< Kutoka 26 >
1 Lazima ufanye hiyo maskani iwe na mapazia kumi ifanye ya nguo ya kitani nzuri ya kusokota, pamoja na nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, pamoja na makerubi. Kazi ya fundi stadi.
Hothloilah, lukkareiim hah âthi hni, hnipaling, loukloukkaang e hni yung hra touh hoi sak e, cherubim em kahawicalah na la vaiteh, mek na sak sin han.
2 Urefu wa kila pazia utakuwa dhiraa ishirini na nane, na upana wa kila pazia utakuwa dhiraa nne. Mapazia yote yatakuwa ya kipimo kimoja.
Yaphni e teh ayung dong 28 touh rip a kâvan han. Adangka dong 4 touh rip han. Abuemlahoi yaphni koung a kâvan han.
3 Mapazia matano yataungwa pamoja, na mapazia matano mengine yataungwa pamoja.
Yaphni e hah buet touh hoi buet touh koung kâbet han. Alouke panga touh hai buet touh hoi buet touh koung a kâbet han.
4 Lazima ufanye tanzi za rangi ya samawati upande wa mwisho wa pazia moja katika ule upindo wa fungu lake. Vivyo hivyo utafanya upande wa mwisho wa ile pazia iliyo, katika fungu la pili.
Patawp e yaphni hah apasuek e a tâphai a poutnae dawk laikaw dik kamthim e hoi na sak han. Hottelah patawp e yaphni e apâhni e avanglae apoutnae dawk hai na sak han.
5 Fanya matanzi hamsini katika pazia moja, na matanzi hamsini katika upande wa mwisho wa ile pazia iliyo katika kuungana kwa pili.
Yaphni buet touh dawkvah, laikaw 50 touh na sak han. Hahoi patawpnae apasueke tâphai dawk hai laikaw 50 touh na sak vaiteh, phouk kadangka lah ao awh han.
6 Fanya hivi ili hizo tanzi zielekeana. Kisha ufanye vifungo hamsini vya dhahabu, na kuunganisha hayo mapazia pamoja kwa vile vifungo na hiyo maskani itakuwa ni moja.
Tarennae 50 touh sui hoi na sak han. Hote tarennae ni yaphni hah hmai na taren sin vaiteh, lukkareiim teh buet touh lah na o sak han.
7 Lazima ufanye mapazia ya nywele za mbuzi yawe hema juu ya maskani. Lazima ufanye mapazia kumi na moja.
Lukkareiim e a lemphu dawkvah, hmae muen hoi yaphni hah na sak han. Yaphni 11 touh hoi na sak han.
8 Urefu wa kila pazia utakuwa dhiraa thelathini, na upana wa kila pazia utakuwa dhiraa nne. Hayo mapazia kumi na moja yatakuwa ya kipimo kimoja.
Yaphni teh ayung dong 30 touh rip a pha han. Adangka dong pali touh vaiteh, yaphni 11 touh e hah koung a kâvan han.
9 Lazima utaunganisha mapazia matano mbali, na mapazia sita mbali, na lile pazia la sita utalikunja hapo upande wa mbele wa ile hema.
Yaphni panga touh e hah koung na patawp han. Hahoi yaphni taruk touh hah lukkareiim hma lae yaphni taruk touh e hmalah koung na patawp han.
10 Ufanye tanzi hamsini upande wa mwisho wa pazia lile lililo la mwisho katika hayo yaliyounganywa pamoja, na tanzi hamsini upande wa mwisho wa lile pazia lililo nje katika hayo ya pili yaliyounganywa pamoja.
Patawp e yaphni pasuek e tâphai dawk laikaw 50 touh hoi na sak vaiteh, patawpnae apâhni e tâphai dawk laikaw 50 touh na sak han.
11 Kisha ufanye vifungo hamsini vya shaba, na kuvitia vile vifungo katika zile tanzi, na kuiunganya ile hema pamoja, ili iwe hema moja.
Hetsinnae 50 touh e hah rahum hoi na sak han. Rakhan buet touh lah ao thai nahanelah, hetsinnae hah tâphai lae laikaw dawk na bang han.
12 Kipande kile kilichosalia, kile kiangukacho, cha yale mapazia ya hema, itaanguka huko upande wa nyuma wa maskani.
Lukkareiim e yaphni kacawie tangawn hah, lukkareiim e a hnuklah na bang han.
13 Lazima kuwe na dhiraa moja upande mmoja, na ile dhiraa moja upande wa pili - ya urefu wa mapazia ya hema uliosalia, zitaanguka katika ubavu wa maskani upande huu na upande huu, ili kuifunika.
Hahoi lukkareiim avanlah kacawie yaphni som dong touh reira e hateh avangvanglah lukkareiim ramuknae a kahup lah a kâbang han.
14 Nawe fanya kifuniko cha ile hema, cha ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.
Lukkareiim lemphu ramuk nahanelah tu pho paling bu e, hote tu pho van vah hmae pho hah na sak han.
15 Nawe lazima ufanye hizo fremu za maskani za mti wa mjohoro.
Lukkareiim tungdum nahanelah thingpheknaw hah anri thing hoi na sak han.
16 Kila fremu utakuwa na urefu wa dhiraa kumi, na upana wake kila ubao utakuwa dhiraa moja na nusu.
Thingphek teh asaw e dong hra, akaw e dong touh hoi tangawn han.
17 Kila fremu itakuwa na ndimi mbili, zenye kuunganishwa huu na huu. Ndivyo utakavyozifanya mbao zote za maskani.
Hote thingphek pueng dawk a khok kahni touh na sak han.
18 Kisha ufanye zile mbao za maskani, mbao ishirini kwa upande wa kusini kuelekea kusini.
Lukkareiim akalah kalup nahanelah thingphek 20 touh na sak han.
19 Lazima nawe ufanye vitako arubaini vya fedha chini ya zile fremu ishirini. Vitako viwili chini ya fremu moja, kupokea zile ndimi zake mbili, na vitako viwili chini ya fremu nyingine kupokea zile ndimi zake mbili.
Hote thingphek 20 touh dawk e buetbuet touh e rahim vah, a khok kahni touh mawp nahanelah ngun khokpacawp 40 touh na sak han. A tangkhang hanelah ngun khokpacawp kahni touh lengkaleng na sak han.
20 Kwa upande wa pili wa maskani, upande wa kaskazini, mbao ishirini
Hot patetvanlah, lukkareiim atunglah kalup nahanelah thingphek 20 touh ao han.
21 na vitako vyake vya fedha arubaini. Lazima kuwe na vitako viwili chini ya fremu moja, na vitako viwili chini ya fremu nyingine.
Ngun khokpacawp 40 touh e hah thingphek buet touh hanelah kahni touh lengkaleng na sak han.
22 Ufanye fremu sita kwa ajili ya upande wa nyuma wa maskani kuelekea magharibi.
Lukkareiim a hnuk lae kalup nahanelah thingphek 6 touh na sak han.
23 Tena ufanye fremu mbili kwa ajili ya hizo pembe za maskani zilizo upande wa nyuma.
A takin avoivang lah kalup nahane kahni touh na sak han.
24 Hizi fremu zitakuwa zimetengana upande wa chini, lakini zimeshinkana kwa juu ya duara moja.
Takin kahni touh dawk, a rahim lahai a lathueng lahai laikaw hah na bang han.
25 Fremu zitakuwa ni nane, na vitako vyake vya fedha. Vitako kumi na sita, vitako viwili chini ya fremu moja, na vitako viwili chini ya ubao wa pili.
Hahoi thingphek 8 touh hah na kangdue nahanelah ngun laikaw 16 touh ao han, thingphek buet touh hanelah tarik e kahni touh lengkaleng ao han.
26 Lazima ufanye mataruma ya mti wa mshita- mataruma matano kwa ajili ya mbao za upande mmoja wa maskani,
Anri thing hoi tapang e pangkhek hah na sak han. Lukkareiim avangvanglah hane thingphek panga touh lukkareiim avanglah hane thingphek panga touh.
27 na mataruma matano kwa ajili ya fremu za upande wa pili wa maskani, na mataruma matano kwa ajili ya fremu za upande wa maskani ulio nyuma kuelekea magharibi.
Lukkareiim hnuklah kalupnae thingphek hrawt nahanelah tarennae acung yung panga touh na sak han.
28 Na hilo taruma la katikati lililo katikati ya zile fremu, litapenya toka mwisho huu hata mwisho huu.
A lungui tapang tâphai hah a tangkhang thingphek lungui hoi avanglah apoutnae koehoi avanglah a poutnae totouh na pha sak han.
29 lazima uzifunuke hizo fremu kwa dhahabu. Nawe lazima ufanye maduara yake ya za dhahabu, kuwa kama vishikizo, na hayo mataruma utayafunika dhahabu.
Thingphek hah sui tui hoi na hluk han. Hahoi tapang e tâphai hrawtnae laikaw hah sui hoi na sak han, tapang tâphai hai sui tui hoi na hluk han.
30 Nawe utaisimamisha hiyo maskani sawasawa na mfano wake uliooneshwa mlimani.
Hottelah mon dawkvah, kai ni na patue e patetlah lukkareiim teh na sak han.
31 Nawe fanya pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na nguo za kitani nzuri zenye kusokotwa, litafumwa na kutiwa makerubi, kazi ya fundi stadi.
Kamthim hni, âthi hni, hnipaling loukloukkaang e hoi carouk e na sak han. A meikahawicalah cherubim mei na sak han.
32 Kisha litungike katika nguzo nne za mti wa mshita zilizofunikwa dhahabu, vifungo vyake vitakuwa vya dhahabu, katika vitako vya fedha vinne.
Hote sui tui hluk e anri thing khom pali touh dawkvah yaphni hah na bang han. Hote khom teh sui hoi sak e hetnae hoi ngun khokpacawp pali touh dawk ung e lah ao han.
33 Nawe tungika lile pazia chini ya vile vifungo, nawe lete lile sanduku la ushuhuda. Lile pazia litawagawanyia kati ya patakatifu, na mahali patakatifu sana.
Kacakcalah na het vaiteh, yaphni hah na yap vaiteh, yaphni thung lah lawkpanuesaknae thing kong hah na ta han. Yaphni na yap e hah namamouh hane hmuen kathoung hoi hmuen kathoungpounge kapeknae lah ao han.
34 Nawe lazima utaweka kiti cha rehema juu ya lile sanduku la ushuhuda ndani ya mahali pale patakatifu sana. Na ile meza utaiweka nje ya pazia.
Lungmanae tungkhung hah hmuen kathoungpounge lawkpanuesaknae thingkong van na ta han.
35 Lazima uweke kinara cha taa kuikabili ile meza upande wa maskani wa kuelekea kusini. Lile meza utaiweka upande wa kaskazini.
Yaphni alawilah caboi hah na ta vaiteh, lukkareiim akalae hmaiimkhok, atunglah caboi buet touh hoi buet touh kadangka lah na ta han.
36 Kisha utafanya kisitiri kwa mlango wa hema, cha nyuzi za rangi ya buluu, zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji wa taraza.
Hahoi lukkareiim takhang koe yaphni loukloukkaang e, carouk e lukkarei kamthim hni, âthi hni, hnipalingnaw, hoi, emlakathoum koe em la sak hoi na sak han.
37 Nawe fanya nguzo tano za mti wa mshita kwa kile kisitiri, na kuzifunika dhahabu; kulabu zake zitakuwa za dhahabu. Nawe utasubu vitako vya shaba vitano kwa ajili yake.
Hahoi anri thing hoi yaphni yap nahane hah khom panga touh na sak vaiteh, sui tui koung na hluk han. Bang nahanelah sui hoi na sak han. Hotnaw pâhung nahanelah, rahum khokpacawp panga touh na sak han.