< Kutoka 19 >
1 Katika mwezi wa tatu baada ya watu wa Israeli kutoka Misri, siku hiyo, walikwenda nyikani ya Sinai.
The Israeli people then left Rephidim, and exactly two months after leaving Egypt, they/we came to the desert near Sinai [Mountain]. They/We set up their/our tents at the base of the mountain.
2 Walipo ondoka Refidimu na kuja nyikani ya Sinai, walieka kambi mbele ya mlima.
3 Musa akaenda juu kwa Mungu. Yahweh alimuita kutoka mlimani na kusema, “Lazima uiambie nyumba ya Yakobo, watu wa Israeli:
Moses/I climbed up the mountain [to talk with] God. Yahweh called to [him/me] from [the top of] the mountain and said, “This is what I want you to say to the Israeli people, the descendants of Jacob:
4 Uliona nilicho fanya kwa Wamisri, jinsi nilivyo kubeba kwa mabawa ya tai na kukuleta kwangu.
‘You have seen what I did to the Egyptians. You have seen [what I did for all of you] and how I brought you here to me. It was as though I [lifted you up as] an eagle [carries its young eaglets] on its wings [MET].
5 Kisha sasa, ukinisikiliza kwa utii sauti yangu na kushika agano langu, kisha utakuwa mali yangu ya pekee miongoni mwa watu wote, kwa kuwa dunia yote ni yangu.
So now, if you will do what I tell you and obey all that I command you, you will be my own people. All the people-groups on the earth are mine, but you will be (dearer/more special) to me than all the other people-groups.
6 Utakuwa ufalme wa kikuhani na taifa takatifu langu. Haya ni maneno wapaswa kuwaambia Waisraeli.
You will be people over whom I will rule, and you will all (be like priests/represent me to other nations as priests represent me to one nation) [MET], and you will be completely dedicated to me.’ That is what you must tell the Israeli people.”
7 Hivyo Musa akaja na kuwaita wazee wa watu. Aliweke mbele yao maneno yote haya Yahweh aliyo muamuru.
So Moses/I went [down the mountain] and summoned the elders/leaders of the people. He/I told them everything that Yahweh had told him/me to tell them.
8 Watu wote walijibu pamoja na kusema, “Tutafanya yote Yahweh aliyo tuambia.” Kisha musa akaja kutoa taarifa ya maneno watu kwa Yahweh.
The people all said, “We will do everything that Yahweh has told us to do.” Then Moses/I [climbed back up the mountain and] reported to Yahweh what the people had said.
9 Yahweh akamwambia Musa, “Nitakuja kwako kwa wingu nene ili watu wasikie ninapo sema na wewe na wakuamini milele.” Kisha Musa kamwambia Yahweh maneno ya Yahweh.
Then Yahweh said to Moses/me, “[Listen carefully]: I am going to appear to you from inside a thick cloud. When I am speaking to you, the people will hear it, and they will always trust in you.” Then Moses/I went [down the mountain and reported to the people what Yahweh said. Then he/I went back up the mountain and] told Yahweh what the people replied.
10 Yahweh akamwambia Musa, “Nenda kwa watu. Leo na kesho lazima uwatenge, na kuwafanya waoshe mavazi yao.
Then Yahweh said to Moses/me, “Go [back down] to the people [again]. [Tell them to] purify themselves today and tomorrow. [Tell them to] wash their clothes, too.
11 Kuwa tayari kwa siku ya tatu, kwa kuwa siku ya tatu Yahweh atashuka chini ya Mlima Sayuni.
They must do that to be ready on the day after tomorrow. On that day I will come down to Sinai Mountain to where all the people can see me.
12 Lazima uweke mipaka kote kuzunguka mlima kwa ajili ya watu. Uwaambie, 'Kuweni waangalifu msiende juu ya mlima au kushika mipaka yake. Yeyote atakaye shika mlima ata uawa.'
You must make a boundary around the base of the mountain, and tell them, ‘Be sure that you do not climb the mountain or even go near it. Anyone who even touches the base of the mountain must be executed.’
13 Hakuna mkono wa mtu yeyote kumshika mtu huyu. Badala yake, lazima apigwe mawe au kuchomwa mshale. Iwe ni mtu au mnyama, lazima auawe. Tarumbeta itakapo pigwa muda mrefu, wanaweza kuja chini ya mguu wa mlima.”
Do not let anyone touch any person or any animal that touches the mountain. You must [kill any person or animal that touches the mountain] by throwing stones at it or shooting it [with arrows]. But when you hear a long [loud] trumpet sound, the people can come close to the [base of the] mountain.”
14 Kisha Musa akashuka mlimani kwenda kwa watu. Aliwatenga watu kwa ajili ya Yahweh na wakaosha mavazi yao.
So Moses/I went down the mountain [again] and told the people to purify themselves. They did what Moses/I told them to do, and they also washed their clothes.
15 Aliwaambia watu, “Kuweni tayari siku ya tatu; msiwakaribie wake zenu.”
Then Moses/I said to the people, “Be ready on the day after tomorrow. And [you men] must not have sex with [EUP] [your wives] until after then.”
16 Siku ya tatu, ilipo fika asubui, kulikuwa na ngurumo na radi na wingu nene kwenye mlima, na sauti kubwa ya tarumbeta. Watu wote kambini waliogopa.
Two days later, during the morning, there was thunder and lightning, and a very dark cloud on the mountain. A trumpet sounded very loudly, with the result that the people in the camp shook/trembled because they [were very afraid].
17 Musa akaleta watu kutoka kambini kukutana na Mungu, na wakasimama miguuni mwa mlima.
Then Moses/I led the people outside the camp to meet with God. They stood at the base of the mountain.
18 Mlima Sina ulijwa kabisa na moshi kwasababu Yahweh alishuka na moto na moshi. Moshi ulipanda juu kama moshi wa tanuru, na mlima wote ulitikisika kwa vurugu.
All of Sinai Mountain was covered in smoke, because Yahweh had descended on it, surrounded by a fire. The smoke rose up like the smoke from [the chimney of] a furnace, and the whole mountain shook violently.
19 Sauti ya tarumbeta ilipo ongezeka na zaidi, Musa akazungumza, na Mungu kamjibu kwa sauti.
As the sound of the trumpet continued to become louder, Moses/I spoke [to Yahweh], and Yahweh answered [him/me] in [a loud voice that sounded like] thunder.
20 Yahweh akashuka chini ya Mlima Sinai, juu ya mlima, na akamuita Musa kuja juu. Kisha Musa akapanda juu.
Then Yahweh came down [again] onto the top of Sinai Mountain, and he summoned Moses/me to come up to the top of the mountain. So Moses/I went up.
21 Yahweh akamwabia Musa, “Shuka chini na uwaonye watu wasipite kuniangalia, au wengi wao wataangamia.
Yahweh said to Moses/me, “Go down again and warn the people not to cross the boundary in order to look [at me]. If they [do] that, many of them will die.
22 Acha pia mukuhani wanao kuja karibu yangu wakitenge - wajiandae kwa ujio - ili nisiwashambulie.”
Also, the priests who habitually come near me must purify themselves. If they do not do that, I will punish them.”
23 Musa akamwabia Yahweh, “Watu hawawezi kuja juu ya mlima, kwa kuwa umetuamuru: 'Eka mipaka kuzunguka mlima na utenge kwa ajili ya Yahweh.'”
Then Moses/I said to Yahweh, “The people will not climb the mountain, because you commanded them, saying, ‘Set a boundary around the mountain, to make it sacred/taboo.’”
24 Yahweh akamwambia, Nenda, shuka chini ya mlima, na umelete Aruni na wewe, lakini usiache makuhani na watu kupita vizuizi na kuja kwangu, au nitawashambulia.”
Yahweh replied, “Go down the mountain, and bring Aaron back up with you. But do not allow the priests or other people to cross the boundary to come up to me. If they cross it, I will punish them.”
25 Hivyo Musa akaenda chini kwa watu na kusema nao.
So Moses/I went down the mountain [again] and told the people [what Yahweh had said].