< Kutoka 20 >

1 Mungu alisema maneno yote haya:
Then God spake all these wordes, saying,
2 Ndimi Bwana Mungu wenu, niliyewatoa katika ardhi Misri, nje ya nyumba ya utumwa.
I am the Lord thy God, which haue brought thee out of the land of Egypt, out of the house of bondage.
3 Msiwe na miungu mingine ila mimi tu.
Thou shalt haue none other Gods before me.
4 Msijitengenezee sanamu za kuchonga kufananisha na kitu chochote kilichopo juu ya mbingu, chini ya ardhi, au ndani ya maji.
Thou shalt make thee no grauen image, neither any similitude of things that are in heauen aboue, neither that are in the earth beneath, nor that are in the waters vnder the earth.
5 Msipinde na kuabudu sanamu, mimi Yahweh Mungu wenu, ni Mungu mwenye wivu. Nitaadhibu uovu wa mabubu kwa kuleta adhabu juu ya kizazi, cha tatu hadi kizazi cha nne kwa wale wanao nichukia.
Thou shalt not bowe downe to them, neither serue them: for I am the Lord thy God, a ielous God, visiting the iniquitie of the fathers vpon the children, vpon the third generation and vpon the fourth of them that hate me:
6 Ila nitaweka agano la uaminifu kwa maelfu watakao nipenda na kushika amri zangu.
And shewing mercie vnto thousandes to them that loue me, and keepe my commandemets.
7 Usilitaje bure jina la Yahweh Mungu wako, sitkuwa na hatia kwa yeyote atakaye taja jina langu bure.
Thou shalt not take the Name of the Lord thy God in vaine: for the Lord will not hold him guiltles that taketh his Name in vayne.
8 Ikumbuke siku ya Sabato, na kunitengea.
Remember the Sabbath day, to keepe it holy.
9 lazima ufanye kazi zako zote kwa siku sita.
Sixe dayes shalt thou labour, and doe all thy worke,
10 Ila siku ya saba ni Sabato kwaajili ya Yahweh Mungu wako. Siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, au mwana wako, au binti yako, au mtumishi wako wakiume, au mtumishi wako mwanamke, au ng'ombe zako, au mgeni aliye ndani ya malango yako.
But the seuenth day is the Sabbath of the Lord thy God: in it thou shalt not do any worke, thou, nor thy sonne, nor thy daughter, thy man seruant, nor thy mayde, nor thy beast, nor thy stranger that is within thy gates.
11 Kwa siku sita Yahweh aliumba mbingu na nchi, bahari, na vitu vyote vilivyomo, na siku ya saba alipumzika. Kwa hiyo Yahweh aliibariki siku ya Sabato na kuitenga.
For in sixe dayes the Lord made the heauen and the earth, the sea, and all that in them is, and rested the seuenth day: therefore the Lord blessed the Sabbath day, and hallowed it.
12 Waheshimu baba na mama yako, ili uweze kuishi miaka mingi duniani Yahweh Mungu wako ametoa.
Honour thy father and thy mother, that thy dayes may be prolonged vpon the land, which the Lord thy God giueth thee.
13 Usiue.
Thou shalt not kill.
14 Usifanye uasherati (usizini).
Thou shalt not commit adulterie.
15 Usiibe kwa mtu yoyote.
Thou shalt not steale.
16 Usishuhudie uongo dhidi ya jirani yako.
Thou shalt not beare false witnes against thy neighbour.
17 Usitaman nyumba ya jirani yako; usitamani mke wa jirani yako, wala mtumishi wake wakiume, mtumishi wake mwanamke, ng'ombe wake, punda wake, au chochote cha jirani yako.
Thou shalt not couet thy neighbours house, neither shalt thou couet thy neighbours wife, nor his man seruant, nor his mayde, nor his oxe, nor his asse, neyther any thing that is thy neighbours.
18 Watu wote waliona radi na umeme, na kusikia sauti ya mbiu, na mlima ukitoa moshi. Watu walipoona hivo, walitetemeka na kusimama mbali.
And all the people sawe the thunders, and the lightnings, and the sound of the trumpet, and the mountaine smoking and when the people saw it they fled and stoode afare off,
19 Wakamwambia Musa, ongea na sisi, na tutakusikiliza; lakini usiruhusu Mungu kuongea nasi, ama tutakufa.
And sayde vnto Moses, Talke thou with vs, and we will heare: but let not God talke with vs, lest we die.
20 Musa akawaambia watu, “msiogope, Mungu alikuja kuwajaribu ili heshima yake iwe ndani yenu, kwa hiyo msitende dhambi.”
Then Moses sayde vnto the people, Feare not: for God is come to proue you, and that his feare may be before you, that ye sinne not.
21 hivyo watu walisimama mbali, na Musa alikaribia giza nene Mungu alipokuwa.
So the people stoode afarre off, but Moses drew neere vnto the darkenes where God was.
22 Yahweh alimwambia Musa, “Ni lazima uwaambie hili Waisraeli: 'Wewe mwenyewe umeona niliongea na wewe kutoka mbinguni.
And the Lord sayde vnto Moses, Thus thou shalt say vnto the children of Israel, Ye haue seene that I haue talked with you from heauen.
23 Misjitengenezee miungu mingine pamoja nami, miungu ya fedha au miungu ya dhahabu.
Ye shall not make therefore with me gods of siluer, nor gods of golde: you shall make you none.
24 Tengenezeni madhabahu ya udongo kwa ajili yangu, na lazima mtoe sadaka ya kuteketeza, sadaka ya ushirika, kondoo, na ng'ombe. kila sehemu ntakapotaka jina langu liheshimiwe, nitakuja kwenu na kuwabariki.
An altar of earth thou shalt make vnto me, and thereon shalt offer thy burnt offerings, and thy peace offerings, thy sheepe, and thine oxen: in all places, where I shall put the remembrance of my Name, I will come vnto thee, and blesse thee.
25 Kama mtatengeneza madhabahu ya mawe, msijenge na mawe yaiyokatika, na kama mtatumia vyombo vyenu juu yake, mtaweka unajisi.
But if thou wilt make mee an altar of stone, thou shalt not buylde it of hewen stones: for if thou lift vp thy toole vpon them, thou hast polluted them.
26 msije juu ya madhabahu yangu kwa hatua zenu; hii ni ili msioneshe sehemu zenu za siri.”
Neither shalt thou goe vp by steppes vnto mine altar, that thy filthines be not discouered thereon.

< Kutoka 20 >