15 Hivyo kuwa mwangalifu usifanye agano na wakazi wa nchi, kwa kuwa wanajifanyia ukahaba kwa miungu yao, na wanatoa dhabihu kwa miungu yao. Kisha mmoja wao ata kukaribisha na wewe utakula baadhi ya dhabihu zake,
да не когда завещаеши завет седящым на земли, и соблудят вслед богов их, и пожрут богом их, и призовут тя, и снеси от жертв их:
16 na kisha utachukuwa baadhi ya mabinti zake kwa wanao, na mabinti wake watafanya ukahaba kwa miungu yao, na watafanya wanao kufanya ukahaba kwa miungu yao.
и поймеши от дщерей их сыном твоим, и от дщерей твоих даси сыном их, и соблудят дщери твоя вслед богов их, и сынове твои соблудят вслед богов их:
17 Usifanye Miungu ya chuma ya kuyayusha.
и богов слияных да не сотвориши себе:
18 Laziam ushike Sherehe ya Mkate Usiotiwachachu. Kama nilivyo kuamuru, lazima ule mkate usio na hamira kwa siku saba kwa muda uliotengwa wa mwezi wa Abibu, maana nikatika mwezi wa Abibu ulitoka Misri.
и праздник опресночный да сохраниши: седмь дний да яси опресноки, якоже заповедах тебе, во время в месяце новых плодов: в месяце бо новых плодов изшел еси от земли Египетския:
19 Wazaliwa wote ni mwangu, ata mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mifugo, yote ya ng'ombe na kondoo.
всяко разверзающее ложесна мужеск Мне пол (да будет), всяко первородное телца и первородное овцы:
20 Lazima umnunue tena mzaliwa kwanza wa punda kwa kondoo, lakini usipo mnunua tena, kisha uivunje shingo yake. Lazima ununue tena wazaliwa wa kwanza wote wa wanao. Hakuna ata mmoja atakye kuja kwangu mikono mitupu.
и первородное осляте искупиши овцею: аще же не искупиши е, цену да даси его: всякаго первенца от сынов твоих да искупиши, да не явишися предо Мною тощь:
21 Utafanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba utapumzika. Ata wakati wakilimo na wa mavuno, lazima upumzike.
в шесть дний да делаеши, в седмый же день да почиеши, от сеятвы и жатвы да почиеши,
22 Lazima uadhimishe Sherehe ya Majuma kwa mazao ya kwanza ya mavuno ya ngano, na lazima uadhimishe Sherehe ya Makusanyo mwisho wa mwaka.
и праздник седмиц да сотвориши ми, начало жатвы пшеницы, и праздник собрания посреде лета:
23 Mara tatu kwa mwaka wanaume wenu wote watajitokeza kwa Bwana Yahweh, Mungu wa Israeli.
в три времена лета да явится всяк мужеск пол твой пред Господем Богом Израилевым:
24 Kwa kuwa nitaondoa mataifa mbele yenu na kutanua mipika. Hakuna atakaye tamani kuwa na ardhi yenu kama yao utakapo toka mbele za Yahweh mara tatu kwa mwaka.
егда бо изжену языки от лица твоего и разширю пределы твоя, никтоже возжелает земли твоея, егда приидеши явитися пред Господем Богом твоим в три времена лета:
25 Hautatoa damu ya dhabihu yangu na hamira yeyote, wala nyama yeyote kutoka dhabihu za Sherehe ya Pasaka kubaki hadi asubui.
да не заколеши с квасом крове жертв Моих, и да не прележит до утрия жертва праздника Пасхи:
26 Lazima ulete matunda ya kwanza yalio bora kutoka nyumbani kwako. Usimchemshe mbuzi mtoto katika maziwa ya mama yake.”
первородная жит земли твоея да внесеши в дом Господа Бога твоего: да не свариши агнца во млеце матере его.
27 Yahweh akamwabia Musa, “Andika chini haya maneno, kwa kuwa nimejiahidi haya maneno niliyo yasema, na nimefanya agano kwako na Israeli.”
И рече Господь к Моисею: напиши себе словеса сия, в словесех бо сих положих тебе завет и Израилю.
28 Musa alikuwa huko na Yahweh kwa siku arobaini na usiku; hakula chakula chochote wala kunywa maji yeyote. Aliandika katika mbao maneno ya agano, Amri kumi.
И бе тамо Моисей пред Господем четыредесять дний и четыредесять нощей: хлеба не яде и воды не пи: и написа (Моисей) на скрижалех словеса сия завета, десять словес.
29 Musa alipo shuka chini ya Mlima Sinai na mbao mbili za agano za ushuhuda mikononi mwake, hakujua kuwa ngozi ya kuwa uso wake ulikuwa wa'ngaa akizungumza na Mungu.
Сходящу же Моисею с горы Синайския, и обе скрижали в руку Моисеову: сходящу же ему с горы, и Моисей не ведяше, яко прославися зрак плоти лица его, егда глаголаше с ним.
30 Wakati Aruni na Waisraeli walipo muona Musa, ngozi ya uso wake ulikuwa wa ng'aa, na waliogopa kuja karibu yake.
И виде Аарон и вси сынове Израилевы Моисеа, и бяше прославлен зрак плоти лица его: и убояшася приступити к нему.
31 Lakini Musa aliwaita, na Aruni na viongozi wa jamii wakaja kwake. Kisha Musa akasema nao.
И воззва их Моисей, и обратишася к нему Аарон и вси князи сонма: и глагола Моисей к ним.
32 Baada ya haya, watu wote wa Israeli wakaja kwa Musa, na akawambia amri zote Yahweh alizo mpa katika Mlima Sinai.
И по сих приидоша к нему вси сынове Израилевы: и заповеда им вся, елика глагола к нему Господь на горе Синайстей.
33 Musa alipo maliza kuzungumza nao, alifunika uso wake kwa kitambaa.
И егда преста глаголя к ним, возложи на лице свое покров.
34 Wakati Musa alipoenda mbele za Yahweh kusema naye, aliondoa kitambaa, hadi alipo toka. Alipo toka, aliwaambia Waisraeli alicho amriwa kusema.
Егда же вхождаше Моисей пред Господа глаголати к Нему, снимаше покров, дондеже исхождаше: и изшед глаголаше ко всем сыном Израилевым, елика заповеда ему Господь.
35 Waisraeli walipo muona Musa ana'ngaa uso, alirudisha kitambaa tena usoni mpaka alipokuwa anaenda kuongea na Yahweh.
И видеша сынове Израилевы лице Моисеово, яко прославися: и возлагаше Моисей покров на лице свое, дондеже внидет глаголати с Ним.