< Kutoka 12 >
1 Yahweh akasema na Musa na Aruni katika nchi ya Misri. Alisema,
Yahweh said to Aaron and Moses/me there in Egypt,
2 “Kwako wewe, mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi, mwezi wa kwanza wa mwaka kwako.
“[From now on], this month [will be] the first month of the year for you.
3 Liambie kusanyiko la Israeli, 'Siku ya kumi mwezi huu kila mtu lazima achukuwe mwana kondoo au mbuzi mdogo wa kwake, kila familia ifanye hivi, mwana kondoo kwa kila nyumba.
Tell all the Israeli people that in each family, the man who heads the family must select a lamb or a young goat for his household.
4 Kama hiyo nyumba ni ndogo sana kwa mwana kondoo, mwanaume na jirani yake wachukuwe mwana kondoo au nyama ya mbuzi mdogo ambayo itatosha watu. Lazima iwe yatosha kwa kila mtu kula, kwaiyo lazima wachukuwe nyama ya kutosha kulisha wote.
If there are not enough people in his family to eat a whole [cooked] lamb, then his family and the family that lives next door may share one animal. Decide how many lambs you need according to the number of people in each family, and according to how much each person can eat.
5 Mwana kondoo wako au mbuzi wako mdogo lazima asiwe na upungufu, dume mwenye mwaka mmoja. Unaweza kuchukuwa mmoja wa kondoo au mbuzi.
The lambs or goats that you choose must be males, one-year-old, and they must not have any defects.
6 Lazima umtunze mpaka siku ya kumi na nne ya huo mwezi. Kisha kusanyiko lote la Israeli lazima liwaue hawa wanyama jioni.
You must take [special] care of these animals until the 14th day of the month. On that day, all the Israeli people must slaughter the lambs [or goats] in the evening.
7 Lazima uchukuwe baadhi ya damu na uweke kwenye sehemu mbili za mihimili ya milango na juu ya fremu za milango ambapo utalia hizo nyama.
Then they must take some of the blood [from the lambs or goats], and they must smear it on the doorposts and the (lintels/horizontal beams above the doorways) of the houses in which they will eat the meat.
8 Lazima ule hizo nyama usiku, baada ya kuchoma kwenye moto. Kula na mkate ulio andaliwa kwa hamira, pamoja na mimea michungu.
They must roast the animals immediately and eat the meat that night. They must eat it with bread that is baked without yeast and with bitter herbs.
9 Usiile mbichi au imechemshwa kwenye maji. Badala yake, choma kwenye moto na kichwa chake, miguu na sehemu za ndani.
You must not eat any of the meat raw, and you must not boil the meat. You must roast it [whole], without cutting off the head or the legs or removing the internal parts.
10 Usiache ata kidogo kubaki mpaka asubui. Lazima uchome chochote kilicho baki asubui.
You must eat all the meat that evening; do not let any of the meat remain [to be eaten] the next morning. If any of the meat is left until the next morning, you must [completely] burn it.
11 Hivi ndivyo wa paswa kula: ukiwa umefunga mkanda wako, umevaa viatu vyako, na gongo lako mkononi mwako. Lazima ule kwa haraka. Ni Pasaka ya Yahweh.
When you eat it, you must be dressed ready to travel, and you must eat it quickly. You must have your sandals on your feet and your walking stick in your hands. It will be a festival [called] Passover to [honor] me, Yahweh.
12 Yahweh anasema hili: Nitaenda katika nchi ya Misri usiku na kushambulia wazaliwa wote wa kwanza wa wanadamu na wanyama katika nchi ya Misri. Nitaleta pigo kwa miungu yote ya Misri. Mimi ni Yahweh.
On that night I will go through all the country of Egypt, and I will kill all the oldest males in Egypt, both humans and animals. [By doing this] I will show that all the gods in Egypt are worthless. [I can do this], because I am Yahweh, [the all-powerful God].
13 Damu itakuwa ishara kwenye nyumba zenu ya kuja kwangu. Nitakapo ona damu, nitapita nitakapo shambulia nchi ya Misri. Ili pigo halitawajia na kuwaharibu.
The blood [that you smear on the doorways will be a mark to indicate] the houses in which you [Israelis] live. When I see the blood, I will [ignore and] pass by those houses, and I will not harm you [Israelis who live there], when I punish the Egyptians.
14 Hii siku itakuwa kumbukumbu kwenu, ambayo lazima muadhimishe kama sherehe ya Yahweh. Itakuwa sheria kwenu pia, kwenye vizazi vyote vya watu wenu, ambayo mwapaswa kuadhimisha leo.
[Each year], you must celebrate this festival on this day, to remember [what I], Yahweh, [have done for you]. In all the generations to come, [each year] you must celebrate [this festival]. [It must continue] forever.
15 Utakula mkate bila hamira wakati wa siku saba. Siku ya kwanza utaondoa hamira kwenye nyumba zenu. Yeyote atakaye kula mkate uliyotiwa chachu kwanzia siku ya kwanza mpaka siku ya saba, huyo mtu lazima akatwe kutoka Israeli.
For seven days you must eat bread that has no yeast in it. On the first day of that week you must get rid of all the yeast that is in your houses. During those seven days, if anyone eats bread that is baked with yeast in it, [you must consider] that person to be no longer an Israeli.
16 Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko lililo tengwa kwa ajili yangu, na siku ya saba kutakuwa na kusanyiko kama hilo. Hakuna kazi itakayo fanywa hizi siku, zaidi ya kupika kila mmoja ale. Hiyo ndio kazi pekee itakayo fanywa na wewe.
On the first day [of that week], you must (have a holy meeting/gather together to [worship] me). You must do the same thing on the seventh day. People must not work on those two days. The only work they may do is to prepare food for you to eat.
17 Lazima uadhimishe hii Sherehe ya Mkate Usiotiwa Chachu kwasababu ni siku hii ambayo nitawaleta watu wako, makundi yaliyo na silaha, kwa makundi yaliyo na silaha, kutoka nchi ya Misri. Lazima uadhimishe hii siku kwa vizazi vyote vya watu wako. Hii itakuwa sheria kwako.
[Every year] you must keep celebrating this festival of eating bread that has no yeast in it, because it will remind you that it was on this day that I brought all your tribal groups out of Egypt. So [every year], in all the generations to come, you must celebrate this day as a festival. It must continue forever.
18 Lazima ule mkate usiotiwa chachu kuanzia jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza wa mwaka, mpaka jioni ya siku ya ishirini na moja ya mwezi.
In the first month of the year, on the 14th day of that month, the only bread you may eat is bread that has no yeast in it. You must keep doing that each day until the 21st day of that month. For those seven days you must not have any yeast in your house. [During that time], if anyone, either an Israeli or a foreigner, eats bread made with yeast, you must consider that person no longer to be an Israeli.
19 Wakati wa hizi siku, nyumbani mwenu kusipatikane na hamira. Yeyote atakaye kula mkate ulio andaliwa na hamira lazima akatwe kutoka jamii ya Israeli, huyo mtu awe ni mgeni au mtu aliye zaliwa nchini mwenu.
20 Hautakula chochote kilicho andaliwa na hamira. Popote utapo ishi, lazima ule mkate usio na hamira.”'
In your houses, do not eat anything that has yeast in it during those seven days.”
21 Kisha Musa akawaita viongozi wote wa Israeli na kuwaambia, “Nendeni na mchague mwana kondoo au mbuzi watakao tosha kulisha familia zenu na muue mwana kondoo wa pasaka.
Then Moses/I summoned all the leaders of the Israeli people. He/I said to them, “Each family should select a lamb and kill it, [in order that you may eat it to celebrate the festival that will be called] ‘Passover’.
22 Kisha chukua jani la hisopu na uchovye kwenye damu itakayo kuwa kwenye beseni. Paka damu iliyo kwenye beseni juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango. Hakuna ata mmoja atakaye toka nje ya mlango wake mpaka asubui.
Let the lamb’s blood [drain into] a basin. Get a bunch/sprig of (hyssop/a very leafy plant) and dip it in the blood. Then smear some of the blood on the doorposts and the (lintels/beams above the doorways) [of your houses]. The people in each house must all stay inside the house until the next morning.
23 Kwa kuwa Yahweh atapita kushambulia Wamisri. Atakapo ona damu juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango, atapita mlango wako na ata ruhusu mharibifu kuja nyumbani kwenu kuwashambulia.
When Yahweh goes throughout Egypt to kill the [oldest male in each] Egyptian family, he will see the blood on the (lintels/beams of your doorways), and he will [ignore and] pass by those houses. He will not allow the angel who causes people to die to enter your houses and kill [any of] your [oldest sons].
24 Lazima uadhimishe hili tukio. Hili litakuwa daima sheria kwako na kwa uzao wenu.
You and your descendants must celebrate this festival forever.
25 Utakapo ingia nchi Yahweh atakayo kupa, kama alivyo ahidi kufanya, lazima uadhimishe hili tendo la ibada.
And when you arrive in the land that Yahweh will be giving to you as he promised, you must keep celebrating this ritual [every year].
26 Watoto wako watakapo kuuliza, 'Hili tendo la ibada lina maana gani?'
When your children ask you, ‘What does this ritual mean?’,
27 kisha lazima useme, 'Ni sadaka ya Pasaka ya Yahweh, kwasababu Yahweh kapita nyumba za Waisraeli Misri alipo washambulia Wamisri. Aliweka nyumba zetu huru.”' Kisha watu wakamsujudia Yahweh.
you must tell them, ‘This ritual is [to remember how our ancestors] sacrificed [lambs] on the night that Yahweh’s angel passed by the houses of the Israeli people [when they were] in Egypt. He killed the [oldest males/sons in all] the Egyptian houses, but he spared [the sons in] [MTY] our houses.’” After Moses/I told them this, they all bowed their heads and worshiped [Yahweh].
28 Waisraeli wakaenda na kufanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
Then the Israeli people did what Yahweh had told Aaron and Moses/me [to tell them to do].
29 Ikawa usiku wa manane kuwa Yahweh akawashambulia wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao, aliye keti kiti chake cha enzi, mzaliwa wa kwanza wa mtu aliye gerezani na wazaliwa wote wa kwanza wa mifugo.
At midnight Yahweh killed all the oldest sons of the Egyptian people, all over Egypt. That included the king’s oldest son, the oldest sons of the prisoners in the dungeon/jail, and [the oldest sons of everyone else]. He also killed the oldest males of all the Egyptians’ livestock.
30 Farao akaamka usiku - yeye, watumishi wake, na Wamisri. Palikuwa na kelele za maombolezo Misri, kwa kuwa hakukuwa na nyumba ambayo hamna mtu hakufa.
That night the king, all his officials, and [all the rest of] the Egyptian people awoke [and discovered what had happened]. They wailed loudly all over Egypt, because in every house, someone’s son had died.
31 Farao akamuita Musa na Aruni usiku na kusema, “Inuka, tokeni miongoni mwa watu wangu, nyie pamoja na Waisraeli. Nenda, mmuabudu Yahweh, kama mlivyo sema mnataka kufanya.
That night the king summoned Aaron and Moses/me and said, “You and all the [other] Israeli people, must leave my country [immediately]! Go and worship Yahweh, as you requested!
32 Chukuweni ng'ombe zenu na kondoo zenu, kama mlivyo sema, na muende, na pia mnibariki.”
Take your flocks [of sheep and goats] and herds [of cattle], and leave! And ask Yahweh to bless me, also!”
33 Wamisri walikuwa na haraka ya kuwa ondoa nchini, kwa kuwa walisema, “Sisi ni watu tuliokufa.”
Then the Israeli people did as Moses/I had told them. They [went to] their Egyptian [neighbors] and asked them for silver and gold jewelry and clothing.
34 Watu wakachukuwa ngano yao pasipo kuongeza hamira yeyote. Bakuli zao zakukandia ngano zilifungiwa kwenye nguo zao na kwenye mabega yao.
Yahweh caused the Egyptian people to greatly respect the [Israeli] people, so they gave them what they asked for. In that way, they carried away the wealth of the Egyptian people.
35 Watu Waisraeli walifanya kama Musa alivyo waambia. Waliwaomba Wamisri vitu vya fedha, vitu vya dhahabu, na nguo.
The Egyptians urged the [Israeli] people to leave their country quickly. They said, “[If you do not do that], we will all die!”
36 Yahweh aliwafanya Wamisri na shauku ya kuwapendeza Waisraeli. Hivyo Wamisri waliwapa chochote walicho waomba. Katika hili, Waisraeli waliwachukulia vingi Wamisri.
So the [Israeli] people [prepared to leave at once]. They took the bowls in which they mixed the dough to make bread, and the dough that was in the bowls without any yeast in it, and they wrapped the bowls in their cloaks. They put the bowls on their shoulders [and left].
37 Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesi kwenda Sakothi. Walikuwa na idadi ya wanaume 600, 000 kwa miguu, kuongezea kwa wanawake na watoto.
The Israeli people traveled from Rameses [city] to Succoth [town]. There were about 600,000 men who went, in addition to the women and children.
38 Mchanganyiko wa kundi la wasio Waisraeli pia walienda nao, pamoja na ng'ombe na kondoo, idadi kumbwa ya mifugo.
Many other people who were not Israelis went along with them. There were also livestock, the flocks [of sheep and goats] and herds [of cattle].
39 Walioka mikate na unga wa ngano wenye hamira walio utoa Misri. Ulikuwa hauna hamira kwasababu waliondolewa Misri na hawakuweza chelewa kuandaa chakula.
On their way, they baked bread with the dough that they carried with them when they had been expelled from Egypt. The dough did not have yeast in it, because they were told to leave Egypt so quickly that they did not have enough time to get food ready to take with them, or enough time to mix yeast in the dough.
40 Waisraeli waliishi Misri kwa miaka 430.
The Israeli people had lived in Egypt 430 years.
41 Baada ya miaka 430, siku hiyo hiyo, majeshi yote ya Yahweh yalio jiami waliondoka kutoka nchi ya Misri.
On the day that those 430 years ended, on that very day, all the tribes of Yahweh’s people left Egypt.
42 Huu ulikuwa usiku wakuwa macho, ili Yahweh awatoe kutoka nchi ya Misri. Huu ulikuwa usiku wa Yahweh wa kuadhimishwa na Waisraeli wote na watu wa vizazi vyao vyote.
It was a night when Yahweh (protected/guarded over) them as he brought them out of Egypt. So this same night every year is a night that is dedicated to Yahweh, a night when the Israeli people in every generation [remember how] Yahweh protected our ancestors.
43 Yahweh akamwambia Musa na Aruni, “Hii ni sheria ya Pasaka: hakuna mgeni anaye ruhusiwa kuila.
Then Yahweh said this to Aaron and Moses/me: “These are my instructions about the Passover ritual: Do not let foreigners eat [the Passover meal]. But any male slaves that you have bought may eat it after you have circumcised them.
44 Walakini, kila mtumwa wa Misraeli, aliye nunuliwa kwa pesa, anaeza kula baada ya kutahiriwa.
45 Wageni na watumishi waajiriwa hawapaswi kula chakula chochote.
Do not let people who are living among you temporarily, or servants whom you have hired, eat [the Passover meal].
46 Chakula chapaswa kuliwa ndani ya nyumba moja. Hauruhusiwi kubeba nyama yeyote nje ya nyumba, na hauruhusiwi kuvunja mfumba wowote.
Each family must eat the Passover meal inside their own house. Do not take any of the food outside the house. And do not break any of the bones of the lamb that is sacrificed.
47 Jamii zote za Israeli za paswa kuadhimisha sherehe.
All the Israeli people must celebrate this festival.
48 Kama mgeni anaishi na wewe na anataka kuadhimisha Pasaka kwa Yahweh, ndugu zake wote wa kiume wapaswa kutahiriwa. Kisha anaeza kuja na kuadhimisha. Atakuwa kama watu walio zaliwa kwenye nchi. Walakini, hakuna mtu asiye tahiriwa anaruhusiwa kula chakula chochote.
When someone from another country comes to live with you and wants to celebrate the Passover Festival, circumcise all the males in his household. Then they may eat the Passover meal, and you should treat those people as though they were born as Israelis. But do not allow men who have not been circumcised to eat the Passover meal.
49 Sheria hii hii itahusika kwa mzaliwa wa asili na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”
These rules apply to people who were born as Israelis and to foreigners who come and live among you.”
50 Waisraeli wote walifanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
All the Israeli people obeyed Aaron and Moses/me and did what Yahweh had commanded.
51 Ikaja kuwa siku hiyo Yahweh akawaleta Israeli kutoka nchi ya Misri kwa makundi yalio jiami.
On that very day Yahweh brought all the tribes of the Israeli people out of Egypt.