< Kutoka 28 >
1 Umuite Aruni kaka yako na wana wake - Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari - miongoni mwa wana wa Israeli, ili anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Ty pak přijmi k sobě Arona bratra svého s syny jeho z prostředku synů Izraelských, aby úřad kněžský konali přede mnou: Aron, Nádab, Abiu, Eleazar a Itamar, synové Aronovi.
2 Nawe utamfanyia Aruni ndugu yako mavazi matakatifu, kwa utukufu na kwa uzuri.
A uděláš roucha svatá Aronovi bratru svému k slávě a k ozdobě.
3 Nawe utawaambia watu wote wenye moyo wa hekima, niliowajaza na roho ya hekima wamfanyie Aruni mavazi ili kumtakasa anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Ty také mluviti budeš se všechněmi umělými řemeslníky, kteréž jsem naplnil duchem moudrosti, aby dělali roucha Aronovi ku posvěcení jeho, v nichž by úřad kněžský konal přede mnou.
4 Na mavazi watakayoyafanya ni kifuko cha kifuani, na naivera, na joho, na kanzu ya kazi ya urembo, na kilemba, na mshipi; nao watawafanyia Aruni nduguye, na wanawe, mavazi matakatifu ili anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Tato pak jsou roucha, kteráž udělají, náprsník, náramenník, plášť a sukni s oky, čepici a pás. Takové šaty svaté udělají Aronovi bratru tvému a synům jeho, aby úřad kněžský konali přede mnou.
5 Nao wataitwaa dhahabu, na nguo ya rangi ya samawi, na ya rangi ya zambarau, na ya rangi nyekundu.
A vezmou řemeslníci zlato a modrý postavec, a šarlat a červec dvakrát barvený a kment.
6 Nao waifanye naivera kwa nyuzi za dhahabu, na za samawi, na za zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa kwa kazi ya mstadi.
Udělají pak náramenník z zlata, z postavce modrého a šarlatu, z červce dvakrát barveného a hedbáví bílého, přesukovaného dílem řemeslným.
7 Lazima itakuwa na vipande viwili vya mabegani, vilivyoungana kwenye ncha zake mbili; ili ipate kuunganywa.
Dva vrchní kraje spojená míti bude na dvou koncích svých, a tak se spolu držeti bude.
8 Na mshipi wa kazi ya ustadi ulio juu yake, ili kuifunga mahali pake; utakuwa wa kazi kama ile ya naivera, ya vitu vile vile ya nyuzi za dhahabu, na za rangi ya samawi, na ya zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa.
Přepásaní pak přes ten náramenník, kteréž na něm bude, podobné bude dílu jeho; z týchž věcí bude, totiž z zlata, z postavce modrého a z šarlatu, a z červce dvakrát barveného, a z hedbáví bílého přesukovaného.
9 Nawe utatwaa vito viwili vya shohamu, ya rangi ya chani-kiwiti, nawe utachora juu yake majina ya wana wa Israeli;
Vezmeš také dva kameny onychinové, a vyryješ na nich jména synů Izraelských.
10 Majina yao sita katika kito kimoja, na majina sita yaliyosalia katika kile kito cha pili, kwa utaratibu wa kuzaliwa kwao.
Šest jmen jejich na kameni jednom, a jmen šest ostatních na kameni druhém, podlé pořádku narození jejich.
11 Kwa kazi mtu mwenye kuchora mawe kama vile muhuri ichorwavyo, utavichora hivi vito viwili, sawasawa na majina ya wana wa Israeli, nawe utavitia katika vijalizo vya dhahabu.
Dílem řemeslníka, kterýž řeže na kameni, a kterýž vyrývá pečeti, vyryješ na těch dvou kameních jména synů Izraelských; do zlata je vsadíš.
12 Nawe utavitia vile vito viwili juu ya vipande vya mabegani vya hiyo naivera, viwe vito vya ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli. Naye Aruni atayachukua majina yao mbele za Yahweh juu ya mabega yake mawili ili kuwa ukumbusho.
A položíš dva kameny ty na vrchních krajích náramenníku, kameny pro pamět na syny Izraelské; a nositi bude Aron jména jejich před Hospodinem na obou ramenách svých na památku.
13 Nawe fanya vijalizo viwili vya dhahabu
Uděláš i haklíky zlaté.
14 na mikufu miwili ya dhahabu safi; utaifanya iwe mfano wa kamba, ya kazi ya kusokotwa; nawe uitie ile mikufu ya kazi ya kusokotwa katika vile vijalizo.
A dva řetízky z zlata čistého jednostejně uděláš dílem točeným, a zavěsíš řetízky ty stočené na ty haklíky.
15 Nawe lazima utafanya kifuko cha kifuani cha hukumu, kazi ya fundi stadi; utakifanya kwa kuiandama ile kazi ya hiyo naivera. Fanya nyuzi za dhahabu, na za rangi ya samawi, na za rangi ya zambarau, na nyekundu, na kitani safi yenye kusokotwa, ndivyo utakavyokifanya.
Uděláš také náprsník soudu dílem řemeslným, takovým dílem, jako náramenník uděláš jej z zlata, z postavce modrého, z šarlatu, z červce dvakrát barveného, a z bílého hedbáví přesukovaného.
16 Kitakuwa mraba, tena cha kukunjwa; urefu wake utakuwa shibiri moja, na upana wake shibiri moja.
Ètverhraný bude a dvojnásobní; pídi dlouhost, a pídi širokost jeho bude.
17 Nawe ukijaze viweko vya vito, safu nne za vito; safu moja itakuwa ni akiki, na yakuti ya rangi ya manjano, na baharamani, hivi vitakuwa safu ya kwanza.
A vysadíš jej všudy kamením drahým. Ètyřmi řady ať jest kamení, pořádkem tímto: Sardius, topazius a smaragdus v prvním řadu;
18 Na safu ya pili itakuwa zumaridi, na yakuti samawi, na almasi.
V druhém pak zpořádaní karbunkulus, zafir a jaspis;
19 Na safu ya tatu itakuwa hiakintho, na akiki nyekundu, na amethisto.
A v řadu třetím linkurius, achates a ametyst;
20 Na safu ya nne itakuwa ni zabarajadi, na shohamu, na yaspi. Vito hivyo vitakazwa ndani ya dhahabu kwa kujaa mahali pake.
V čtvrtém řadu chryzolit, onychin a beryl. Vsazeni budou do zlata v svém pořádku.
21 Na vile vito vitakuwa sawasawa na majina ya wana wa Israeli, kumi na viwili, sawasawa na majina yao. Mfano wa kuchora kwa muhuri kila kimoja sawasawa na jina lake, vitakuwa vya hizo kabila kumi na mbili.
Těch pak kamenů s jmény synů Izraelských bude dvanácte, podlé jmen jejich, dílem řežících pečeti; jeden každý podlé jména svého, pro dvanáctero pokolení budou.
22 Nawe lazima utie katika kile kifuko cha kifuani mikufu mfano wa kamba, ya kazi ya kusokotwa, ya dhahabu safi.
Uděláš i k náprsníku řetízky jednostejné dílem točeným z zlata čistého.
23 Nawe utie maduara mawili ya dhahabu katika kile kifuko cha kifuani, na kuzitia hizo pete mbili katika ncha mbili za kifuko cha kifuani.
Uděláš také k náprsníku dva kroužky zlaté, a dáš je na dva kraje náprsníka.
24 Nawe utie hiyo mikufu miwili ya dhahabu iliyosokotwa katika zile pete mbili zilizo katika ncha za kifuko cha kifuani.
A prostrčíš dva řetízky zlaté skrze dva kroužky po krajích náprsníka.
25 Na ncha zile nyingine za hiyo mikufu miwili ya kusokotwa utazitia katika vile vijalizo viwili, na kuvitia katika vile vipande vya mabegani vya naivera upande wa mbele.
A druhé konce těch dvou řetízků připneš k haklíkům, a dáš na vrchní kraje náramenníka po předu.
26 Nawe utafanya viduara vili vya dhahabu, uzitie katika hizo ncha mbili za kifuko cha kifuani, katika ukingo wake.
Uděláš i dva kroužky zlaté, kteréž dáš na dva kraje náprsníka, na tu obrubu jeho, kteráž jest po té straně k náramenníku do vnitřku.
27 Nawe lazima ufanye viduara vili vya dhahabu, na kuzitia katika vile vipande viwili vya mabegani vya ile naivera chini yake, upande wa mbele, karibu na kifungo chake, juu ya huo mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi.
Uděláš ještě dva jiné kroužky zlaté, kteréž dáš na dvě strany náramenníka zespod po předu naproti spojení jeho, svrchu nad přepásaním náramenníka.
28 Nao watakikaza kile kileso kwa vile viduara vyake kwenye viduara za naivera kwa ukanda wa rangi ya samawi, ili kwamba kikae pale juu ya ule mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi, ili kwamba kifuko cha kifuani kisiachane na naivera.
Tak svíží náprsník ten, kroužky jeho s kroužky náramenníka, tkanicí z postavce modrého, aby byl nad přepásaním náramenníka, a neodevstával náprsník od náramenníka.
29 Na Aruni atayachukua majina ya wana wa Israeli katika kile kifuko cha kifuani cha hukumu juu ya moyo wake kwa kufanya maamuzi, hapo atakapoingia ndani ya mahali patakatifu, kuwa ukumbusho mbele yaYahweh daima.
I bude nositi Aron jména synů Izraelských na náprsníku soudu na srdci svém, když vcházeti bude do svatyně, na památku před Hospodinem ustavičně.
30 Nawe utie hizo Urimu na Thumimu katika kile kifuko cha kifuani cha hukumu; nazo zitakuwa juu ya moyo wa Aruni, hapo atakapoingia ndani mbele ya Yahweh na Aruni atachukua hukumu ya hao wana wa Israeli juu ya moyo wake mbele ya Yahweh daima.
Položíš pak do náprsníku soudu urim a thumim, aby bylo na srdci Aronově, když vcházeti bude před Hospodina; a nositi bude Aron soud synů Izraelských na srdci svém před Hospodinem vždycky.
31 Nawe fanya hiyo joho ya naivera ya rangi ya samawi yote.
Uděláš také plášť pod náramenník, všecken z postavce modrého.
32 Nayo itakuwa na tundu katikati yake kwa kupitisha kichwa; itakuwa na utepe wa kazi ya kusokotwa kuzunguka hilo tundu lake, mfano wa tundu lililo katika kanzu ya chuma, ili lisipasuke.
A bude na vrchu v prostřed něho díra; okolek její všudy vůkol dílem tkaným, jako obojek u pancíře bude, aby se neroztrhl.
33 Nawe katika pindo zake utatia makomamanga ya rangi ya samawi, na ya rangi ya zambarau, na ya rangi nyekundu, kuzunguka pindo zake kotekote; na njuga za dhahabu kati ya hayo makomamanga pande zote.
Uděláš i na podolku jeho jablka zrnatá z hedbáví modrého, z šarlatu a z červce dvakrát barveného, na podolku jeho vůkol, a zvonečky zlaté mezi nimi vůkol.
34 Kengele ya dhahabu na komamanga, kengele ya dhahabu na komamanga, katika pindo za joho kuizunguka pande zote.
Zvonček zlatý a jablko zrnaté, opět za tím zvonček zlatý a jablko zrnaté na podolku pláště vůkol.
35 Nayo itakuwa juu ya Aruni akitumika; na sauti ya hizo kengele itasikilikana hapo aingiapo ndani ya mahali patakatifu mbele ya Yahweh na hapo atokapo nje, ili kwamba asife.
A bude to míti na sobě Aron při službách, aby slyšán byl zvuk jeho, když vcházeti bude do svatyně před Hospodina, i když vycházeti bude, aby neumřel.
36 Nawe fanya bamba la dhahabu safi na kuchora juu yake, mfano wa machoro ya muhuri, “Mtakatifu kwa Yahweh.”
Uděláš také plech z zlata čistého, a vyryješ na něm dílem vyrývajících pečeti: Svatost Hospodinu.
37 Nawe ulitie hilo bamba katika ukanda wa rangi ya samawi, nalo litakuwa katika kile kilemba; litakuwa upande wa mbele wa kile kilemba.
Kterýž dáš na tkanici z modrého postavce, a bude na čepici; napřed na čepici bude.
38 Nalo litakuwa katika kipaji cha uso cha Aruni, na Aruni atauchukua uovu wa vile vitu vitakatifu, watakavyovitakasa hao wana wa Israeli katika vipawa vyao vyote vitakatifu, nalo litakuwa katika kipaji chake cha uso sikuzote, ili kwamba vipate kukubaliwa mbele za Yahweh.
I bude nad čelem Aronovým, aby nesl Aron nepravosti posvěcených věcí, kterýchž by posvětili synové Izraelští při všech dařích posvěcených věcí svých; a bude nad čelem jeho vždycky, aby příjemné je činil před Hospodinem.
39 Na hiyo kanzu utaifuma ya kitani nzuri ya kazi ya urembo, ufanye na kilemba cha nguo ya kitani nzuri, nawe utafanya mshipi wa kazi ya mwenye kutia taraza.
Uděláš také sukni z hedbáví bílého vázanou s oky; uděláš i čepici z hedbáví bílého; pás také uděláš dílem krumpéřským.
40 Kisha utafany kanzu kwa ajili ya wana wa Aruni, nawe wafanyie mishipi, wafanyie na kofia kwa utukufu na uzuri.
Synům také Aronovým zděláš sukně; pasy také jim uděláš a klobouky k slávě a k ozdobě.
41 Nawe mvike huyo nduguye Aruni na wanawe nao mavazi hayo; nawe watie mafuta, na kuwaweka kwa kazi takatifu, na kuwatakasa, ili wapate kunitumikia mimi katika kazi ya ukuhani.
A oblečeš v ně Arona bratra svého a syny jeho s ním, a pomažeš jich, a naplníš ruce jejich, a posvětíš mi jich, aby úřad kněžský konali přede mnou.
42 Nawe wafanyie suruali za nguo ya kitani, ili kufunika tupu ya miili yao; suruali hizo zitafika tangu kiunoni hata mapajani.
Nadělej jim i košilek lněných k zakrytí nahoty těla; od bedr až do stehen budou.
43 Aruni na wanawe watazivaa, hapo watakapoingia katika hema ya kukutania, au hapo watakapoikaribia madhabahu ili watumike katika mahali patakatifu; wasije wakachukua uovu, wakafa; hii itakuwa ni amri ya milele kwake yeye, na kwa wazao wake.
A ať je na sobě mají Aron i synové, když vcházeti budou do stánku úmluvy, aneb když přistupovati budou k oltáři, aby sloužili v svatyni; a neponesou nepravosti, aniž zemrou. Řád tento bude věčný jemu i potomkům jeho po něm.