< Kutoka 12 >

1 Yahweh akasema na Musa na Aruni katika nchi ya Misri. Alisema,
Gospod je spregovoril Mojzesu in Aronu v egiptovski deželi, rekoč:
2 “Kwako wewe, mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi, mwezi wa kwanza wa mwaka kwako.
»Ta mesec vam bo začetek mesecev. Ta vam bo prvi mesec v letu.
3 Liambie kusanyiko la Israeli, 'Siku ya kumi mwezi huu kila mtu lazima achukuwe mwana kondoo au mbuzi mdogo wa kwake, kila familia ifanye hivi, mwana kondoo kwa kila nyumba.
Govorita vsej Izraelovi skupnosti, rekoč: ›V desetem dnevu tega meseca si bo vsakdo vzel jagnje, glede na hišo svojih očetov, jagnje za hišo‹
4 Kama hiyo nyumba ni ndogo sana kwa mwana kondoo, mwanaume na jirani yake wachukuwe mwana kondoo au nyama ya mbuzi mdogo ambayo itatosha watu. Lazima iwe yatosha kwa kila mtu kula, kwaiyo lazima wachukuwe nyama ya kutosha kulisha wote.
in če bo družina premajhna za jagnje, naj ga on in njegov sosed, poleg njegove hiše, vzameta glede na število duš. Vsak človek bo glede na svoje prehranjevanje preštet na jagnje.
5 Mwana kondoo wako au mbuzi wako mdogo lazima asiwe na upungufu, dume mwenye mwaka mmoja. Unaweza kuchukuwa mmoja wa kondoo au mbuzi.
Vaše jagnje bo brez pomanjkljivosti, samec prvega leta. Vzeli ga boste izmed ovc ali izmed koz.
6 Lazima umtunze mpaka siku ya kumi na nne ya huo mwezi. Kisha kusanyiko lote la Israeli lazima liwaue hawa wanyama jioni.
Varovali ga boste do štirinajstega dne istega meseca in celoten zbor Izraelove skupnosti ga bo zvečer zaklal.
7 Lazima uchukuwe baadhi ya damu na uweke kwenye sehemu mbili za mihimili ya milango na juu ya fremu za milango ambapo utalia hizo nyama.
Vzeli bodo od krvi in le-to potegnili s črto na dva podboja in na naddurje hiš, v katerih ga bodo jedli.
8 Lazima ule hizo nyama usiku, baada ya kuchoma kwenye moto. Kula na mkate ulio andaliwa kwa hamira, pamoja na mimea michungu.
In v tej noči bodo jedli meso, pečeno na ognju in nekvašen kruh, in z grenkimi zelišči ga bodo jedli.
9 Usiile mbichi au imechemshwa kwenye maji. Badala yake, choma kwenye moto na kichwa chake, miguu na sehemu za ndani.
Ne jejte od njega surovega niti vsega skuhanega z vodo, temveč pečenega na ognju. Njegovo glavo z njegovimi nogami in z njegovo drobovino.
10 Usiache ata kidogo kubaki mpaka asubui. Lazima uchome chochote kilicho baki asubui.
In ničesar od njega ne boste pustili do jutra. To, kar od njega ostane do jutra, boste sežgali z ognjem.
11 Hivi ndivyo wa paswa kula: ukiwa umefunga mkanda wako, umevaa viatu vyako, na gongo lako mkononi mwako. Lazima ule kwa haraka. Ni Pasaka ya Yahweh.
Tako ga boste jedli: z vašimi ledji opasanimi, vašimi čevlji na vaših stopalih in vašo palico v vaši roki. Jedli ga boste v naglici. To je Gospodova pasha.
12 Yahweh anasema hili: Nitaenda katika nchi ya Misri usiku na kushambulia wazaliwa wote wa kwanza wa wanadamu na wanyama katika nchi ya Misri. Nitaleta pigo kwa miungu yote ya Misri. Mimi ni Yahweh.
Kajti to noč pojdem skozi egiptovsko deželo in udaril bom vse prvorojeno v egiptovski deželi, tako človeka kakor žival in zoper vse egiptovske bogove bom izvršil sodbo. Jaz sem Gospod.
13 Damu itakuwa ishara kwenye nyumba zenu ya kuja kwangu. Nitakapo ona damu, nitapita nitakapo shambulia nchi ya Misri. Ili pigo halitawajia na kuwaharibu.
Kri vam bo za simbol na hišah, kjer ste. Ko zagledam kri, bom šel mimo vas in nadloga ne bo na vas, da vas uniči, ko udarim egiptovsko deželo.
14 Hii siku itakuwa kumbukumbu kwenu, ambayo lazima muadhimishe kama sherehe ya Yahweh. Itakuwa sheria kwenu pia, kwenye vizazi vyote vya watu wenu, ambayo mwapaswa kuadhimisha leo.
Ta dan vam bo v spomin, in vi ga boste ohranjali kot praznik Gospodu skozi svoje rodove. To praznovanje boste ohranjali kot odredbo na veke.
15 Utakula mkate bila hamira wakati wa siku saba. Siku ya kwanza utaondoa hamira kwenye nyumba zenu. Yeyote atakaye kula mkate uliyotiwa chachu kwanzia siku ya kwanza mpaka siku ya saba, huyo mtu lazima akatwe kutoka Israeli.
Sedem dni boste jedli nekvašeni kruh; celo prvi dan boste iz svojih hiš odstranili kvas, kajti kdorkoli jé kvašeni kruh od prvega dne do sedmega dne, bo ta duša iztrebljena iz Izraela.
16 Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko lililo tengwa kwa ajili yangu, na siku ya saba kutakuwa na kusanyiko kama hilo. Hakuna kazi itakayo fanywa hizi siku, zaidi ya kupika kila mmoja ale. Hiyo ndio kazi pekee itakayo fanywa na wewe.
Na prvi dan bo sveti sklic in na sedmi dan vam bo sveti sklic. V teh ne bo opravljena nobena vrsta dela, razen tega, kar mora vsak človek jesti, samo to lahko delate.
17 Lazima uadhimishe hii Sherehe ya Mkate Usiotiwa Chachu kwasababu ni siku hii ambayo nitawaleta watu wako, makundi yaliyo na silaha, kwa makundi yaliyo na silaha, kutoka nchi ya Misri. Lazima uadhimishe hii siku kwa vizazi vyote vya watu wako. Hii itakuwa sheria kwako.
Obeležili boste praznik nekvašenega kruha, kajti na prav isti dan sem vaše vojske privedel iz egiptovske dežele. Zato boste ta dan v svojih rodovih obeleževali kot odredbo na veke.
18 Lazima ule mkate usiotiwa chachu kuanzia jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza wa mwaka, mpaka jioni ya siku ya ishirini na moja ya mwezi.
V prvem mesecu, na štirinajsti dan meseca zvečer, boste jedli nekvašeni kruh do enaindvajsetega dne meseca zvečer.
19 Wakati wa hizi siku, nyumbani mwenu kusipatikane na hamira. Yeyote atakaye kula mkate ulio andaliwa na hamira lazima akatwe kutoka jamii ya Israeli, huyo mtu awe ni mgeni au mtu aliye zaliwa nchini mwenu.
Sedem dni naj v vaših hišah ne bo najti kvasa, kajti kdorkoli jé to, kar je kvašeno, celo ta duša bo iztrebljena iz Izraelove skupnosti, bodisi da je tujec ali rojen v deželi.
20 Hautakula chochote kilicho andaliwa na hamira. Popote utapo ishi, lazima ule mkate usio na hamira.”'
Ničesar kvašenega ne boste jedli. V vseh svojih prebivališčih boste jedli nekvašeni kruh.«
21 Kisha Musa akawaita viongozi wote wa Israeli na kuwaambia, “Nendeni na mchague mwana kondoo au mbuzi watakao tosha kulisha familia zenu na muue mwana kondoo wa pasaka.
Potem je Mojzes dal poklicati vse Izraelove starešine in jim rekel: »Izberite in vzemite si jagnje glede na svoje družine in zakoljite pashalno jagnje.
22 Kisha chukua jani la hisopu na uchovye kwenye damu itakayo kuwa kwenye beseni. Paka damu iliyo kwenye beseni juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango. Hakuna ata mmoja atakaye toka nje ya mlango wake mpaka asubui.
Vzeli boste šop izopa in ga pomočili v kri, ki je v umivalniku in vratno preklado ter dva podboja premazali s krvjo, ki je v umivalniku; in nihče izmed vas do jutra ne bo šel ven pri vratih svoje hiše.
23 Kwa kuwa Yahweh atapita kushambulia Wamisri. Atakapo ona damu juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango, atapita mlango wako na ata ruhusu mharibifu kuja nyumbani kwenu kuwashambulia.
Kajti Gospod bo šel skozi, da udari Egipčane in ko na vratni prekladi in dveh stranskih podbojih zagleda kri, bo Gospod šel mimo vrat in ne bo dopustil, da bi pokončevalec vstopil v vaše hiše, da vas udari.
24 Lazima uadhimishe hili tukio. Hili litakuwa daima sheria kwako na kwa uzao wenu.
Vi pa boste to stvar obeležili kot odredbo sebi in svojim sinovom na veke.
25 Utakapo ingia nchi Yahweh atakayo kupa, kama alivyo ahidi kufanya, lazima uadhimishe hili tendo la ibada.
In zgodilo se bo, ko boste prišli v deželo, ki vam jo bo dal Gospod, glede [na to], kar je obljubil, da boste ohranjali to službo.
26 Watoto wako watakapo kuuliza, 'Hili tendo la ibada lina maana gani?'
Zgodilo se bo, ko vam bodo vaši otroci rekli: ›Kaj nameravate s tem služenjem?‹
27 kisha lazima useme, 'Ni sadaka ya Pasaka ya Yahweh, kwasababu Yahweh kapita nyumba za Waisraeli Misri alipo washambulia Wamisri. Aliweka nyumba zetu huru.”' Kisha watu wakamsujudia Yahweh.
da boste rekli: ›To je klavna daritev pashe Gospodu, ki je v Egiptu šel mimo hiš Izraelovih otrok, ko je udaril Egipčane in rešil naše hiše.‹« In ljudstvo je sklonilo glavo ter oboževalo.
28 Waisraeli wakaenda na kufanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
Izraelovi otroci so odšli in storili, kakor je Gospod zapovedal Mojzesu in Aronu, tako so storili.
29 Ikawa usiku wa manane kuwa Yahweh akawashambulia wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao, aliye keti kiti chake cha enzi, mzaliwa wa kwanza wa mtu aliye gerezani na wazaliwa wote wa kwanza wa mifugo.
Pripetilo se je, da je ob polnoči Gospod udaril vse prvorojeno v egiptovski deželi, od faraonovega prvorojenca, ki je sedel na njegovem prestolu, do ujetnikovega prvorojenca, ki je bil v grajski ječi in vse prvorojeno od živine.
30 Farao akaamka usiku - yeye, watumishi wake, na Wamisri. Palikuwa na kelele za maombolezo Misri, kwa kuwa hakukuwa na nyumba ambayo hamna mtu hakufa.
Faraon je ponoči vstal, on in vsi njegovi služabniki in vsi Egipčani in v Egiptu je bilo veliko vpitje, kajti ni bilo hiše, kjer ni bi bilo enega mrtvega.
31 Farao akamuita Musa na Aruni usiku na kusema, “Inuka, tokeni miongoni mwa watu wangu, nyie pamoja na Waisraeli. Nenda, mmuabudu Yahweh, kama mlivyo sema mnataka kufanya.
Ponoči je dal poklicati Mojzesa in Arona ter rekel: »Vstanite in odpravite se proč izmed mojega ljudstva, tako vidva kakor Izraelovi otroci in pojdite, služite Gospodu, kakor sta rekla.
32 Chukuweni ng'ombe zenu na kondoo zenu, kama mlivyo sema, na muende, na pia mnibariki.”
Prav tako vzemite vaše trope in vaše črede, kakor sta rekla in izginite; in tudi mene blagoslovita.«
33 Wamisri walikuwa na haraka ya kuwa ondoa nchini, kwa kuwa walisema, “Sisi ni watu tuliokufa.”
Egipčani so pritiskali na ljudstvo, da bi jih lahko v naglici odposlali iz dežele, kajti rekli so: »Mi vsi bomo mrtvi ljudje.«
34 Watu wakachukuwa ngano yao pasipo kuongeza hamira yeyote. Bakuli zao zakukandia ngano zilifungiwa kwenye nguo zao na kwenye mabega yao.
Ljudstvo je vzelo svoje testo, preden je bilo to vzhajano in svoje nečke, ki so bile povezane v njihovih oblačilih, na svoje rame.
35 Watu Waisraeli walifanya kama Musa alivyo waambia. Waliwaomba Wamisri vitu vya fedha, vitu vya dhahabu, na nguo.
Izraelovi otroci so storili glede na Mojzesovo besedo in od Egipčanov so si izposodili dragocenosti iz srebra in dragocenosti iz zlata in oblačil.
36 Yahweh aliwafanya Wamisri na shauku ya kuwapendeza Waisraeli. Hivyo Wamisri waliwapa chochote walicho waomba. Katika hili, Waisraeli waliwachukulia vingi Wamisri.
In Gospod je dal ljudstvu naklonjenost v očeh Egipčanov, tako da so jim posodili takšne stvari, kot so jih zahtevali. In oplenili so Egipčane.
37 Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesi kwenda Sakothi. Walikuwa na idadi ya wanaume 600, 000 kwa miguu, kuongezea kwa wanawake na watoto.
Izraelovi otroci so potovali od Ramesésa do Sukóta, okoli šeststo tisoč pešcev, ki so bili možje, poleg otrok.
38 Mchanganyiko wa kundi la wasio Waisraeli pia walienda nao, pamoja na ng'ombe na kondoo, idadi kumbwa ya mifugo.
Z njimi je odšla gor tudi mešana množica, tropi in črede, zelo veliko živine.
39 Walioka mikate na unga wa ngano wenye hamira walio utoa Misri. Ulikuwa hauna hamira kwasababu waliondolewa Misri na hawakuweza chelewa kuandaa chakula.
Iz testa, ki so ga prinesli iz Egipta, so spekli nekvašeni kruh, kajti ni bil še vzhajan, ker so bili sunjeni iz Egipta in niso mogli ostati niti si zase niso pripravili nobenega živeža.
40 Waisraeli waliishi Misri kwa miaka 430.
Torej začasno bivanje Izraelovih otrok, ki so prebivali v Egiptu, je bilo štiristo trideset let.
41 Baada ya miaka 430, siku hiyo hiyo, majeshi yote ya Yahweh yalio jiami waliondoka kutoka nchi ya Misri.
Ob koncu štiristo tridesetih let se je pripetilo, celo prav na isti dan se je pripetilo, da so vse Gospodove vojske odšle iz egiptovske dežele.
42 Huu ulikuwa usiku wakuwa macho, ili Yahweh awatoe kutoka nchi ya Misri. Huu ulikuwa usiku wa Yahweh wa kuadhimishwa na Waisraeli wote na watu wa vizazi vyao vyote.
To je noč, ki bo zelo obeleževana Gospodu, ker jih je privedel iz egiptovske dežele. To je tista Gospodova noč, ki jo bodo obeleževali vsi Izraelovi otroci v svojih rodovih.
43 Yahweh akamwambia Musa na Aruni, “Hii ni sheria ya Pasaka: hakuna mgeni anaye ruhusiwa kuila.
Gospod je rekel Mojzesu in Aronu: »To je odredba pashe: ›Naj noben tujec od tega ne jé,
44 Walakini, kila mtumwa wa Misraeli, aliye nunuliwa kwa pesa, anaeza kula baada ya kutahiriwa.
toda vsakogar služabnik, ki je kupljen za denar, ko si ga obrezal, potem bo jedel od tega.
45 Wageni na watumishi waajiriwa hawapaswi kula chakula chochote.
Tuj človek in najeti služabnik ne bosta jedla od tega.
46 Chakula chapaswa kuliwa ndani ya nyumba moja. Hauruhusiwi kubeba nyama yeyote nje ya nyumba, na hauruhusiwi kuvunja mfumba wowote.
Jedlo se ga bo v eni hiši. Nič od mesa ne boš nosil ven iz hiše niti ne boste prelomili njegove kosti.
47 Jamii zote za Israeli za paswa kuadhimisha sherehe.
Vsa Izraelova skupnost se bo tega držala.
48 Kama mgeni anaishi na wewe na anataka kuadhimisha Pasaka kwa Yahweh, ndugu zake wote wa kiume wapaswa kutahiriwa. Kisha anaeza kuja na kuadhimisha. Atakuwa kama watu walio zaliwa kwenye nchi. Walakini, hakuna mtu asiye tahiriwa anaruhusiwa kula chakula chochote.
Ko bo tujec začasno prebival s teboj in bo praznoval pasho Gospodu, naj bodo vsi njegovi moški obrezani in takrat pustite, da pride blizu in se tega drži, in on naj vam bo kakor nekdo, ki je rojen v deželi, kajti nobena neobrezana oseba ne bo jedla od tega.
49 Sheria hii hii itahusika kwa mzaliwa wa asili na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”
Ena postava bo tistemu, ki je rojen doma in tujcu, ki začasno biva med vami.‹«
50 Waisraeli wote walifanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
Tako so storili vsi Izraelovi otroci; kakor je Gospod zapovedal Mojzesu in Aronu, tako so storili.
51 Ikaja kuwa siku hiyo Yahweh akawaleta Israeli kutoka nchi ya Misri kwa makundi yalio jiami.
Na prav isti dan se je pripetilo, da je Gospod privedel Izraelove otroke po njihovih vojskah iz egiptovske dežele.

< Kutoka 12 >