< Kutoka 11 >
1 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Bado kuna pigo moja nitalo lileta kwa Farao na Misri. Baada ya hilo, atakuacha uondoke hapa. Atakapo kuachia uende, ata kuondoa kabisa.
Rəbbee Mısayk'le eyhen: – Zı fironulqayiy Misirılqa sayib balyaa g'axuvles. Mançile qiyğa mang'vee şu inçe g'avkvasınbı. Saccu avak'neva vuk'lele haa'as.
2 Waelekeze watu kwamba kila mwanaume na mwanamke amuulizie jirani yake vitu vya fedha na vitu vya dhahabu.”
Milletık'le eyhe, adameeşeyiy yedaaşe hiqiy-allane Misirbışike nuk'raykeyiy k'ınəəğəyke hı'iyn karbı heqqecen.
3 Sasa Yahweh aliwafanya Wamisri kuwa na shauku ya kuwapendeza Waisraeli. Aidha, Musa alikuwa wakuvutia sana machoni pa watumishi wa Farao na watu wa Misri.
Rəbbee məxüd ha'a, Misirbışde ulesqa millet yugda qadayle. Mısamee fironne insanaaşik'le, Misirne milletık'le geer xərna insan xhinne ats'a eyxhe.
4 Musa akasema, “Yahweh asema hivi: 'Wakati wa usiku wa manane nitaenda Misri yote.
Mısee fironuk'le eyhen: – Rəbbe inəxüdud eyhe: «Xəm sura vuxhamee, Zı Misirne yı'q'neençe ılğeç'es.
5 Wazaliwa wa kwanza wote wa nchi ya Misri watakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao, anaye keti kiti chake cha enzi, mpaka mzaliwa wa kwanza wa misichana mtumwa anaye saga mbegu, na kwa wazaliwa wa kwanza wa mifugo.
Taxtıl gyu'arasde fironne ts'erriyne duxayle girğıl, suk giviyxərne g'ayeyne yı'q'əl giy'ırne nukarne duxalqamee, gırgıng'un ts'eppiyn dixbı hapt'asınbı. Həyvanaaşinıd çikana ts'ettiyn balabı hatt'asınbı.
6 Kisha kutakuwa na kilio kikubwa nchi yote ya Misri, kama ambacho hakijawai wala hakitatokea tena.
Misirvolle xədın geşşuy ixhes. Məxdın geşşuy mankilqameeyid ıxha deşdiy, mançile qiyğad mısacad ixhes deş.
7 Lakini ata mbwa hata bweka kwa watu wa Israeli, dhidi ya mtu au mnyama. Kwa hili utajuwa kuwa nina watendea Wamisri na Waisraeli tofauti.'
İzrailybışilqayiy cone çavra-vəq'əlqa xvaayib gihivxhas deş». Mançike şok'le ats'axhxhesın Rəbbee İzrailybıyiy Misirbı nəxübiy sana-sang'uke curav'u.
8 Watumishi wote hawa wako, Farao, watakuja chini yangu na kunisujudu mimi. Watasema, 'Nenda, wewe na watu wote wanao kufuata!' Baada ya hapo nitaondoka.” Kisha akaondoka mbele ya Farao kwa hasira kubwa.
Yiğın insanar zasqa abı, yizde g'elybışeeqa qutyopk'ul eyhesın: «Ğunar hoora, vaqa qihna hoyharan gırgın milletıd hooracen!» Mançile qiyğa zı əlyhəəsda. Manıd uvhu, Mısa qəlın qek'a fironusse qığeç'ena.
9 Yahweh akamwambia Musa, Farao hatakusikiliza. Hii ni ili nifanye mambo ya ajabu katika nchi ya Misri.”
Rəbbee Mısayk'le eyhen: – Zasse Misir geed əlaamatbı hagvas əxecenva, fironee şol k'ırı alixhxhes deş.
10 Musa na Aruni wakafanya mambo haya ya kushangaza mbele za Farao. Lakini Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu, na Farao hakuwaacha watu wa Israeli kuondoka katika nchi yake.
Mıseeyiy Harunee man gırgın əlaamatbı fironuk'le hagveyid, Rəbbee fironuke hı't'iy hı'ı, mang'vee İzrailybı cune ölkeençe g'avku deş.