< Kutoka 18 >
1 Yethro, kuhani wa Midiani, baba mkwe wake Musa, alisikia yote Mungu aliyo fanya kwa Musa na kwa Israeli watu wake. Alisikia Yahweh ametoa Israeli kutoka Misri.
Now Jethro [Abundance], the priest of Midian [Strife], Moses [Drawn out]’ father-in-law, sh'ma ·heard obeyed· of all that God had done for Moses [Drawn out], and for Israel [God prevails] his people, how that Adonai had brought Israel [God prevails] out of Egypt [Abode of slavery].
2 Yethro, baba mkwe wake Musa, akamchukuwa Zipora, mke wa Musa, baada ya kumpeleka nyumbani,
Jethro [Abundance], Moses [Drawn out]’ father-in-law, received Zipporah, Moses [Drawn out]’ wife, after he had sent her away,
3 na wana wake wawili; jina mmoja lilikuwa Gershomu, kwa kuwa Musa alisema, “Nimekuwa mgeni katika nchi ya kigeni.”
and her two sons. The name of one son was Gershom, for Moses [Drawn out] said, “I have lived as a foreigner in a foreign land”.
4 Jina la mwingine lilikuwa Eliezeri, kwa kuwa Musa alisema, “Mungu wa babu yangu alikuwa msaada wangu. Aliniokoa na mkono wa Farao.”
The name of the other was Eliezer, for he said, “My father’s God was my help and delivered me from Pharaoh’s sword.”
5 Yethro, baba mkwe wake Musa, alikuja na watoto wake Musa na mke wake Musa nyikani alipo eka kambi katika mlima wa Mungu.
Jethro [Abundance], Moses [Drawn out]’ father-in-law, came with his sons and his wife to Moses [Drawn out] into the wilderness where he was encamped, at the Mountain of God.
6 Alimwambia Musa, “Mimi, baba mkwe wako Yethro, nina kuja kwako na mke wako na wanao wawili.”
He said to Moses [Drawn out], “I, your father-in-law Jethro [Abundance], have come to you with your wife, and her two sons with her.”
7 Musa alitoka kwenda kukutana na baba mkwe wake, akamwinamia, na kumbusu. Wakajuliana hali na wakaingia ndani ya hema.
Moses [Drawn out] went out to meet his father-in-law, and bowed and kissed him. They asked each other of their welfare, and they came into the tent.
8 Musa akamwambia baba mkwe wake yale yote Yahweh aliyo ya fanya kwa Farao na Wamisri kwa ajili ya Waisraeli, magumu yote yaliyo watoke njianim na jinsi Yahweh alivyo waokoa.
Moses [Drawn out] told his father-in-law all that Adonai had done to Pharaoh and to the Egyptians [people from Abode of slavery] for Israel [God prevails]’s sake, all the hardships that had come on them on the way, and how Adonai delivered them.
9 Yethro akafurahia yale mema yote Yahweh aliyo watendea Israeli, kwa hilo amewaokoa na mkono wa Wamisri.
Jethro [Abundance] rejoiced for all the goodness which Adonai had done to Israel [God prevails], in that he had delivered them out of the hand of the Egyptians [people from Abode of slavery].
10 Yethro akasema, “Yahweh atukuzwe, kwa kuwa amekuokoa na mkono wa Wamisri na mkono wa Faraom na kuwatoa watu kwenye mkono wa Wamisri.
Jethro [Abundance] said, “Blessed be Adonai, who has delivered you out of the hand of the Egyptians [people from Abode of slavery], and out of the hand of Pharaoh; who has delivered the people from under the hand of the Egyptians [people from Abode of slavery].
11 Sasa najua Yahweh ni mkuu kuliko miungu yote, kwasababu Wamisri walipo watenda Waisraeli kwa kiburi, Mungu aliwaokoa watu wake.”
Now I know that Adonai is greater than all deities because of the thing in which they dealt arrogantly against them.”
12 Yethro, baba mkwe wake Musa, akaleta sadaka ya kuteketeza na dhabihu kwa Mungu. Aruni na wazee wote wa Israeli wakaja kula chakula mbele za Yahweh na baba mkwe wake Musa.
Jethro [Abundance], Moses [Drawn out]’ father-in-law, took a burnt offering and sacrifices for God. Aaron [Light-bringer] came with all the elders of Israel [God prevails], to eat bread with Moses [Drawn out]’ father-in-law before God.
13 Siku iliyofuata Musa aliketi kuwa hukumu watu. Watu walisimama kumzunguka Musa kwanzia asubui hadi jioni.
On the next day, Moses [Drawn out] sat to judge the people, and the people stood around Moses [Drawn out] from the morning to the evening.
14 Baba mkwe wake Musa alipo ona yale yote aliyo yafanya kwa watu, alisema, “Ni nini unachofanya na watu? Kwanini unaketi peke yako na watu wote wamesimama kukuzunguka asubui hadi jioni?”
When Moses [Drawn out]’ father-in-law saw all that he did to the people, he said, “What is this thing that you do for the people? Why do you sit alone, and all the people stand around you from morning to evening?”
15 Musa akamwambia baba mkwe wake, “Watu wanakuja kuniuliza muongozo wa Mungu.
Moses [Drawn out] said to his father-in-law, “Because the people come to me to inquire of God.
16 Wanapo kuwa na malumbano, wanakuja kwangu. Ninaamua kati ya mtu mmoja na mwingine, na nina wafundisha maagizo na sheria.”
When they have a matter, they come to me, and I judge between a man and his neighbor, and I make them know the statutes of God, and his torot ·teachings·.”
17 Baba mkwe wake Musa alimwambia, “Unachofanya sicho kizuri sana.
Moses [Drawn out]’ father-in-law said to him, “The thing that you do is not good.
18 Hakika utajichosha, wewe na watu waliyopo na wewe. Huu mzigo ni mzito sana kwako. Hauwezi kufanya peke yako.
You will surely wear away, both you, and this people that is with you; for the thing is too heavy for you. You are not able to perform it yourself alone.
19 Nisikilize. Nitakupa ushauri, na Mungu ata kuwa na wewe, kwasababu wewe nimwakilishi wa watu kwa Mungu, na una leta malumbano yao kwake.
Sh'ma ·Hear obey· now to my voice. I will give you counsel, and God be with you. You represent the people before God, and bring the causes to God.
20 Lazima uwafundishe maagizo yake na sheria. Lazima uwafundishe njia yakutembea na kazi ya kufanya.
You shall teach them the statutes and the torot ·teachings·, and shall show them the way in which they must walk, and the work that they must do.
21 Mbali zaidi, lazima uchague wanaume wenye uwezo kutoka watu wote, wanaume wanao muheshimu Mungu, wanaume wa kweli wanao chukuia mapato ya ufisadi. Lazima uwaeke juu ya watu, kuwa viongozi wa maelfu, mamia, hamsini, na makumi.
Moreover you shall provide out of all the people able men which fear God: men of truth, hating unjust gain; and place such over them, to be rulers of thousands, rulers of hundreds, rulers of fifties, and rulers of tens.
22 Watawa hukumu watu na kesi za kawaida, lakini kesi ngumu wataleta kwako. Kwa kesi ndogo, wanaweza kuhukumu wenyewe. Kwa hivyo itakuwa rahisi kwako, na watabeba mzigo na wewe.
Let them judge the people at all times. It shall be that every great matter they shall bring to you, but every small matter they shall judge themselves. So shall it be easier for you, and they shall share the load with you.
23 Ukifanya hivi, na kama Mungu akikuamuru kufanya al kadhalika, basi utaweza kuvumilia, na watu wote watarudi nyumbani wameridhika.”
If you will do this thing, and God enjoins you to do so, then you will be able to endure, and all these people also will go to their place in peace.”
24 Hivyo Musa akasikiliza maneno ya baba mkwe wake na akafanya yale yote aliyo yasema.
So Moses [Drawn out] sh'ma ·heard obeyed· the voice of his father-in-law, and did all that he had said.
25 Musa alichagua wanaume wenye uwezo kutoka Israeli na kuwa fanya vichwa juu ya watu, viongozi wahusika wa maelfu, mamia, hamsini, na makumi.
Moses [Drawn out] chose able men out of all Israel [God prevails], and made them heads over the people, rulers of thousands, rulers of hundreds, rulers of fifties, and rulers of tens.
26 Waliwa hukumu watu katika hali za kawaida. Kesi ngumu walimletea Musa, lakini wao wenyewe wali hukumu kesi ndogo.
They judged the people at all times. They brought the hard causes to Moses [Drawn out], but every small matter they judged themselves.
27 Kisha Musa akamwacha baba mkwe wake kuondoka, na Yethro akarudi kwenye nchi yake.
Moses [Drawn out] let his father-in-law depart, and he went his way into his own land.