< Kutoka 14 >

1 Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
BAWIPA nihai,
2 “Waambie Waisraeli wageuke na kueka kambi mbele ya Pi Hahirothi, katikati ya Migdoli na bahari, mbele ya Baali Zefoni. Wapaswa kueka kambi pembenni ya Pi Hahirothi.
Isarelnaw ban teh Pihahiroth khopui teng, Migedan khopui hoi tuipui rahak, Baalazephon khopui hmalah rim tuk hanlah dei pouh.
3 Farao atasema kuhusu Waisraeli, 'Wanaangaika kwenye nchi. Nyikani imewafunika.'
Bangkongtetpawiteh, Faro siangpahrang ni Isarelnaw teh khikpacu awh toe. Ramke um lam awm hoeh toe telah ati han.
4 Nitaufanya moyo wa Farao mgumu, na yeye ata wakimbiza. Nitapata utukufu kwasababu ya Farao na jeshi lake lote. Wamisri watajua mimi ni Yahweh.” Kisha Waisraeli wakaeka kambi kama walivyo elekezwa.
Kai ni hai Faro e lungthin ka pata sak vaiteh, ahni ni Isarelnaw a pâlei han. Kai teh BAWIPA doeh tie Izipnaw ni a panue nahanlah hote siangpahrang hoi a ransanaw lahoi ka bawilennae a kamnue han telah Mosi koe atipouh e patetlah ahnimanaw ni a sak awh.
5 Mfalme wa Misri alipo ambiwa Waisraeli wametoroka, nia ya Farao na watumishi wake ikageuka dhidi ya watu. Wakasema, “Tumefanya nini kwa kuwaacha Waisraeli waende huru na wasitutumikie?”
Hote taminaw a yawng e kong Izip siangpahrang koe a thai sak awh navah, ahni koehoi a sannaw e lungthin bout a kamlang teh, maimouh ni hettelah sak awh teh Isarelnaw hah maimae thawtawknae koehoi bangkongmaw a hlout awh han telah ati awh.
6 Kisha Farao akachukuwa magari yake ya farasi na jeshi lake.
Hat navah, Siangpahrang ni rangleng coungkacoe a rakueng teh a taminaw hah akaw.
7 Alichukuwa magari ya farasi mia sita imara na magari yote ya farasi ya Misri, pamoja na maafisa wa hayo magari.
Rangleng kahawi e cum taruk touh hoi Izip marangransanaw pueng hoi cungtalah, bawinaw pueng haiyah a ceikhai.
8 Yahweh akafanya mgumu moyo wa Farao, mfalme wa Misri, na mfalme akawafukuzia Waisraeli. Sasa Waisraeli waliondoka kwa shangwe.
BAWIPA ni Faro e lungthin bout a pata sak dawkvah, ahni ni Isarelnaw hah a pâlei awh. Hat ei, Isarelnaw teh kut dâw laihoi a cei awh.
9 Lakini Wamisri wali wafukuzia, pamoja na farasi na magari ya farasi, wapanda farasi, na jeshi lake. Walikuta Waisraeli wameeka kambi pembezoni mwa bahari kati ya Pi Hahirothi na Baali Zefoni.
Hottelah, Faro siangpahrang e marangransanaw, rangleng ransanaw hoi Izip taminaw ni a pâlei awh teh, Pihahuroth khopui teng, Baalazephon khopui hmalah tuipui rai lah rim ka tuk e Isarelnaw hah a pha awh.
10 Farao alipo karibia, Waisraeli walitaza juu na kushangaa. Wamisri walikuwa wakija kwao, na waliogopa. Waisraeli walimlilia Yahweh.
Faro ni a hnai nah Isarelnaw ni a khet awh teh Izipnaw ni pâlei e a hmu awh navah, pueng hoi a taki awh dawkvah BAWIPA koe a hramki awh.
11 Walimwambia Musa, “Ni kwasababu hakukuwa na makaburi Misri, hadi umetuleta tufe huku nyikani? Kwanini umetutendea hivi, kwa kututoa Misri?
Mosi koe hai, Izip ram dawk phuenmon ao hoeh dawkvah maw, hi ramke um due hanlah kaimouh na hrawi awh. Kaimouh koe hettelah na sak teh, Izip ram hoi bangkong na hrawi awh.
12 Hili si ndilo tulilo kwambia Misri? Tulikwambia, 'Utuache, ili tuwafanyie Wamisri kazi.' Ingekuwa bora kwetu sisi kuwafanyia kazi kuliko kufa nyikani.”
Kaimouh teh Izipnaw koe san lah kaawm awh yawkaw nei telah Izip ram vah ka dei awh navah, hete hno khet laihoi ka dei awh hoeh na maw. Kaimouh hete kahrawngum due hlak teh Izipnaw koe san lah o e heh ahawihnawn telah ati awh.
13 Musa akawaambia watu, “Msiogope. Simameni imara na muone wokovu Yahweh atakao uleta kwenu leo. Kwa maana hamtawaona tena Wamisri mnao waona leo.
Mosi ni taket awh hanh. Lungmawngcalah awm awh. BAWIPA ni sahnin nangmouh hanlah rungngangnae a sak hane hah khenhaw. Sahnin nangmouh ni na hmu e Izipnaw heh bout na hmawt awh mahoeh toe.
14 Yahweh ata wapigania, na ninyi mtasima imara.”
BAWIPA ni taran na tuk pouh han. Nangmanaw teh lungmawngcalah na o awh han telah taminaw koe a dei pouh.
15 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Kwanini wewe, Musa, unaendelea kuniita mimi? Waambie Waisraeli waendelee mbele.
BAWIPA ni bangkongmaw KAI na kaw awh. Isarelnaw hmalah cei hanlah dei pouh.
16 Nyanyua gongo lako juu, nyoosha mkono wako kuelekea baharini na uigawanye sehemu mbili, ili watu wa Israeli wapite baharini kwenye nchi kavu.
Nang ni sonron na kut hoi tuipui van lah dâw nateh tuipui kâphi sak. Isarelnaw ni tui lungui, talai kaphui dawk a cei awh han.
17 Jitahadharishe kuwa nitafanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu ili wawafuate. Nitapata utukufu kwasababu ya Farao na jeshi lake lote, magari yake ya farasi, na wapanda farasi.
KAI ni Izipnaw e a lungthin ka pata sak vaiteh, ahnimouh ni na pâlei awh han. Faro siangpahrang hoi a bawinaw, marang, marangransanaw lahoi ka lentoenae a kamnue han.
18 Kisha Wamisri watajua kuwa mimi ni Yahweh nitakapo pata utukufu kwasababu ya Farao, magari yake ya farasi, na wapanda farasi wake.”
Hottelah, Faro siangpahrang hoi a marang, marangransanaw lahoi ka lentoenae a kamnue toteh, kai teh BAWIPA doeh tie hah Izipnaw ni a panue awh han telah Mosi koe a dei pouh.
19 Malaika wa Mungu, aliyeenda mbele ya Waisraeli, aliama na kwenda nyuma yao. Nguzo ya wingu ili sogea mbele yao na kwenda kusimama nyumba yao.
Hat navah, Isarelnaw e hmalah ka cet e Cathut e kalvantami ni a hnuk a pâlei teh, tâmai khom teh ahnimae hmalah hoi hnuklah a kampuen teh a kangdue.
20 Wingu lilikuja katikati ya kambi ya Misri na kambi ya Israeli. Lilikuwa wingu jeusi kwa Wamisri, lakini liliangaza usiku kwa ajili ya Waisraeli, hivyo upande mmoja haukuweza kuja karibu ya mwingine usiku wote.
Hottelah, Izip ransanaw hoi Isarel ransanaw rahak a pha nah, Izipnaw koe kahmawt sak e tâmai lah ao teh, Isarelnaw koe teh angnae ka poe dawkvah karum tuettuet buet touh hoi buet touh kâhnai thai awh hoeh.
21 Musa akanyoosha mkono wake kuelekea bahari. Yahweh akasogeza bahari nyuma kwa upepo mkali wa mashariki usiku huo wote na kufanya bahari nchi kavu. Kwa namna hii maji yaligawanyika.
Mosi ni tuipui lathueng a kut a dâw nah karum tuettuet BAWIPA ni Kanîtholae kahlî katang hoi tuipui hah hnuklah a pâban teh talai rem a phui sak.
22 Waisraeli walienda katikati ya bahari kwa nchi kavu. Maji yaliunda ukuta mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto.
Isarelnaw ni tuipui lungui talai dawk a cei awh teh, tui teh ahnimae avoilah aranglah talung tapang patetlah ao.
23 Wamisri waka wafukuzia. Wali wafuata hadi katikati ya bahari - farasi wote wa Farao, magari ya farasi, na wapanda farasi.
Izipnaw, Faro siangpahrang ni a hrawi e marang, marangransanaw teh tuipui lungui a kâen awh.
24 Lakini masaa ya mapema ya asubui, Yahweh alitazama chini jeshi la Wamisri kupitia nguzo ya moto na wingu. Alisababisha hofu miongoni mwa Wamisri.
Amom vah BAWIPA ni Izip ransanaw hah hmaikhom hoi tâmai dawk hoi a khet teh a tarawk.
25 Magari yao ya farasi yalikuwa yana kwama matairi, na wapanda farasi waliendesha kwa ugumu. Hivyo Wamisri walisema, “Acha tuwakimbie Waisraeli, kwa kuwa Yahweh anawapigania dhidi yetu.”
Ahnimae rangleng cei a ru nahanlah a khok a kâhlehlawk sak. Izipnaw ni hai Isarelnaw koehoi yawng awh leih sei, BAWIPA ni Isarelnaw koe lahoi Izip taminaw a tuk, telah ati awh.
26 Yahweh akamwambia Musa, “Nyoosha mkono kuelekea bahari ili maji yawarudie Wamisri, magari yao ya farasi, na wapanda farasi wao.”
BAWIPA nihai, tuipui ni Izip taminaw, ranglengnaw, marangransanaw e lathueng vah tip sin hanelah, tupui lathueng na kut dâw atipouh e patetlah,
27 Hivyo Musa akanyoosha mkono wake kuelekea bahari, na ikarudi kwenye hali yake ya kawaida palipo pambazuka. Wamisri walikimbilia ndani ya bahari, na Yahweh akawaingiza Wamisri katikati ndani yake.
Khodai toteh Mosi ni tuipui lathueng a kut a dâw teh, tuipui tui teh a thao teh bout a lawng. Izipnaw ni a yawng takhai ei, BAWIPA ni ahnimouh teh tuipui lungui vah a tâkhawng.
28 Maji yakarudi na kufunika magari ya farasi ya Farao, wapanda farasi, na jeshi lake lote lililo fuata magari ya farasi kwenye bahari. Hakuna aliyepona.
Hottelah, tuipui tui teh bout a lawng teh tuipui dawk a bo toteh, Faro siangpahrang e rangleng, marangransanaw pueng teh muen a ramuk dawkvah buet touh hai hlout awh hoeh.
29 Walakini, Waisraeli walitembea kwenye nchi kavu katikati ya bahari. Maji yalikuwa ukuta kwao mkono wa kulia na mkono wa kushoto.
Isarelnaw teh tuipui lungui talai kaphui dawk hoi a cei awh teh, tui teh ahnimae avoilah aranglah talung tapang patetlah ao.
30 Hivyo Yahweh akaokoa Israeli hiyo siku kutoka mkono wa Wamisri, na Israeli ikaona maiti za Wamisri ufukweni.
Hottelah, BAWIPA ni Isarelnaw teh Izipnaw e kut dawk hoi a rungngang teh tuipui rai lah Izipnaw e ronaw teh a hmu awh.
31 Israeli ilipoona nguvu kubwa Yahweh aliyo itumia dhidi ya Wamisri, watu walimsifu Yahweh, na kumwamini Yahweh na mtumishi wake Musa.
Hottelah, BAWIPA ni Izipnaw koe hno ka len poung a sak e hah Isarelnaw ni a hmu awh navah, BAWIPA hah a taki awh. BAWIPA hoi a san Mosi hah a yuem awh.

< Kutoka 14 >