< Kutoka 19 >

1 Katika mwezi wa tatu baada ya watu wa Israeli kutoka Misri, siku hiyo, walikwenda nyikani ya Sinai.
In the third moneth, after the children of Israel were gone out of the lande of Egypt, the same day came they into the wildernes of Sinai.
2 Walipo ondoka Refidimu na kuja nyikani ya Sinai, walieka kambi mbele ya mlima.
For they departed from Rephidim, and came to the desart of Sinai, and camped in the wildernesse: euen there Israel camped before the mount.
3 Musa akaenda juu kwa Mungu. Yahweh alimuita kutoka mlimani na kusema, “Lazima uiambie nyumba ya Yakobo, watu wa Israeli:
But Moses went vp vnto God, for ye Lord had called out of the mount vnto him, saying, Thus shalt thou say to the house of Iaakob, and tell the children of Israel,
4 Uliona nilicho fanya kwa Wamisri, jinsi nilivyo kubeba kwa mabawa ya tai na kukuleta kwangu.
Ye haue seene what I did vnto the Egyptians, and how I caryed you vpon eagles wings, and haue brought you vnto me.
5 Kisha sasa, ukinisikiliza kwa utii sauti yangu na kushika agano langu, kisha utakuwa mali yangu ya pekee miongoni mwa watu wote, kwa kuwa dunia yote ni yangu.
Now therefore if ye wil heare my voyce in deede, and keepe my couenant, then ye shalbe my chiefe treasure aboue all people, though all the earth be mine.
6 Utakuwa ufalme wa kikuhani na taifa takatifu langu. Haya ni maneno wapaswa kuwaambia Waisraeli.
Yee shall be vnto mee also a kingdome of Priestes, and an holy nation. These are the words which thou shalt speake vnto the children of Israel.
7 Hivyo Musa akaja na kuwaita wazee wa watu. Aliweke mbele yao maneno yote haya Yahweh aliyo muamuru.
Moses then came and called for the Elders of the people, and proposed vnto them all these things, which the Lord commanded him.
8 Watu wote walijibu pamoja na kusema, “Tutafanya yote Yahweh aliyo tuambia.” Kisha musa akaja kutoa taarifa ya maneno watu kwa Yahweh.
And the people answered all together, and sayd, All that the Lord hath commanded, we will doe. And Moses reported the wordes of the people vnto the Lord.
9 Yahweh akamwambia Musa, “Nitakuja kwako kwa wingu nene ili watu wasikie ninapo sema na wewe na wakuamini milele.” Kisha Musa kamwambia Yahweh maneno ya Yahweh.
And the Lord sayd vnto Moses, Lo, I come vnto thee in a thicke cloude, that the people may heare, whiles I talke with thee, and that they may also beleeue thee for euer. (for Moses had tolde the wordes of the people vnto the Lord)
10 Yahweh akamwambia Musa, “Nenda kwa watu. Leo na kesho lazima uwatenge, na kuwafanya waoshe mavazi yao.
Moreouer, the Lord sayd vnto Moses, Goe to the people, and sanctifie them to day and to morow, and let them wash their clothes.
11 Kuwa tayari kwa siku ya tatu, kwa kuwa siku ya tatu Yahweh atashuka chini ya Mlima Sayuni.
And let them be ready on the third day: for the thirde day the Lord will come downe in the sight of all the people vpon mount Sinai:
12 Lazima uweke mipaka kote kuzunguka mlima kwa ajili ya watu. Uwaambie, 'Kuweni waangalifu msiende juu ya mlima au kushika mipaka yake. Yeyote atakaye shika mlima ata uawa.'
And thou shalt set markes vnto the people rounde about, saying, Take heede to your selues that ye goe not vp the mount, nor touche the border of it: whosoeuer toucheth the mount, shall surely die.
13 Hakuna mkono wa mtu yeyote kumshika mtu huyu. Badala yake, lazima apigwe mawe au kuchomwa mshale. Iwe ni mtu au mnyama, lazima auawe. Tarumbeta itakapo pigwa muda mrefu, wanaweza kuja chini ya mguu wa mlima.”
No hand shall touche it, but he shalbe stoned to death, or striken through with darts: whether it be beast or man, he shall not liue: when the horne bloweth long, they shall come vp into the mountaine.
14 Kisha Musa akashuka mlimani kwenda kwa watu. Aliwatenga watu kwa ajili ya Yahweh na wakaosha mavazi yao.
Then Moses went downe from ye mount vnto the people, and sanctified the people, and they washed their clothes.
15 Aliwaambia watu, “Kuweni tayari siku ya tatu; msiwakaribie wake zenu.”
And he said vnto the people, Be ready on the third day, and come not at your wiues.
16 Siku ya tatu, ilipo fika asubui, kulikuwa na ngurumo na radi na wingu nene kwenye mlima, na sauti kubwa ya tarumbeta. Watu wote kambini waliogopa.
And the thirde day, when it was morning, there was thunders and lightnings, and a thicke cloude vpon the mount, and the sounde of the trumpet exceeding loude, so that all the people, that was in the campe, was afrayde.
17 Musa akaleta watu kutoka kambini kukutana na Mungu, na wakasimama miguuni mwa mlima.
Then Moses brought the people out of the tents to meete with God, and they stoode in the nether part of the mount.
18 Mlima Sina ulijwa kabisa na moshi kwasababu Yahweh alishuka na moto na moshi. Moshi ulipanda juu kama moshi wa tanuru, na mlima wote ulitikisika kwa vurugu.
And mount Sinai was all on smoke, because the Lord came downe vpon it in fire, and the smoke therof ascended, as the smoke of a fornace, and all the mount trembled exceedingly.
19 Sauti ya tarumbeta ilipo ongezeka na zaidi, Musa akazungumza, na Mungu kamjibu kwa sauti.
And when the sound of the trumpet blew long, and waxed louder and louder, Moses spake, and God answered him by voyce.
20 Yahweh akashuka chini ya Mlima Sinai, juu ya mlima, na akamuita Musa kuja juu. Kisha Musa akapanda juu.
(For the Lord came downe vpon mount Sinai on the toppe of the mount) and when the Lord called Moses vp into the top of the mount, Moses went vp.
21 Yahweh akamwabia Musa, “Shuka chini na uwaonye watu wasipite kuniangalia, au wengi wao wataangamia.
Then the Lord said vnto Moses, Go down, charge the people, that they breake not their boundes, to go vp to the Lord to gaze, least many of them perish.
22 Acha pia mukuhani wanao kuja karibu yangu wakitenge - wajiandae kwa ujio - ili nisiwashambulie.”
And let the Priestes also which come to the Lord be sanctified, least the Lord destroy them.
23 Musa akamwabia Yahweh, “Watu hawawezi kuja juu ya mlima, kwa kuwa umetuamuru: 'Eka mipaka kuzunguka mlima na utenge kwa ajili ya Yahweh.'”
And Moses sayde vnto the Lord, The people can not come vp into the mount Sinai: for thou hast charged vs, saying, Set markes on the mountaine, and sanctifie it.
24 Yahweh akamwambia, Nenda, shuka chini ya mlima, na umelete Aruni na wewe, lakini usiache makuhani na watu kupita vizuizi na kuja kwangu, au nitawashambulia.”
And the Lord sayd vnto him, Go, get thee downe, and come vp, thou, and Aaron with thee: but let not the Priestes and the people breake their boundes to come vp vnto the Lord, least he destroy them.
25 Hivyo Musa akaenda chini kwa watu na kusema nao.
So Moses went downe vnto the people, and tolde them.

< Kutoka 19 >