< Kutoka 10 >
1 Yahweh akamwambia Musa, “Nenda kwa Farao, kwa kuwa nimeufanya moyo wake mgumu na moyo wa watumishi wake. Nimefanya hivi kuonyesha hizi ishara za nguvu zangu miongoni mwao.
And he said Yahweh to Moses go to Pharaoh for I I have made heavy heart his and [the] heart of servants his so as to perform I signs my these in midst his.
2 Pia nimefanya hivi ili muwaambie watoto wenu na wajukuu wenu vitu nilivyo fanya, jinsi nilivyo itendea Misri kwa ukali, na jinsi nilivyo onyesha aina tofauti za ishara za nguvu zangu miongoni mwao. Kwa hili mtajua kuwa mimi ni Yahweh.”
And so that you may recount in [the] ears of son your and [the] son of son your how I have dealt ruthlessly with Egypt and signs my which I performed among them and you will know that I [am] Yahweh.
3 Hivyo Musa na Aruni wakaenda kwa Farao na kumwambia, “Yahweh, Mungu wa Waebrania, anasema hivi: 'Kwa muda gani utaendelea kukataa kujinyenyekesha mbele zangu? Acha watu wangu waenda ili wakaniabudu.
And he went Moses and Aaron to Pharaoh and they said to him thus he says Yahweh [the] God of the Hebrews until when? have you refused to humble yourself from before me let go people my so they may serve me.
4 Lakini ukikataa kuwaruhusu watu wangu kwenda, sikiliza, kesho nitaleta nzige kwenye nchi yako.
That except [are] refusing you to let go people my here I [am] about to bring tomorrow locust[s] in territory your.
5 Watafunika ardhi ya juu ili kwamba mtu asiweze kuona udongo. Watakula mabaki yote yalio salia kwenye mvua ya barafu ya mawe. Pia watakula kila mti unaokua shambani.
And it will cover [the] eye of the land and not anyone will be able to see the ground and it will eat - [the] remainder of the escaped thing which remains to you from the hail and it will eat every tree that is sprouting for you from the field.
6 Watajaza nyumba zenu, zote za watumishi wenu, na zote za Wamisri wote - jambo ambalo baba zenu wala mababu zenu hawakuwai kuona, jambo ambalo halikuwai shuhudiwa toka walipo kuwa duniani hadi leo.”' Kisha Musa akaondoka na kutoka kwa Farao.
And they will be full houses your and [the] houses of all servants your and [the] houses of all Egypt which not they saw ancestors your and [the] ancestors of ancestors your from [the] day were they on the land until the day this and he turned and he went out from with Pharaoh.
7 Watumishi wa Farao wakamwambia, “Mpaka lini huyu mwanaume ata kuwa msumbufu kwetu? Acha Waisraeli waende wakamuabudu Yahweh Mungu wao. Bado haujatambua kuwa Misri imeharibiwa?”
And they said [the] servants of Pharaoh to him until when? will he become this [man] for us a snare let go the people so they may serve Yahweh God their ¿ not yet do you know that it will perish Egypt.
8 Musa na Aruni wakaletwa tena kwa Farao, ambaye aliwaambia, “Nendeni amkamuabudu Yahweh Mungu wenu. Lakini watu gani wataenda?”
And he was brought back Moses and Aaron to Pharaoh and he said to them go serve Yahweh God your who? and who? [are] the [ones] going.
9 Musa akasema, “Tutaondoka na wadogo wetu na wakubwa wetu, pamoja na wana wetu na mabinti zetu. Tutaondoka na ng'ombe na kondoo zetu, maana lazima tufanye siku kuu ya Yahweh.”
And he said Moses with young men our and with old [men] our we will go with sons our and with daughters our with flock[s] our and with herds our we will go for festival of Yahweh [will belong] to us.
10 Farao akawaambia, “Yahweh kwa kweli awe nanyi, kama nitawaacha muende na wadogo zenu waende. Angalia, una uovu kwenye nia.
And he said to them may he be thus Yahweh with you just as I will let go you and little one[s] your see that evil [is] before faces your.
11 Hapana! Nenda, wanaume tu miongoni mwenu, na mmuabudu Yahweh, kwa kuwa hilo ndilo mnalo litaka.” Kisha Musa na Aruni wakaondolewa uweponi mwa Farao.
Not so go please the men and serve Yahweh for it you [are] requesting and someone drove out them from with [the] face of Pharaoh.
12 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Nyoosha mkono wako kwenye nchi ya Misri palipo na nzige, ili washambulie nchi ya Misri na kula kila mmea, kila kitu barua ya mawe iliyo acha.”
And he said Yahweh to Moses stretch out hand your over [the] land of Egypt for the locust[s] so may it come up on [the] land of Egypt so it may eat all [the] vegetation of the land all that it left over the hail.
13 Musa akanyoosha na gongo lake juu ya nchi ya Misri, na Yahweh akaleta upepo wa mashariki juu ya nchi mchana wote na usiku mzima. Palipo kuwa asubui, upepo wa mashariki ulileta nzige.
And he stretched out Moses staff his over [the] land of Egypt and Yahweh he drove a wind of [the] east in the land all the day that and all the night the morning it was and [the] wind of the east it carried the locust[s].
14 Nzige wakaenda nchi yote ya Misri na kuharibu sehemu zote. Hapajawai kuwa na kundi kama hilo la nzige juu ya nchi, hakuna kama tena kama hilo litawai kutokea.
And it came up the locust[s] on all [the] land of Egypt and it settled down in all [the] territory of Egypt heavy very before it not it had been thus locust[s] like it and after it not it will be thus.
15 Walifunika ardhi yote ya juu ikawa giza. Walikula kila mmea na kila tunda la miti ambayo barafu ya mawe ilibakiza. Kila eneo la nchi ya Misri, hakuna mmea wa kijani ulibaki, wala mti au mmea wa shambani.
And it covered [the] eye of all the land and it grew dark the land and it ate all [the] vegetation of the land and all [the] fruit of the tree[s] which it had left over the hail and not it was left behind any greenery on the tree[s] and on [the] vegetation of the field in all [the] land of Egypt.
16 Kisha Farao akawaita Musa na Aruni na kuwaambia, “Nimefanya dhambi dhidi ya Yahweh na dhidi yako.
And he hurried Pharaoh to summon Moses and Aaron and he said I have sinned to Yahweh God your and to you.
17 Kisha sasa, nisamehe dhambi yangu wakati huu, na uombe kwa Yahweh Mungu wako aondoe hichi kifo kwangu.”
And therefore forgive please sin my only this time and pray to Yahweh God your so may he remove from on me only the death this.
18 Musa akaondoka kwa Farao na kumuomba Yahweh.
And he went out from with Pharaoh and he prayed to Yahweh.
19 Yahweh akaleta upepo mkali wa magharibi ulio wachukuwa wale nzige na kuwapeleka Bahari ya Shamu; hakuna nzige ata mmoja aliye baki eneo la Misri.
And he turned Yahweh a wind west strong very and it carried away the locust[s] and it blew it [the] sea of towards reed[s] not it remained a locust one in all [the] territory of Egypt.
20 Lakini Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu, na Farao hakuacha Waisraeli waende.
And he made strong Yahweh [the] heart of Pharaoh and not he let go [the] people of Israel.
21 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Nyoosha mkono wako kuelekea mbingu, ili kuwe na giza nchi yote ya Misri, giza linalo weza kuhisiwa.”
And he said Yahweh to Moses stretch out hand your to the heavens so may it be darkness over [the] land of Egypt so they may feel darkness.
22 Musa akanyoosha mkono wake kuelekea mbingu, na kulikuwa na giza nene nchi yote ya Misri kwa siku tatu.
And he stretched out Moses hand his to the heavens and it was darkness of darkness in all [the] land of Egypt three days.
23 Hakuna aliye muona mwingine; hakuna aliye toka nyumbani mwake kwa siku tatu. Walakini, Waisraeli wote walikuwa na taa katika sehemu walizo ishi.
Not they saw each brother his and not they rose anyone from under him three days and to all [the] people Israel it be[longed] light in dwelling places their.
24 Farao alimuita Musa na kusema, “Nenda umuabudu Yahweh. Ata familia zenu za weza kwenda nanyie, lakini ng'ombe zenu na kondoo zenu zitabaki.”
And he summoned Pharaoh Moses and he said go serve Yahweh only flock[s] your and herd[s] your it will be detained also little one[s] your it will go with you.
25 Lakini Musa akasema, “Lazima utupe wanyama kwa ajili ya dhabihu na sadaka za kuteketeza ili tuwatoe dhabihu kwa Yahweh Mungu wetu.
And he said Moses also you you will give in hand our sacrifices and burnt offerings and we will offer [them] to Yahweh God our.
26 Mifugo yetu lazima iende na sisi; ata mmoja hawezi kubaki, lazima tuwapeleke wakamuabudu Yahweh Mungu wetu. Kwa kuwa hatujui tutakacho muabudu nacho Yahweh mpaka tufike pale.
And also livestock our it will go with us not it will remain a hoof for some of it we will take to serve Yahweh God our and we not we will know what? will we serve Yahweh until go we there.
27 Lakini Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu, na hakuwaacha waende.
And he made strong Yahweh [the] heart of Pharaoh and not he was willing to let go them.
28 Farao alimwambia Musa, “Toka kwangu! Kuwa muangalifu na jambo moja, kwamba usinione tena, kwa kuwa siku utakapo uona uso wangu, utakufa.”
And he said to him Pharaoh go from with me take heed to yourself to may you repeat to see face my for on [the] day seeing you face my you will die.
29 Musa akasema, “Wewe mwenyewe umesema. Sitauona uso wako tena.”
And he said Moses right you have spoken not I will repeat again to see face your.