< Kutoka 21 >
1 Sasa hizi ni amri utakazoweka kabla yao:
and these [the] justice: judgement which to set: make to/for face: before their
2 'kama mtanunua mtumishi wa kiebrania, atatumikia kwa miaka sita, na mwaka wa saba ataachiwa huru bila kilipwa chochote.
for to buy servant/slave Hebrew six year to serve and in/on/with seventh to come out: come to/for free for nothing
3 Kama alikuja mwenyewe, ataenda huru kwa ridhaa yake;
if in/on/with single/height his to come (in): come in/on/with single/height his to come out: come if master: husband woman: wife he/she/it and to come out: come woman: wife his with him
4 kama bwana wake atampa mke na kumzalia mwana na binti, mke pamoja na watoto wake watabaki mali ya bwana wake, na ataenda zake huru.
if lord his to give: give(marriage) to/for him woman: wife and to beget to/for him son: child or daughter [the] woman: wife and youth her to be to/for lord her and he/she/it to come out: come in/on/with single/height his
5 Lakini kama mtumishi atasema waziwazi, “Nampenda bwana wangu, mke wangu, na watoto; sitaenda nje,”
and if to say to say [the] servant/slave to love: lover [obj] lord my [obj] woman: wife my and [obj] son: child my not to come out: come free
6 “kisha bwana wake atapaswa kumleta kwa Mungu. Bwana wake atapaswa kumleta katika mlango au katika muhimili wa mlango, na bwana wake atatoboa sikio lake na sindano. Kisha mtumishi wake atamtumikia kwa maisha yake yote.
and to approach: bring him lord his to(wards) [the] God and to approach: bring him to(wards) [the] door or to(wards) [the] doorpost and to bore lord his [obj] ear his in/on/with awl and to serve him to/for forever: enduring
7 Kama mwanaume ata muuza binti wake kama mtumishi wa kike, ata weza kwenda huru kama watumishi wa kiume wanavyo enda.
and for to sell man [obj] daughter his to/for maidservant not to come out: come like/as to come out: come [the] servant/slave
8 Kama hamridhishi bwana wake, aliye mtenga kwa ajili yake, kisha lazima amnunue tena. Hana ruhusa ya kumuuza kwa watu wengine wa kigeni. Hana ruhusa hiyo, sababu amemtendea kwa hila.
if be evil in/on/with eye: appearance lord her which (to/for him *Q(K)*) to appoint her and to ransom her to/for people foreign not to rule to/for to sell her in/on/with to act treacherously he in/on/with her
9 Ikiwa bwana wake atamposa awe mke wa mwanae, atamtendea kama desturi zipasavyo sawa na binti zake.
and if to/for son: child his to appoint her like/as justice [the] daughter to make: do to/for her
10 Ikiwa atajitwalia mke mwingine, asimpunguzie huyo chakula chake, nguo na haki zake za unyumba.
if another to take: marry to/for him flesh her covering her and cohabitation her not to dimish
11 Lakini asipofanyiwa mambo haya matatu, basi anaweza kwenda bure pasipo kutolewa mali.
and if three these not to make: do to/for her and to come out: come for nothing nothing silver: money
12 Mtu awaye yote ampigaye mtu hata akafa, inampasa mtu huyo auawe pia.
to smite man: anyone and to die to die to die
13 Lakini kama hakumvizia, ila kwa bahati mbaya, basi nitamfanyia mahali pa kukimbilia.
and which not to ambush and [the] God to meet to/for hand: power his and to set: appoint to/for you place which to flee there [to]
14 Lakini mtu akimwendea mwenzake kwa kujikinai, kusudi apate kumwua kwa hila; huyo utamwondoa hata kama ni madhabahuni pangu, ili auawe.
and for to boil man: anyone upon neighbor his to/for to kill him in/on/with craftiness from from with altar my to take: take him to/for to die
15 Yeyote atakaye mpiga baba au mama yake lazima auawe.
and to smite father his and mother his to die to die
16 Yeyote atakaye mteka mtu na kumuuza, au mtu amekutwa kama mali yake, huyo mtekaji lazima auawe.
and to steal man: anyone and to sell him and to find in/on/with hand: power his to die to die
17 Yeyote atakaye mlaani baba au mama yake lazima auawe.
and to lighten father his and mother his to die to die
18 Kama wanaume watapigana na mmoja akimpiga mwengine kwa jiwe au ngumi, na huyo mtu asife, lakini alazwe kitandani;
and for to contend [emph?] human and to smite man: anyone [obj] neighbor his in/on/with stone or in/on/with fist and not to die and to fall: fall to/for bed
19 kisha akapona na anaweza kutembea kwa gongo lake, yeye aliye mpiga lazima alipe muda aliye mpotezea; na lazima alipe matibabu yake yote. Lakini huyo mtu hana hatia ya mauaji.
if to arise: rise and to go: walk in/on/with outside upon staff his and to clear [the] to smite except cessation his to give: pay and to heal to heal
20 Kama mwanaume akimpiga mtumishi wake wa kiume au wa kike kwa gongo, na kama mtumishi huyo akifa kwa madhara ya pigo, kisha huyo mtu lazima ahadhibiwe.
and for to smite man: anyone [obj] servant/slave his or [obj] maidservant his in/on/with tribe: staff and to die underneath: owning hand: owner his to avenge to avenge
21 Walakini, mtumishi huyo akiishi siku moja au mbili, bwana aruhusiwi kuadhibiwa, kwa kuwa atateseka kupoteza mtumishi huyo.
surely if day or day to stand: stand not to avenge for silver: money his he/she/it
22 Kama wanaume wakipigana pamoja na wakamuumiza wanamke mwenye mimba na kuiharibu, lakini hakuna majeraha mengine kwake, kisha huyo mwanaume mwenye hatia lazima alipe kama mme wa mwanamke anavyo taka kwake, na kulipa kama hakimu anavyo kusudia.
and for to struggle human and to strike woman pregnant and to come out: produce youth her and not to be harm to fine to fine like/as as which to set: make upon him master: husband [the] woman and to give: pay in/on/with judge
23 Lakini kama kuna majeraha makubwa, lazima utoe uhai kwa uhai, jicho kwa jicho,
and if harm to be and to give: pay soul: life underneath: instead soul: life
24 jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu,
eye underneath: instead eye tooth underneath: instead tooth hand underneath: instead hand foot underneath: instead foot
25 kuchoma kwa kuchoma, jeraha kwa jeraha, au mkwaruzo kwa mkwaruzo.
burning underneath: instead burning wound underneath: instead wound wound underneath: instead wound
26 Kama mwanaume akipiga jicho la mtumishi wake kiume au mtumishi wake wa kike na kuliharibu, kisha lazima amuache mtumishi aende pasipo fidia ya jicho.
and for to smite man: anyone [obj] eye servant/slave his or [obj] eye maidservant his and to ruin her to/for free to send: let go him underneath: because of eye his
27 Kama akitoa jino la mtumishi wake wa kiume au mtumishi wake wa kike, lazima amuache mtumishi kwenda huru kama fidia ya jino.
and if tooth servant/slave his or tooth maidservant his to fall: deserting to/for free to send: let go him underneath: because of tooth his
28 Kama ng'ombe akimpiga mwanaume au mwanamke akafa, ng'ombe lazima apigwe mawe, na nyama yake hairuhusiwi kuliwa; lakini mmiliki wa ng'ombe lazima awe huru kwa hatia.
and for to gore cattle [obj] man or [obj] woman and to die to stone to stone [the] cattle and not to eat [obj] flesh his and master [the] cattle innocent
29 Lakini kama ng'ombe alikuwa na tabia ya kupiga hapo awali, na mmiliki wake alionywa lakini hakumzuia, na ng'ombe ameua mwanaume au mwanamke, huyo ng'ombe lazima apigwe mawe, na mmiliki wake lazima auawe pia.
and if cattle goring he/she/it from yesterday three days ago and to testify in/on/with master his and not to keep: look at him and to die man or woman [the] cattle to stone and also master his to die
30 Kama malipo ya uhai yanaitajika, lazima alipe chochote anachotakiwa kulipa.
if ransom to set: make upon him and to give: pay redemption soul: life his like/as all which to set: make upon him
31 Kama ng'ombe amempiga mwana wa mwanaume au binti wake, mmiliki wa ng'ombe anapaswa kufanya kama masharti yanavyo mlazimu.
or son: child to gore or daughter to gore like/as justice: judgement [the] this to make: do to/for him
32 Kama ng'ombe akimpiga mtumishi wa kiume au wakike, mmiliki wa ngombe lazima alipe shekeli thelathini za fedha, na ng'ombe lazima apigwe mawe.
if servant/slave to gore [the] cattle or maidservant silver: money thirty shekel to give: pay to/for lord his and [the] cattle to stone
33 Kama mwanaume akifungua shimo, au kama mwanume akichimba shimo na asifunike, na ng'ombe au punda akaanguka ndani,
and for to open man: anyone pit or for to pierce man: anyone pit and not to cover him and to fall: fall there [to] cattle or donkey
34 mmiliki wa shimo lazima alipe madhara. Lazima atoe hela kwa mmiliki wa mnyama aliye kufa, na mnyama aliye kufa atakuwa wake.
master [the] pit to complete silver: money to return: pay to/for master his and [the] to die to be to/for him
35 Kama ng'ombe wa mwanaume akimuumiza ng'ombe wa mwanume mwengine hadi kufa, kisha lazima wamuuze ng'ombe aliye hai na kugawana gharama, na pia lazima wagawane ng'ombe aliye kufa.
and for to strike cattle man: anyone [obj] cattle neighbor his and to die and to sell [obj] [the] cattle [the] alive and to divide [obj] silver: price his and also [obj] [the] to die to divide [emph?]
36 Lakini kama ilijulikana kama ng'ombe alikuwa na tabia ya kupiga hapo awali, na mmiliki wake hakumfunga ndani, hakika lazima alipe ng'ombe kwa ng'ombe, na mnyama aliye kufa atakuwa wake.
or to know for cattle goring he/she/it from yesterday three days ago and not to keep: look at him master his to complete to complete cattle underneath: instead [the] cattle and [the] to die to be to/for him