< Kutoka 17 >

1 Jamii yote ya Israeli ili safiri kutoka nyikani ya Sinu, wakifuata maelekezo ya Yahweh. Walieka kambi Refidimu, lakini hapakuwa na maji ya watu kunywa.
And so, the entire multitude of the sons of Israel, having set out from the desert of Sin in stages, according to the word of the Lord, made camp at Rephidim, where there was no water for the people to drink.
2 Hivyo watu wakamlaumu Musa kwa hali yao na kusema, “Tupe maji ya kunywa.” Musa akasema, “Kwanini mnagombana na mimi? Kwanini mnajaribu Yahweh?”
And arguing against Moses, they said, “Give us water, so that we may drink.” And Moses answered them: “Why argue against me? For what reason do you tempt the Lord?”
3 Watu walikuwa na kiu sana, na waka mlalamikia Musa. Wakasema, “Kwanini umetutoa Misri? Ili utuue sisi na watoto wetu na mifugo yetu kwa kiu?”
And so the people were thirsty in that place, due to the scarcity of water, and they murmured against Moses, saying: “Why did you cause us to go out of Egypt, so as to kill us and our children, as well as our cattle, with thirst?”
4 Kisha Musa akamlilia Yahweh, “Nini ni fanya kwa hawa watu? Wako tayari ata kunipiga mawe.”
Then Moses cried out to the Lord, saying: “What shall I do with this people? A little while more and they will stone me.”
5 Yahweh akamwambia Musa, “Nenda mbele yao, na uchukuwe baadhi ya wazee wa Israeli. Chukuwa gongo ulilo piga nalo mto, na uende.
And the Lord said to Moses: “Go before the people, and take with you some of the elders of Israel. And take in your hand the staff, with which you struck the river, and advance.
6 Nitasimama mbele yako pale kwenye mwamba wa Horebu, na utaupiga mwamba. Maji yatatoka ya watu kunywa.” Kisha Musa akafanya hivyo mbele ya wazee wa Israeli.
Lo, I will stand in that place before you, on the rock of Horeb. And you shall strike the rock, and water will go forth from it, so that the people may drink.” Moses did so in the sight of the elders of Israel.
7 Aliita ile sehemu Massa na Meriba kwasababu ya malalamishi ya Waisraeli, na kwasababu walimjaribu Bwana kwa kusema, “Je Yahweh yupo miongoni mwetu au hapana?”
And he called the name of that place ‘Temptation,’ because of the arguing of the sons of Israel, and because they tempted the Lord, saying: “Is the Lord with us, or not?”
8 Kisha jeshi la watu wa Ameleki wakaja na kushambulia Israeli huko Refidimu.
And Amalek came and fought against Israel at Rephidim.
9 Hivyo Musa akamwambia Yoshua, “Chagau wanaume kadha na uende nje. Pigana na Ameleki. Kesho nitasimama juu ya kilima na gongo la Mungu mkononi mwangu.”
And Moses said to Joshua: “Choose men. And when you go out, fight against Amalek. Tomorrow, I will stand at the top of the hill, holding the staff of God in my hand.”
10 Hivyo Yoshua akapigana na Ameleki kama Musa alivyo elekeza, wakati Musa, Aruni, na Huri walienda juu ya kilima.
Joshua did as Moses had spoken, and he fought against Amalek. But Moses and Aaron and Hur ascended to the top of the hill.
11 Wakati Musa alipo kuwa ameshikilia mikono yake juu, Israeli ilikuwa yashinda; alipo acha mikono yake ipumzike, Ameleki alianza kushinda.
And when Moses lifted up his hands, Israel prevailed. But when he released them a little while, Amalek overcame.
12 Mikono ya Musa alipo kuwa mizito, Aruni na Huri walichukuwa jiwe na kuweka chini yake alikalie. Muda huo huo, Aruni na Huri walinyanyua mikono yake juu, mtu mmoja upande mmoja, na mtu mmoja upande mwingine. Hivyo mikono ya Musa ilishikiliwa tuli mpaka jua lilipo zama.
Then the hands of Moses became heavy. And so, taking a stone, they placed it beneath him, and he sat on it. Then Aaron and Hur sustained his hands from both sides. And it happened that his hands did not tire until the setting of the sun.
13 Hivyo Yoshua akawashinda watu wa Ameleki kwa upanga.
And Joshua put to flight Amalek and his people by the edge of the sword.
14 Yahweh akamwambia Musa, “Andika haya kwenye kitabu na umsomee Yoshua, kwasababu nitaondoa kumbukumbu ya Ameleki kutoka chini ya mbingu.”
Then the Lord said to Moses: “Write this, as a memorial in a book, and deliver it to the ears of Joshua. For I will wipe away the memory of Amalek from under heaven.”
15 Kisha Musa akajenga madhabahu na kuiita “Yahweh ni bendera yangu.”
And Moses built an altar. And he called its name, ‘The Lord, my Exaltation.’ For he said:
16 Alisema, “Kwa kuwa mkono ulinyanyuliwa juu kuelekea kiti cha enzi cha Yahweh - kwamba Yahweh ata fanya vita na Ameleki vizazi na vizazi.”
“The hand of the throne of the Lord, and the war of the Lord, will be against Amalek from generation to generation.”

< Kutoka 17 >