< Kutoka 26 >
1 Lazima ufanye hiyo maskani iwe na mapazia kumi ifanye ya nguo ya kitani nzuri ya kusokota, pamoja na nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, pamoja na makerubi. Kazi ya fundi stadi.
Tu feras aussi le pavillon de dix rouleaux de fin lin retors, de pourpre, d'écarlate, et de cramoisi; et tu les feras semés de Chérubins d'un ouvrage exquis.
2 Urefu wa kila pazia utakuwa dhiraa ishirini na nane, na upana wa kila pazia utakuwa dhiraa nne. Mapazia yote yatakuwa ya kipimo kimoja.
La longueur d'un rouleau sera de vingt-huit coudées, et la largeur du même rouleau de quatre coudées; tous les rouleaux auront une même mesure.
3 Mapazia matano yataungwa pamoja, na mapazia matano mengine yataungwa pamoja.
Cinq de ces rouleaux seront joints l'un à l'autre, et les cinq autres seront aussi joints l'un à l'autre.
4 Lazima ufanye tanzi za rangi ya samawati upande wa mwisho wa pazia moja katika ule upindo wa fungu lake. Vivyo hivyo utafanya upande wa mwisho wa ile pazia iliyo, katika fungu la pili.
Fais aussi des lacets de pourpre sur le bord d'un rouleau, au bord du [premier] assemblage; et tu feras la même chose au bord du dernier rouleau dans l'autre assemblage.
5 Fanya matanzi hamsini katika pazia moja, na matanzi hamsini katika upande wa mwisho wa ile pazia iliyo katika kuungana kwa pili.
Tu feras [donc] cinquante lacets en un rouleau, et tu feras cinquante lacets au bord du rouleau qui est dans le second assemblage; les lacets seront vis-à-vis l'un de l'autre.
6 Fanya hivi ili hizo tanzi zielekeana. Kisha ufanye vifungo hamsini vya dhahabu, na kuunganisha hayo mapazia pamoja kwa vile vifungo na hiyo maskani itakuwa ni moja.
Tu feras aussi cinquante crochets d'or, et tu attacheras les rouleaux l'un à l'autre avec les crochets; ainsi sera fait un pavillon.
7 Lazima ufanye mapazia ya nywele za mbuzi yawe hema juu ya maskani. Lazima ufanye mapazia kumi na moja.
Tu feras aussi des rouleaux de poils de chèvres pour servir de Tabernacle par-dessus le pavillon; tu feras onze de ces rouleaux.
8 Urefu wa kila pazia utakuwa dhiraa thelathini, na upana wa kila pazia utakuwa dhiraa nne. Hayo mapazia kumi na moja yatakuwa ya kipimo kimoja.
La longueur d'un rouleau sera de trente coudées, et la largeur du même rouleau sera de quatre coudées; les onze rouleaux auront une même mesure.
9 Lazima utaunganisha mapazia matano mbali, na mapazia sita mbali, na lile pazia la sita utalikunja hapo upande wa mbele wa ile hema.
Puis tu joindras cinq rouleaux à part, et six rouleaux à part; mais tu redoubleras le sixième rouleau sur le devant du Tabernacle.
10 Ufanye tanzi hamsini upande wa mwisho wa pazia lile lililo la mwisho katika hayo yaliyounganywa pamoja, na tanzi hamsini upande wa mwisho wa lile pazia lililo nje katika hayo ya pili yaliyounganywa pamoja.
Tu feras aussi cinquante lacets sur le bord de l'un des rouleaux, [savoir] au dernier qui est accouplé, et cinquante lacets sur le bord de l'autre rouleau qui est accouplé.
11 Kisha ufanye vifungo hamsini vya shaba, na kuvitia vile vifungo katika zile tanzi, na kuiunganya ile hema pamoja, ili iwe hema moja.
Tu feras aussi cinquante crochets d'airain, et tu feras entrer les crochets dans les lacets; et tu assembleras ainsi le Tabernacle, tellement qu'il ne soit qu'un.
12 Kipande kile kilichosalia, kile kiangukacho, cha yale mapazia ya hema, itaanguka huko upande wa nyuma wa maskani.
Mais ce qu'il y aura de surplus du rouleau du Tabernacle, [savoir] la moitié du rouleau qui demeurera de reste, flottera sur le derrière du pavillon.
13 Lazima kuwe na dhiraa moja upande mmoja, na ile dhiraa moja upande wa pili - ya urefu wa mapazia ya hema uliosalia, zitaanguka katika ubavu wa maskani upande huu na upande huu, ili kuifunika.
Et une coudée deçà, et une coudée delà, de ce qui sera de surplus dans la longueur des rouleaux du Tabernacle, flottera aux côtés du pavillon çà et là, pour le couvrir.
14 Nawe fanya kifuniko cha ile hema, cha ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.
Tu feras aussi pour ce Tabernacle une couverture de peaux de moutons teintes en rouge, et une couverture de peaux de taissons par-dessus.
15 Nawe lazima ufanye hizo fremu za maskani za mti wa mjohoro.
Et tu feras pour le pavillon des ais de bois de Sittim, qu'on fera tenir debout.
16 Kila fremu utakuwa na urefu wa dhiraa kumi, na upana wake kila ubao utakuwa dhiraa moja na nusu.
La longueur d'un ais sera de dix coudées, et la largeur du même ais d'une coudée et demie.
17 Kila fremu itakuwa na ndimi mbili, zenye kuunganishwa huu na huu. Ndivyo utakavyozifanya mbao zote za maskani.
Il y aura deux tenons dans chaque ais, en façon d'échelons l'un après l'autre; [et] tu feras ainsi de tous les ais du pavillon,
18 Kisha ufanye zile mbao za maskani, mbao ishirini kwa upande wa kusini kuelekea kusini.
Tu feras donc les ais du pavillon, [savoir] vingt ais au côté qui regarde vers le Midi.
19 Lazima nawe ufanye vitako arubaini vya fedha chini ya zile fremu ishirini. Vitako viwili chini ya fremu moja, kupokea zile ndimi zake mbili, na vitako viwili chini ya fremu nyingine kupokea zile ndimi zake mbili.
Et au-dessous des vingt ais tu feras quarante soubassements d'argent; deux soubassements sous un ais pour ses deux tenons, et deux soubassements sous l'autre ais pour ses deux tenons.
20 Kwa upande wa pili wa maskani, upande wa kaskazini, mbao ishirini
Et vingt ais à l'autre côté du pavillon, du côté du Septentrion.
21 na vitako vyake vya fedha arubaini. Lazima kuwe na vitako viwili chini ya fremu moja, na vitako viwili chini ya fremu nyingine.
Et leurs quarante soubassements seront d'argent, deux soubassements sous un ais, et deux soubassements sous l'autre ais.
22 Ufanye fremu sita kwa ajili ya upande wa nyuma wa maskani kuelekea magharibi.
Et pour le fond du pavillon vers l'Occident, tu feras six ais.
23 Tena ufanye fremu mbili kwa ajili ya hizo pembe za maskani zilizo upande wa nyuma.
Tu feras aussi deux ais pour les encoignures du pavillon, aux deux côtés du fond.
24 Hizi fremu zitakuwa zimetengana upande wa chini, lakini zimeshinkana kwa juu ya duara moja.
Et ils seront égaux par le bas, et ils seront joints et unis par le haut avec un anneau; il en sera de même des deux [ais] qui seront aux deux encoignures.
25 Fremu zitakuwa ni nane, na vitako vyake vya fedha. Vitako kumi na sita, vitako viwili chini ya fremu moja, na vitako viwili chini ya ubao wa pili.
Il y aura donc huit ais, et seize soubassements d'argent; deux soubassements sous un ais, et deux soubassements sous l'autre ais.
26 Lazima ufanye mataruma ya mti wa mshita- mataruma matano kwa ajili ya mbao za upande mmoja wa maskani,
Après cela tu feras cinq barres de bois de Sittim, pour les ais d'un des côtés du pavillon.
27 na mataruma matano kwa ajili ya fremu za upande wa pili wa maskani, na mataruma matano kwa ajili ya fremu za upande wa maskani ulio nyuma kuelekea magharibi.
Pareillement [tu feras] cinq barres, pour les ais de l'autre côté du pavillon; et cinq barres pour les ais du côté du pavillon, pour le fond, vers le côté de l'Occident.
28 Na hilo taruma la katikati lililo katikati ya zile fremu, litapenya toka mwisho huu hata mwisho huu.
Et la barre du milieu sera au milieu des ais, courant d'un bout à l'autre.
29 lazima uzifunuke hizo fremu kwa dhahabu. Nawe lazima ufanye maduara yake ya za dhahabu, kuwa kama vishikizo, na hayo mataruma utayafunika dhahabu.
Tu couvriras aussi d'or les ais, et tu feras leurs anneaux d'or, pour mettre les barres, et tu couvriras d'or les barres.
30 Nawe utaisimamisha hiyo maskani sawasawa na mfano wake uliooneshwa mlimani.
Tu dresseras donc le Tabernacle selon la forme qui t'en a été montrée en la montagne.
31 Nawe fanya pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na nguo za kitani nzuri zenye kusokotwa, litafumwa na kutiwa makerubi, kazi ya fundi stadi.
Et tu feras un voile de pourpre, d'écarlate, de cramoisi, et de fin lin retors; on le fera d'ouvrage exquis, semé de Chérubins.
32 Kisha litungike katika nguzo nne za mti wa mshita zilizofunikwa dhahabu, vifungo vyake vitakuwa vya dhahabu, katika vitako vya fedha vinne.
Et tu le mettras sur quatre piliers de bois de Sittim couverts d'or, ayant leurs crochets d'or, et ils seront sur quatre soubassements d'argent.
33 Nawe tungika lile pazia chini ya vile vifungo, nawe lete lile sanduku la ushuhuda. Lile pazia litawagawanyia kati ya patakatifu, na mahali patakatifu sana.
Puis tu mettras le voile sous les crochets, et tu feras entrer là dedans, [c'est-à-dire], au-dedans du voile, l'Arche du Témoignage, et ce voile vous fera la séparation d'entre le lieu Saint et le lieu Très-saint.
34 Nawe lazima utaweka kiti cha rehema juu ya lile sanduku la ushuhuda ndani ya mahali pale patakatifu sana. Na ile meza utaiweka nje ya pazia.
Et tu poseras le Propitiatoire sur l'Arche du Témoignage, dans le lieu Très-saint.
35 Lazima uweke kinara cha taa kuikabili ile meza upande wa maskani wa kuelekea kusini. Lile meza utaiweka upande wa kaskazini.
Et tu mettras la table au dehors de ce voile, et le chandelier vis-à-vis de la table, au côté du pavillon, vers le Midi; et tu placeras la table au côté du Septentrion.
36 Kisha utafanya kisitiri kwa mlango wa hema, cha nyuzi za rangi ya buluu, zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji wa taraza.
Et à l'entrée du Tabernacle tu feras une tapisserie de pourpre, d'écarlate, de cramoisi et de fin lin retors, d'ouvrage de broderie.
37 Nawe fanya nguzo tano za mti wa mshita kwa kile kisitiri, na kuzifunika dhahabu; kulabu zake zitakuwa za dhahabu. Nawe utasubu vitako vya shaba vitano kwa ajili yake.
Tu feras aussi pour cette tapisserie cinq piliers de bois de Sittim, que tu couvriras d'or, et leurs crochets seront d'or; et tu fondras pour eux cinq soubassements d'airain.