< Kutoka 15 >
1 Kisha Musa na watu wa Israeli wakaimba hii nyimbo kwa Yahweh. Waliimba, “Nitaimba kwa Yahweh, kwa kuwa ameshinda kwa utukufu; farasi na dereva wake amewatupa kwenye bahari.
Alors Moïse et les enfants d’Israël chantèrent ce cantique au Seigneur, et dirent: Chantons le Seigneur, car il s’est glorieusement signalé; il a précipité dans la mer le cheval et celui qui le montait.
2 Yahweh ni uweza wangu na nyimbo yangu, na amekuwa wokovu wangu. Huyu ni Mungu wangu, na nitamsifu, Mungu wa baba yangu, nitamtukuza.
Ma force et ma louange, c’est le Seigneur; car il est devenu mon salut. C’est mon Dieu, et je le glorifierai: le Dieu de mon père, et je l’exalterai.
3 Yahweh ni shujaa; Yahweh ni jina lake.
Le Seigneur est comme un combattant, le Tout-puissant est son nom.
4 Ametupa magari ya farasi ya Farao na jeshi lake kwenye bahari. Maafisa wa Farao hodari walizama kwenye Bahari ya Shamu.
Il a lancé les chars de Pharaon et son armée dans la mer; et ses princes d’élite ont été submergés dans la mer Rouge.
5 Kina kiliwafunika; walienda kwenye kina kama jiwe.
Les abîmes les ont couverts; ils sont descendus au profond du gouffre comme une pierre.
6 Mkono wako wakulia, Yahweh, una nguvu ya utukufu; mkono wako, Yahweh, umewavunja adui.
Votre droite. Seigneur, s’est signalée dans sa force; votre droite. Seigneur, a frappé l’ennemi.
7 Kwa utukufu mkubwa umewapindua walio inuka dhidi yako. Umetuma gadhabu; imewateketeza kama karatasi.
Et par la grandeur de votre gloire vous avez renversé vos adversaires; vous avez envoyé votre colère qui les a dévorés comme la paille.
8 Kwa pumzi ya pua yako maji yalijaa; maji yanayo tembea yalisimama wima na kujaa juu; maji yalikuwa manene ndani ya kilindi cha bahari.
Et au souffle de votre fureur les eaux se sont amoncelées; l’onde qui coulait s’est arrêtée, et les abîmes se sont amoncelés au milieu de la mer.
9 Adui alisema, 'Nitakimbiza, nitapita, nitagawa nitakacho chukuwa; tamanio langu litatimizwa kwao; nitavuta upanga wangu; mkono wangu utawaharibu wao.'
L’ennemi a dit: Je poursuivrai, je saisirai, je partagerai les dépouilles; mon âme sera remplie: je tirerai mon glaive; ma main les tuera.
10 Lakini ulipuliza kwa upepo wako, na bahari ikawafunika wao; walizama kama chuma nzito kwenye maji mengi.
Votre vent a soufflé, et la mer les a couverts; ils se sont enfoncés comme le plomb dans des eaux impétueuses.
11 Ni nani kama wewe, Yahweh, miongoni mwa miungu? Nani kama wewe, mtakatifu wa utukufu, katika sifa umetukuzwa, anaye fanya miujiza?
Qui est semblable à vous parmi les forts, ô Seigneur? qui est semblable à vous, magnifique en sainteté, terrible et digne de louanges, faisant des prodiges?
12 Ulinyoosha mkono wako wa kulia, na dunia ikawameza.
Vous avez étendu votre main, et la terre les a dévorés.
13 Katika uaminifu wa agano lako umewaongoza watu ulio waokoa. Katika uweza wako umewaongoza katika sehemu takatifu unayo ishi.
Dans votre miséricorde vous avez été un guide pour le peuple que vous avez racheté, et vous l’avez porté dans votre force jusqu’à votre demeure sainte.
14 Watu watasikia, na watatetemeka; hofu itawakumba wakazi wa Filistia.
Les peuples sont montés et ont été irrités; les douleurs ont saisi les habitants de la Palestine.
15 Kisha wazee wa Edomu wataogopa; wanajeshi wa Moabu watetemeka; wakazi wote wa Kanani watayayuka.
Alors les princes de l’idumée ont été violemment troublés; la peur a saisi les forts de Moab; tous les habitants de Chanaan ont été glacés d’effroi.
16 Mshituko na hofu vitawaangukia. Kwasababu ya nguvu ya mkono wako, watakuwa kimya kama jiwe hadi watu wako watakapo pita, Yahweh - hadi watu ulio waokoa watakapo pita.
Que l’épouvante et l’effroi fondent sur eux à cause de l’étendue de votre bras; qu’ils deviennent immobiles comme une pierre, jusqu’à ce que soit passé votre peuple, ô Seigneur, jusqu’à ce que soit passé ce peuple que vous vous êtes acquis.
17 Utawaleta na kuwapanda kwenye mlima wa urithi wako, sehemu, Yahweh, ulio jenga ya kuishi, sehemu takatifu, Bwana wetu, mikono yako iliyo jenga.
Vous les introduirez et vous les planterez sur la montagne de votre héritage, dans votre demeure inébranlable que vous avez faite, Seigneur; c’est votre sanctuaire qu’ont affermi vos mains.
18 Yahweh ata tawala milele na milele.”
Le Seigneur régnera dans l’éternité, et au-delà.
19 Kwa kuwa farasi wa Farao walienda na magari ya farasi na wapanda farasi kwenye bahari. Yahweh alileta maji ya bahari juu yao. Lakini Waisraeli walienda juu ya nchi kavu katikati ya bahari.
Car Pharaon est entré à cheval dans la mer avec ses chars et ses cavaliers, et le Seigneur à ramené sur eux les eaux de la mer; mais les enfants d’Israël ont marché à sec au milieu de la mer.
20 Miriamu nabii wa kike, dada wa Aruni, akanyanyua tari, na wanawake wote wakatoka na matari, wakicheza nae.
Marie, prophétesse, sœur d’Aaron, prit donc un tambour en sa main, et toutes les femmes sortirent après elle avec des tambours et en chœur.
21 Miriamu akawaimbia: “Muimbieni Yahweh, kwa kuwa ameshinda kwa utukufu. Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini.
Elle chantait avant elles, disant: Chantons le Seigneur; car il s’est glorieusement signalé: il a précipité dans la mer le cheval et celui qui le montait.
22 Kisha Musa akaongoza Israeli mbele kupita Bahari ya Shamu. Walienda nyikani ya Shuri. Walisafiri kwa siku tatu nyikani pasipo kuona maji yeyote.
Or Moïse fit sortir Israël de la mer Rouge, et ils allèrent au désert de Sur; et ils marchèrent trois jours dans la solitude, et ils ne trouvaient pas d’eau.
23 Kisha wakaja Mara, lakini hawakunywa maji ya huko kwasababu yalikuwa machungu. Hivyo wakaita hiyo sehemu Mara.
Et ils vinrent à Mara; mais ils ne pouvaient pas boire des eaux de Mara, parce qu’elles étaient amères; c’est pourquoi il lui donna un nom conforme au lieu, l’appelant Mara, c’est-à-dire, amertume.
24 Hivyo watu wakamlalamikia Musa na kusema, “Nini tunaweza kunywa?”
Et le peuple murmura contre Moïse, disant: Que boirons-nous?
25 Musa akamlilia Yahweh, na kumonyesha mti. Musa akautupa kwenye maji, na maji yakawa matamu kunywa. Ndio pale Yahweh alipowapa sheria kali, na ndio pale alipo wajaribu.
Mais Moïse cria au Seigneur qui lui montra un bois: lorsqu’il l’eut jeté dans les eaux, elles devinrent douces: là le Seigneur lui donna des préceptes et des ordonnances, et là il le tenta,
26 Alisema, “Kama utasikiliza sauti ya Yahweh Mungu wako kwa umakini, na kufanya yalio sahihi machoni pake, na kama utatega sikio kwa amri zake na kutii sheria zake zote - sitawaekea ninyi magonjwa yale niliyo waekea Wamisri, kwa kuwa mimi ni Yahweh ninaye kuponya.”
Disant: Si tu écoutes la voix du Seigneur ton Dieu, et si tu fais ce qui est droit devant lui, et que tu obéisses à ses commandements, et que tu gardes tous ses préceptes, je n’amènerai sur toi aucune de ces maladies que j’ai introduites en Egypte; car c’est moi le Seigneur qui te guéris.
27 Kisha watu wakaja Elimu, palipo kuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mtende. Walieka kambi hapo pembeni ya maji.
Ensuite les enfants d’Israël vinrent à Elim, où il y avait douze sources d’eaux et soixante-dix palmiers; et ils campèrent auprès des eaux.