< Kutoka 28 >
1 Umuite Aruni kaka yako na wana wake - Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari - miongoni mwa wana wa Israeli, ili anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Gode da eno amane sia: i, “Dia ola Elane amola egefelali amo Na: ida: be, Abaihu, Elia: isa amola Idama amo misa: ne sia: ma. Ilia da Nama gobele salasu hawa: hamosu hamoma: ne, Isala: ili dunu fi eno ilima afafama.
2 Nawe utamfanyia Aruni ndugu yako mavazi matakatifu, kwa utukufu na kwa uzuri.
Abula noga: iwane dia ola Elane salima: ne hahamoma. E da amo ga: sea, mimogo amola isisima: goi ba: mu.
3 Nawe utawaambia watu wote wenye moyo wa hekima, niliowajaza na roho ya hekima wamfanyie Aruni mavazi ili kumtakasa anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Na da abula hahamosu dunu mogili ilima noga: le hawa: hamoma: ne, gasa i dagoi. Amo misa: ne sia: ne, ilia da Elane ea abula noga: i amo hamomu. Bai Na da e Na gobele salasu hawa: hamomusa: ilegemu gala.
4 Na mavazi watakayoyafanya ni kifuko cha kifuani, na naivera, na joho, na kanzu ya kazi ya urembo, na kilemba, na mshipi; nao watawafanyia Aruni nduguye, na wanawe, mavazi matakatifu ili anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Ilima amane adoma, ‘Dilia bidegi dedebosu, ‘ifode’, abuladafa, da: i salasu amoga da dedene amuni, abula habuga amola abula bulu amo hahamoma. Amo liligi Elane amola egefelali da Nama gobele salasu hawa: hamoma: ne salimusa: , noga: le hamoma.
5 Nao wataitwaa dhahabu, na nguo ya rangi ya samawi, na ya rangi ya zambarau, na ya rangi nyekundu.
Amo bagade dawa: su abula hahamosu dunu da sibi hinabo mola: ya: i, oga: iyei amola yoi amola gouli gobiaha: i amola abula noga: idafa amoga gobele salasu dunu ilia abula hahamomu.
6 Nao waifanye naivera kwa nyuzi za dhahabu, na za samawi, na za zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa kwa kazi ya mstadi.
Ilia da ‘ifode’ amo sibi hinabo mola: ya: i, oga: iyei amola yoi, amola abula noga: i amoga hamomu. Noga: i ba: ma: ne ilia da abula amo da: iya dedene amunimu.
7 Lazima itakuwa na vipande viwili vya mabegani, vilivyoungana kwenye ncha zake mbili; ili ipate kuunganywa.
Bulu aduna amo da ‘ifode’ amo gobele salasu dunu ea gida adunaga la: gilisimusa: hamoma.
8 Na mshipi wa kazi ya ustadi ulio juu yake, ili kuifunga mahali pake; utakuwa wa kazi kama ile ya naivera, ya vitu vile vile ya nyuzi za dhahabu, na za rangi ya samawi, na ya zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa.
Abula bulu da ‘ifode’ amoma madelagi ba: mu.
9 Nawe utatwaa vito viwili vya shohamu, ya rangi ya chani-kiwiti, nawe utachora juu yake majina ya wana wa Israeli;
‘Ganilia: ne’ igi aduna noga: iwane lale, amoga Ya: igobe egefelali fagoyale gala ilia dio dedema.
10 Majina yao sita katika kito kimoja, na majina sita yaliyosalia katika kile kito cha pili, kwa utaratibu wa kuzaliwa kwao.
Magobo mano hidadea dedema. Amalu, magobo bagia amalu amo baligia asili ufi mano dedema.
11 Kwa kazi mtu mwenye kuchora mawe kama vile muhuri ichorwavyo, utavichora hivi vito viwili, sawasawa na majina ya wana wa Israeli, nawe utavitia katika vijalizo vya dhahabu.
Igi dedesu dunu noga: idafa da amo hawa: hamoma: ne sia: ma. Amo igi gouli bai hahamone, amo ganodini salima.
12 Nawe utavitia vile vito viwili juu ya vipande vya mabegani vya hiyo naivera, viwe vito vya ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli. Naye Aruni atayachukua majina yao mbele za Yahweh juu ya mabega yake mawili ili kuwa ukumbusho.
Amasea, amo igi da ‘ifode’ bulu amo gida da: iya lala: gilisima. Amasea, Elane da Isala: ili fi huluane ilia dio amo gisa masunu. Amola, Na, Hina Gode, Na da mae yolesili, Na fi dunu dawa: lalumu.
13 Nawe fanya vijalizo viwili vya dhahabu
Gouli bai aduna hamone,
14 na mikufu miwili ya dhahabu safi; utaifanya iwe mfano wa kamba, ya kazi ya kusokotwa; nawe uitie ile mikufu ya kazi ya kusokotwa katika vile vijalizo.
gouli sia: ine aduna, gobiaha: i defele bione hamone, amo baiga lala: gilisima.
15 Nawe lazima utafanya kifuko cha kifuani cha hukumu, kazi ya fundi stadi; utakifanya kwa kuiandama ile kazi ya hiyo naivera. Fanya nyuzi za dhahabu, na za rangi ya samawi, na za rangi ya zambarau, na nyekundu, na kitani safi yenye kusokotwa, ndivyo utakavyokifanya.
Gobele salasu Ouligisu dunu amo salima: ne bidegi gaga: su amoga e da Gode Ea hanai dawa: mu, amo ‘ifode’ ea sibi hinabo abula amola amunisu amo defele hamoma.
16 Kitakuwa mraba, tena cha kukunjwa; urefu wake utakuwa shibiri moja, na upana wake shibiri moja.
Amo ea defei da la: di afae da 22 sedimida amola la: di eno da defele 22 sedimida. Amo abula dogoa selefale abula aduna agoane ba: mu.
17 Nawe ukijaze viweko vya vito, safu nne za vito; safu moja itakuwa ni akiki, na yakuti ya rangi ya manjano, na baharamani, hivi vitakuwa safu ya kwanza.
Amoga igi noga: iwane dadalesu biyaduyale gala bulufalegele la: gilisima. Dadalesu age ganodini, igi udiana amo ‘lubi’, ‘douba: se’ amola ‘ganede’ la: gilisima.
18 Na safu ya pili itakuwa zumaridi, na yakuti samawi, na almasi.
Dadalesu ageyadu ganodini igi udiana eno amo ‘emelalede’, ‘sa: faia’ amola ‘daimode’ la: gilisima.
19 Na safu ya tatu itakuwa hiakintho, na akiki nyekundu, na amethisto.
Dadalesu osoda ganodini igi udiana amo ‘degaoise’, ‘a: gade’ amola ‘a: midiside’ la: gilisima.
20 Na safu ya nne itakuwa ni zabarajadi, na shohamu, na yaspi. Vito hivyo vitakazwa ndani ya dhahabu kwa kujaa mahali pake.
Dadalesu biyadu amo ganodini igi udiana eno amo ‘belile’, ‘ganilia: ne’ amola ‘ya: sabe’ la: gilisima. Amo noga: i igi huluane afae afae gouli bai amoga madelagima.
21 Na vile vito vitakuwa sawasawa na majina ya wana wa Israeli, kumi na viwili, sawasawa na majina yao. Mfano wa kuchora kwa muhuri kila kimoja sawasawa na jina lake, vitakuwa vya hizo kabila kumi na mbili.
Amo igi fagoyale gala huluane afae afae amoga Ya: igobe egefelali ilia dio huluane dedema. Amo dio da Isala: ili fi fagoyale gala ilia dio.
22 Nawe lazima utie katika kile kifuko cha kifuani mikufu mfano wa kamba, ya kazi ya kusokotwa, ya dhahabu safi.
Bidegi gaga: su amoga gouli sia: ine gobiaha: i defele bione lala: gilisima.
23 Nawe utie maduara mawili ya dhahabu katika kile kifuko cha kifuani, na kuzitia hizo pete mbili katika ncha mbili za kifuko cha kifuani.
Gouli gasisalasu aduna gouliga hamoi amo bidegi gaga: su ea gado hegomai aduna amoga lala: gilisima.
24 Nawe utie hiyo mikufu miwili ya dhahabu iliyosokotwa katika zile pete mbili zilizo katika ncha za kifuko cha kifuani.
Gouli sia: ine aduna amo gasisalasuga lala: gilisima.
25 Na ncha zile nyingine za hiyo mikufu miwili ya kusokotwa utazitia katika vile vijalizo viwili, na kuvitia katika vile vipande vya mabegani vya naivera upande wa mbele.
Gouli sia: ine aduna eno bidi amo gouli bai aduna amoga lala: gilisima. Amasea, ilia da ‘ifode’ ea gida bulu amoga lala: gilisi ba: mu.
26 Nawe utafanya viduara vili vya dhahabu, uzitie katika hizo ncha mbili za kifuko cha kifuani, katika ukingo wake.
Amasea, gouli gasisalasu aduna eno hamone, bidegi gaga: su ea gudu hegomai aduna ganodini ‘ifode’ dafulili amoga lala: gilisima.
27 Nawe lazima ufanye viduara vili vya dhahabu, na kuzitia katika vile vipande viwili vya mabegani vya ile naivera chini yake, upande wa mbele, karibu na kifungo chake, juu ya huo mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi.
Gouli gasisalasu aduna eno hamone, amo da ‘ifode’ ea gida bulu ea gududi bulu eno amoga gadodili lala: gilisima.
28 Nao watakikaza kile kileso kwa vile viduara vyake kwenye viduara za naivera kwa ukanda wa rangi ya samawi, ili kwamba kikae pale juu ya ule mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi, ili kwamba kifuko cha kifuani kisiachane na naivera.
Bidegi gaga: su amo ea gasisalasu amo ‘ifode’ ea gasisalasu amoga mola: ya: i gobiaha: i amoga lala: gilisima. Bai agoane hamosea, Bidegi Gaga: su da bulu gadodili dialumu. Amola e da hoholei hame ba: mu.
29 Na Aruni atayachukua majina ya wana wa Israeli katika kile kifuko cha kifuani cha hukumu juu ya moyo wake kwa kufanya maamuzi, hapo atakapoingia ndani ya mahali patakatifu, kuwa ukumbusho mbele yaYahweh daima.
Elane da Hadigi Malei Sesei amo ganodini golili dasea, e da Bidegi Gaga: su amoga Isala: ili fi ilia dio dedei ea dogo gadenene salawane golili sa: imu. Amaiba: le, Na, Hina Gode da Na fi eso huluane mae yolesili dawa: lalumu.
30 Nawe utie hizo Urimu na Thumimu katika kile kifuko cha kifuani cha hukumu; nazo zitakuwa juu ya moyo wa Aruni, hapo atakapoingia ndani mbele ya Yahweh na Aruni atachukua hukumu ya hao wana wa Israeli juu ya moyo wake mbele ya Yahweh daima.
Igi aduna amo Ulimi amola Damini amo Bidegi Gaga: su ganodini salima. Amasea, Elane da Hadigi Malei Sesei (amo ganodini Hina Gode da esalebe) amo ganodini masea e da ea dogo dafulili Ulimi amola Damini gaguli misunu. Amasea, e da Na da Na fi dunu ilia hou hamoma: ne ilegei, amo dawa: digimu.
31 Nawe fanya hiyo joho ya naivera ya rangi ya samawi yote.
Hina Gode da eno amane sia: i, “Gobele salasu dunu ilia abula amo ‘ifode’ dedebosu da sibi hinabo mola: ya: i amoga fawane hamoma.
32 Nayo itakuwa na tundu katikati yake kwa kupitisha kichwa; itakuwa na utepe wa kazi ya kusokotwa kuzunguka hilo tundu lake, mfano wa tundu lililo katika kanzu ya chuma, ili lisipasuke.
Gobele salasu dunu ilia dialuma salimusa: gelabo da abula ganodini ba: mu. Amo gelabo da mae gadelama: ne ea fe amo gasa ima: ne noga: le amunima.
33 Nawe katika pindo zake utatia makomamanga ya rangi ya samawi, na ya rangi ya zambarau, na ya rangi nyekundu, kuzunguka pindo zake kotekote; na njuga za dhahabu kati ya hayo makomamanga pande zote.
Abula ea fe gudu diala amoga ‘bomigala: nidi’ ifa fage agoane liligi sibi hinabo mola: ya: i, oga: iyei amola yoi amoga hamoi lala: gilisima. Sibi hinabo hamoi ‘bomigala: nidi’ afadafa amalalu, gouli belo afadafa amalalu, ‘bomigala: nidi’ eno agoane fega lala: gilisima.
34 Kengele ya dhahabu na komamanga, kengele ya dhahabu na komamanga, katika pindo za joho kuizunguka pande zote.
35 Nayo itakuwa juu ya Aruni akitumika; na sauti ya hizo kengele itasikilikana hapo aingiapo ndani ya mahali patakatifu mbele ya Yahweh na hapo atokapo nje, ili kwamba asife.
Elane da gobele salasu hawa: hamosea, e da amo abula salawane hamomu. E da Na ba: ma: ne Hadigidafa Momei Sesei ganodini golili dasea o gadili ahoasea, belo sia: da nabimuba: le, e da fanelegei dagoi hame ba: mu.
36 Nawe fanya bamba la dhahabu safi na kuchora juu yake, mfano wa machoro ya muhuri, “Mtakatifu kwa Yahweh.”
Noga: i ba: su liligi gouliga hamoma. Amo da: iya agoane dedema, “Hina Godema hadigi hamoma: ne mogili gagai dagoi.”
37 Nawe ulitie hilo bamba katika ukanda wa rangi ya samawi, nalo litakuwa katika kile kilemba; litakuwa upande wa mbele wa kile kilemba.
Amo nina: hamoi liligi Elane ea abula habuga ba: le gaidiga lala: gilisima.
38 Nalo litakuwa katika kipaji cha uso cha Aruni, na Aruni atauchukua uovu wa vile vitu vitakatifu, watakavyovitakasa hao wana wa Israeli katika vipawa vyao vyote vitakatifu, nalo litakuwa katika kipaji chake cha uso sikuzote, ili kwamba vipate kukubaliwa mbele za Yahweh.
Isala: ili dunu da Na, Hina Gode, hahawane udigili iasu Nama imunu, be eso enoga ilia da giadofale Nama imunu. Be Na da ilia hahawane udigili iasu hahawane lama: ne, Elane da amo nina: hamoi liligi ea odagi da: iya ligisi gaguli ahoanumu.
39 Na hiyo kanzu utaifuma ya kitani nzuri ya kazi ya urembo, ufanye na kilemba cha nguo ya kitani nzuri, nawe utafanya mshipi wa kazi ya mwenye kutia taraza.
Elane ea da: i salasu amo abula noga: iwane amoga hamoma. Ea habuga amola abula bulu amo abula noga: iwane amoga hamoma. Abula bulu amo da: iya sibi hinabo amoga amunima.
40 Kisha utafany kanzu kwa ajili ya wana wa Aruni, nawe wafanyie mishipi, wafanyie na kofia kwa utukufu na uzuri.
Da: i salasu, abula bulu amola habuga, Elane egefelali salima: ne hamoma. Ilia da mimogo amola dunu eno amoga fonobahadi afafane momogili gagai, amo ba: ma: ne hamoma.
41 Nawe mvike huyo nduguye Aruni na wanawe nao mavazi hayo; nawe watie mafuta, na kuwaweka kwa kazi takatifu, na kuwatakasa, ili wapate kunitumikia mimi katika kazi ya ukuhani.
Amo abula liligi huluane, di amo dia ola Elane amola egefelali ilima gasisa: lima. Amasea, ilia da Na gobele salasu dunu hawa: hamomusa: momogili gagama: ne, ilia dialuma da: iya olife susuligi sogadigima.
42 Nawe wafanyie suruali za nguo ya kitani, ili kufunika tupu ya miili yao; suruali hizo zitafika tangu kiunoni hata mapajani.
Ilia selefa dunumuni, abula amoga hamoma. Amo selefa da ilia hagomo asili ilia masele amoga doaga: mu. Ilia sema mae ba: ma: ne agoane hamoma.
43 Aruni na wanawe watazivaa, hapo watakapoingia katika hema ya kukutania, au hapo watakapoikaribia madhabahu ili watumike katika mahali patakatifu; wasije wakachukua uovu, wakafa; hii itakuwa ni amri ya milele kwake yeye, na kwa wazao wake.
Elane amola egefelali da eso huluane Na Abula Diasu ganodini golili dasea o oloda amoga gobele salasu hamoma: ne amo gadenene masea, ilia da amo selefa salawane misunu. Bai ilia da ilia sema olelesea, fanelegei dagoi ba: sa: besa: le, agoane hamomu da defea. Amo da sema amo Elane amola egaga fi da mae yolesili hamonanoma: mu.