< Kutoka 14 >

1 Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
2 “Waambie Waisraeli wageuke na kueka kambi mbele ya Pi Hahirothi, katikati ya Migdoli na bahari, mbele ya Baali Zefoni. Wapaswa kueka kambi pembenni ya Pi Hahirothi.
“Isala: ili dunuma sinidigima: ne sia: ma. Ilia da Baihahailode sogebi (amo da Migidole amola Maga: me Hano Wayabo amoga dogoa sogebi amola Ba: ilisifone gadenene galu) amoga ouesaloma: mu.
3 Farao atasema kuhusu Waisraeli, 'Wanaangaika kwenye nchi. Nyikani imewafunika.'
Felou da Isala: ili dunu da udigili sogega lalebe amola wadela: i hafoga: i soge ilia logo ga: i dagoi, amo e da dawa: mu.
4 Nitaufanya moyo wa Farao mgumu, na yeye ata wakimbiza. Nitapata utukufu kwasababu ya Farao na jeshi lake lote. Wamisri watajua mimi ni Yahweh.” Kisha Waisraeli wakaeka kambi kama walivyo elekezwa.
Na da Felou ea odagi bu igi agoane hamomu. E da dilima doagala: le, se bobogemu. Be Na da Felou amola ea dadi gagui dunu hasalasimu. Amo ba: sea, Idibidi dunu da Na da Hinadafa amo dawa: mu.” Isala: ili dunu da Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi.
5 Mfalme wa Misri alipo ambiwa Waisraeli wametoroka, nia ya Farao na watumishi wake ikageuka dhidi ya watu. Wakasema, “Tumefanya nini kwa kuwaacha Waisraeli waende huru na wasitutumikie?”
Idibidi dunu da Felouma, Isala: ili dunu huluane da hobea: i dagoi olelei. Amalalu, e amola ea eagene ouligisu dunu da ilia asigi dawa: su sinidigili, amane sia: i, “Ninia da abuliba: le Isala: ili fi fisidigibala: ? Ninia bidi mae lale udigili hawa: hamosu dunu fisi dagoi.”
6 Kisha Farao akachukuwa magari yake ya farasi na jeshi lake.
Amaiba: le, Felou da ea gegesu sa: liode, ea dadi gagui dunu amola gegesu liligi huluane momagele,
7 Alichukuwa magari ya farasi mia sita imara na magari yote ya farasi ya Misri, pamoja na maafisa wa hayo magari.
e amola sa: liode da: iya fila heda: i noga: i dadi gagui dunu 600 agoane amola ilia ouligisu dunu, Isala: ili dunuma fa: no bobogei.
8 Yahweh akafanya mgumu moyo wa Farao, mfalme wa Misri, na mfalme akawafukuzia Waisraeli. Sasa Waisraeli waliondoka kwa shangwe.
Isala: ili dunu da hahawane ahoanu. Be Hina Gode da Felou ea dogo ga: nasi hamoi amola e da Isala: ili dunuma se bobogei.
9 Lakini Wamisri wali wafukuzia, pamoja na farasi na magari ya farasi, wapanda farasi, na jeshi lake. Walikuta Waisraeli wameeka kambi pembezoni mwa bahari kati ya Pi Hahirothi na Baali Zefoni.
Idibidi dadi gagui wa: i, hosi, sa: liode amola sa: liode ouligisu dunu da Isala: ili dunuma se bobogei. Isala: ili dunu da Maga: me Hano Wayabo bega: Baihahailode amola Ba: ilisifone amo gadenene abula diasu gaguli ouesalu. Amogai, Idibidi dunu da ilima doagala: musa: doaga: i.
10 Farao alipo karibia, Waisraeli walitaza juu na kushangaa. Wamisri walikuwa wakija kwao, na waliogopa. Waisraeli walimlilia Yahweh.
Isala: ili dunu da Felou amola ea dadi gagui dunu ilima doagala: musa: manebe ba: loba, ili beda: i bagade ba: i. Ilia da Hina Godema ili fidima: ne bagade wele sia: su.
11 Walimwambia Musa, “Ni kwasababu hakukuwa na makaburi Misri, hadi umetuleta tufe huku nyikani? Kwanini umetutendea hivi, kwa kututoa Misri?
Ilia da Mousesema amane sia: i, “Bogoi uli dogomu da Idibidi sogega hame galula: ? Di da abuliba: le nini bogomusa: , amo wadela: i sogega oule misibala: ? Di da nini Idibidi sogega fisili masa: ne asunasiba: le, nini gugunufinisi dagoi.
12 Hili si ndilo tulilo kwambia Misri? Tulikwambia, 'Utuache, ili tuwafanyie Wamisri kazi.' Ingekuwa bora kwetu sisi kuwafanyia kazi kuliko kufa nyikani.”
Ninia da mae gadili asi amo esoga ninima misunu hou dima olelei dagoi. Ninia da di nini bu Idibidi dunu udigili hawa: hamomusa: yolesima, amo dima sia: i dagoi. Ninia da udigili hawa: hamone amola wadela: i hafoga: i soge amo ganodini hame bogomu da defea galu.”
13 Musa akawaambia watu, “Msiogope. Simameni imara na muone wokovu Yahweh atakao uleta kwenu leo. Kwa maana hamtawaona tena Wamisri mnao waona leo.
Mousese da bu adole i, “Mae beda: ma! Leloma! Amasea, dilia da wali eso Hina Gode Ea gasa bagade Gaga: su hou ba: mu. Dilia da amo Idibidi dunu bu hamedafa ba: mu.
14 Yahweh ata wapigania, na ninyi mtasima imara.”
Hina Gode Hi da dilia gegesu hamomu. Dilia hame! Dilia leloma!”
15 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Kwanini wewe, Musa, unaendelea kuniita mimi? Waambie Waisraeli waendelee mbele.
Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Di da abuliba: le Na fidisu lama: ne, adole ba: musa: dinanala: ? Isala: ili dunuma ilia gaba: i masa: ne sia: ma!
16 Nyanyua gongo lako juu, nyoosha mkono wako kuelekea baharini na uigawanye sehemu mbili, ili watu wa Israeli wapite baharini kwenye nchi kavu.
Dia dagulu amo hano da: iya ligiagama. Hano da dogoa damuna asili osobo logo hamoi, hano hamedei dialebe ba: mu. Amasea, Isala: ili dunu da amo hafoga: i osobo logo amoga Maga: me Hano Wayabo degele masunu.
17 Jitahadharishe kuwa nitafanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu ili wawafuate. Nitapata utukufu kwasababu ya Farao na jeshi lake lote, magari yake ya farasi, na wapanda farasi.
Be Na da Felou ea dogo ga: nasi hamobeba: le, e da Isala: ili dunu amo hano logo hamoi ganodini ilima se bobogemu. Amasea Na da Felou, ea dadi gagui dunu, ea sa: liode amola ea sa: liode ouligisu dunu ili hasalasimu.
18 Kisha Wamisri watajua kuwa mimi ni Yahweh nitakapo pata utukufu kwasababu ya Farao, magari yake ya farasi, na wapanda farasi wake.”
Amasea, Na da Idibidi dunu hasanasisia, ilia da Na da Hina Godedafa amo dawa: mu.”
19 Malaika wa Mungu, aliyeenda mbele ya Waisraeli, aliama na kwenda nyuma yao. Nguzo ya wingu ili sogea mbele yao na kwenda kusimama nyumba yao.
Amalalu, Gode Ea a: igele dunu Isala: ili gilisisu amoga bisili ahoasu amo fisili, asili Isala: ili dunu ilia baligiduga asi. Mumobi mogomogoi da asili,
20 Wingu lilikuja katikati ya kambi ya Misri na kambi ya Israeli. Lilikuwa wingu jeusi kwa Wamisri, lakini liliangaza usiku kwa ajili ya Waisraeli, hivyo upande mmoja haukuweza kuja karibu ya mwingine usiku wote.
Isala: ili gilisisu baligiduga asili, Idibidi amola Isala: ili afafane gaga: su agoane hamoi. Mumobi dedeboiba: le, Idibidi dunu da gasi dunasi fawane ba: i. Be la: didili Isala: ili dunu da hadigi ba: i. Amoga afafaiba: le, Idibidi dadi gagui da Isala: ili dadi gagui amoga doagala: musa: misunu hamedei ba: i.
21 Musa akanyoosha mkono wake kuelekea bahari. Yahweh akasogeza bahari nyuma kwa upepo mkali wa mashariki usiku huo wote na kufanya bahari nchi kavu. Kwa namna hii maji yaligawanyika.
Mousese da ea lobo hano da: iya ligia gadolaloba, Hina Gode da gasa bagade fo gusudili mabe amoga hano sefasi. Fo da gasi mae yolesili fofolalu, osobo logo hafoga: i dagoi ba: i. Hano da la: didili la: didili dogoa damuna asi.
22 Waisraeli walienda katikati ya bahari kwa nchi kavu. Maji yaliunda ukuta mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto.
Isala: ili dunu da amo hafoga: i osobo logo amoga asili, Maga: me Hano Wayabo degei. Hano da la: didili amola la: didili dobea sali agoane ba: i.
23 Wamisri waka wafukuzia. Wali wafuata hadi katikati ya bahari - farasi wote wa Farao, magari ya farasi, na wapanda farasi.
Idibidi dadi gagui, hosi amola sa: liode huluane da Isala: ili dunuma doagala: musa: ilima se bobogele, hano wayabo bagade golili sa: i.
24 Lakini masaa ya mapema ya asubui, Yahweh alitazama chini jeshi la Wamisri kupitia nguzo ya moto na wingu. Alisababisha hofu miongoni mwa Wamisri.
Be eso mabe gadenenoba, Hina Gode mumobi mogomogoi amola lalu amo gadodili esalu da gudu ba: leguduli, Idibidi dadi gagui dunu wa: i ba: i dagoi. Ilia da beda: i bagadeba: le, ededenagia: i.
25 Magari yao ya farasi yalikuwa yana kwama matairi, na wapanda farasi waliendesha kwa ugumu. Hivyo Wamisri walisema, “Acha tuwakimbie Waisraeli, kwa kuwa Yahweh anawapigania dhidi yetu.”
Gode da hamobeba: le, ilia sa: liode emo da bosona sa: ili, bai agoane ba: i. Ilia da bu masunu gogolei. Idibidi dunu da amane sia: i, “Hina Gode da Isala: ili dunumagale ninima gegenana! Hadiga! Ninia hobeamu da defea.”
26 Yahweh akamwambia Musa, “Nyoosha mkono kuelekea bahari ili maji yawarudie Wamisri, magari yao ya farasi, na wapanda farasi wao.”
Be Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Dia lobo amo hano da: iya bu ligiagama. Amalalu, hano da bu sinidigili, Idibidi dunu, ilia sa: liode amola genonesisu dunu huluane dedebomu.”
27 Hivyo Musa akanyoosha mkono wake kuelekea bahari, na ikarudi kwenye hali yake ya kawaida palipo pambazuka. Wamisri walikimbilia ndani ya bahari, na Yahweh akawaingiza Wamisri katikati ndani yake.
Amaiba: le, Mousese da ea lobo hano da: iya ligia gadole, amola eso mabe amoga hano da ea musa: defei amoga sinidigi dagoi. Idibidi dunu da hobeamu logo hogoi helei. Be Hina Gode da ili hano bagadega dedeboi.
28 Maji yakarudi na kufunika magari ya farasi ya Farao, wapanda farasi, na jeshi lake lote lililo fuata magari ya farasi kwenye bahari. Hakuna aliyepona.
Hano da sinidigili, sa: liode, sa: liode fila heda: i dunu amola Idibidi dadi gagui ilia Isala: ili dunuma se bobogei, amo huluane dedeboi dagoi. Idibidi dunu afae esalebe hame ba: i.
29 Walakini, Waisraeli walitembea kwenye nchi kavu katikati ya bahari. Maji yalikuwa ukuta kwao mkono wa kulia na mkono wa kushoto.
Be Isala: ili dunu huluane da hafoga: i logoga emoga asili, hano bagade degei dagoi. Hano da la: didili, la: didili dobea sali agoane ba: i.
30 Hivyo Yahweh akaokoa Israeli hiyo siku kutoka mkono wa Wamisri, na Israeli ikaona maiti za Wamisri ufukweni.
Amo esoga, Hina Gode da Isala: ili dunu amo Idibidi dunuma gaga: i dagoi, amola Isala: ili dunu da Idibidi dunu ilia bogoi da: i hodo hano bagade bega: dialebe ba: i.
31 Israeli ilipoona nguvu kubwa Yahweh aliyo itumia dhidi ya Wamisri, watu walimsifu Yahweh, na kumwamini Yahweh na mtumishi wake Musa.
Hina Gode da Ea gasa bagade amoga Idibidi dadi gagui hasali dagoi. Isala: ili dunu da amo hou ba: beba: le, Godema beda: i galu. Amola ilia da Hina Gode ea hou dafawaneyale dawa: i. Amola Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu Mousese, amo ea hou dafawaneyale dawa: i.

< Kutoka 14 >