< Kutoka 3 >

1 Wakati huu Musa aliendelea kuchunga mifugo ya Yethro baba mkwe wake, kuhani wa Midiani. Musa aliliongoza kundi la mifugo kuelekea upande wa mbali wa jangwa mpaka kufika Horebu, mlima wa Mungu.
Torej Mojzes je varoval trop svojega tasta Jitra, midjánskega duhovnika in vodil trop k zadnjemu delu puščave in prišel h gori Boga, k Horebu.
2 Akiwa pale malaika wa Yahwe akamtokea kama mwali wa moto katika kichaka. Musa aliangalia, na tazama, kichaka kiliwaka moto lakini hakikuteketea.
Gospodov angel se mu je prikazal v ognjenem plamenu iz srede grma in pogledal je in glej, grm je gorel z ognjem, pa grm ni bil použit.
3 Musa akasema, “Nitageuka ili nione kitaku hiki cha ajabu, kwa nini kichaka hakiteketei.”
Mojzes je rekel: »Sedaj se bom obrnil vstran in pogledal ta velik prizor, zakaj grm ne zgori.«
4 Yahwe alipoona ya kuwa amegeuka upande ili aone, Mungu alimwita kutoka katika kile kichaka na kusema, “Musa, Musa.” Musa akasema, “Mimi hapa.”
Ko je Gospod videl, da se je obrnil vstran, da bi videl, je Bog iz srede grma zaklical k njemu ter rekel: »Mojzes, Mojzes.« Ta je rekel: »Tukaj sem.«
5 Mungu akasema, “Usinikaribie! Vua viatu katika miguu yako, kwa kuwa mahali uliposimama ni mahali palipowekwa wakfu kwa ajili yangu.”
Rekel je: »Ne približaj se, svoje čevlje sezuj s svojih stopal, kajti prostor, na katerem stojiš, je sveta zemlja.«
6 Aliongeza kusema, “Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo.” Kisha Musa akaufunika uso wake, kwa kuwa aliogopa kumwangalia Mungu.
Poleg tega je rekel: »Jaz sem Bog tvojega očeta, Bog Abrahama, Bog Izaka in Bog Jakoba.« In Mojzes je skril svoj obraz, kajti bal se je, da bi pogledal na Boga.
7 Yahwe akasema, “Hakika nimeyaona mateso ya watu wangu walioko Misri. Nimesikia kelele zao kwa sababu ya mabwana wao, kwa kuwa nayajua mateso yao.
Gospod je rekel: »Zagotovo sem videl stisko svojega ljudstva, ki je v Egiptu in slišal njihovo vpitje zaradi njihovih preddelavcev, kajti poznam njihove bridkosti
8 Nimekuja chini kuwaokoa dhidi ya mamlaka ya Wamisri na kuwatoa katika nchi ile na kuwaleta katika nchi nzuri, pana, nchi ijaayo maziwa na asali; kwenye ukanda wa Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
in prišel sem dol, da jih osvobodim iz roke Egipčanov in jih privedem iz te dežele gor v dobro in veliko deželo, deželo, kjer tečeta mleko in med, v deželo Kánaancev, Hetejcev, Amoréjcev, Perizéjcev, Hivéjcev in Jebusejcev.
9 Sasa kilio cha watu wa Israeli kimenifikia mimi. Zaidi sana, Mimi nimeyaona mateso ambayo Wamisri wanawatesa.
Zdaj torej, glej, k meni je prišlo vpitje Izraelovih otrok in videl sem tudi zatiranje, s kakršnim so jih Egipčani zatirali.
10 Sasa basi, nitakutuma wewe kwa Farao ili upate kuwatoa watu wangu, wana wa Israeli, kutoka katika nchi ya Misri.”
Pridi torej zdaj in jaz te bom poslal k faraonu, da lahko privedeš moje ljudstvo, Izraelove otroke, iz Egipta.«
11 Lakini Musa akamwambia Mungu, “Mimi ni nani hata niende kwa Farao na kuwatoa Waisraeli kutoka Misri?”
Mojzes pa je Bogu rekel: »Kdo sem jaz, da bi šel k faraonu in da bi lahko Izraelove otroke privedel iz Egipta?«
12 Mungu akamjibu, “Hakika nitakuwa pamoja nawe. Hii itakuwa ishara kwako ya kuwa nimekutuma. Utakapokuwa umewatoa watu kutoka Misri, mtaniabubu mimi katika mlima huu.”
Rekel je: »Zagotovo bom s teboj in to ti bodi simbol, da sem te jaz poslal. Ko boš ljudstvo privedel iz Egipta, boste na tej gori služili Bogu.«
13 Musa akamwambia Mungu, “Nikienda kwa Waisraeli na kuwaambia, 'Mungu wa baba zenu amenituma mimi kwenu,' na kisha wakiniambia, 'jina lake nani?' nitawaambia nini?”
Mojzes je Bogu rekel: »Glej, ko pridem k Izraelovim otrokom in jim bom rekel: ›K vam me je poslal Bog vaših očetov, ‹ pa mi bodo rekli: ›Kakšno je njegovo ime?‹ Kaj naj jim rečem?«
14 Mungu akamwambia Musa, “MIMI NIPO AMBAYE NIPO.” Mungu akasema, “Ni lazima uwaambie Waisraeli, “MIMI NIPO amenituma kwenu.”
Bog je Mojzesu rekel: »JAZ SEM, KI SEM.« Rekel je: »Tako boš govoril Izraelovim otrokom: ›JAZ SEM me je poslal k vam.‹«
15 Pia Mungu akamwambia Musa, “Lazima uwaambie Waisraeli, 'Yahwe, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo amenituma mimi kwenu. Hili ndio jina langu milele, na hivi ndivyo nitakavyokumbukwa na vizazi vyote.'
Bog je Mojzesu poleg tega povedal: »Tako boš rekel Izraelovim otrokom: ›K vam me je poslal Gospod, Bog vaših očetov, Bog Abrahama, Bog Izaka in Bog Jakoba. To je moje ime na veke in to je moj spomin vsem rodovom.‹
16 Nenda ukawakusanye wazee wa Israeli pamoja. Waambie, 'Yahwe, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, wa Isaka na Yakobo, amenitokea mimi na kusema, “Hakika nimewatazama na nimeona yale mliyotendewa huko Misri.
Pojdi in zberi skupaj vse Izraelove starešine ter jim reci: ›Prikazal se mi je Gospod, Bog vaših očetov, Bog Abrahama, Izaka in Jakoba, rekoč: ›Zagotovo sem vas obiskal in videl to, kar vam je storjeno v Egiptu.‹«
17 Nimeahidi kuwatoa ninyi katika mateso ya Misri na kuwaleta katika nchi ya Wakanaani, Wahiti, Wamwori, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi. Nchi ijaayo maziwa na asali.”
In rekel sem: »Jaz vas bom privedel gor iz egiptovske stiske v deželo Kánaancev, Hetejcev, Amoréjcev, Perizéjcev, Hivéjcev in Jebusejcev, v deželo, kjer tečeta mleko in med.
18 Watakusikiliza. Wewe pamoja na wazee wa Israeeli itawapasa kwenda kwa mfalme wa Misri, na imewapasa kumwambia, 'Yahwe, Mungu wa Waebrania amekutana nasi. Hivyo tuache sisi twende safari ya siku tatu katika jangwa ili tupate kutoa sadaka kwa Yahwe Mungu wetu.'
Prisluhnili bodo tvojemu glasu in ti boš prišel, ti in Izraelove starešine, k egiptovskemu kralju in mu boste rekli: › Gospod, Bog Hebrejcev, se je srečal z nami in sedaj nas pusti iti, rotimo te, tri dni potovanja v divjino, da bomo lahko žrtvovali Gospodu, našemu Bogu.‹
19 Lakini nafahamu ya kuwa mfalme wa Misri hatawaacha ninyi mwende, isipokuwa kwa kulazimishwa.
Prepričan pa sem, da vam egiptovski kralj ne bo pustil oditi, ne, niti z mogočno roko ne.
20 Nitainua mkono wangu na kuwapiga Wamisri kwa miujiza yote nitakayoifanya kati yao. Baada ya hayo, atawaacha mwende.
Svojo roko bom iztegnil in Egipt udaril z vsemi čudeži, ki jih bom storil v njihovi sredi in nató vas bo pustil oditi.
21 Nitawapa watu hawa kufadhiliwa kutoka kwa Wamisri ili muondokapo msiende mikono mitupu.
Temu ljudstvu bom dal naklonjenost v očeh Egipčanov in zgodilo se bo, ko greste, da ne boste odšli prazni,
22 Kila mwanamke ataomba kwa jirani yake Mmisri na kwa kila mwanamke akaaye kwenye nyumba ya jirani yake, vyombo vya fedha na vya dhahabu na nguo. Nanyi mtawavika watoto wenu wa kiume na binti zenu. Kwa njia hii mtawateka nyara Wamisri.”
temveč si bo vsaka ženska izposodila od sosede in od tiste, ki začasno biva v njeni hiši, dragocenosti iz srebra in dragocenosti iz zlata in oblačil, in vi jih boste nadeli na svoje sinove in na svoje hčere in boste oplenili Egipčane.«

< Kutoka 3 >