< Kutoka 22 >
1 Kama mwanaume akiiba ng'ombe aua kondoo na kumuua au kumuuza, kisha lazima alipe ng'ombe watano au ng'ombe mmoja, na kondoo wanne kwa mmoja.
Dunu afae da sibi afae o bulamagau afae wamolale amo fanelegesea o bidi lasea, e da bulamagau ouligisu dunuma bulamagau biyale gala dabe bu imunu o sibi ouligisu dunuma sibi biyaduyale agoane dabe bu imunu.
2 Kama mwizi akikutwa anavunja ndani, na kama akipigwa na kufa, hakutakuwa na hatia ya mauaji hayatakuwa juu ya mtu yeyote.
E da ea wamolai liligi dabe defele bu imunu. Be e da muni o liligi hame galea, dilia amo dunu udigili hawa: hamoma: ne bidi lama: ne iasima. Be sibi o bulamagau e da hame fanelegei o bidilai, ea ouligisu amoga bu samogesea, wamolasu dunu da dabe afae wamolasea, aduna eno dabe imunu. Wamolasu dunu da gasia diasu gadelale, liligi wamolamusa: ganodini ahoasea, nowa dunu da amo wamolasu fanelegesea e da fanelegesu dunu agoane hame ba: mu. Be amo hou esoga hamosea, e da fanelegesu dunu agoane ba: mu.
3 Lakini kama jua limechomoza kabla ya yeye kuvunja ndani, hatia ya mauaji itakuwa juu ya aliyemuua. Mwizi lazima afanya alipe alichoiba. Kama hana chochote, kisha lazima auzwe kwa uwizi wake.
4 Kama mnyama amekutwa hai eneo lake, kama ni ng'ombe, punda, au kondoo, lazima alipe mara mbili.
5 Kama mwanaume akiwapeleka malishoni mifugo yake au shamba la mizabibu na akawaachia wanyama wake, na kawa wanakula shambani mwa mwanaume mwengine, lazima afanye malipo bora kutoka shambani mwake na shamba lake la mizabibu.
Dunu afae ea ohe fi da ea ifabi o waini efe sagai amo ganodini gisi nanebe ba: sea, e da amo noga: le hame ouligisia amola ilia da asili eno dunu ea ha: i manu bugi amo wadela: sea, ohe fi eda da amo ha: i manu gugunufinisi defele hi ha: i manu amo dunuma ima: mu.
6 Kama moto ukitokea na kusambaa kwenye miba hadi mbegu, au mimea, au shamba kuteketezwa, yeye aliye anzisha moto lazima afanye malipo.
Dunu afae da ea sogebi amoga lalu didisia amola amo lalu da asili eno dunu ea ifabi ganodini widi o gagoma sagai o widi faili lala: gili ligi amo nesea, dunu da lalu didi da amo liligi gugunufinisi defele dabe imunu.
7 Kama mwanaume akitoa pesa au mali kwa jirani yake amtunzie, na kama itaibiwa nyumbani mwa huyo mwanaume, kama mwizi akipatikana, huyo mwizi lazima alipe mara mbili.
Dunu afae da eno dunu ea muni o noga: i liligi amo ea diasuga ouligimu sia: sea, amola wamolasu dunu da amo liligi ea diasuga wamolasea, dilia amo wamolasu dunu ba: sea, e da ea wamolai amo aduna defele dabe bu imunu.
8 Lakini kama mwizi asipo patikana, kisha mmiliki wa nyumba ata kuja mbele za waamuzi kuona kama ameeka mkono wake kwenye mali za jirani yake.
Be wamolasu dunu hame ba: sea, dunu da amo noga: i liligi ouligi amo dilia sia: ne gadosu diasuga oule masa. Amogai e da Gode Dioba: le amo liligi hi da hame wamolai dafawane ilegele sia: ma: mu.
9 Kwa kila lumbano kuhusu jambo, kama ni ng'ombe, punda, kondoo, nguo, au chochote kilichopotea mtu anacho sema, “Hichi ni changu,” malalamiko ya pande zote lazima zije kwa waamuzi. Mwanaume ambaye waamuzi wanamkuta na hatia ata lipa mara mbili kwa jirani yake.
Sia: ga gegesu huluane amo bai da bulamagau o dougi, dunu aduna da amo sia: ga gegesu galea, ela da amo sia: ga gegesu sia: ne gadosu diasuga hahamomu. Gode da giadofai hamosu dunu olelemu. Amola giadofai hamosu dunu da eno dunuma dabe adunawane imunu.
10 Kama mwanaume akimpa jirani yake punda, ng'ombe, kondoo, au mnyama yeyote kumuhifadhia, na kama akifa au kuumia au akibebwa pasipo mtu kumuona,
Dunu afae da eno dunu ea dougi o bulamagau o sibi o eno ohe amo ouligimusa: sia: sea amola e da amo ohe ouligisia, ohe da bogosea o se nabasea o eno fi da ea fi amoga doagala: sea, amo ohe da wamolai dagoi ba: sea amola ba: su dunu da amo hou hame ba: i galea,
11 kiapo kwa Yahweh lazima wafanye wote wawili, kama ndio au hapana mtu ameeka mkono wake kwenye mali ya jirani yake. Mmiliki lazima akubali hili, na mwengine hatafanya malipo.
amo ohe ouligisu dunu da sia: ne gadosu diasuga asili, e da Gode ba: ma: ne dafawane amane sia: mu, ‘Na da amo ohe hame wamolai.’ Fofada: su dunu da ouligisu dunu ohe hame wamolai ba: sea, defea, e da ohe edama dabe hame imunu. Ohe eda hi da amo ohe fisi dagoi ba: mu.
12 Lakini kama iliibwa kwake, mwengine lazima afanye malipo kwa mmiliki kwa ajili yake.
Be amo ohe da wamolai dagoi ba: sea, ouligisu dunu da ohe eda amoma dabe imunu.
13 Kama mnyama alikatwa vipande, acha mwanaume mwengine alete huyo mnyama kama ushahidi. Hatalipa kwa ajili ya vile vipande.
Amo ohe da soge ohe fi amoga fanelegei ba: sea, ouligisu da amo ohe ea da: i hodo dodosa: i amo ba: su dunu ba: ma: ne gaguli misunu. Amasea, e da ohe sigua fi amoga medoi liligi amo ohe edama dabe hame imunu.
14 Kama mwanaume akiazima mnyama kutoka kwa jirani yake na mnyama akajeruhia au akafa pasipo mmiliki kuwa naye, mwanaume mwengine lazima afanya malipo.
Dunu afadafa da eno dunu ea ohe amo hawa: hamomusa: amola fa: no ema bu imunusa: bidi lasea, (da: i sia: ‘hire’) amola ohe ea ouligisu dunu maeba: le lelea, amo ohe da se nabasea o bogosea, amo dunu da ohe edama dabe imunu.
15 Lakini kama mmiliki alikuwa nae, mwanaume mwengine haitaji kulipa; kama mnyama aliazimwa, atalipwa kwa gharama ya kuazima.
Be ohe eda da esalea amo ohe da se nabasea o bogosea amola ohe eda hi ba: sea, lai dunu da ohe ea dabe hame imunu. E da muni bidi ia dagoiba: le, amo hou da hahamoi dagoi ba: mu.
16 Kama mwanaume akimtongoza bikra ambaye hana mchumba, na kama akilala naye, lazima amfanye kuwa mke wake kwa kulipa gharama za bibi arusi zinazo stahili.
Dunu afae da dunuga hamelai a: fini amo gilisili golale wadela: sea, e da amo a: fini ea lamu dabe imunu. Amola e da amo a: fini hedolo dafawane lama: mu.
17 Kama baba yake akikataa kabisa kumpatia, lazima alipe hela inayo lingana na gharama za bibi arusi bikra.
Be amo a: fini ea ada da amo a: fini ema imunu higasea, e da ea ada amoma a: fini dunuga hamelai ea dabe defele ea adama imunu.
18 Hautamwacha mchawi kuishi.
Nowa uda da fefedoasu o bosa: ga: su hou hamosea, amo medole legema.
19 Yeyote atakaye lala na mnyama lazima auawe.
Nowa dunu da ohe fi aseme amoma uda adole lasu hou agoane hamosea, amo medole legema.
20 Yeyote atakaye toa dhabihu kwa mungu mwengine isipo kuwa Yahweh lazima auawe.
Nowa dunu da eno ogogosu ‘gode’ amoma gobele salasu hamosea, amo dunu fanelegema. Na, Hina Gode, Nama fawane gobele salasu hamoma.
21 Hauta mkosea mgeni au kumnyanyasa, kwa kuwa ninyi mlikuwa wageni katika nchi ya Misri.
Dilia da Idibidi soge ganodini ga fi dunu esalu, amo mae gogolema. Amaiba: le, ga fi dunu ilima se nabasu mae ima.
22 Hauruhusiwi kumtendea vibaya mjane au mtoto asiye kuwa na baba.
Dilia didalo amola guluba: mano ilima se nabasu mae ima.
23 Ukiwadhuru ata kidogo, na kama wakiniita mimi, hakika nitasikia sauti yao.
Dilia da amoma se nabasu iasea, ilia da Nama fidima: ne digini wesea, amasea ilia wesu Na da nabimu.
24 Hasira yangu itawaka, na nitakuua kwa upanga; wake zenu watakuwa wajane, na watoto wenu pasipo baba.
Na da dilima ougimu amola dili gegesu amo ganodini dili fanelegemu. Dilia uda da didaloi ba: mu amola dilia mano da guluba: i dagoi ba: mu.
25 Ukiazima hela kwa watu wangu walio maskini, haupaswi kuwa kama anaye kopesha hela kwake au kutoza faida.
Dilia da hame gagui dunuma muni amo e da dima fa: no dabema: ne iasea, e bu iasea su muni eno amola gilisili ima: ne mae sia: ma.
26 Ukichukuwa vazi la jirani yako kwa deni, lazima umrudishie kabla jua kuzama,
Di da muni amo dunu e da dima fa: no dabema: ne ema iasea, amo e bu ima: ne ea anegagi abula amo ilegema: ne di lasea, hedolowane eso da mae sa: ili daeya amoga ea anegagi abula ema bu ima.
27 kwa kuwa hilo ndilo funiko lake, ni vazi la mwili wake. Nini tena ambacho anaweza kulalia? Atakapo niita mimi, nitasikia, kwa kuwa mimi ni mwenye huruma.
Bai e da ea da: i dogoloma: ne anegagi abula eno hame. E da noga: le golama: ne adi eno salima: bela: ? E da Na fidima: ne Nama wesea, Na da ea sia: nabimu. Bai Na hou da asigi hou amola Na da gogolema: ne olofosu dawa:
28 Usinikufuru mimi, Mungu, wala kumtukana mtawala wa watu wako.
Dilia Gode Ea hou da noga: i hame amane mae sia: ma, amola dilia fi ouligisu dunu ilima gagabusu aligima: ne mae sia: ma.
29 Husizuie sadaka kutoka kwenye mavuno yako au kwenye hifadhi ya mvinyo wako. Lazima unipe mzaliwa wa kwanza wa wana wako.
Dilia hahawane udigili iasu Na adoi defele Nama ima. Amo da widi, gagoma, waini hano amola olife susuligi. Amola dilia magobo mano Nama ima.
30 Lazima ufanye hivyo hivyo kwa ng'ombe na kondoo wako. Kwa siku saba lazima wabaki na mama zao, lakini siku ya nane lazima unipe mimi.
Dilia bulamagau amola sibi amo ilia magobo mano Nama ima. Magobo mano gawali da ea ame amoga eso fesuale esalumu. Amasea, eso godo amoga amo gawali magobo mano Nama ima.
31 Mtakuwa watu walio tengwa kwa ajili yangu. Hivyo hamtakula nyama iliyo uliwa na wanyama porini. Badala yake, uwatupie mbwa.
Dilia da Na fi esala. Amaiba: le, ohe da ohe sigua amoga gasonabeba: le bogoi, amo ea hu dilia mae moma. Be amo fisili, wa: megili ima.