< Kutoka 17 >
1 Jamii yote ya Israeli ili safiri kutoka nyikani ya Sinu, wakifuata maelekezo ya Yahweh. Walieka kambi Refidimu, lakini hapakuwa na maji ya watu kunywa.
Gırgın İzrailin cəmə'ət Sin eyhene sahreençe yəqqı'lqa qığeç'e. Rəbbe manbışik'le uvhuyn xhinne manbı ulyoozar-ulyoozar avayk'an. Manbı Refidim eyhene cigeeqa qabı çadırbı g'iyxə. Maa'ad milletın ulyoğasın xhyan eyxhe deş.
2 Hivyo watu wakamlaumu Musa kwa hali yao na kusema, “Tupe maji ya kunywa.” Musa akasema, “Kwanini mnagombana na mimi? Kwanini mnajaribu Yahweh?”
Mançil-allar manbışe Mısa t'yats'axal hı'ı eyhen: – Şas ulyoğasın xhyan hele! Mısee manbışik'le eyhen: – Nya'a şu zak'le cuvabbı eyhe? Nişil-allane şu Rəbb siliys ı'xı'yxə?
3 Watu walikuwa na kiu sana, na waka mlalamikia Musa. Wakasema, “Kwanini umetutoa Misri? Ili utuue sisi na watoto wetu na mifugo yetu kwa kiu?”
Milletıs xhyan ıkkan eyxhe. Mançil-allad manbışe Mısa t'yats'axal hı'ı eyhen: – Nya'a ğu şi Misirğançe qığav'u? İn ğu şak, şinab, yişin uşaxarıb, həyvanarıd xhineka gyatt'asdemene hı'ı?
4 Kisha Musa akamlilia Yahweh, “Nini ni fanya kwa hawa watu? Wako tayari ata kunipiga mawe.”
Mısee Rəbbilqa onu'u eyhen: – İne milletık zı hucoone ha'as? Manbı zalqa g'aye gyooğa'asınçıl qepxha vob.
5 Yahweh akamwambia Musa, “Nenda mbele yao, na uchukuwe baadhi ya wazee wa Israeli. Chukuwa gongo ulilo piga nalo mto, na uende.
Rəbbee Mısays inəxdun alidghıniy qele: – Vakasana sabara milletın ağsaqqalar qopt'ul milletne ögiyl hoora. Nil eyhene damays ı'xı'yn əsayid xılyaqa aleet'e.
6 Nitasimama mbele yako pale kwenye mwamba wa Horebu, na utaupiga mwamba. Maji yatatoka ya watu kunywa.” Kisha Musa akafanya hivyo mbele ya wazee wa Israeli.
Maane Xorev eyhene ganzıl Zı yiğne ögiyl ulyozaras. Mane yiğne xılene əsaaka ganzıle k'ena it'umda ı'xe, mançeençe milletıs ulyoğasın xhyan qığeç'es. Mısee İzrailyne ağsaqqalaaşine ögiyl həməxüd ha'a.
7 Aliita ile sehemu Massa na Meriba kwasababu ya malalamishi ya Waisraeli, na kwasababu walimjaribu Bwana kwa kusema, “Je Yahweh yupo miongoni mwetu au hapana?”
Mısee mane cigaynıd do Massayiy Meriva (siliys ı'xı'y, cuvabbı uvhiy) giyxhe. Ma'ad İzrailybışe cok'le cuvabbı eyheva, «Rəbbir şakaniyxan deşxhee, de'eşdaniyxanva» uvhu, Rəbbir siliys ı'xı'va man do giyxhe.
8 Kisha jeshi la watu wa Ameleki wakaja na kushambulia Israeli huko Refidimu.
Mançile qiyğa Amalekar Refidimeeqa abı İzrailybışika suç'ookanbı.
9 Hivyo Musa akamwambia Yoshua, “Chagau wanaume kadha na uende nje. Pigana na Ameleki. Kesho nitasimama juu ya kilima na gongo la Mungu mkononi mwangu.”
Mısee Yeşuayk'le eyhen: – Hark'ın milletıke insanar g'əvxe, yişdemee Amalekaaşika saç'uvkecen. Zı g'iyqa Allahne əsaaka tepayne q'oma ulyozarasda.
10 Hivyo Yoshua akapigana na Ameleki kama Musa alivyo elekeza, wakati Musa, Aruni, na Huri walienda juu ya kilima.
Yeşueeyid Mısee uvhuyn xhinne ha'a, hark'ın Amalekaaşika siç'ekkvana. Mısa, Harun, Xur hapk'ın ılqeebaç'enbı tepayne q'omaqa.
11 Wakati Musa alipo kuwa ameshikilia mikono yake juu, Israeli ilikuwa yashinda; alipo acha mikono yake ipumzike, Ameleki alianza kushinda.
Mısee xıleppı ooqa qı'ımee İzrailybı ğamebaxhenbıniy, mang'un xıleppı ozzur avqa qeetxhamee, ğamebaxhe giviyğalanbı Amalekar.
12 Mikono ya Musa alipo kuwa mizito, Aruni na Huri walichukuwa jiwe na kuweka chini yake alikalie. Muda huo huo, Aruni na Huri walinyanyua mikono yake juu, mtu mmoja upande mmoja, na mtu mmoja upande mwingine. Hivyo mikono ya Musa ilishikiliwa tuli mpaka jua lilipo zama.
Mısayn xıleppı oyzaranbı, mang'usse xıleppı orzuliyvalike ooqa qa'as dəxəmee, Haruneeyiy Xuree g'aye abı Mısa çilqa gya'a. Mang'un sa xıl aqqaqqan Harunee mansad Xuree. Məxüd verığ k'yooçesmee, manbışe mang'un xıleppı xəə aqqaqqa.
13 Hivyo Yoshua akawashinda watu wa Ameleki kwa upanga.
Məxüb Yeşuee Amalekbı cune g'ılıncıke alğaa'a.
14 Yahweh akamwambia Musa, “Andika haya kwenye kitabu na umsomee Yoshua, kwasababu nitaondoa kumbukumbu ya Ameleki kutoka chini ya mbingu.”
Rəbbee Mısayk'le eyhen: – İnsanaaşe yik'el aqqecenva kitabeeqa ok'ne. Qiyğad Yeşuayk'le eyhe, Zı Amalekaaşin docad ç'iyene aq'vale hakkal ha'asın.
15 Kisha Musa akajenga madhabahu na kuiita “Yahweh ni bendera yangu.”
Mısee q'urban ablya'an ciga ali'ı çin doyud YAHVE Nissi (zas Rəbbee ğamxhesda guc hoole) gixhxhı,
16 Alisema, “Kwa kuwa mkono ulinyanyuliwa juu kuelekea kiti cha enzi cha Yahweh - kwamba Yahweh ata fanya vita na Ameleki vizazi na vizazi.”
eyhen: – Zı Rəbbilqa k'ın g'iysar, Rəbbee Amalekaaşikana dəv'ə ç'əv ha'as deş.