< Kutoka 12 >

1 Yahweh akasema na Musa na Aruni katika nchi ya Misri. Alisema,
BAWIPA ni Izip ram vah Mosi hoi Aron koe a dei pouh e teh;
2 “Kwako wewe, mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi, mwezi wa kwanza wa mwaka kwako.
Hete thapa heh nangmouh hanelah a kum tangkuem dawk apasuekpoung e thapa lah ao han.
3 Liambie kusanyiko la Israeli, 'Siku ya kumi mwezi huu kila mtu lazima achukuwe mwana kondoo au mbuzi mdogo wa kwake, kila familia ifanye hivi, mwana kondoo kwa kila nyumba.
Nangmouh roi ni Isarel rangpuinaw koe lawk na thui roi hane teh; Hete thapa hnin hra touh hnin vah nangmanaw pueng ni mae imthungkhu tangkuem dawk im touh ni tuca buet touh rip na sin awh han.
4 Kama hiyo nyumba ni ndogo sana kwa mwana kondoo, mwanaume na jirani yake wachukuwe mwana kondoo au nyama ya mbuzi mdogo ambayo itatosha watu. Lazima iwe yatosha kwa kila mtu kula, kwaiyo lazima wachukuwe nyama ya kutosha kulisha wote.
Imthung kathoeng teh tuca buet touh hoi kâki hoehpawiteh imri kahnai e koe a bawng vaiteh tami nâyittouh maw tie a parei hnukkhu, boung cakhuem hane tuca hah a sin han.
5 Mwana kondoo wako au mbuzi wako mdogo lazima asiwe na upungufu, dume mwenye mwaka mmoja. Unaweza kuchukuwa mmoja wa kondoo au mbuzi.
Tuca thoseh, hmaeca thoseh, nangmouh ni na sin e saring teh kacueme hoi âvâ ka cawt hoeh rae a tan han.
6 Lazima umtunze mpaka siku ya kumi na nne ya huo mwezi. Kisha kusanyiko lote la Israeli lazima liwaue hawa wanyama jioni.
Hote tucanaw hah hote thapa hnin hra hlaipali totouh ring vaiteh, tangmin vah Isarel miphun, kamkhuengnaw ni a thei awh han.
7 Lazima uchukuwe baadhi ya damu na uweke kwenye sehemu mbili za mihimili ya milango na juu ya fremu za milango ambapo utalia hizo nyama.
Tuca moi kacate im takhang tâphai hoi tangkhang dawk tu thi na hluk han.
8 Lazima ule hizo nyama usiku, baada ya kuchoma kwenye moto. Kula na mkate ulio andaliwa kwa hamira, pamoja na mimea michungu.
A moi teh hmai pahai hnukkhu, hote tangmin dawk tonphuenhoehe, kakhat e anhna hoi na ca awh han.
9 Usiile mbichi au imechemshwa kwenye maji. Badala yake, choma kwenye moto na kichwa chake, miguu na sehemu za ndani.
Moi ka heng lah thoseh, thawng lahoi hai thoseh na cat awh mahoeh. A lû, a khok, a kosanaw hoi cungtalah hmai pahai hnukkhu na ca awh han.
10 Usiache ata kidogo kubaki mpaka asubui. Lazima uchome chochote kilicho baki asubui.
Hote moi hah khodai totouh na tat mahoeh. Youn touh hai na cawi sak pawiteh, hmai na sawi han.
11 Hivi ndivyo wa paswa kula: ukiwa umefunga mkanda wako, umevaa viatu vyako, na gongo lako mkononi mwako. Lazima ule kwa haraka. Ni Pasaka ya Yahweh.
Bangtelamaw na ca awh han tetpawiteh, taisawm kâyeng hoi, khokkhawm hoi, sonron patuep lahoi karanglah na ca awh han. Hetteh, BAWIPA e ceitakhai pawi doeh.
12 Yahweh anasema hili: Nitaenda katika nchi ya Misri usiku na kushambulia wazaliwa wote wa kwanza wa wanadamu na wanyama katika nchi ya Misri. Nitaleta pigo kwa miungu yote ya Misri. Mimi ni Yahweh.
Bangkongtetpawiteh, hote karum dawk Izip ram pueng dawk ka cei vaiteh Izipnaw e camin hoi saringnaw e ca caminnaw pueng ka thei han. Izipnaw e cathutnaw hah lawk ka ceng han. Kai teh BAWIPA doeh.
13 Damu itakuwa ishara kwenye nyumba zenu ya kuja kwangu. Nitakapo ona damu, nitapita nitakapo shambulia nchi ya Misri. Ili pigo halitawajia na kuwaharibu.
Tuca e a thi teh nangmouh na onae im dawk nangmae mitnoutnae lah ao han. Hote a thi ka hmu navah, Kai ni nangmouh teh na ceitakhai awh han. Hottelah, Izip ram ka rek nah nangmouh karaphoekung lacik teh nangmouh koe phat mahoeh.
14 Hii siku itakuwa kumbukumbu kwenu, ambayo lazima muadhimishe kama sherehe ya Yahweh. Itakuwa sheria kwenu pia, kwenye vizazi vyote vya watu wenu, ambayo mwapaswa kuadhimisha leo.
Hete hnin teh nangmouh hanlah pahnim thai hoeh e hnin lah ao vaiteh na ca catoun totouh, hete hnin dawk Cathut koe pawi a to awh han. Kâlawk lah ao dawkvah hote pawiteh pou na to awh han.
15 Utakula mkate bila hamira wakati wa siku saba. Siku ya kwanza utaondoa hamira kwenye nyumba zenu. Yeyote atakaye kula mkate uliyotiwa chachu kwanzia siku ya kwanza mpaka siku ya saba, huyo mtu lazima akatwe kutoka Israeli.
Hnin sari touh thung tonphuenhoehe na ca awh han. Apasuek hnin nah ton hah imnaw dawk hoi na takhoe awh han. Apasuek hnin koehoi hnin sari totouh ton phuen e vaiyei ka cat e tami teh Isarel miphun dawk hoi takhoe lah ao han.
16 Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko lililo tengwa kwa ajili yangu, na siku ya saba kutakuwa na kusanyiko kama hilo. Hakuna kazi itakayo fanywa hizi siku, zaidi ya kupika kila mmoja ale. Hiyo ndio kazi pekee itakayo fanywa na wewe.
Apasuek hnin thoseh, asari hnin nah thoseh kathoung kamkhuengnae na sak awh han. Hote hnin dawkvah, taminaw ni canei hoi kâkuen e thaw hloilah alouke thaw tawk awh mahoeh.
17 Lazima uadhimishe hii Sherehe ya Mkate Usiotiwa Chachu kwasababu ni siku hii ambayo nitawaleta watu wako, makundi yaliyo na silaha, kwa makundi yaliyo na silaha, kutoka nchi ya Misri. Lazima uadhimishe hii siku kwa vizazi vyote vya watu wako. Hii itakuwa sheria kwako.
Hote tonphuenhoehe pawito ngainae teh, hote hnin dawk na taminaw Izip ram hoi ka tâco sak. Hatdawkvah, kâlawk ao e patetlah na ca catoun totouh hote hnin hah na ya awh han.
18 Lazima ule mkate usiotiwa chachu kuanzia jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza wa mwaka, mpaka jioni ya siku ya ishirini na moja ya mwezi.
Thapa yung pasuek, hnin hra hlaipali hnin tangmin hoi kamtawng teh hnin 20 tangmin totouh, nangmouh ni tonphuenhoehe na ca awh han.
19 Wakati wa hizi siku, nyumbani mwenu kusipatikane na hamira. Yeyote atakaye kula mkate ulio andaliwa na hamira lazima akatwe kutoka jamii ya Israeli, huyo mtu awe ni mgeni au mtu aliye zaliwa nchini mwenu.
Hnin sari touh thung imnaw dawk ton na tat awh mahoeh. Ton phuen e vaiyei kacate ramlouk tami thoseh, khoca thoseh Isarelnaw koehoi takhoe lah ao han.
20 Hautakula chochote kilicho andaliwa na hamira. Popote utapo ishi, lazima ule mkate usio na hamira.”'
Nangmouh na onae hmuen pueng koe ton phuen e vaiyei na cat awh mahoeh. Tonphuenhoehe vaiyei dueng na ca han atipouh.
21 Kisha Musa akawaita viongozi wote wa Israeli na kuwaambia, “Nendeni na mchague mwana kondoo au mbuzi watakao tosha kulisha familia zenu na muue mwana kondoo wa pasaka.
Hot navah, Mosi ni Isarel tami kacuenaw hah a kaw teh, na imthung tangkuem ni tuca hah ceitakhai pawi hanlah thet awh.
22 Kisha chukua jani la hisopu na uchovye kwenye damu itakayo kuwa kwenye beseni. Paka damu iliyo kwenye beseni juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango. Hakuna ata mmoja atakaye toka nje ya mlango wake mpaka asubui.
Dingsala dawn lat awh nateh kawlung dawk ta e a thi dawk ranup nateh takhang dawk hluk awh. Hathnukkhu hoi amom totouh apihai ma im takhang alawilah na tâcawt a mahoeh.
23 Kwa kuwa Yahweh atapita kushambulia Wamisri. Atakapo ona damu juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango, atapita mlango wako na ata ruhusu mharibifu kuja nyumbani kwenu kuwashambulia.
Bangkongtetpawiteh, BAWIPA teh Izipnaw thei hanlah a kâhlai han. Im takhang dawk e thi a hmu toteh BAWIPA ni takhang a ceitakhai han. Karaphoekung teh nangmouh reknae poe hanlah imthung kâen sak mahoeh.
24 Lazima uadhimishe hili tukio. Hili litakuwa daima sheria kwako na kwa uzao wenu.
Nangmouh hoi na canaw koe lawkkamnae ao dawkvah hote hno heh pou na tarawi awh han.
25 Utakapo ingia nchi Yahweh atakayo kupa, kama alivyo ahidi kufanya, lazima uadhimishe hili tendo la ibada.
BAWIPA ni poe hanlah kam e ram dawk na pha awh toteh, hete phunglam heh na sak awh han.
26 Watoto wako watakapo kuuliza, 'Hili tendo la ibada lina maana gani?'
Nangmae ca catounnaw ni hete phung heh bang ngainae maw na sak telah na pacei pawiteh,
27 kisha lazima useme, 'Ni sadaka ya Pasaka ya Yahweh, kwasababu Yahweh kapita nyumba za Waisraeli Misri alipo washambulia Wamisri. Aliweka nyumba zetu huru.”' Kisha watu wakamsujudia Yahweh.
BAWIPA ni Izipnaw a thei navah maimae imthungnaw a hlout sak. Izip ram kho ka sak e Isarelnaw e imnaw a ceitakhai e, BAWIPA e ceitakhai pawi lah ao telah bout na dei pouh han telah Mosi ni a dei hnukkhu, ahnimouh ni a lûsaling awh teh a bawk awh.
28 Waisraeli wakaenda na kufanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
BAWIPA ni Mosi hoi Aron koe lawk a thui e patetlah Isarelnaw ni a sak awh.
29 Ikawa usiku wa manane kuwa Yahweh akawashambulia wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao, aliye keti kiti chake cha enzi, mzaliwa wa kwanza wa mtu aliye gerezani na wazaliwa wote wa kwanza wa mifugo.
Karumsaning vah, BAWIPA ni bawitungkhung dawk ka tahung e Faro e camin koehoi kamtawng teh thongkabawtnaw e camin totouh, Izipnaw e camin pueng thoseh, saringnaw e camin pueng thoseh koung a thei.
30 Farao akaamka usiku - yeye, watumishi wake, na Wamisri. Palikuwa na kelele za maombolezo Misri, kwa kuwa hakukuwa na nyumba ambayo hamna mtu hakufa.
Hote tangmin vah, Faro siangpahrang hoi a sannaw, Izipnaw ni a thaw awh teh, im tangkuem tami a due dawkvah, Izip ram pueng dawk khuikanae puenghoi a pha.
31 Farao akamuita Musa na Aruni usiku na kusema, “Inuka, tokeni miongoni mwa watu wangu, nyie pamoja na Waisraeli. Nenda, mmuabudu Yahweh, kama mlivyo sema mnataka kufanya.
Hote tangmin vah, Mosi hoi Aron a kaw teh, nangmouh roi hoi Isarelnaw thaw awh nateh ka taminaw koehoi tâcawt awh. Na hei e patetlah cet awh nateh Jehovah hah bawk awh leih.
32 Chukuweni ng'ombe zenu na kondoo zenu, kama mlivyo sema, na muende, na pia mnibariki.”
Nangmouh ni na hei e patetlah tu, maitonaw hrawi awh nateh cet awh. Kai haiyah yawhawinae na poe awh, telah atipouh.
33 Wamisri walikuwa na haraka ya kuwa ondoa nchini, kwa kuwa walisema, “Sisi ni watu tuliokufa.”
Izipnaw ni maimouh pueng hai tami kadout lah doeh koung o awh toe telah ati awh teh, Isarelnaw Izip ram dawk hoi karanglah tâco sak hanlah a dei pouh awh.
34 Watu wakachukuwa ngano yao pasipo kuongeza hamira yeyote. Bakuli zao zakukandia ngano zilifungiwa kwenye nguo zao na kwenye mabega yao.
Hote taminaw ni ton phuen hoeh rae tavai a la awh teh, tavai kanawknae kawlungnaw a la awh teh, hni hoi a tangoung awh teh a phu awh.
35 Watu Waisraeli walifanya kama Musa alivyo waambia. Waliwaomba Wamisri vitu vya fedha, vitu vya dhahabu, na nguo.
Mosi ni a dei e patetlah Isarelnaw ni Izipnaw koe suingun, khohnanaw hah a hei awh.
36 Yahweh aliwafanya Wamisri na shauku ya kuwapendeza Waisraeli. Hivyo Wamisri waliwapa chochote walicho waomba. Katika hili, Waisraeli waliwachukulia vingi Wamisri.
A hei awh e patetlah poe ngainae lungthin BAWIPA ni Izipnaw a tawn sak teh, Izipnaw e hnopainaw a lawp awh.
37 Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesi kwenda Sakothi. Walikuwa na idadi ya wanaume 600, 000 kwa miguu, kuongezea kwa wanawake na watoto.
Isarelnaw napui camo touk laipalah, tongpa ting taruk touh, Raameses khopui hoi a tâco awh teh Sukkoth lah a cei awh.
38 Mchanganyiko wa kundi la wasio Waisraeli pia walienda nao, pamoja na ng'ombe na kondoo, idadi kumbwa ya mifugo.
Alouklouke taminaw haiyah a tawn e tu, maito hoi saringnaw pueng hoi a kâbang awh.
39 Walioka mikate na unga wa ngano wenye hamira walio utoa Misri. Ulikuwa hauna hamira kwasababu waliondolewa Misri na hawakuweza chelewa kuandaa chakula.
Izip ram hoi a phu e tonphuenhoehe tavai a la awh teh, tonphuenhoehe a tau awh. Bangkongtetpawiteh, Izip ram hoi tang a pâlei awh dawkvah, canei kawi kârakueng mang awh hoeh.
40 Waisraeli waliishi Misri kwa miaka 430.
Isarelnaw teh Izip ram vah kum 430 touh imyin lah ao awh.
41 Baada ya miaka 430, siku hiyo hiyo, majeshi yote ya Yahweh yalio jiami waliondoka kutoka nchi ya Misri.
A kum 430 akuepnae hnin dawk BAWIPA e ransanaw teh Izip ram hoi a tâco awh.
42 Huu ulikuwa usiku wakuwa macho, ili Yahweh awatoe kutoka nchi ya Misri. Huu ulikuwa usiku wa Yahweh wa kuadhimishwa na Waisraeli wote na watu wa vizazi vyao vyote.
Izip ram hoi a tâcokhai dawkvah hote tangmin teh BAWIPA hanlah a ya awh. Hatdawkvah, hote tangmin teh Isarelnaw ni pout laipalah pou a ya awh e tangmin lah ao.
43 Yahweh akamwambia Musa na Aruni, “Hii ni sheria ya Pasaka: hakuna mgeni anaye ruhusiwa kuila.
BAWIPA ni Mosi hoi Aron koevah, ceitakhai pawi phunglam teh hettelah ao. Ceitakhai pawiteh alouke miphun ni cat mahoeh.
44 Walakini, kila mtumwa wa Misraeli, aliye nunuliwa kwa pesa, anaeza kula baada ya kutahiriwa.
Hateiteh, tangka hoi ran e san ni teh vuensoma hnukkhu a ca han.
45 Wageni na watumishi waajiriwa hawapaswi kula chakula chochote.
Miphun alouke hoi san lah hno e naw ni teh cat mahoeh.
46 Chakula chapaswa kuliwa ndani ya nyumba moja. Hauruhusiwi kubeba nyama yeyote nje ya nyumba, na hauruhusiwi kuvunja mfumba wowote.
Im buet touh dawk na ca han. A moi im alawilah na sin mahoeh. A hru hai na khoe mahoeh.
47 Jamii zote za Israeli za paswa kuadhimisha sherehe.
Isarelnaw pueng ni hote pawiteh na tarawi awh han.
48 Kama mgeni anaishi na wewe na anataka kuadhimisha Pasaka kwa Yahweh, ndugu zake wote wa kiume wapaswa kutahiriwa. Kisha anaeza kuja na kuadhimisha. Atakuwa kama watu walio zaliwa kwenye nchi. Walakini, hakuna mtu asiye tahiriwa anaruhusiwa kula chakula chochote.
Hahoi, nangmouh koe kârayen e Jentelnaw ni BAWIPA hanlah ceitakhai pawi sak han ngai awh pawiteh, tongpanaw pueng vuensoma awh naseh. Hathnukkhu hote tami teh khoca patetlah ao dawkvah pawi kâen naseh. Vuensom ka a hoeh e teh hote pawi cat thai hoeh.
49 Sheria hii hii itahusika kwa mzaliwa wa asili na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”
Khocanaw hoi nangmouh koe kârayennaw hanlah phunglam buet touh dueng doeh kaawm telah BAWIPA ni Mosi hoi Aron koe a dei pouh.
50 Waisraeli wote walifanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
Hottelah, BAWIPA ni Mosi hoi Aron koe a dei pouh e patetlah Isarelnaw ni a sak awh.
51 Ikaja kuwa siku hiyo Yahweh akawaleta Israeli kutoka nchi ya Misri kwa makundi yalio jiami.
Hote hnin dawk BAWIPA ni Isarelnaw a ransanaw khue hoi Izip ram hoi a tâcokhai.

< Kutoka 12 >