< Kutoka 27 >
1 Nawe fanya madhabahu ya mti wa mshita, urefu wake utakuwa ni dhiraa tano na upana wake dhiraa tano. Hiyo madhabahu itakuwa mraba na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu.
“Tell them to make an altar from acacia wood. It is to be square, (7-1/2 feet/2.2 meters) on each side, and make it (4-1/2 feet/1.3 meters) high.
2 Nawe fanya pembe nne kama mfano wa pembe za ng'ombe. Hizo pembe zitakuwa za kitu kimoja na madhabahu, nawe utayafunika kwa shaba.
[They] must make [a projection that looks like] a horn on each of the top corners. The projections must be carved from the same block of wood as the altar. [Tell them to] cover the whole altar with gold.
3 Lazima vyombo vyake vya kuyaondoa majivu yake utavifanya, na majembe yake, na mabakuli yake, na uma zake, na meko yake. Vyombo vyake vyote utavifanya vya shaba.
[They must] make pans in which to put the [greasy] ashes [from the animal sacrifices]. Also [they must] make shovels for cleaning out the ashes, basins and forks for turning the meat as it cooks, and buckets for carrying hot coals/ashes. All of these things must be made from bronze.
4 Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba. Kisha utie pete nne za shaba katika hizo pembe nne za ule wavu.
Also [tell them to] make a bronze grating to hold the wood and burning coals. They must fasten to each of the corners of the altar a bronze ring for carrying the altar.
5 Nawe lazima uweke huo wavu chini ya kizingo kiizungukacho madhabahu upande wa chini.
[They must] put the grating under the rim that is around the altar. [They must] make it so that it is [inside the altar], halfway down.
6 Nawe fanya miti kwa ajili ya madhabahu, miti ya mshita, na kuifunika shaba.
For [carrying] the altar, [they must] make poles from acacia wood and cover them with bronze.
7 Na hiyo miti itatiwa katika viduara, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua.
[They must] put the poles through the rings on each side of the altar. The poles are for carrying the altar.
8 Uifanye ya mbao, yenye mvungu ndani yake kama ulivyooneshwa mlimani.
The altar will be like a box, made from boards [of acacia wood]. [They must] make it according to these instructions that I am giving you [here] on [this] mountain.”
9 Nawe ufanye ua wa maskani. Upande wa kusini wa kuelekea kusini kutakuwa na chandarua ya nguo ya kitani nzuri yenye kusokotwa, kwa huo ua, urefu wake upande mmoja utakuwa ni dhiraa mia moja.
“Around the Sacred Tent there is to be a courtyard. To form the courtyard, [tell them to] make curtains of fine linen. On the south side, the curtain is to be (50 yards/44 meters) long.
10 Na nguzo zake zitakuwa nguzo ishirini, na vitako vyake ishirini, vitako vyake vitakuwa vya shaba kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
[To support/hang the curtain], [tell them to] make twenty bronze posts, and one bronze base for each post. To fasten the curtains to the posts, [they must] make silver hooks, and [metal] rods [covered with] silver [to fasten the curtains to the hooks].
11 Ni vivyo hivyo upande wa kaskazini, urefu wake hiyo chandarua utakuwa ni dhiraa mia moja, na nguzo zake ishirini, na vitako vyake ishirini vitakuwa vya shaba, kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
[They must] make the same kind of curtains for the north side of the courtyard.
12 Na upande wa magharibi, upana wa ua kutakuwa na chandarua ya dhiraa hamsini; nguzo zake kumi, na vitako vyake kumi.
On the west side [of the courtyard] they must make a curtain (25 yards/22 meters) long. The curtains are to be supported by ten posts, with a base under [each] post.
13 Na upana wa ule ua upande wa mashariki kuelekea mashariki utakuwa ni dhiraa hamsini.
On the east side, [where the entrance is], the courtyard must also be (25 yards/22 meters) wide.
14 Chandarua upande mmoja wa lango itakuwa dhiraa kumi na tano upana wake. Lazima nguzo zake zitakuwa tatu na vitako vyake vitatu.
[Tell them to] make a curtain (22-1/2 feet/6.6 meters) wide for each side of the entrance [to the courtyard].
15 Upande wa pili ni vivyo hivyo chandarua ya dhiraa kumi na tano; nguzo zake tatu, na vitako vyake vitatu.
16 Na kwa lile lango la ua patakuwa na kisitiri cha dhiraa ishirini, kitakuwa cha nguo ya rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji taraza; nguzo zake zitakuwa nne, na vitako vyake vinne.
They must make a curtain (30 feet/9 meters) long for the entrance. A skilled weaver must embroider it with blue, purple, and red yarn/thread. It must be (supported by/hung from) four posts, each one with a base under it.
17 Nguzo zote za ule ua ziuzungukao pande zote zitakuwa na vitanzi vya fedha; kulabu zake za fedha, na vitako vyake vya shaba.
All the posts around the courtyard must be connected with metal rods covered with silver. The clasps/fasteners must be made of silver, and the bases must be made of bronze.
18 Urefu wa huo ua utakuwa dhiraa mia moja, na upana wake utakuwa dhiraa hamsini kotekote, na kwenda juu kwake dhiraa tano; yawe ya nguo ya kitani nzuri, na vitako vyake vitakuwa vya shaba.
The whole courtyard, [from the east entrance to the west end], must be (50 yards/44 meters) long, and the curtains that enclose it must be (7-1/2 feet/2.3 meters) high. All the curtains must be made of fine linen, and all the bases [under the posts] must be made of bronze.
19 Vyombo vyote vya maskani vitumiwavyo katika utumishi wake wote, na vigingi vyake vyote, na vigingi vyote vya ule ua, vitakuwa vya shaba.
All the things [that are not made of gold] that are to be used inside the Sacred Tent and in the courtyard, and all the tent pegs to support the Sacred Tent and the curtains, must be made of bronze.
20 awe waamuru wana wa Israeli wakuletee mafuta ya zeituni safi ya kupondwa kwa ajili ya nuru, ili kufanya ile taa kuwaka daima.
“Command the Israeli people that they must bring to you the best kind of olive oil to [burn in] the lamps. [They must bring this oil to you continually], in order that the lamps can burn continually.
21 Ndani ya ile hema ya kukutania, nje ya hilo pazia, lililo mbele ya huo ushuhuda, Haruni na wanawe wataitengeza tangu jioni hadi asubuhi mbele ya BWANA; itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyao vyote kwa ajili ya wana wa Israeli.
They must put the lampstand outside of the curtain which is in front of [the sacred chest which contains the stone slabs on which I have written] my commandments. Aaron must take care of the lamps. [After he dies], his descendants must do this work. The lamps are to burn every night, from evening until morning. The Israeli people must obey this regulation throughout all future generations.”