< Kutoka 16 >
1 Watu wakaendelea na safari kutoka Elimu, na jamii yote ya Waisraeli ikaja nyikani mwa Sinu, iliyopo katikati ya Elimu na Sinai, siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili walipo toka Misri.
Hahoi, Isarel rangpuinaw teh Elim hoi a tâco awh teh kahlawng bout a cei awh. Izip ram hoi a tâco hnukkhu, thapa yung hni, Hnin hrahlaipanga nah, Elim hoi Sinai mon rahak Sin kahrawng dawk a pha awh.
2 Jamii yote ya Waisraeli wali walalamikia Musa na Aruni nyikani.
Hote kahrawng dawk Isarel rangpuinaw ni,
3 Waisraeli waliwaambia, “Kama tu tungekufa kwa mkono wa Yahweh nchi ya Misri tulipo kuwa tumeketi kwenye vyombo vya nyama na tulikuwa tunakula mkate kwa tele. Maana umetuleta nyikani uuwe jamii zetu zote kwa njaa.”
Kaimouh teh Izip ram moi thawngnae hlaam teng tahung teh, ka boum lah ka ca awh navah, BAWIPA e kut hoi kadout awh pawiteh ahawihnawn. Atu vah, ka kamkhueng e taminaw kamlum sak hanelah, Hete kahrawng dawk na hrawi awh vaw telah Mosi hoi Aron yonpen awh teh a phuenang awh.
4 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Nitakunyeshea mvua ya mkate. Watu wataenda na kukusanya kiasi cha siku kila siku ili niwajaribu kama wataendelea kushika sheria yangu au hapana.
Hat navah, BAWIPA ni khenhaw! Kai ni nangmouh hanelah kalvan hoi vaiyei ka rak sak han. Taminaw ni hnin touh rawca rawi hanelah hnintangkuem a tâco awh han. Ka kâlawk patetlah a sak hoi, a sak hoeh e hottelah lahoi ahnimouh ka tanouk han.
5 Itakuja kuwa siku ya sita, kwamba watakusanya mara mbili zaidi ya wanavyo kusanyaga, na watapika wanacholeta.”
Hnin tangkuem rawi e hlak kapap lah, hnin taruk hnin teh let hni touh hoi rawi hanelah kârakueng awh, telah Mosi koe a dei pouh.
6 Kisha Musa na Aruni wakawaambia watu wote wa Israeli, “Jioni mtajua kuwa ni Yahweh aliye waleta kutoka nchi ya Misri.
Mosi hoi Aron nihai, BAWIPA ni nangmouh teh Izip ram hoi na hrawi a e hah atu tangmin vah na panue awh han.
7 Asubui utaona utukufu wa Yahweh, kwa maana anasikia mna mlalamikia. Sisi ni nani hadi mtulalamikie?”
Amom lahai BAWIPA e bawilennae na hmu awh han. BAWIPA koe na phuenangnae lawk teh a thai toe. Kaimouh yon na pen awh teh na phuenang sin hanelah, Kaimouh teh bang patet e tami lah maw ka o awh, telah Isarelnaw koe atipouh roi.
8 Musa pia akasema, “Utajua hili pale Yahweh atakapo kupa nyama jioni na mkate asubui kwa tele - kwa kuwa amesikia malalamishi mnayo tamka dhidi yake. Nani ni Aruni na mimi? Malalamishi yenu sio dhidi yetu; ni dhidi ya Yahweh.”
Hahoi, Mosi ni, BAWIPA ni tangmin na ca awh han e moi thoseh, Amom kaboumlah na ca awh han e vaiyei thoseh, na poe awh toteh, hete lawk heh kakuep han. Nangmouh ni na phuenangnae lawk teh BAWIPA ni a thai toe. Kaimouh teh bang patet e tami maw. Nangmouh ni na phuenangnae e heh kaimouh roi koe na hoeh, BAWIPA koe doeh na phuenang awh, telah atipouh.
9 Musa akamwambia Aruni, “Sema kwa jamii yote ya watu wa Israeli, 'Njoo karibu ya Yahweh, kwa kuwa amesikia malalamishi yenu.'”
Hahoi, nangmae phuenangnae lawk hah BAWIPA ni a thai dawkvah, Ama koe hnai awh, telah Isarel tamimaya pueng koe patuen dei pouh hanelah Aron koe lawkthui e patetlah,
10 Ikawa, Aruni alipo sema na jamii yote ya watu wa Israeli, wakaangalia kuelekea nyikani, na, tazama, utukufu wa Yahweh ukatokea kwenye wingu.
Aron ni Isarel tamimaya koe patuen bout a dei pouh navah, ahnimouh ni kahrawng lah a khet awh teh, tâmai dawk BAWIPA e bawilennae kamnuek e hah a hmu awh.
11 Kisha Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
BAWIPA ni hai Isarelnaw e phuenangnae lawk hah ka thai toe.
12 “Nimesikia malalamishi ya watu wa Israeli. Sema nao na useme, 'Jioni utakula nyama, na asubui utashiba mkate. Kisha utajua mimi ni Yahweh Mungu wako.'”
Tangmin lah nangmouh ni moi na ca awh han. Amom lahai vaiyei kaboumlah na ca awh han. KAI teh nangmae BAWIPA Cathut doeh tie hah na panue han telah ahnimouh koe dei pouh telah Mosi koe atipouh.
13 Ikaja kuwa kwamba jioni kware wakaja juu na kufunika kambi. Asubui umande ulitanda kambini.
Tangmin lah tamuemnaw teh rim koe a tho awh. Amom lahai rim petkâtue lah tadamtui a bo.
14 Umande ulipo kwisha, pale juu ya ardhi ya nyikani kulikuwa na kama barafu iliyo ganda kwenye ardhi.
Tadamtui a kâkayaw toteh, tadamtui kamkak e patetlah titica kamhluem e talai dawk ao.
15 Watu wa Israeli walipo ona, walisema mmoja kwa mwenzake, “Hii ni nini?” Hawakujua ilikuwa ni nini. Musa akawaambia, “Ni mkate Yahweh aliyo wapa mle.
Hote hno Isarelnaw ni a hmu awh toteh, bangmaw ti a panue awh hoeh dawkvah, buet touh hoi buet touh a kâpacei awh. Mosi ni hete naw teh nangmouh na ca hanelah BAWIPA ni na poe e vaiyei doeh.
16 Hii ni amri Yahweh aliyotoa: 'Lazima ukusanye, kila mmoja wenu, kiasi unacho itaji kula, lita mbili kwa kila mtu. Hivi ndivyo utakavyo kusanya: Kusanya cha kutosha kula cha kila mtu anaye ishi hemani mwako.'”
Tami pueng ni amae rim dawk kaawm e tami yit touh ni cakhuem, tami buet touh hanlah Omer buet touh rip rawi hanlah BAWIPA ni a dei e patetlah patuen bout a dei pouh.
17 Watu wa Israeli wakafanya hivyo. Baadhi wakakusanya zaidi, baadhi wakakusanya kidogo.
Isarelnaw ni hottelah a sak awh teh, tami kayoun kapap e patetlah a rawi awh.
18 Walipo pima kwa kipimo cha lita, hao walio kusanya zaidi hawakuwa na kilicho salia, na hao walio kusanya kidogo hawakuwa na pungufu. Kila mmoja alikusanya cha kutosha kukidhi maitaji yake.
Omer hoi a nue awh navah, kapap ka rawi e ni hoe tawn hoeh. Kayoun ka rawi e ni hai hoe vout hoeh. Abuemlah cakhuem koung a rawi awh.
19 Kisha Musa akawaambia, “Hakuna ata mmoja kubakiza hadi asubui.”
Mosi ni api nang hai amom totouh na tat awh mahoeh atipouh eiteh,
20 Walakini, hawakumsikiliza Musa. Baadhi yao waliacha baadhi hadi asubui, lakini ilizalisha wadudu na kuwa batili. Kisha Musa akawa na hasira juu yao.
Tami tangawn ni Mosi e lawk ngai laipalah, amom totouh a ta awh dawkvah a pâri teh a hmui a tho dawk Mosi teh a lungkhuek.
21 Walikusanya asubui kwa asubui. Kila mtu alikusanya cha kutosha kula kwa hiyo siku. Jua lilipo kuwa kali, ili yayuka.
Hote tami tangkuem ni amamouh cakhuem hnintangkuem a rawi awh. Khumbeithoe nah atui lah a tho.
22 siku ya sita walikusanya mkate mara mbili zaidi, lita mbili kwa kila mtu. Viongozi wote wa jamii walikuja na kumwambia hili kwa Musa.
A hnin taruk hnin navah, vaiyei let hni touh, tami buet touh hanelah Omer kahni touh rip a rawi awh. Hote akong hah tamimaya ka ukkungnaw ni Mosi koe a thai sak awh.
23 Aliwaambia, “Hili ndilo Yahweh alililo lisema: 'Kesho ni mapumziko ya kujiliwaza, sabato takatifu kwa utukufu wa Yahweh. Oka kile unataka kuoka, na chemsha kile unataka kuchemsha. Vyote vitakavyo baki, jihifadhie hadi asubui.”'
Ahni ni hai tangtho teh BAWIPA hmalah kathounge Sabbath hnin, Kâhatnae hnin lah ao. Vaiyei thawng hanlah na ngai e patetlah thawng awh. Bue hanlah na ngai pawiteh bue awh. Kacawie teh tangtho amom hanelah na ta awh han telah BAWIPA ni a dei e hah bout a dei pouh.
24 Hivyo wakaeka pembeni hadi asubui, kama Musa alivyo elekeza. Haikuharibika, wala haikuwa na mdudu yeyote.
Mosi ni lawkthui a e patetlah atangtho amom hanelah hai a ta awh. Hotteh, a hmui tho hoeh. Pâri hai pâri hoeh.
25 Musa alisema, “Kula hicho cha kula leo, kwa kuwa leo ni siku iliyo tengwa ya kumtukuza Yahweh. Leo hamtaikuta mashambani.
Mosi ni hai kacawie sahnin cat awh. Sabbath teh BAWIPA e hnin doeh. Hote hno kahrawngum sahnin vah na hmawt awh mahoeh.
26 Mtaikusanya ndani ya siku sita, lakini siku ya saba ni Sabato. Siku ya Sabato hakuta kuwa na manna.”
Hnin taruk touh thung a rawi awh. Sabbath hnin lah kaawm e hnin sari hnin nah awm hoeh, na hmawt hai na hmawt awh mahoeh telah ati.
27 Ilikuja kuwa siku ya saba ambapo baadhi ya watu walienda kukusanya manna, lakini hawakukuta
Hnin sari hnin nah, Tami tangawn ni rawi hanelah a tâco awh teh a tawng awh navah hmawt awh hoeh.
28 Kisha Yahweh akamwambia Musa, Kwa muda gani utaendelea kukataa kushika amri zangu na sheria zangu?
BAWIPA ni hai nangmouh ni kaie kâpoelawknaw hoi kâlawknaw na totouh maw na pahnawt awh han rah.
29 Tazama, Yahweh amekupa Sabato. Hivyo siku ya sita anakupa mkate wa siku mbili. Kila mmoja wenu lazima akae kwenye sehemu yake; hakuna hata mmoja wa kutoka sehemu yake siku ya saba.”
BAWIPA ni Sabbath hnin teh nangmouh na poe awh. Hatdawkvah, hnin taruk hnin nah, hnin hni touh hane vaiyei hah na poe awh. Taminaw pueng ama onae hmuen koe awm naseh. Hnin sari hnin nah, a onae hmuen koehoi nahai cetsak hanh telah Mosi koe atipouh.
30 Hivyo watu watapumzika siku ya saba.
Taminaw ni hnin sari hnin nah a kâhat awh han.
31 Watu wa Israeli walikiita chakula kile “manna.” Ilikuwa ni nyeupe kama mbegu ya mgiligani, na ladha yake kama maandazi yaliyo pikwa na asali.
Isarelnaw ni hote cakawi hah mana telah ati awh. Songsuenmu patetlah ao teh a pangaw. Khoitui hoi kalawt e vaiyei hoi a tuinae a kâvan.
32 Musa akasema, “Hili ndilo Yahweh alilo amuru: 'Acha lita mbili ya manna ihifadhiwe kwa ajili vizazi vya watu wako ili kwamba uzao wako uone mkate niliyo kulisha nyikani, baada ya kukutoa kutoka nchi ya Misri.
Mosi ni nangmouh Izip ram hoi na hrawi awh navah, Kahrawng na paca e vaiyei hah na ca catounnaw pueng ni a hmu a nahan e lah, Omer buet touh tat telah BAWIPA ni a dei e hah bout a dei pouh.
33 Musa akamwambia Aruni, “Chukuwa jagi na uweke lita mbili za manna ndani yake. Hifadhi kwa Yahweh i dumu vizazi vyote vya watu.”
Mosi ni Aron koevah hlaam lat nateh, mana Omer buet touh athung vah tat. Na ca catoun totouh ta hanelah, BAWIPA hmalah na kuem han atipouh.
34 Kama Yahweh alivyo muamuru Musa, Aruni akahifadhi pembeni mwa mawe yaliyo kuwa na amri za agano.
BAWIPA ni Mosi koe lawkthui e patetlah hote mana hah Aron ni pou a kuem hanelah lawkpanuesaknae hmalah a hung.
35 Watu wa Israeli walikula manna miaka arobaini mpaka walipo kuja nchi yenye watu. Walikula mpaka walipo fika kwenye mipaka ya nchi ya Kanani.
Isarelnaw ni khosaknae ram dawk a pha awh hoeh roukrak, a kum 40 touh thung mana a ca awh. Kanaan ramri koe a pha hoeh roukrak mana a ca awh.
36 Lita mbili ni makumi ya efa.
Omer buet touh e teh ephah pung hra pung touh e kuk lah ao. (Omer buet touh teh ephah pung hra pung touh hoi a kâvan teh, ephah buet touh teh 22 liters hoi a kâvan)