< Kutoka 28 >

1 Umuite Aruni kaka yako na wana wake - Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari - miongoni mwa wana wa Israeli, ili anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Hagi Mosesega negafu Aronine ne' mofavre naga'a Nadabuki, Abihuki, Eleazaki, Itamaliki, Israeli vahepintira ke huge'za kagrite e'za Nagri pristi eri'za vahe maniho.
2 Nawe utamfanyia Aruni ndugu yako mavazi matakatifu, kwa utukufu na kwa uzuri.
Negafu nera Aronina ruotage huno avasese'amo'ma mareri'neni'a kukena tro huntenenkeno, vahe'mo'za kesga hunente'za antahimiho.
3 Nawe utawaambia watu wote wenye moyo wa hekima, niliowajaza na roho ya hekima wamfanyie Aruni mavazi ili kumtakasa anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Anahu eri'zama erigahaze hu'nama knare antahi'zama zamuge'za e'neri'za vahera mika ke huge'za, Aroni'ma antani'nenigeno azeri ruotage hanigeno, pristi eri'zani'a erisia kukena'a tro hunteho.
4 Na mavazi watakayoyafanya ni kifuko cha kifuani, na naivera, na joho, na kanzu ya kazi ya urembo, na kilemba, na mshipi; nao watawafanyia Aruni nduguye, na wanawe, mavazi matakatifu ili anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Ana kukenama zagita tro'ma hnazana amanahu kukena tro hugahaze, amimizare'ma 12fu'a havema rekamre'nia tavravegi, amimizare'ma hania kukenagi za'za kukenagi, agu'afi avate kenagi, asenire naki tavravene amu'nofi'ene trohinke'za, negafu ne' Aroni'ene ne' mofavre naga'amo'zanena antanine'za, pristi eri'zani'a erigahaze.
5 Nao wataitwaa dhahabu, na nguo ya rangi ya samawi, na ya rangi ya zambarau, na ya rangi nyekundu.
Ana kukenama tro hanaza nofitamina, hokonke nofiki, golire nofiki, fitunkeki, koranke nofi'ene knare zantfa hu'za zagi'nesa nofiteti'ene tro hiho.
6 Nao waifanye naivera kwa nyuzi za dhahabu, na za samawi, na za zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa kwa kazi ya mstadi.
Amega amimizare'ma hania kukenama tro'ma hanazana, golire nofiki hokonke nofiki, fitunke nofiki, koranke nofi'ene knare zantfa hu'za osite zagi'nesaza nofiteti hinke'za ana zante eri'za vahe'mo'za trora hugahaze.
7 Lazima itakuwa na vipande viwili vya mabegani, vilivyoungana kwenye ncha zake mbili; ili ipate kuunganywa.
Afumpinti'ma krerami'nigeno amefigama anakisnia nofira anaga kaziga tare atumparega tafinteho.
8 Na mshipi wa kazi ya ustadi ulio juu yake, ili kuifunga mahali pake; utakuwa wa kazi kama ile ya naivera, ya vitu vile vile ya nyuzi za dhahabu, na za rangi ya samawi, na ya zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa.
Amu nofi'ma zagita tro'ma hnazana, golire nofiki, hokonke nofiki, fitunke nofiki, koranke nofi'ene knare zantfa hu'za osite zagi'nesa nofiteti eri so'e hu'za tro hanageno, amimizare'ma hu kukenamo'enena magoke fore hugahie.
9 Nawe utatwaa vito viwili vya shohamu, ya rangi ya chani-kiwiti, nawe utachora juu yake majina ya wana wa Israeli;
Oniksie nehaza have tare eritma 12fu'a Jekopu ne' mofavre'mokizmi zamagi, ana haverarentera taga huta krenteho.
10 Majina yao sita katika kito kimoja, na majina sita yaliyosalia katika kile kito cha pili, kwa utaratibu wa kuzaliwa kwao.
Ese'ma kase zamante'neregati vuno osite'ma vanigeta zamagima krentesazana, 6si'a zamagia mago havere krenteta, mago haverera 6si'a zamagi'a krenteho.
11 Kwa kazi mtu mwenye kuchora mawe kama vile muhuri ichorwavyo, utavichora hivi vito viwili, sawasawa na majina ya wana wa Israeli, nawe utavitia katika vijalizo vya dhahabu.
Ana tare haverera, tagama hu'za avame'zama havere'ma tro'ma nehazaza huta, Jekopu ne' mofavre'mokizmi zamagi'a taga huta krenenteta, golireti rinia tro hinkeno ana haverarena znazeri antrako hino.
12 Nawe utavitia vile vito viwili juu ya vipande vya mabegani vya hiyo naivera, viwe vito vya ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli. Naye Aruni atayachukua majina yao mbele za Yahweh juu ya mabega yake mawili ili kuwa ukumbusho.
Ana havererena ruga raga afunte'ma me' tavravere hagerafintenkeno antahizami avame zankna huno me'ne'nigeno, Aroni'a Jekopu ne' mofavre naga'mokizmima Ra Anumzamo antahizaminogu maka zupa Anumzamofo avurera vugahie.
13 Nawe fanya vijalizo viwili vya dhahabu
Ana havererema znazeri antrakohu rinia golireti tro nehutma,
14 na mikufu miwili ya dhahabu safi; utaifanya iwe mfano wa kamba, ya kazi ya kusokotwa; nawe uitie ile mikufu ya kazi ya kusokotwa katika vile vijalizo.
seni nofikna hutma golireti hanetma eri hagerafi hagerafi hutma tare nofitre, tro hutma ana rinirarentera renteho.
15 Nawe lazima utafanya kifuko cha kifuani cha hukumu, kazi ya fundi stadi; utakifanya kwa kuiandama ile kazi ya hiyo naivera. Fanya nyuzi za dhahabu, na za rangi ya samawi, na za rangi ya zambarau, na nyekundu, na kitani safi yenye kusokotwa, ndivyo utakavyokifanya.
Amimizare'ma hania kukenama tro'ma hanazankna hutma, asunte'ma hu'neno Anumzamofo avesi'zama kefore'ma hu'zana, ana zama trohu knare antahi'zama eri'naza vahe ke hinke'za, hokonke nofiki, fitunke nofiki, koranke tavravereti'ene knare hu'za zagi'nesaza osi nofiteti tro hiho.
16 Kitakuwa mraba, tena cha kukunjwa; urefu wake utakuwa shibiri moja, na upana wake shibiri moja.
Ana tavravemofo zaza'amo'a 44'a sentimita hina, atupa kaziga'amo'a 22'a sentimita hinketma erinteta repasi hinkeno, ana maka asopamo'a mago avamenteke vino.
17 Nawe ukijaze viweko vya vito, safu nne za vito; safu moja itakuwa ni akiki, na yakuti ya rangi ya manjano, na baharamani, hivi vitakuwa safu ya kwanza.
Miza zama'amo'ma mareri'nesia have raminteti ana tavraverera 4'a isa'are rekamarenteta evugahaze. Hanki kotama evania isarera rubi havegi, topasi havegi, berilie nehaza have evina,
18 Na safu ya pili itakuwa zumaridi, na yakuti samawi, na almasi.
anante'ma evania isa'arera terkoise nehaza havegi, safaire nehaza havegi, emererie nehaza zafasi'nage havemo evina,
19 Na safu ya tatu itakuwa hiakintho, na akiki nyekundu, na amethisto.
anante nampa 3 isare'ma evaniana, jasintie nehaza havegi, agatie nehaza havegi, ametistie nehaza have evina,
20 Na safu ya nne itakuwa ni zabarajadi, na shohamu, na yaspi. Vito hivyo vitakazwa ndani ya dhahabu kwa kujaa mahali pake.
anante nampa 4 isa'ama evanirera, krisolaetie nehaza havegi, oniksie nehaza havegi, jaspe nehaza havemo ene evino. Ana maka haveramima regrinte anoma'aramina Goliletike tro huntenkeno azeri antrako hino.
21 Na vile vito vitakuwa sawasawa na majina ya wana wa Israeli, kumi na viwili, sawasawa na majina yao. Mfano wa kuchora kwa muhuri kila kimoja sawasawa na jina lake, vitakuwa vya hizo kabila kumi na mbili.
Ana maka 12fu'a haverera Israelina (Jekopu) 12f'u'a ne' mofavre'mokizmire huhamprino magoke magoke have'a me'nena, ana havere mago magomokizmi zamagi'a anante taga hu'za krentegahaze.
22 Nawe lazima utie katika kile kifuko cha kifuani mikufu mfano wa kamba, ya kazi ya kusokotwa, ya dhahabu safi.
Amimizare'ma 12fu'a havema ante'ne tavravema rentesaza seni nofira goliretike haneho.
23 Nawe utie maduara mawili ya dhahabu katika kile kifuko cha kifuani, na kuzitia hizo pete mbili katika ncha mbili za kifuko cha kifuani.
Hanki goliretike tare nofi'ma rente rinia ana tavravemofona anagamu atumpamofo ruga raga kaziga ometre emetrema hutega renteho.
24 Nawe utie hiyo mikufu miwili ya dhahabu iliyosokotwa katika zile pete mbili zilizo katika ncha za kifuko cha kifuani.
Anama anakintesaza rinirarentera golire tare seni nofi'ma tro'ma hanaza nofinu anante hagerafinteho.
25 Na ncha zile nyingine za hiyo mikufu miwili ya kusokotwa utazitia katika vile vijalizo viwili, na kuvitia katika vile vipande vya mabegani vya naivera upande wa mbele.
Hanki ana seni nofitremofo atupa'arera erita rugaraga azonare'ma ante havema eri anovazi'nea golire renteho.
26 Nawe utafanya viduara vili vya dhahabu, uzitie katika hizo ncha mbili za kifuko cha kifuani, katika ukingo wake.
Hanki mago ene tare golire rini tro hutma amimizare'ma 12fu'a havema ante'ne tavravemofo henkamu kaziga omete emete hutega, agu'afi amimizare'ma hu kukenamofo tvaonte tafinteho.
27 Nawe lazima ufanye viduara vili vya dhahabu, na kuzitia katika vile vipande viwili vya mabegani vya ile naivera chini yake, upande wa mbele, karibu na kifungo chake, juu ya huo mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi.
Hanki mago'ene golireti tare rinia tro hutma azonareti'ma kreramino amimizare tavravema hagerafi'nere ruga raga avasase'ane nofi'numa avamare'nere renteho.
28 Nao watakikaza kile kileso kwa vile viduara vyake kwenye viduara za naivera kwa ukanda wa rangi ya samawi, ili kwamba kikae pale juu ya ule mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi, ili kwamba kifuko cha kifuani kisiachane na naivera.
Hanki hokonke nofi'nu amimizare'ma 12f'u'a havema me' tavravemofo fenkamu kaziga rugaraga atumparega me'nea rinirarente anakintenkeno, amimizare hu kukenare rukamreno meno.
29 Na Aruni atayachukua majina ya wana wa Israeli katika kile kifuko cha kifuani cha hukumu juu ya moyo wake kwa kufanya maamuzi, hapo atakapoingia ndani ya mahali patakatifu, kuwa ukumbusho mbele yaYahweh daima.
Aroni'ma Ruotage'ma hu'nefinkama ufresuno'a Israeli ne' mofavre naga'mokizmi zamagia tumo'amofo agofetu amimizare'ma hu'neno ufresige'na, Ra Anumzamo'na nagerakni ozamante'noe hu avame'za meno vugahie.
30 Nawe utie hizo Urimu na Thumimu katika kile kifuko cha kifuani cha hukumu; nazo zitakuwa juu ya moyo wa Aruni, hapo atakapoingia ndani mbele ya Yahweh na Aruni atachukua hukumu ya hao wana wa Israeli juu ya moyo wake mbele ya Yahweh daima.
Ana zanke hunka amimizare'ma 12fu'a havema me' tavravemofo kasagu'afinka, tare havemofo zanagi'a urimie nehaza havene, tamimie nehaza haverare eririgeno Aronina tumo'amofo agofetu amimizare hanti'neno, Ra Anumzamo'na navure'ma vaniana, e'i ana haveraremoke Nagri navesira eri ama' hugaha'e.
31 Nawe fanya hiyo joho ya naivera ya rangi ya samawi yote.
Agu'afi antani'neno agofetu'ma amimizare kukena hania za'za kukena, hokonke tavraveretike'za tro hiho.
32 Nayo itakuwa na tundu katikati yake kwa kupitisha kichwa; itakuwa na utepe wa kazi ya kusokotwa kuzunguka hilo tundu lake, mfano wa tundu lililo katika kanzu ya chuma, ili lisipasuke.
Hanki ana za'za kukenamofo ananke kana amu'nompi hagenentetma, ana kamofoma hatigagisazana tavravea ante taparita zagita hatinkeno tagatora osino.
33 Nawe katika pindo zake utatia makomamanga ya rangi ya samawi, na ya rangi ya zambarau, na ya rangi nyekundu, kuzunguka pindo zake kotekote; na njuga za dhahabu kati ya hayo makomamanga pande zote.
Hanki ana za'za kukenamofo agiaregama rugagi atumparega, pomigreneti zafa rgagna huta hokonke nofiki, fitunke nofiki koranke nofi'nuti tro hutetma ana za'za kukenarera rentekagiteta, ana zantamimofo amu'no zmifina golireti belotami tro huta renterente hiho.
34 Kengele ya dhahabu na komamanga, kengele ya dhahabu na komamanga, katika pindo za joho kuizunguka pande zote.
Hanki ana zantamima rente kagisazana, golireti'ma tro'ma hu'naza belora renenteta, pomigreneti zafa rgama tro'ma hu'nazana rente rente hutere hutma, ana kenamofona kagiho.
35 Nayo itakuwa juu ya Aruni akitumika; na sauti ya hizo kengele itasikilikana hapo aingiapo ndani ya mahali patakatifu mbele ya Yahweh na hapo atokapo nje, ili kwamba asife.
Seli mono nompima hunaragintegeno ruotage'ma hu'nefinkama Aroni'ma, Ra Anumzamo'na navure'ma ruotagema hu'nefinka eri'za eri'naku ana kukena hu'neno ufreno atiramino'ma nehanige'za, Ra Anumzamo'ma ahe ofri'nenigura ana arente'naza belotamimofo agerura antahigahaze.
36 Nawe fanya bamba la dhahabu safi na kuchora juu yake, mfano wa machoro ya muhuri, “Mtakatifu kwa Yahweh.”
Hanki goliretike mago kuta preti tro huteta anantera Ra Anumzamofontega ruotage hu'ne hutma taga huta krenteho.
37 Nawe ulitie hilo bamba katika ukanda wa rangi ya samawi, nalo litakuwa katika kile kilemba; litakuwa upande wa mbele wa kile kilemba.
Anantera hokonke nofi'nu ana nanekema krente'naza gorile pretia asenire'ma anaki tavravemofo agofetu anakinteho.
38 Nalo litakuwa katika kipaji cha uso cha Aruni, na Aruni atauchukua uovu wa vile vitu vitakatifu, watakavyovitakasa hao wana wa Israeli katika vipawa vyao vyote vitakatifu, nalo litakuwa katika kipaji chake cha uso sikuzote, ili kwamba vipate kukubaliwa mbele za Yahweh.
Aroni'ma ana tavravema asenire maka zupa anaki'nena, Israeli vahe'mo'zama ruotage hu'nea musezama eri'zama eme namisafima hantagama hanazana, Nagra Ra Anumzamo'na ana pretima nege'na hazenkezmia atre zmantegahue.
39 Na hiyo kanzu utaifuma ya kitani nzuri ya kazi ya urembo, ufanye na kilemba cha nguo ya kitani nzuri, nawe utafanya mshipi wa kazi ya mwenye kutia taraza.
Hanki agu'ama antani kukena knare tavravenuti zagita tro nehuta, anunte'ma anaki tavravenena ana zantetike tro hiho. Azonaregati'ma rugreramino asoparegama evu nofira konaririane nofi tro hiho.
40 Kisha utafany kanzu kwa ajili ya wana wa Aruni, nawe wafanyie mishipi, wafanyie na kofia kwa utukufu na uzuri.
Hanki zamazeri ruzahu'ma hu'nesige'za vahe'mo'za antahizami'za husga huzmantesaza kukena zamu'nofi ki tavrave nofiki, kankriki megi'ama antani kukena (tunik) Aroni ne' mofavre zagamo'za hanaza kukena tro hiho.
41 Nawe mvike huyo nduguye Aruni na wanawe nao mavazi hayo; nawe watie mafuta, na kuwaweka kwa kazi takatifu, na kuwatakasa, ili wapate kunitumikia mimi katika kazi ya ukuhani.
Mosesega ana kukenaramima negafu Aronine ne' mofavre naga'anema eri huzamantetenka, anantera zmanumpina masave taginka fre zmentetenka, huhamprizmantenka zamazeri ruotage nehunka, pristi vahe zamazeri otige'za Nagri eri'zana eriho.
42 Nawe wafanyie suruali za nguo ya kitani, ili kufunika tupu ya miili yao; suruali hizo zitafika tangu kiunoni hata mapajani.
Hanki efeke tavravereti zamagaze zmavufga eri frakisia atupa kena, zmaratimpareti urami fenkamuteno zamotega ome atre kena tro hiho.
43 Aruni na wanawe watazivaa, hapo watakapoingia katika hema ya kukutania, au hapo watakapoikaribia madhabahu ili watumike katika mahali patakatifu; wasije wakachukua uovu, wakafa; hii itakuwa ni amri ya milele kwake yeye, na kwa wazao wake.
Hanki Aroni'ene ne' mofavre naga'anema seli mono nompima ruotage'ma hu'nefinkama ufre'za Kresramanavu itare'ma eri'zama erinaku'ma vanu'za, zamagaze eri'za frizankura ama ana atupa kena antanine'za ufregahaze. Ama'i ana kasegemo'a mevava huno Aroninteti agafa huno zmagehe'inte meno vugahie.

< Kutoka 28 >