< Kutoka 2 >
1 Sasa mwanamme wa kabila la Lawi alimuoa mwanamke Mlawi.
Бяше же некто от племене Левиина, иже поя от дщерей Левииных, и имяше ю:
2 Yule mwanamke akapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume. Alipoona ya kuwa alikuwa mtoto mwenye afaya, alimficha kwa miezi mitatu.
и зача во чреве и роди мужеский пол. Видевше же его лепа, крыша его три месяцы:
3 Lakini alipokuwa hawezi kuendelea kumficha tena, alichukua kikapu cha manyasi akakipaka sifa na lami. Akamtia mtoto ndani yake na kukiweka juu ya maji katika majani kando ya mto.
и понеже не можаху его ктому крыти, взя ему мати его ковчежец ситовый и помаза и клеем и смолою, и вложи отроча в него, и положи его в лучице при реце:
4 Dada yake akasimama kwa mbali ili ajue yatakayompata.
и наблюдаше сестра его издалеча, да уведает, что будет ему.
5 Binti Farao akashuka kuoga mtoni wakati vijakazi wake wakitembea kando ya mto. Naye akaona kile kikapu katika majani na akamtuma kijakazi wake kwenda kukileta.
Сниде же дщерь фараонова измытися на реку, и рабыни ея прохождаху при реце. И видевши ковчежец в лучице, пославши рабыню, взя и.
6 Alipokifungua, aliomwona mtoto. Tazama, mtoto alikuwa analia. Alimhurumia na kusema, “Bila shaka huyu ni mmoja wapo wa watoto wa Waebrania.”
Отверзши же, видит отроча плачущееся в ковчежце, и пощаде е дщерь фараоня, и рече: от детей Еврейских сие.
7 Basi dada wa yule mtoto akamwambia binti Farao, “Je naweza kwenda kukutafutia mwanamke wa Kiebrania aje akulele mtoto kwa ajili yako?”
И рече сестра его дщери фараонове: хощеши ли, призову ти жену кормилицу от Еврей, и воздоит ти отроча?
8 Binti Farao akamwambia, “Nenda.” Hivyo yule binti akaenda na kumwita mama yake yule mtoto.
И рече ей дщерь фараонова: иди. Шедши же отроковица, призва матерь отрочате.
9 Binti Farao akamwambia mama yake yule mtoto, “Mchukue mtoto huyu ukaninyonyeshee, nami nitakupa posho.” Hivyo yule mwanamke akamchukua mtoto na kumnyonyesha.
Рече же к ней дщерь фараонова: соблюди ми отроча сие и воздой ми е: аз же дам ти мзду. Взя же отроча жена и дояше е.
10 Mtoto alipokuwa mkubwa, akamleta kwa binti Farao, na akawa mtoto wake. Akamwita jina lake Musa akisema, “Kwa sababu nilimtoa katika maji.”
Возмужавшу же отрочати, введе е ко дщери фараонове, и бысть ей в сына, и нарече имя ему Моисей, глаголющи: от воды взях его.
11 Musa alipokuwa mtu mzima, alienda kwa watu wake na kuona kazi ngumu walizokuwa wanafanya. Alimuona Mmisri akimpiga Mwebrania, mmoja wa watu wa jamii yake.
Бысть же во дни многия оны, велик быв Моисей, изыде к братиям своим, сыном Израилевым. Разумев же болезнь их, виде человека Египтянина биюща некоего Евреанина от братии его сынов Израилевых.
12 Aliangalia huku na kule, na alipoona ya kuwa hakuna mtu, alimuua yule mmisri na kuuficha mwili wake katika mchanga.
Обозревся же семо и овамо, ни когоже виде: и поразив Египтянина, скры его в песце.
13 Alienda tena siku iliyofuata, na tazama, Waebrania wawili walikuwa wanapigana. Alimwambia yule aliyekuwa na makosa, “Kwa nini unampigia mwenzako?”
Изшед же во вторый день, виде два мужа Евреанина биющася и глагола обидящему: чесо ради ты биеши искренняго?
14 Lakini yule mtu alisema, “Ni nani aliyekuweka wewe kuwa kiongozi na mwamuzi juu yetu? Unataka kuniua na mimi kama ulivyomuua yule mmisri?” Ndipo Musa akaogopa na kusema, “Hakika niliyoyafanya yamejulikana.”
Он же рече: кто тя постави князя и судию над нами? Еда убити мя ты хощеши, имже образом убил еси вчера Египтянина? Убояся же Моисей и рече: аще сице явлен бысть глагол сей?
15 Farao aliposikia habari hizi, alijaribu kumuua Musa. Lakini Musa alikimbia na kwenda kuishi katika nchi ya Wamidiani. Kule alikaa chini kando ya mto.
Услыша же фараон глагол сей и искаше убити Моисеа. Отиде же Моисей от лица фараонова и вселися в земли Мадиамстей: пришед же в землю Мадиамскую седе при кладязе.
16 Wakati huo kuhani wa Midiani alikuwa na mabinti saba. Walikuja mtoni kuchota maji na kujaza vyombo vyao ili wawanyweshe mifuko ya baba yao.
Священнику же Мадиамскому беша седмь дщерей, пасущих овцы отца своего Иофора: пришедшя же черпаху, дондеже наполниша корыта, напоити овцы отца своего Иофора.
17 Wachungaji walikuja na kutaka kuwafukuza, lakini Musa alienda kuwasaidia. Kisha akawanywesha mifugo wao.
Пришедше же пастырие изгнаша я. Востав же Моисей избави их, и налия им и напои овцы их.
18 Wale mabinti walipoenda kwa Reueli baba yao, aliwauliza, “Kwa nini mmerudi nyumbani mapema hivi leo?”
Приидоша же к Рагуилу отцу своему. Он же рече им: что яко ускористе приити днесь?
19 Wakamwambia, “Mmisri mmoja alituokoa dhidi ya wachungaji. Pia alichota maji na kuwanywesha mifugo wetu.”
Оныя же рекоша: человек Египтянин избави нас от пастырей, и начерпа нам и напои овцы нашя.
20 Kisha akawauliza binti zake, “Yu wapi sasa? Kwa nini mlimwacha? Mwiteni ili apate kula chakula pamoja nasi.”
Он же рече дщерем своим: и где есть? И вскую сице остависте человека? Призовите убо его, да яст хлеб.
21 Musa akakubali kukaa na yule mtu ambaye pia alimpa binti yake Zipora ili amuoe.
Вселися же Моисей у человека: и даде Сепфору дщерь свою Моисею в жену.
22 Alizaa mtoto wa kiume, na Musa akamwita jina lake Geshomu; akisema; “Nimekuwa mkazi katika nchi ya ugeni.”
Во чреве же заченши жена роди сына, и нарече Моисей имя ему Гирсам, глаголя: яко пришлец есмь в земли чуждей. Еще же заченши роди сына втораго, и нарече имя ему Елиезер, глаголя: Бог бо отца моего помощник мой и избави мя из руки фараоновы.
23 Muda mrefu baadaye, mfalme wa Misri akafa. Waisraeli walilalamika kwa sababu ya kazi za utumwa. Walilia kutafuta msaada, na maombi yao yakamfikia Mungu kwa sababu ya mateso yao.
По днех же многих тех, умре царь Египетский, и возстенаша сынове Израилевы от дел и возопиша, и взыде вопль их к Богу от дел.
24 Mungu aliposikia malalamiko yao, Mungu alikumbuka agano lake na Abrahamu, na Isaka, na Yakobo.
И услыша Бог стенание их: и помяну Бог завет Свой иже ко Аврааму и Исааку и Иакову,
25 Mungu aliwaona Waisraeli na akaielewa hali yao.
и призре Бог на сыны Израилевы, и познан бысть ими.