< Kutoka 31 >
1 Yahweh akasema na Musa,
Yahweh [also] said to Moses/me, “Note that I have chosen Bezalel, the son of Uri and grandson of Hur, from the tribe of Judah, [for special tasks].
2 “Angalia, nimemwita kwa jina lake Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila ya Yuda
3 Nami nimemjaza Bezaleli na roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina,
I have caused him to be completely controlled/empowered by my Spirit, and I have given him special ability [to make things] and have enabled him to know how to do very skilled work.
4 ili abuni kazi za ustadi, kuwa fundi wa dhahabu, na wa fedha, na wa shaba,
He can engrave skillful designs in gold, silver, and bronze.
5 na kukata vito kwa kutiwa mahali, na kuchora miti, na kufanya kazi ya ustadi iwayo yote.
He can cut (jewels/valuable stones) and enclose them [in tiny gold settings/frames]. He can carve things from wood and do other skilled work.
6 Tena, nimemchagua, awe pamoja naye Oholiabu, mwana wa Ahisamaki, wa kabila ya Dani. Nami nimetia hekima katika mioyo ya wote wenye moyo wa hekima, ili wapate kufanya vyote nilivyokuagiza. Hii ni,
Note that I have also appointed Oholiab, the son of Ahisamach, from the tribe of Dan, to work with him. I have also given special ability to other men, in order that they can make all the things that I have commanded you [to be made].
7 hema ya kukutania na sanduku la ushuhuda, na kiti cha rehema kilicho juu yake, na vyombo vyote vya Hema;
That includes the Sacred Tent, the sacred chest and its lid, all the other things that will be inside the Sacred Tent,
8 na meza, na vyombo vyake, na kinara cha taa safi pamoja na vyombo vyake vyote,
the table and all the things that are used with it, the pure gold lampstand and all the things that are used to take care of it, the altar [for burning] incense,
9 na madhabahu ya kufukizia uvumba; na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na vyombo vyake vyote, na birika na tako lake.
the altar for offering sacrifices that will be burned and all the things that will be used with it, the washbasin and its base,
10 Pia mavazi yenye kufumwa kwa uzuri, na mavazi matakatifu ya Haruni kuhani, na mavazi ya wanawe, ili kutumika katika kazi ya ukuhani.
all the beautiful sacred clothes for Aaron and his sons to wear when they work as priests,
11 Pia mafuta ya kutiwa, na uvumba wa manukato mazuri, kwa ajili ya mahali patakatifu; sawasawa na yote niliyokuagiza ndivyo watakavyofanya wao.
the oil for anointing, and the sweet-smelling incense for the Holy Place. [The skilled workers] must make all these things exactly as I have told you to do.”
Yahweh also said to Moses/me,
13 “Waambie wana wa Israeli, 'Hakika mtazishika Sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote; ili mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi.
“Tell the Israeli people, ‘Obey my instructions regarding the (rest days/Sabbath days). Those days will remind you [and your descendants], throughout all future generations, that I, Yahweh, have (set you apart/chosen you) to be my people.
14 Basi mtaishika hiyo Sabato; kwa kuwa ni takatifu kwenu; kila mtu atakayeitia unajisi hakika yake atauawa; kwa kuwa kila mtu afanyaye kazi katika siku hiyo, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake.
You must obey [my rules about] the Sabbath days because they are holy/sacred. Those who treat those days in an irreverent way by working on those days must be executed [to show that] I no longer consider them to belong to my people.
15 Kazi itafanywa siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, takatifu kwa BWANA; kila mtu atakayefanya kazi yo yote katika siku ya Sabato, hakika yake atauawa.
You may work for six days [each week], but the seventh day [of each week] is a solemn day of rest, dedicated to me, Yahweh. Anyone who does any work on a day of rest is to be executed [because I no longer want them to be able to associate with my people].
16 Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli wataishika Sabato. Kuiangalia sana hiyo Sabato katika vizazi vyao vyote, ni agano la milele.
You Israeli people must respect the rest day, and you [and your descendants] must (celebrate it/keep it holy) throughout all future generations. [It will remind you] of the agreement that I have made with you that will last forever.
17 Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele; kwani kwa siku sita Yahweh alifanya mbingu na nchi, akastarehe kwa siku ya saba na kupumzika.
It will remind you Israeli people and remind me [of that agreement] because I, Yahweh, created the heavens and the earth in six days, and on the seventh day I stopped doing that work and relaxed.’”
18 Hapo Mungu alipokuwa amekwisha zungumza na Musa katika mlima wa Sinai, akampa hizo mbao mbili za ushuhuda, mbao mbili za mawe, zilizoandikwa kwa mkono wake.
When Yahweh finished talking with Moses/me on the top of Sinai Mountain, he gave him/me the two stone slabs on which he had engraved his commandments with his own fingers.