< Kutoka 15 >

1 Kisha Musa na watu wa Israeli wakaimba hii nyimbo kwa Yahweh. Waliimba, “Nitaimba kwa Yahweh, kwa kuwa ameshinda kwa utukufu; farasi na dereva wake amewatupa kwenye bahari.
Então Moisés e as crianças de Israel cantaram esta canção para Javé, e disseram, “Vou cantar para Javé, pois ele triunfou gloriosamente. Ele jogou o cavalo e seu cavaleiro no mar.
2 Yahweh ni uweza wangu na nyimbo yangu, na amekuwa wokovu wangu. Huyu ni Mungu wangu, na nitamsifu, Mungu wa baba yangu, nitamtukuza.
Yah é minha força e meu canto. Ele se tornou minha salvação. Este é meu Deus, e eu o louvarei; o Deus de meu pai, e eu o exaltarei.
3 Yahweh ni shujaa; Yahweh ni jina lake.
Yahweh é um homem de guerra. Yahweh é seu nome.
4 Ametupa magari ya farasi ya Farao na jeshi lake kwenye bahari. Maafisa wa Farao hodari walizama kwenye Bahari ya Shamu.
Ele lançou as carruagens do faraó e seu exército no mar. Seus capitães escolhidos estão afundados no Mar Vermelho.
5 Kina kiliwafunika; walienda kwenye kina kama jiwe.
As profundezas as cobrem. Eles desceram às profundezas como uma pedra.
6 Mkono wako wakulia, Yahweh, una nguvu ya utukufu; mkono wako, Yahweh, umewavunja adui.
Sua mão direita, Yahweh, é gloriosa no poder. Sua mão direita, Yahweh, trai o inimigo em pedaços.
7 Kwa utukufu mkubwa umewapindua walio inuka dhidi yako. Umetuma gadhabu; imewateketeza kama karatasi.
Na grandeza de sua excelência, o senhor derruba aqueles que se levantam contra o senhor. Você envia sua fúria. Ela os consome como restolho.
8 Kwa pumzi ya pua yako maji yalijaa; maji yanayo tembea yalisimama wima na kujaa juu; maji yalikuwa manene ndani ya kilindi cha bahari.
Com o sopro de suas narinas, as águas foram empilhadas. As enchentes se ergueram como uma pilha. As profundezas foram congeladas no coração do mar.
9 Adui alisema, 'Nitakimbiza, nitapita, nitagawa nitakacho chukuwa; tamanio langu litatimizwa kwao; nitavuta upanga wangu; mkono wangu utawaharibu wao.'
O inimigo disse: 'Eu perseguirei'. Eu irei superar. Vou dividir o saque. Meu desejo será satisfeito com eles. Eu desembainharei minha espada. Minha mão vai destruí-los'.
10 Lakini ulipuliza kwa upepo wako, na bahari ikawafunika wao; walizama kama chuma nzito kwenye maji mengi.
Você soprou com seu vento. O mar os cobriu. Afundaram como chumbo nas águas impetuosas.
11 Ni nani kama wewe, Yahweh, miongoni mwa miungu? Nani kama wewe, mtakatifu wa utukufu, katika sifa umetukuzwa, anaye fanya miujiza?
Quem é como você, Yahweh, entre os deuses? Quem é como você, glorioso em santidade, temeroso em elogios, fazendo maravilhas?
12 Ulinyoosha mkono wako wa kulia, na dunia ikawameza.
Você esticou sua mão direita. A terra os engoliu.
13 Katika uaminifu wa agano lako umewaongoza watu ulio waokoa. Katika uweza wako umewaongoza katika sehemu takatifu unayo ishi.
“Você, em sua bondade amorosa, conduziu o povo que você resgatou. Você os guiou em suas forças para sua morada sagrada.
14 Watu watasikia, na watatetemeka; hofu itawakumba wakazi wa Filistia.
Os povos já ouviram falar. Eles tremem. As panelas se apoderaram dos habitantes da Filístia.
15 Kisha wazee wa Edomu wataogopa; wanajeshi wa Moabu watetemeka; wakazi wote wa Kanani watayayuka.
Então os chefes da Edom ficaram consternados. O tremor se apodera dos poderosos homens de Moab. Todos os habitantes de Canaã derreteram.
16 Mshituko na hofu vitawaangukia. Kwasababu ya nguvu ya mkono wako, watakuwa kimya kama jiwe hadi watu wako watakapo pita, Yahweh - hadi watu ulio waokoa watakapo pita.
O terror e o pavor caem sobre eles. Pela grandeza de seu braço, eles são tão imóveis quanto uma pedra, até que seu povo passe para o outro lado, Yahweh, até que as pessoas que você comprou passem por cima.
17 Utawaleta na kuwapanda kwenye mlima wa urithi wako, sehemu, Yahweh, ulio jenga ya kuishi, sehemu takatifu, Bwana wetu, mikono yako iliyo jenga.
Você os trará e os plantará na montanha de sua herança, o lugar, Yahweh, que você mesmo fez para morar: o santuário, Senhor, que suas mãos estabeleceram.
18 Yahweh ata tawala milele na milele.”
Yahweh reinará para todo o sempre”.
19 Kwa kuwa farasi wa Farao walienda na magari ya farasi na wapanda farasi kwenye bahari. Yahweh alileta maji ya bahari juu yao. Lakini Waisraeli walienda juu ya nchi kavu katikati ya bahari.
Pois os cavalos do Faraó entraram com suas carruagens e com seus cavaleiros no mar, e Javé trouxe de volta as águas do mar sobre eles; mas os filhos de Israel caminharam em terra firme no meio do mar.
20 Miriamu nabii wa kike, dada wa Aruni, akanyanyua tari, na wanawake wote wakatoka na matari, wakicheza nae.
Miriam, a profetisa, irmã de Aarão, pegou um pandeiro na mão; e todas as mulheres saíram atrás dela com pandeiros e com danças.
21 Miriamu akawaimbia: “Muimbieni Yahweh, kwa kuwa ameshinda kwa utukufu. Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini.
Miriam respondeu-lhes, “Canta para Javé, pois ele triunfou gloriosamente”. Ele jogou o cavalo e seu cavaleiro no mar”.
22 Kisha Musa akaongoza Israeli mbele kupita Bahari ya Shamu. Walienda nyikani ya Shuri. Walisafiri kwa siku tatu nyikani pasipo kuona maji yeyote.
Moisés conduziu Israel em frente do Mar Vermelho, e eles saíram para o deserto de Shur; e foram três dias no deserto, e não encontraram água.
23 Kisha wakaja Mara, lakini hawakunywa maji ya huko kwasababu yalikuwa machungu. Hivyo wakaita hiyo sehemu Mara.
Quando chegaram a Marah, não puderam beber das águas de Marah, pois estavam amargurados. Portanto, seu nome era Marah.
24 Hivyo watu wakamlalamikia Musa na kusema, “Nini tunaweza kunywa?”
O povo murmurou contra Moisés, dizendo: “O que devemos beber?”.
25 Musa akamlilia Yahweh, na kumonyesha mti. Musa akautupa kwenye maji, na maji yakawa matamu kunywa. Ndio pale Yahweh alipowapa sheria kali, na ndio pale alipo wajaribu.
Então ele gritou a Javé. Javé lhe mostrou uma árvore, e ele a jogou nas águas, e as águas se tornaram doces. Ali ele fez um estatuto e uma portaria para eles, e ali os testou.
26 Alisema, “Kama utasikiliza sauti ya Yahweh Mungu wako kwa umakini, na kufanya yalio sahihi machoni pake, na kama utatega sikio kwa amri zake na kutii sheria zake zote - sitawaekea ninyi magonjwa yale niliyo waekea Wamisri, kwa kuwa mimi ni Yahweh ninaye kuponya.”
Ele disse: “Se ouvirdes diligentemente a voz de Javé, vosso Deus, e fizerdes o que é justo aos seus olhos, e prestardes atenção aos seus mandamentos, e guardardes todos os seus estatutos, não porei sobre vós nenhuma das doenças que pus sobre os egípcios; pois eu sou Javé que vos cura”.
27 Kisha watu wakaja Elimu, palipo kuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mtende. Walieka kambi hapo pembeni ya maji.
Eles vieram para Elim, onde havia doze nascentes de água e setenta palmeiras. Eles acamparam ali junto às águas.

< Kutoka 15 >