< Kutoka 15 >
1 Kisha Musa na watu wa Israeli wakaimba hii nyimbo kwa Yahweh. Waliimba, “Nitaimba kwa Yahweh, kwa kuwa ameshinda kwa utukufu; farasi na dereva wake amewatupa kwenye bahari.
Alors Moïse et les enfants d'Israël chantèrent ce cantique à Yahvé, et dirent, « Je chanterai à Yahvé, car il a triomphé glorieusement. Il a jeté le cheval et son cavalier dans la mer.
2 Yahweh ni uweza wangu na nyimbo yangu, na amekuwa wokovu wangu. Huyu ni Mungu wangu, na nitamsifu, Mungu wa baba yangu, nitamtukuza.
Yah est ma force et mon chant. Il est devenu mon salut. C'est mon Dieu, et je le louerai; le Dieu de mon père, et je l'exalterai.
3 Yahweh ni shujaa; Yahweh ni jina lake.
Yahvé est un homme de guerre. Yahvé est son nom.
4 Ametupa magari ya farasi ya Farao na jeshi lake kwenye bahari. Maafisa wa Farao hodari walizama kwenye Bahari ya Shamu.
Il a jeté dans la mer les chars de Pharaon et son armée. Ses capitaines choisis sont coulés dans la Mer Rouge.
5 Kina kiliwafunika; walienda kwenye kina kama jiwe.
Les profondeurs les recouvrent. Ils sont descendus dans les profondeurs comme une pierre.
6 Mkono wako wakulia, Yahweh, una nguvu ya utukufu; mkono wako, Yahweh, umewavunja adui.
Ta droite, Yahvé, est glorieuse en puissance. Ta main droite, Yahvé, met l'ennemi en pièces.
7 Kwa utukufu mkubwa umewapindua walio inuka dhidi yako. Umetuma gadhabu; imewateketeza kama karatasi.
Dans la grandeur de ton excellence, tu renverses ceux qui s'élèvent contre toi. Tu envoies ta colère. Elle les consume comme du chaume.
8 Kwa pumzi ya pua yako maji yalijaa; maji yanayo tembea yalisimama wima na kujaa juu; maji yalikuwa manene ndani ya kilindi cha bahari.
Par le souffle de tes narines, les eaux se sont amoncelées. Les inondations se sont redressées comme un tas. Les profondeurs étaient figées au cœur de la mer.
9 Adui alisema, 'Nitakimbiza, nitapita, nitagawa nitakacho chukuwa; tamanio langu litatimizwa kwao; nitavuta upanga wangu; mkono wangu utawaharibu wao.'
L'ennemi dit: « Je poursuivrai. Je les rattraperai. Je partagerai le butin. Mon désir sera satisfait sur eux. Je tirerai mon épée. Ma main les détruira.
10 Lakini ulipuliza kwa upepo wako, na bahari ikawafunika wao; walizama kama chuma nzito kwenye maji mengi.
Tu as soufflé avec ton vent. La mer les a recouverts. Ils ont coulé comme du plomb dans les eaux puissantes.
11 Ni nani kama wewe, Yahweh, miongoni mwa miungu? Nani kama wewe, mtakatifu wa utukufu, katika sifa umetukuzwa, anaye fanya miujiza?
Qui est comme toi, Yahvé, parmi les dieux? qui est comme toi, glorieux dans la sainteté, redoutant les louanges, faisant des merveilles?
12 Ulinyoosha mkono wako wa kulia, na dunia ikawameza.
Tu as étendu ta main droite. La terre les a avalés.
13 Katika uaminifu wa agano lako umewaongoza watu ulio waokoa. Katika uweza wako umewaongoza katika sehemu takatifu unayo ishi.
« Toi, dans ta bonté, tu as conduit le peuple que tu as racheté. Tu les as guidés dans ta force jusqu'à ta demeure sainte.
14 Watu watasikia, na watatetemeka; hofu itawakumba wakazi wa Filistia.
Les peuples ont entendu. Ils tremblent. Les habitants de Philadelphie ont été frappés par les douleurs.
15 Kisha wazee wa Edomu wataogopa; wanajeshi wa Moabu watetemeka; wakazi wote wa Kanani watayayuka.
Alors les chefs d'Edom furent consternés. Le tremblement s'empare des hommes puissants de Moab. Tous les habitants de Canaan ont fondu.
16 Mshituko na hofu vitawaangukia. Kwasababu ya nguvu ya mkono wako, watakuwa kimya kama jiwe hadi watu wako watakapo pita, Yahweh - hadi watu ulio waokoa watakapo pita.
La terreur et l'effroi s'abattent sur eux. Par la grandeur de ton bras, ils sont immobiles comme une pierre, jusqu'à ce que ton peuple passe, Yahvé, jusqu'au passage des personnes que vous avez achetées.
17 Utawaleta na kuwapanda kwenye mlima wa urithi wako, sehemu, Yahweh, ulio jenga ya kuishi, sehemu takatifu, Bwana wetu, mikono yako iliyo jenga.
Tu les feras entrer et tu les planteras dans la montagne de ton héritage, le lieu, Yahvé, que tu t'es fait pour y habiter: le sanctuaire, Seigneur, que tes mains ont établi.
18 Yahweh ata tawala milele na milele.”
Yahvé régnera pour toujours et à jamais. »
19 Kwa kuwa farasi wa Farao walienda na magari ya farasi na wapanda farasi kwenye bahari. Yahweh alileta maji ya bahari juu yao. Lakini Waisraeli walienda juu ya nchi kavu katikati ya bahari.
Car les chevaux de Pharaon, avec ses chars et ses cavaliers, entrèrent dans la mer, et Yahvé ramena sur eux les eaux de la mer; mais les enfants d'Israël marchèrent à sec au milieu de la mer.
20 Miriamu nabii wa kike, dada wa Aruni, akanyanyua tari, na wanawake wote wakatoka na matari, wakicheza nae.
Miriam, la prophétesse, sœur d'Aaron, prit un tambourin dans sa main; et toutes les femmes sortirent après elle avec des tambourins et en dansant.
21 Miriamu akawaimbia: “Muimbieni Yahweh, kwa kuwa ameshinda kwa utukufu. Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini.
Miriam leur répondit, « Chantez à Yahvé, car il a triomphé avec gloire. Il a jeté le cheval et son cavalier dans la mer. »
22 Kisha Musa akaongoza Israeli mbele kupita Bahari ya Shamu. Walienda nyikani ya Shuri. Walisafiri kwa siku tatu nyikani pasipo kuona maji yeyote.
Moïse fit partir Israël de la mer Rouge, et ils entrèrent dans le désert de Schur. Ils marchèrent trois jours dans le désert, et ne trouvèrent point d'eau.
23 Kisha wakaja Mara, lakini hawakunywa maji ya huko kwasababu yalikuwa machungu. Hivyo wakaita hiyo sehemu Mara.
Lorsqu'ils arrivèrent à Mara, ils ne purent boire des eaux de Mara, car elles étaient amères. C'est pourquoi on l'appela Mara.
24 Hivyo watu wakamlalamikia Musa na kusema, “Nini tunaweza kunywa?”
Le peuple murmura contre Moïse, en disant: « Que boirons-nous? »
25 Musa akamlilia Yahweh, na kumonyesha mti. Musa akautupa kwenye maji, na maji yakawa matamu kunywa. Ndio pale Yahweh alipowapa sheria kali, na ndio pale alipo wajaribu.
Moïse cria à Yahvé. Yahvé lui montra un arbre, qu'il jeta dans les eaux, et les eaux devinrent douces. Là, il établit pour eux une loi et une ordonnance, et là, il les mit à l'épreuve.
26 Alisema, “Kama utasikiliza sauti ya Yahweh Mungu wako kwa umakini, na kufanya yalio sahihi machoni pake, na kama utatega sikio kwa amri zake na kutii sheria zake zote - sitawaekea ninyi magonjwa yale niliyo waekea Wamisri, kwa kuwa mimi ni Yahweh ninaye kuponya.”
Il dit: « Si vous écoutez attentivement la voix de l'Éternel, votre Dieu, si vous faites ce qui est juste à ses yeux, si vous êtes attentifs à ses commandements et si vous observez toutes ses lois, je ne vous infligerai aucune des maladies que j'ai infligées aux Égyptiens, car je suis l'Éternel qui vous guérit. »
27 Kisha watu wakaja Elimu, palipo kuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mtende. Walieka kambi hapo pembeni ya maji.
Ils arrivèrent à Elim, où il y avait douze sources d'eau et soixante-dix palmiers. Ils campèrent là, près des eaux.