< Kutoka 27 >

1 Nawe fanya madhabahu ya mti wa mshita, urefu wake utakuwa ni dhiraa tano na upana wake dhiraa tano. Hiyo madhabahu itakuwa mraba na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu.
Hina Gode da eno amane sia: i “Aga: isia ifa lale, oloda hamoma. Amo da ofodo agoane ea la: di fe defei da 2.2 mida amola la: di fe da 2.2 mida. Ea gadodili heda: su da 1.3 mida ba: mu.
2 Nawe fanya pembe nne kama mfano wa pembe za ng'ombe. Hizo pembe zitakuwa za kitu kimoja na madhabahu, nawe utayafunika kwa shaba.
Oloda ea sisigagala: su (corner) biyaduyale gadili amoga da bulamagau ea ‘hono’ (bese) agoane heda: musa: hamoma. Ilia da oloda amoga noga: le madelagi dagoi ba: mu. Amo huluane balasega dedeboma.
3 Lazima vyombo vyake vya kuyaondoa majivu yake utavifanya, na majembe yake, na mabakuli yake, na uma zake, na meko yake. Vyombo vyake vyote utavifanya vya shaba.
Sefe amola nasubu gilisi amo fadegama: ne, ofodo hamoma. Amola safala amola ofodo amola ma: go amola bianoi ofodo amo lalu gaguli masa: ne amo huluane balasega hamoma.
4 Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba. Kisha utie pete nne za shaba katika hizo pembe nne za ule wavu.
5 Nawe lazima uweke huo wavu chini ya kizingo kiizungukacho madhabahu upande wa chini.
Nasubu da gudu sa: ima: ne, balase liligi amo ganodini gelabo bagohame hamoma. Amo liligi oloda ea gadodili legesu hagudu amo oloda ea bada sagai amoga lala: gilisima. Oloda ea hegomai biyaduyale gala amoga gasisalasu oloda gaguli masa: ne lala: gilisima.
6 Nawe fanya miti kwa ajili ya madhabahu, miti ya mshita, na kuifunika shaba.
Amo oloda gaguli masa: ne, aga: isia ifa aduna hamoma. Amo ifa aduna balasega dedeboma.
7 Na hiyo miti itatiwa katika viduara, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua.
Amo ifa gasisalasu oloda la: di la: di hamoi, amo ganodini salima.
8 Uifanye ya mbao, yenye mvungu ndani yake kama ulivyooneshwa mlimani.
Dilia oloda amo aga: isia ifa da: fe amoga ofodo agoane hamoma. Bai gudu mae fema, be gelabo bagohame ba: mu da defea. Na da goumi da: iya dima hamoma: ne sia: i amo defele noga: le hamoma.
9 Nawe ufanye ua wa maskani. Upande wa kusini wa kuelekea kusini kutakuwa na chandarua ya nguo ya kitani nzuri yenye kusokotwa, kwa huo ua, urefu wake upande mmoja utakuwa ni dhiraa mia moja.
Na Da: bena: gele Abula Diasu amo gagomusa: abula gagoi hamoma. Ga (south) la: di guga amoga abula ea sedade defei 44 mida amo hamone gosagisima.
10 Na nguzo zake zitakuwa nguzo ishirini, na vitako vyake ishirini, vitako vyake vitakuwa vya shaba kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
Amo abula golasu ifa balasega hamoi 20 amo bai balasega hamoi 20 amo ganodini bugi amoga gosagisima. Golasu ifa amoga ma: go amola bulufalegei dagulu agoane da silifa amoga hamoi ba: mu.
11 Ni vivyo hivyo upande wa kaskazini, urefu wake hiyo chandarua utakuwa ni dhiraa mia moja, na nguzo zake ishirini, na vitako vyake ishirini vitakuwa vya shaba, kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
Amo defele ga (north) la: di guga amoga hamoma.
12 Na upande wa magharibi, upana wa ua kutakuwa na chandarua ya dhiraa hamsini; nguzo zake kumi, na vitako vyake kumi.
Guma: dini, abula ea defei da 22 mida amo golasu ifa nabuane gala amola bai nabuane gala, amoga gosagisima.
13 Na upana wa ule ua upande wa mashariki kuelekea mashariki utakuwa ni dhiraa hamsini.
Gusudili amo da logo holei ea sogebi gagoi da guma: dini defele 22 mida defei ba: mu.
14 Chandarua upande mmoja wa lango itakuwa dhiraa kumi na tano upana wake. Lazima nguzo zake zitakuwa tatu na vitako vyake vitatu.
Logo holei da dogoa ba: mu. Ea la: diga da gagoi abula 6.6 mida defei ba: mu. Eno la: diga da amo defele ba: mu. Abula da la: di golasu ifa udiana amola bai udiana amoga gosagisi ba: mu. La: di da amo defele ba: mu.
15 Upande wa pili ni vivyo hivyo chandarua ya dhiraa kumi na tano; nguzo zake tatu, na vitako vyake vitatu.
16 Na kwa lile lango la ua patakuwa na kisitiri cha dhiraa ishirini, kitakuwa cha nguo ya rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji taraza; nguzo zake zitakuwa nne, na vitako vyake vinne.
Logo holeidafa da abula 9 mida defei amoga hamoma. Amo abula amoga sibi hinabo mola: ya: i, oga: iyei amola yoi amoga amunima. Golasu ifa biyaduyale gala amola bai biyaduyale gala amoga gosagisima.
17 Nguzo zote za ule ua ziuzungukao pande zote zitakuwa na vitanzi vya fedha; kulabu zake za fedha, na vitako vyake vya shaba.
Gagoi golasu ifa huluane da silifa dagulu bulufalegei agoane gilisili disi dagoi ba: mu. Ilia ma: go da silifa amoga hamoma amola ilia golasu ifa sagasu bai amo balasega hamoma.
18 Urefu wa huo ua utakuwa dhiraa mia moja, na upana wake utakuwa dhiraa hamsini kotekote, na kwenda juu kwake dhiraa tano; yawe ya nguo ya kitani nzuri, na vitako vyake vitakuwa vya shaba.
Gagoi ea defei da agoane. Sedade defei da 44 mida. Dunumuni defei da 22 mida. Amola ea gado heda: su defei da 2.2 mida agoane ba: mu. Abula gosagisu da abula noga: i ahea: ya: i amoga hamoma. Amola golasu ifa sagasu bai amo balasega hamoma.
19 Vyombo vyote vya maskani vitumiwavyo katika utumishi wake wote, na vigingi vyake vyote, na vigingi vyote vya ule ua, vitakuwa vya shaba.
Liligi huluane Da: bena: gele Abula Diasu amoga sali, ea golasu ifa amola gagoi ea golasu ifa huluane, balasega hamoma.
20 awe waamuru wana wa Israeli wakuletee mafuta ya zeituni safi ya kupondwa kwa ajili ya nuru, ili kufanya ile taa kuwaka daima.
Isala: ili dunu noga: le olelema. Ilia da olife susuligi noga: idafa amo gamali daeya huluane ulagisimusa: gaguli misa: ne sia: ma. Bai ilia da daeya huluane amo gamali ulagimu.
21 Ndani ya ile hema ya kukutania, nje ya hilo pazia, lililo mbele ya huo ushuhuda, Haruni na wanawe wataitengeza tangu jioni hadi asubuhi mbele ya BWANA; itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyao vyote kwa ajili ya wana wa Israeli.
Elane amola egefelali da amo gamali Da: bena: gele Abula Diasu ganodini ligisima: ne sia: ma. Ea sogebi da Hadigidafa Momei Sesei abula gadili amola Hadigi Malei Sesei ganodini dialebe ba: mu. Ilia da daeya amo gamali ulagisia gamali da ulagilalu hadigimu Na esalebe sogebi amo ganodini. Amo hamoma: ne sia: i ilegei da Isala: ili dunu amola iligaga fi huluanema mae yolesili, eso huluane hamoma: ne dialumu.”

< Kutoka 27 >