< Kutoka 25 >

1 Yahweh akamwambia Musa,
Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
2 “Waambie Waisraeli wanitolee sadaka kila mtu nawe utapokea kutoka kwa mtu yeyote atakayetoa kwa moyo mkunjufu. Lazima upokee hizi sadaka kwa ajili yangu.
Di Isala: ili dunuma ilia da Nama iasu hamoma: ne sia: ma. Ilia da Nama imunusa: dawa: lalu, amo iasu di lama.
3 Hizi ndio sadaka utakazopokea kwao; dhahabu, fedha na shaba,
Ilia da Nama agoane liligi imunu da defea. Gouli, silifa, balase,
4 buluu, zambarau na nyekundu, na nguo za kitani safi, na manyoya ya mbuzi;
abula, gobiaha: i (amo da mola: ya: i, yoi), abula goudi hinabo amoga hamoi,
5 na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu na ngozi za pomboo, miti ya mjohoro,
sibi gawali ea gadofo yoi amoga ulasi, bulamagau gadofo, aga: isia ifa,
6 mafuta ya ile taa, na viungo vya manukato kwa yale mafuta ya kupaka na kwa ule uvumba wenye harufu nzuri;
gamali hano amo gamali ganodini salimusa: , gabusiga: liligi amo sogadigisu susuligi ganodini salimusa: , laluga gobesimusa: gabusiga: liligi,
7 mawe ya shohamu na mawe mengine ya kutiwa kwa ile naivera na kwa kile kifuko cha kifuani.
igi noga: i gala (ganilia: ne) amola igi eno noga: i amo gobele salasu dunu ea ‘ifode’ (bidegiga salasu) amola bidegi gaga: su amo ganodini salimusa:
8 Waache wanifanyie patakatifu ili nipate kukaa kati yao.
Isala: ili dunuma ilia da Na ilia gilisisu ganodini esaloma: ne, amo hadigi Abula Diasu gaguma: ne sia: ma.
9 Lazima ufanye sawa na haya yote nikuoneshayo mfano wa maskani, na vifaa vyake, ndivyo utakavyovifanya.
Amo Abula Diasu amola Diasu ganodini liligi huluane amo Na da dima olelemu defele hamoma.
10 Wana paswa wafanye sanduku la mti wa mjohoro. Urefu wake na uwe dhiraa mbili na nusu; na upana wake moja na nusu, na kwenda juu kwake dhiraa moja na nusu.
Dilia ‘aga: isia’ ifa amoga Gagili noga: i hamoma. Ea sedade fe defei amo110sedimida hamoma. Ea fe defei la: didili da 66 sedimida hamoma. Amola ea gadodili defei da 66 sedimida.
11 Lazima ulifunike nadni kwa dhahabu safi, na utie na ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.
Amo Gagili ganodini amola gadili gouliga dedeboma.
12 Nawe uta yayusha katika viduara vinne vya dhahabu, na kuviweka katika miguu yake minne; viduara viwili upande mmoja, na viduara viwili upande wake wa pili.
Lobo sogo gasisalasu defele 4 agoane gouliga hamoma. Amo da Gagili ea emoga madelagimu. Ilia da amo Gagili gaguli masa: ne hamoma.
13 Nawe lazima ufanya miti mirefu ya mshita na kuifunika dhahabu.
Gagili la: gili gaguli masa: ne, ‘aga: isia’ ifa amo hamone gouliga dedeboma.
14 Nawe lazima uweka hiyo miti katika vile viduara vilivyo katika pande mbili za sanduku ili kulichukua hilo sanduku.
Amo ifa dilia da gasisalasu amo Gagili la: didili salawane gaguli masa.
15 Hiyo miti itakaa katika vile viduara vya sanduku; haitaondolewa.
Be amo ifa da gasisalasu ganodini salalalu, maedafa duga: ma.
16 Kisha weka ndani ya sanduku hizo amri nitakazokupa.
Na da igi gasui aduna amoga sema bagade dedemu. Amo Na da dima iasea, di amo Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ganodini salima.
17 Nawe lazima utengeneze kifuniko cha dhahabu safi. Urefu wake utakuwa dhiraa mbili na nusu, na upana wake dhiraa moja na nusu.
Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amoga gouli ga: lu hamoma. Amo ga: lu ea fe defei da 110 sedimida ba: mu amola ea la: didili fe defei amo 66 sedimida hamoma.
18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu katika hiyo miisho miwili ya kiti cha rehema.
Dilia ougia gala ‘sielabe’ aduna amo gouliga hamoma.
19 Weka kerubi moja mwisho mmoja wa kiti cha rehema, na kerubi la pili mwisho wa pili. Lazima hao makerubi wawe kitu kimoja na kiti cha rehema.
Ela da ga: lu la: didili leloma: ne amola ga: lu amoga madelagi leloma: ne hamoma.
20 Na hao makerubi watainua mabawa yao juu, na kukifunika hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao. Nyuso zao makerubi zitaelekeana na zitaelekea kiti cha rehema.
Amo ougia gala ‘sielabe’ aduna da ga: lu da: iya sisima: hodole esala defele hamoma. Ela da ougia ligiagale ga: lu amo dedebomusa: dialebe ba: mu.
21 Lazima uweke kiti cha rehema juu ya hilo sanduku, kisha uwe hizo amri nitakazokupa ndani ya sanduku.
Di da igi gasui aduna amo Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ganodini salimu. Amasea, ga: lu ga: sima.
22 Nami nitaonana nawe hapo katika sanduku. Nitazungumza nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema. Itakuwa katikati ya hao makerubi mawili waliyo juu ya sanduku la ushuhuda nitakapo zungumza na wewe katika mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa Israeli.
Na da ga: lu da: iya amo dima gousa: musa: misunu. Amola Na da amo da: iya ougia gala ‘sielabe’ aduna la: didili lela amo dogoa Na da lelumu amola Na sema huluane di Isala: ili dunuma alofele olelema: ne, dima imunu.
23 Nawe fanya meza ya mti wa mshiti. Urefu wake utakuwa dhiraa mbili, na upana wake dhiraa moja, na kwenda juu kwake dhiraa moja na nusu.
Dilia aga: isia ifa lale, fafai hamoma. Amo ea defei da sedade fe da 88 sedimida hamoma. Dunumuni fe da 44 sedimida defema. Amola gado lelebe defei da 66 sedimida defema.
24 Uifunike dhahabu safi na kuifanyia ukingo wa dhahabu wa kuizunguka pande zote.
Dilia amo fafai gouli noga: i amoga dedeboma. Amola ea fe amoga gouli oulegesu legema.
25 Lazima ufanyie fremu ya kuizunguka pande zote, upana wake utakuwa nyanda nne, ukingo wa dhahabu wa kuuzunguka fremu pande zote.
Fafai ea fe amoga oulegesu gouli amo ea ba: de da 75 milimida hamoma.
26 Uifanyie viduara vinne vya dhahabu na kuvitia vile viduara katika pembe zake nne, katika miguu yake minne ilipo kuwa.
Amo fafai gaguli masa: ne gasisalasu biyaduyale gouliga hamone amo fafai ea bada sagai ilia bai gadenene fafai amoga madelagima.
27 Vile viduara na viwe karibu na ile fremu ili viwe mahali pa kutilia ile miti, ya kuichukulia meza.
Amo gasisalasu da oulegesu ea fe amo gadenene hamoma.
28 Fanya ile miti ya mti wa mshita, na kuifunika dhahabu, kwamba ile meza ichukuliwe kwayo.
Amo fafai gaguli masa: ne ea ifa aga: isia ifa amoga hamone, gouliga dedeboma.
29 Nawe fanya sahani zake, na miiko yake, na makopo yake, na vikombe vyake vya kumiminia. Vifanye vyote vya dhahabu safi.
Ofodo, faigelei amola hano buni amo waini iasu hou hamoma: ne, amo huluane gouliga hamoma.
30 Nawe utaiweka mikate ya wonyesho juu ya meza mbele yangu daima.
Amo fafai, Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amo ea midadi ligisima. Amola sema agi ga: gi dilia da Nama imunu liligi da eso huluane mae fisili fafai da: iya dialebe ba: mu.
31 Nawe fanya kinara cha taa cha dhahabu safi; hicho kinara na kifanywe cha kazi ya kufua, kitako chake, na mti wake, vikombe vyake, na matovu yake, na maua yake, vyote vitakuwa vya kitu kimoja nacho.
Gamali bai amo gouliga hamoma. Ea bai amola ea damo da gouliga hamoma. Amo noga: i ba: ma: ne dilia sogea amola falegai liligi amo gouliga hamone, ilia da amo gamali bai amoga madelagi dagoi ba: mu.
32 Nacho kitakuwa na matawi sita yenye kutoka ubavuni mwake - matawi matatu ya kinara upande wake mmoja, na matawi matatu ya kinara upande wake wa pili.
Gamali ea bai da heda: le, sagulufale, amoda gafeyale gala, udiana da la: di, udiana eno da la: didili ba: mu.
33 Tawi la kwanza lazima liwe na vikombe vitatu vilivyotengenezwa mfano wa maua ya mlozi katika tawi moja, tovu na ua na vikombe vitatu vilivyofanywa mfano wa maua ya mlozi katika tawi la pili, tovu na ua. Vivyo hivyo hayo matawi yote sita yatokayo katika kile kinara.
Amo amoda gafeyale gala afae afae da falegai liligi, ‘alamode’ ea sogea defele amoga legei ba: mu.
34 Katika hicho kinara, lazima kuwe na vikombe vinne vilivyofanywa mfano wa maua ya mlozi, matovu yake, na maua yake.
Gamali damo gadodili da falegai biyaduyale gala ‘alamode’ agoane amoga legei ba: mu.
35 Lazima kuwe na tovu chini ya matawi - mawili la kitu kimoja nacho, na tovu chini ya matawi mawili la kitu kimoja nacho, na tovu chini ya matawi mawili la kitu kimoja nacho, kwa hayo matawi sita yatokayo katika kile kinara.
Sogea afadafa amo amoda ilia sagulufai hagudu damoga legemusa: hamoma.
36 Matovu yake na matawi yake yatakuwa ya kitu kimoja nacho, kiwe chote pia kazi moja ya kufua, ya dhahabu safi.
Sogea, amoda amola gamali bai da mae afafane gouli liligi afadafa amoga hamoma.
37 Lazima nawe uzifanye hivyo vinara saba na taa zake saba, nao wataziwasha hizo taa zake, zitoe nuru mbele yake.
Gamali damo amola amoda amoga ligisimusa: , gamali fesuale gala hamoma. Ilia ba: le gaidi hadigima: ne, gamali bai amoga ligisima.
38 Na makoleo yake, na visahani vyake, vyote vitakuwa vya dhahabu safi.
Gamali ea dida amola bianoi ofodo amo gouliga hamoma.
39 Tumia talanta moja ya dhahabu safi, pamoja na vyombo hivi vyote.
Amo gamali amola ea liligi huluane hamoma: ne, gouli ea dioi defei 35 gilogala: me agoane, amo lama.
40 Nawe angalia ya kwamba uvifanye kama mfano wake, uliooneshwa mlimani.
Amo liligi noga: le amola gebewane hamoma. Na da goumia dima hamoma: ne sia: i, amo defele hamoma.”

< Kutoka 25 >