< Kutoka 27 >
1 Nawe fanya madhabahu ya mti wa mshita, urefu wake utakuwa ni dhiraa tano na upana wake dhiraa tano. Hiyo madhabahu itakuwa mraba na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu.
Sǝn ⱪurbangaⱨni akatsiyǝ yaƣiqidin yasiƣin. Ⱪurbangaⱨ tɵt qasa bolsun; uzunluⱪi bǝx gǝz, kǝngliki bǝx gǝz, egizliki üq gǝz ⱪilinsun.
2 Nawe fanya pembe nne kama mfano wa pembe za ng'ombe. Hizo pembe zitakuwa za kitu kimoja na madhabahu, nawe utayafunika kwa shaba.
Uning tɵt burjikigǝ ⱪoyulidiƣan münggüzlirini yasiƣin; münggüzliri ⱪurbangaⱨ bilǝn bir gǝwdǝ ⱪilinsun. Ⱪurbangaⱨni mis bilǝn ⱪapliƣin.
3 Lazima vyombo vyake vya kuyaondoa majivu yake utavifanya, na majembe yake, na mabakuli yake, na uma zake, na meko yake. Vyombo vyake vyote utavifanya vya shaba.
Ⱪurbangaⱨning yaƣ [wǝ külini] elixⱪa daslarni yasiƣin; uningƣa has bolƣan gürjǝklǝrni, korilarni, lahxigirlarni wǝ otdanlarnimu yasiƣin; uning barliⱪ ǝswablirini yasaxⱪa mis ixlǝtkin.
4 Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba. Kisha utie pete nne za shaba katika hizo pembe nne za ule wavu.
Ⱪurbangaⱨ üqün mistin bir xala yasiƣin; xalaning tɵt burjikigǝ tɵt mis ⱨalⱪa yasap bekitip ⱪoyƣin.
5 Nawe lazima uweke huo wavu chini ya kizingo kiizungukacho madhabahu upande wa chini.
Xalani ⱪurbangaⱨning ⱪap belining astidiki girwǝktin tɵwǝnrǝk turidiƣan ⱪilƣin, xundaⱪta xala ⱪurbangaⱨning dǝl otturisida bolidu.
6 Nawe fanya miti kwa ajili ya madhabahu, miti ya mshita, na kuifunika shaba.
Ⱪurbangaⱨⱪa ikki baldaⱪ yasiƣin; ular akatsiyǝ yaƣiqidin bolsun, ularni mis bilǝn ⱪapliƣin.
7 Na hiyo miti itatiwa katika viduara, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua.
Ⱪurbangaⱨni kɵtürgǝndǝ, baldaⱪlar uning ikki yenida boluxi üqün, ularni ⱨalⱪilarƣa ɵtküzüp ⱪoyƣin.
8 Uifanye ya mbao, yenye mvungu ndani yake kama ulivyooneshwa mlimani.
Ⱪurbangaⱨni tahtaylardin yasiƣin, iqi box bolsun; u taƣda sanga ayan ⱪilinƣan nusha boyiqǝ [ⱨünǝrwǝnlǝr] tǝyyar ⱪilsun.
9 Nawe ufanye ua wa maskani. Upande wa kusini wa kuelekea kusini kutakuwa na chandarua ya nguo ya kitani nzuri yenye kusokotwa, kwa huo ua, urefu wake upande mmoja utakuwa ni dhiraa mia moja.
Muⱪǝddǝs qedirning ⱨoylisinimu yasiƣin. Ⱨoylining jǝnubiƣa, yǝni jǝnubⱪa yüzlǝngǝn tǝripigǝ nepiz toⱪulƣan aⱪ kanap rǝhttin pǝrdilǝrni toⱪuƣin; xu tǝripining uzunluⱪi yüz gǝz bolsun.
10 Na nguzo zake zitakuwa nguzo ishirini, na vitako vyake ishirini, vitako vyake vitakuwa vya shaba kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
Pǝrdilǝrni esixⱪa yigirmǝ hada yasalsun; ularning tegigǝ ⱪoyuxⱪa yigirmǝ mis tǝglik yasalsun; hadilarning ilmiki bilǝn baldaⱪlar bolsa kümüxtin yasalsun.
11 Ni vivyo hivyo upande wa kaskazini, urefu wake hiyo chandarua utakuwa ni dhiraa mia moja, na nguzo zake ishirini, na vitako vyake ishirini vitakuwa vya shaba, kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
Xuningƣa ohxax ximal tǝripidimu uzunluⱪi yüz gǝz kelidiƣan pǝrdǝ bolsun. Pǝrdilǝrni esixⱪa yigirmǝ hada yasalsun; ularning tegigǝ ⱪoyuxⱪa yigirmǝ mis tǝglik yasalsun; hadilarning ilmiki bilǝn baldaⱪlar bolsa kümüxtin yasalsun.
12 Na upande wa magharibi, upana wa ua kutakuwa na chandarua ya dhiraa hamsini; nguzo zake kumi, na vitako vyake kumi.
Ⱨoylining ƣǝrb tǝripidǝ uzunluⱪi ǝllik gǝz kelidiƣan pǝrdǝ bolsun; uning on hadisi wǝ on tǝgliki bolsun.
13 Na upana wa ule ua upande wa mashariki kuelekea mashariki utakuwa ni dhiraa hamsini.
Ⱨoylining xǝrⱪ tǝripi, yǝni kün qiⱪixⱪa yüzlǝngǝn tǝripining kǝngliki ǝllik gǝz bolsun.
14 Chandarua upande mmoja wa lango itakuwa dhiraa kumi na tano upana wake. Lazima nguzo zake zitakuwa tatu na vitako vyake vitatu.
Bir tǝripidǝ on bǝx gǝz kelidiƣan pǝrdǝ bolsun; uning üq hadisi bilǝn üq tǝgliki bolsun.
15 Upande wa pili ni vivyo hivyo chandarua ya dhiraa kumi na tano; nguzo zake tatu, na vitako vyake vitatu.
Yǝnǝ bir tǝripidǝ on bǝx gǝz kelidiƣan pǝrdǝ bolsun; uning üq hadisi bilǝn üq tǝgliki bolsun.
16 Na kwa lile lango la ua patakuwa na kisitiri cha dhiraa ishirini, kitakuwa cha nguo ya rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji taraza; nguzo zake zitakuwa nne, na vitako vyake vinne.
Ⱨoylining kirix eƣiziƣa yigirmǝ gǝz kelidiƣan bir pǝrdǝ ⱪoyulsun; pǝrdǝ nepiz toⱪulƣan aⱪ kanap rǝhtkǝ kɵk, sɵsün wǝ ⱪizil yiplar arilaxturulup, kǝxtiqi tǝripidin kǝxtilǝnsun. Uning tɵt hadisi bilǝn tɵt tǝgliki bolsun.
17 Nguzo zote za ule ua ziuzungukao pande zote zitakuwa na vitanzi vya fedha; kulabu zake za fedha, na vitako vyake vya shaba.
Ⱨoylining qɵrisidiki ⱨǝmmǝ hadilar kümüxtin yasalƣan baldaⱪlar bilǝn bir-birigǝ qetilsun; ularning ilmǝkliri kümüxtin, tǝglikliri mistin yasalsun.
18 Urefu wa huo ua utakuwa dhiraa mia moja, na upana wake utakuwa dhiraa hamsini kotekote, na kwenda juu kwake dhiraa tano; yawe ya nguo ya kitani nzuri, na vitako vyake vitakuwa vya shaba.
Ⱨoylining uzunluⱪi yüz gǝz, kǝngliki ⱨǝr ikki tǝripi ǝllik gǝz bolsun; nepiz toⱪulƣan aⱪ kanap rǝhttin ixlǝngǝn pǝrdining egizliki bǝx gǝz ⱪilinsun; hadilarning tǝglikliri mistin yasalsun.
19 Vyombo vyote vya maskani vitumiwavyo katika utumishi wake wote, na vigingi vyake vyote, na vigingi vyote vya ule ua, vitakuwa vya shaba.
Muⱪǝddǝs qedirning ix-hizmitidǝ ixlitilidiƣan barliⱪ ǝswab-saymanliri ⱨǝmdǝ barliⱪ miⱪ-ⱪozuⱪliri, xundaⱪla ⱨoylining barliⱪ miⱪ-ⱪozuⱪliri mistin bolsun.
20 awe waamuru wana wa Israeli wakuletee mafuta ya zeituni safi ya kupondwa kwa ajili ya nuru, ili kufanya ile taa kuwaka daima.
— Qiraƣning ⱨǝmixǝ yeniⱪ turuxi üqün, qiraƣⱪa ixlitixkǝ zǝytundin soⱪup qiⱪirilƣan sap mayni ⱪexingƣa kǝltürüxkǝ Israillarni buyruƣin.
21 Ndani ya ile hema ya kukutania, nje ya hilo pazia, lililo mbele ya huo ushuhuda, Haruni na wanawe wataitengeza tangu jioni hadi asubuhi mbele ya BWANA; itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyao vyote kwa ajili ya wana wa Israeli.
Jamaǝt qedirining iqidǝ, ⱨɵküm-guwaⱨliⱪ sanduⱪining udulidiki pǝrdining taxⱪirida Ⱨarun wǝ oƣulliri ⱨǝr keqisi ǝtigǝngiqǝ Pǝrwǝrdigarning aldida qiraƣlarning yeniⱪ turƣuzux ixida bolsun. Bu ix dǝwrdin-dǝwrgiqǝ Israillarƣa ǝbǝdiy bir ⱪanun-bǝlgilimǝ bolsun.