< Kutoka 19 >

1 Katika mwezi wa tatu baada ya watu wa Israeli kutoka Misri, siku hiyo, walikwenda nyikani ya Sinai.
Le troisième mois après que les enfants d'Israël furent sortis du pays d'Égypte, ils arrivèrent ce même jour dans le désert de Sinaï.
2 Walipo ondoka Refidimu na kuja nyikani ya Sinai, walieka kambi mbele ya mlima.
Ils partirent de Rephidim, et arrivèrent au désert de Sinaï; ils campèrent dans le désert, et là, Israël campa devant la montagne.
3 Musa akaenda juu kwa Mungu. Yahweh alimuita kutoka mlimani na kusema, “Lazima uiambie nyumba ya Yakobo, watu wa Israeli:
Moïse monta vers Dieu, et Yahvé l'appela de la montagne, en disant: « Voici ce que tu diras à la maison de Jacob et aux enfants d'Israël:
4 Uliona nilicho fanya kwa Wamisri, jinsi nilivyo kubeba kwa mabawa ya tai na kukuleta kwangu.
Vous avez vu ce que j'ai fait aux Égyptiens, et comment je vous ai portés sur des ailes d'aigle et amenés vers moi.
5 Kisha sasa, ukinisikiliza kwa utii sauti yangu na kushika agano langu, kisha utakuwa mali yangu ya pekee miongoni mwa watu wote, kwa kuwa dunia yote ni yangu.
Maintenant, si vous écoutez ma voix et si vous gardez mon alliance, vous serez ma propriété entre tous les peuples, car toute la terre est à moi,
6 Utakuwa ufalme wa kikuhani na taifa takatifu langu. Haya ni maneno wapaswa kuwaambia Waisraeli.
et vous serez pour moi un royaume de prêtres et une nation sainte ». Telles sont les paroles que tu adresseras aux enfants d'Israël. »
7 Hivyo Musa akaja na kuwaita wazee wa watu. Aliweke mbele yao maneno yote haya Yahweh aliyo muamuru.
Moïse vint appeler les anciens du peuple, et il exposa devant eux toutes ces paroles que l'Éternel lui avait commandées.
8 Watu wote walijibu pamoja na kusema, “Tutafanya yote Yahweh aliyo tuambia.” Kisha musa akaja kutoa taarifa ya maneno watu kwa Yahweh.
Tout le peuple prit la parole et dit: « Nous ferons tout ce que l'Éternel a dit. » Moïse rapporta à Yahvé les paroles du peuple.
9 Yahweh akamwambia Musa, “Nitakuja kwako kwa wingu nene ili watu wasikie ninapo sema na wewe na wakuamini milele.” Kisha Musa kamwambia Yahweh maneno ya Yahweh.
Yahvé dit à Moïse: « Voici que je viens à toi dans une épaisse nuée, afin que le peuple entende quand je te parlerai, et qu'il te croie toujours. » Moïse rapporta à Yahvé les paroles du peuple.
10 Yahweh akamwambia Musa, “Nenda kwa watu. Leo na kesho lazima uwatenge, na kuwafanya waoshe mavazi yao.
Yahvé dit à Moïse: « Va vers le peuple, sanctifie-le aujourd'hui et demain, fais-lui laver ses vêtements,
11 Kuwa tayari kwa siku ya tatu, kwa kuwa siku ya tatu Yahweh atashuka chini ya Mlima Sayuni.
et tiens-toi prêt pour le troisième jour, car le troisième jour, Yahvé descendra sur la montagne de Sinaï aux yeux de tout le peuple.
12 Lazima uweke mipaka kote kuzunguka mlima kwa ajili ya watu. Uwaambie, 'Kuweni waangalifu msiende juu ya mlima au kushika mipaka yake. Yeyote atakaye shika mlima ata uawa.'
Tu fixeras des limites au peuple tout autour, en disant: « Prenez garde de ne pas monter sur la montagne et de ne pas toucher son bord. Celui qui touchera la montagne sera puni de mort.
13 Hakuna mkono wa mtu yeyote kumshika mtu huyu. Badala yake, lazima apigwe mawe au kuchomwa mshale. Iwe ni mtu au mnyama, lazima auawe. Tarumbeta itakapo pigwa muda mrefu, wanaweza kuja chini ya mguu wa mlima.”
Aucune main ne le touchera, mais il sera lapidé ou transpercé de balles, qu'il s'agisse d'un animal ou d'un homme, il ne vivra pas. Lorsque la trompette sonnera longuement, ils monteront sur la montagne. »
14 Kisha Musa akashuka mlimani kwenda kwa watu. Aliwatenga watu kwa ajili ya Yahweh na wakaosha mavazi yao.
Moïse descendit de la montagne vers le peuple et sanctifia le peuple, qui lava ses vêtements.
15 Aliwaambia watu, “Kuweni tayari siku ya tatu; msiwakaribie wake zenu.”
Il dit au peuple: « Soyez prêts le troisième jour. N'ayez pas de relations sexuelles avec une femme. »
16 Siku ya tatu, ilipo fika asubui, kulikuwa na ngurumo na radi na wingu nene kwenye mlima, na sauti kubwa ya tarumbeta. Watu wote kambini waliogopa.
Le troisième jour, comme c'était le matin, il y eut des tonnerres et des éclairs, une épaisse nuée sur la montagne, et le son d'une trompette extrêmement forte; et tout le peuple qui était dans le camp trembla.
17 Musa akaleta watu kutoka kambini kukutana na Mungu, na wakasimama miguuni mwa mlima.
Moïse conduisit le peuple hors du camp à la rencontre de Dieu, et ils se tinrent au bas de la montagne.
18 Mlima Sina ulijwa kabisa na moshi kwasababu Yahweh alishuka na moto na moshi. Moshi ulipanda juu kama moshi wa tanuru, na mlima wote ulitikisika kwa vurugu.
Toute la montagne de Sinaï fumait, car Yahvé y était descendu en feu; sa fumée montait comme la fumée d'une fournaise, et toute la montagne tremblait fortement.
19 Sauti ya tarumbeta ilipo ongezeka na zaidi, Musa akazungumza, na Mungu kamjibu kwa sauti.
Le son de la trompette devenant de plus en plus fort, Moïse parla, et Dieu lui répondit par une voix.
20 Yahweh akashuka chini ya Mlima Sinai, juu ya mlima, na akamuita Musa kuja juu. Kisha Musa akapanda juu.
Yahvé descendit sur le mont Sinaï, au sommet de la montagne. Yahvé appela Moïse au sommet de la montagne, et Moïse y monta.
21 Yahweh akamwabia Musa, “Shuka chini na uwaonye watu wasipite kuniangalia, au wengi wao wataangamia.
L'Éternel dit à Moïse: « Descends, avertis le peuple, de peur qu'il ne s'introduise auprès de l'Éternel pour le regarder, et que beaucoup d'entre eux ne périssent.
22 Acha pia mukuhani wanao kuja karibu yangu wakitenge - wajiandae kwa ujio - ili nisiwashambulie.”
Que les prêtres aussi, qui s'approchent de l'Éternel, se sanctifient, de peur que l'Éternel ne fasse irruption sur eux. »
23 Musa akamwabia Yahweh, “Watu hawawezi kuja juu ya mlima, kwa kuwa umetuamuru: 'Eka mipaka kuzunguka mlima na utenge kwa ajili ya Yahweh.'”
Moïse dit à Yahvé: « Le peuple ne peut pas monter sur le mont Sinaï, car tu nous as prévenus en disant: « Entourez la montagne et sanctifiez-la. »
24 Yahweh akamwambia, Nenda, shuka chini ya mlima, na umelete Aruni na wewe, lakini usiache makuhani na watu kupita vizuizi na kuja kwangu, au nitawashambulia.”
Yahvé lui dit: « Descends! Tu feras monter Aaron avec toi, mais ne laisse pas les prêtres et le peuple passer pour monter vers Yahvé, de peur qu'il ne se déchaîne contre eux. »
25 Hivyo Musa akaenda chini kwa watu na kusema nao.
Moïse descendit donc vers le peuple, et lui dit.

< Kutoka 19 >