< Kutoka 29 >

1 Sasa Hivi ndivyo wapaswa kufanya kuwatenga ili wanitumikie kama makuhani. Chukuwa mtoto wa ng'ombe dume na kondoo bila lawama,
Kamah taengah khosoih sak ham a ciim uh vaengah amih taengah he ol bangla saii. Te vaengah saelhung ca khuikah vaito pakhat neh tutal panit a hmabuet te khuen pah.
2 mkate bila hamira, na keki bila hamira iliyo changanywa na mafuta. Pia chukuwa maandazi bila hamira yalio pakwa mafuta. Fanya maandazi kwa unga mzuri wa ngano.
Te vaengah vaidamding buh, situi neh a nom vaidamding laep, situi neh a koelh vaidamding rhawm te cangtang vaidam neh saii.
3 Lazima uweke kwenye ndoo moja, leta kwenye ndoo, na kuleta pamoja na ng'ombe dume na wana kondoo wawili.
Te rhoek te kodawn pakhat dongah sang lamtah kodawn khaw, vaito khaw, tutal rhoi khaw rhen khuen.
4 Lazima nawe umlete Aruni na wana wake wawili katika lango la kuingilia hema la kukutania. Lazima uwasafishe Aruni na wana wake kwenye maji.
Te phoeiah Aaron neh anih koca rhoek te tingtunnah dap thohka la khuen lamtah amih te tui neh sil.
5 Kisha twaa hayo mavazi na kumvika Haruni; itie kanzu, na joho ya naivera, na naivera, na kifuko cha kifuani, na kumkaza kwa huo mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi.
Te phoeiah himbai te lo lamtah Aaron te angkidung neh hnisui hnikul khaw, hnisui neh rhangpho te bai sak lamtah hnisui dongkah cihin neh a pum dongah nan pah.
6 Nawe mvike kile kilemba kichwani, na ile taji takatifu utaitia katika kile kilemba.
A lu soah lupong muei sak lamtah lupong te cimcaihnah rhuisam khuem sak.
7 Ndipo utakapotwaa hayo mafuta ya kutiwa, na kummiminia kichwani mwake, na kumtia mafuta.
Te phoeiah koelhnah situi lo lamtah a lu ah suep lamtah anih te koelh.
8 Kisha walete hao wanawe na kuwavika kanzu.
Anih koca rhoek te khaw hang kuen lamtah angkidung bai sak.
9 Nawe uwakaze mishipi, Aruni na wanawe, na kuwavika kofia. Nao watakuwa na huo ukuhani kwa amri ya milele. Nawe utawaweka Haruni na wanawe kwa kazi takatifu.
Aaron neh a ca rhoek te lamko vah sak lamtah amih te samkhuem khuem sak. Te te khosoihbi dongah kumhal khosing la om saeh lamtah Aaron kut neh anih koca kah kut te cung sak.
10 Kisha utamleta huyo ng’ombe mbele ya hema ya kukutania; na Haruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo ng’ombe.
Vaitotal te tingtunnah dap hmai la khuen lamtah Aaron neh anih koca rhoek loh a kut te vaitotal lu soah tloeng saeh.
11 Kisha utamchinja huyo ng’ombe mbele ya Yahweh pa hema ya kukutania. BWANA,
Te phoeiah vaitotal te tingtunnah dap thohka kah BOEIPA mikhmuh ah ngawn.
12 Kisha twaa baadhi ya damu ya ng’ombe, uitie katika pembe za madhabahu kwa kidole chako; na kuimimina damu yote chini ya madhabahu.
Vaito thii te lo lamtah na kutdawn neh hmueihtuk ki dongah pae. Te phoeikah thii boeih te hmueihtuk kah khoengim taengah hawk.
13 Kisha chukuwa mafuta yote yafunikayo matumbo, na kitambi kilicho katika ini, na figo mbili, na mafuta yaliyo juu yake, uyateketeze yote juu ya madhabahu.
Te phoeiah a kotak aka thing a tha boeih neh, a thin dongkah a thinhnun khaw, a kuel rhoi neh te dongkah a tha khaw lo lamtah hmueihtuk ah phum.
14 Lakini nyama yake huyo ng’ombe, na ngozi yake, na mavi yake, utayachoma kwa moto nje ya marago; ni sadaka kwa ajili ya dhambi.
Tedae vaito saa neh a pho khaw, a aek khaw, boirhaem rhaehhmuen voel ah hmai neh hoeh.
15 Pia mtwae kondoo mume mmoja; na Aruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa chake huyo kondoo mume.
Tutal pakhat te khuen bal lamtah Aaron neh anih koca rhoek loh a kut te tutal lu soah tloeng uh saeh.
16 Kisha utamchinja huyo kondoo mume, na kuitwaa damu yake, na kuinyunyiza katika madhabahu kuizunguka kando-kando.
Tutal te na ngawn phoeiah a thii te lo lamtah hmueihtuk kaepvai ah haeh.
17 Kisha utamkata-kata kondoo vipande vyake, na kuyaosha matumbo yake na miguu yake, na kuiweka pamoja na vipande vyake na kichwa chake,
Te phoeiah tu te maehpoel la sah. Tedae a kotak neh a kho te sil lamtah maehpoel neh a lu te khueh.
18 nawe mteketeze kondoo mzima juu ya madhabahu. Ni sadaka ya kuteketezwa kwa ajili yaYahweh; ni harufu nzuri, sadaka iliyosongezwa kwa Yahweh kwa njia ya moto.
Tu a pum te hmueihtuk soah BOEIPA kah hmueihhlutnah la phum. Te te BOEIPA taengah hmuehmuei botui hmaihlutnah la om saeh.
19 Kisha mtwae huyo kondoo mwingine; na Aruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa chake huyo kondoo.
A pabae kah tutal te khuen bal lamtah Aaron neh anih koca rhoek loh a kut te tutal kah a lu soah tloeng saeh.
20 Kisha utamchinja kondoo, na kuitwaa damu yake, na kuitia katika ncha ya sikio la Aruni la upande wa kuume, na katika ncha za masikio ya kuume ya wanawe, na katika vyanda vya gumba vya mikono yao ya kuume, na katika vidole vikuu vya miguu yao ya kuume, na kuinyunyiza hiyo damu katika madhabahu kuizunguka kando-kando.
Tu te na ngawn phoeiah a thii te lo lamtah Aaron hna kah hnapae so neh a ca rhoek hna kah a bantang hnapae dongah khaw, kut kah bantang kutnu dongah khaw, a bantang kho kah khopuei dongah pae. Te phoeiah a thii te hmueihtuk kaepvai ah haeh thil.
21 Kisha twaa katika hiyo damu iliyo juu ya madhabahu, na katika hayo mafuta ya kutiwa, na kumnyunyizia Aruni, juu ya mavazi yake, na wanawe, na mavazi yao pia, pamoja naye; naye atatakaswa, na mavazi yake, na wanawe, na mavazi ya wanawe, pamoja naye.
Te phoeiah hmueihtuk sokah thii neh koelhnah situi te lo lamtah Aaron so neh a himbai soah khaw, amah taengkah anih koca rhoek so neh anih koca kah himbai soah khaw haeh pah. Te vaengah amah neh a himbai khaw, a taengkah amah koca rhoek neh anih koca rhoek kah himbai te ciim saeh.
22 Tena yatwae mafuta ya huyo kondoo mume, na mkia wake wa mafuta, na mafuta yafunikayo matumbo, na kitambi kilicho katika ini, na figo mbili, na mafuta yaliyo katika hizo figo, na paja la kuume; kwani ni kondoo ambaye ni wa kuwekwa kwa kazi takatifu.
Te phoeiah tu tha neh a kawl, a kotak aka dah a tha neh a thin dongkah thinhnun khaw, a kuel rhoi neh te rhoi dongkah a tha khaw, bantang laeng he khaw tutal dongkah saboi la lo.
23 Utwae na mkate mmoja wa unga, na mkate mmoja ulioandaliwa kwa mafuta, na kaki moja katika kile kikapu cha mikate isiyotiwa chachu, kilichowekwa mbele ya Yahweh.
Kodawn lamkah buh hluem at neh buh tha laep khat neh vaidamrhawm pakhat te BOEIPA mikhmuh ah vaidamding la om saeh.
24 Nawe utavitia hivi vyote katika mikono ya Aruni, na katika mikono ya wanawe; nawe utavitikisa-tikisa viwe sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh.
A cungkuem te Aaron kut dong neh anih koca rhoek kut ah tloeng lamtah te te BOEIPA mikhmuh ah thueng hmueih la thueng.
25 Kisha uvitwae vile vitu mikononi mwao, na kuviteketeza juu ya madhabahu, juu ya ile sadaka ya kuteketezwa, viwe harufu nzuri mbele yangu; ni sadaka iliyotengenezwa kwangu kwa njia ya moto.
Te phoeiah amih kut lamkah te lo lamtah BOEIPA mikhmuh kah hmueihtuk ah hmueihhlutnah neh hmuehmuei botui la phum. Te tah BOEIPA taengah hmaihlutnah la om saeh.
26 Kisha twaa kidari cha huyo kondoo wa kuwekwa kwake Haruni kwa kazi takatifu, na kukitikisa-tikisa kiwe sadaka ya kutikiswa mbele za Yahwe nacho kitakuwa ni sehemu yako.
Saboi tu kah a rhang te Aaron ham loh pah lamtah BOEIPA mikhmuh ah thueng hmueih la thueng pah. Te phoeiah nang ham maehvae la om saeh.
27 Nawe kitakase kile kidari cha ile sadaka ya kutikiswa, na lile paja la sadaka ya kuinuliwa, lililotikiswa, na lililoinuliwa juu, vya yule kondoo wa kuwekwa kwa kazi takatifu, huyo aliyekuwa kwa ajili ya Aruni na wanawe.
Thueng hmueih kah a rhang te a ciim phoeiah tah khosaa kah a laeng te thueng pah. Te te Aaron ham neh anih koca rhoek ham ni saboi tu lamloh a ludoeng pah.
28 Navyo vitakuwa vya Haruni na wanawe posho ya lazima sikuzote itokayo kwa hao wana wa Israeli; kwa kuwa ni sadaka ya kuinuliwa; nayo itakuwa ni sadaka ya kuinuliwa itokayo kwa hao wana wa Israeli katika dhabihu zao za sadaka za amani, ni sadaka yao ya kuinuliwa kwa ajili ya Yahweh.
He tah Israel ca rhoek taeng lamloh Aaron ham neh anih koca rhoek ham kumhal khosaa kah oltlueh la om saeh. Te khosaa tah Israel ca rhoek lamloh BOEIPA taengah amih kah khosaa la a nawn rhoepnah hmueih la om saeh.
29 Na hayo mavazi matakatifu ya Aruni yatakuwa ya wanawe baada yake, wayavae watakapotiwa mafuta, na watakapowekwa kwa kazi takatifu.
Aaron kah cimcaihnah himbai khaw anih phoeikah amah koca rhoek ham om pah saeh. Te dongah amih te koelh saeh lamtah amih kut te khaw amamih ah cung saeh.
30 Huyo mwanawe atakayekuwa kuhani badala yake atayavaa muda wa siku saba, hapo atakapoingia ndani ya hiyo hema ya kukutania, ili atumike ndani ya mahali patakatifu.
A ca rhoek khui lamloh anih yueng hmuencim ah thotat ham tingtunnah dap khuila aka kun khosoih loh hnin rhih khuiah te te bai saeh.
31 Nawe twaa huyo kondoo mume aliyekuwa wa kuwekwa kwa kazi takatifu, na kuitokosa nyama yake katika mahali patakatifu.
Saboi tu te lo lamtah a saa te hmuen cim ah thong.
32 Na Aruni na wanawe wataila ile nyama ya kondoo, na mikate iliyo katika kile kikapu, hapo mbele ya mlango wa hema ya kukutania.
Aaron neh anih koca rhoek loh tingtunnah dap thohka kah tu saa neh kodawn dongkah kah buh te ca saeh.
33 Nao watakula vile vitu ambavyo upatanisho ulifanywa kwa hivyo, ili kuwaweka kwa kazi takatifu na kuwatakasa; lakini mgeni asivile, maana, ni vitu vitakatifu.
Te dongah te te amih a dawth tangtae tih ciim hamla a kut aka cung long tah ca saeh. Tedae te te a cim dongah kholong loh ca boel saeh.
34 Na kwamba kitu cho chote cha ile nyama, iliyo kwa ajili ya kuweka kwa kazi takatifu, au cho chote cha hiyo mikate, kikisalia hata asubuhi, ndipo utavichoma kwa moto hivyo vilivyosalia; havitaliwa, maana, ni vitu vitakatifu
Tedae saboi maeh neh buh te mincang duela a coih atah a coih te hmai neh hoeh laeh. Te tah a cim dongah ca uh boel saeh.
35 Ni hivyo utakavyowatendea Aruni na wanawe kama nilivyo kuagiza. Utawaweka kwa kazi takatifu siku saba.
Te dongah nang kang uen boeih te Aaron ham neh anih koca rhoek ham saii lamtah amih kut te hnin rhih khuiah cung sak laeh.
36 Kila siku utamtoa ng’ombe wa sadaka ya dhambi kwa ajili ya upatanisho; nawe utaisafisha hiyo madhabahu, hapo utakapofanya upatanisho kwa ajili ya hiyo madhabahu; nawe utaitia mafuta, ili kuitakasa.
Dawthnah ham hnin at ham boirhaem vaito nawn lamtah te ham na dawth nen te hmueihtuk dongah ciim sak. Te phoeiah hmueihtuk te ciim hamla koelh.
37 Utafanya upatanisho kwa ajili ya hiyo madhabahu muda wa siku saba, na kuitakasa; ndipo madhabahu itakapokuwa takatifu sana; kila kitu kiigusacho madhabahu kitakuwa kitakatifu.
Hmueihtuk ham hnin rhih khuiah dawth pah lamtah ciim. Te daengah hmueihtuk te a cim kah a cim koek la om vetih hmueihtuk neh aka ben uh boeih khaw a ciim eh.
38 Lazima utoe kwenye madhabahu wana-kondoo wa mwaka mmoja wawili siku baada ya siku
Hmueihtuk soah na nawn te tah kum khat tu ca vetih hnin at ham pumnit yoeyah saeh.
39 daima. Mwana-kondoo mmoja utamchinja asubuhi; na mwana-kondoo wa pili utamchinja jioni
Tuca pakhat te mincang ah nawn lamtah tuca pabae te kholaeh ah nawn.
40 Pamoja na mwana-kondoo mmoja utatoa vibaba vitatu vya unga mzuri uliochanganyika na mafuta yenye kupondwa, kiasi cha kibaba na robo kibaba; na divai kiasi cha kibaba na robo kibaba, iwe sadaka ya kinywaji.
Bunang pali la a sui situi neh a thoek vaidam doh, misurtui bunang pali neh tuca pakhat te tuisi la doeng.
41 Na huyo mwana-kondoo wa pili utamchinja wakati wa jioni. Nawe utamfanyia vivyo kama ile sadaka ya unga ya asubuhi, na kama ile sadaka yake ya kinywaji. Hii itatoa harufu nzuri, ni dhabihu ya kusongezwa kwangu kwa njia ya moto.
Tuca pabae te tah kholaeh ah mincang khosaa neh tuisi la nawn. Te nen te BOEIPA taengah hmuehmuei botui hmaihlutnah la saii.
42 Itakuwa ni sadaka ya kuteketezwa milele katika vizazi vyenu vyote mlangoni pa ile hema ya kukutania mbele ya Yahweh, hapo nitakapokutana nanyi, ili niseme na wewe hapo.
Na cadilcahma ham khaw tingtunnah dap thohka kah BOEIPA mikhmuh ah hmueihhlutnah la om yoeyah saeh. Te ah nang te pahoi voek ham namah pahoi kan tuentah bitni.
43 Nami nitakutana na wana wa Israeli hapo; na hiyo hema itafanywa takatifu na utukufu wangu. Nami nitaitakasa hiyo hema ya kukutania, na hiyo madhabahu.
Israel ca te khaw pahoi ka tuentah bal vetih ka thangpomnah loh a ciim ni.
44 Pia Aruni na wanawe nitawatakasa, ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
Tingtunnah dap neh hmueihtuk te ka ciim tangloeng vetih Aaron neh anih koca rhoek te kamah taengah khosoih sak ham ka ciim ni.
45 Na mimi nitakaa kati ya wana wa Israeli, nami nitakuwa Mungu wao.
Israel ca rhoek lakli ah kho ka sak vetih amih taengah Pathen la ka om ni.
46 Nao watanijua kuwa mimi ndimi Yahweh, Mungu wao, niliyewaleta watoke katika nchi ya Misri, nipate kukaa kati yao. Ni mimi Yahweh, Mungu wao.
Te vaengah Egypt kho lamloh amih aka khuen, amih kah Pathen Yahweh kamah he a ming uh bitni. Amih lakli ah kai Yahweh ni amih kah Pathen la ka om eh.

< Kutoka 29 >