< Esta 1 >
1 Katika siku za utawala wa Ahasuero (huyu ni Ahasuero aliyetawala toka India hadi Ethiopa, zaidi ya majimbo 127),
U vrijeme Asvirovo, a taj Asvir carovaše od Indije do Etiopije u sto i dvadeset i sedam zemalja,
2 katika siku hizo Mfalme Ahasuero aliketi katika kiti chake cha utawala katika ngome ya Shushani.
U to vrijeme, kad sjeðaše car Asvir na prijestolu carstva svojega u Susanu carskom gradu,
3 mwaka wa tatu wa utawala wake aliwaandalia sherehe viongozi na watumwa wake wote. Waliohudhuria katika sherehe hiyo walikuwa wakuu wa jeshi la Uajemi na Umedi, watu wenye vyeo, na viongozi wa majimbo.
Treæe godine carovanja svojega uèini gozbu svijem knezovima svojim i slugama svojim, te bijaše kod njega sila Persijska i Midska, vlastelji i upravitelji zemaljski;
4 Mfalme akaweka wazi utajiri na utukufu wa ufalme wake na heshima ya ukufu wa ukuu alio upata kwa siku nyingi, kwa siku180.
I on pokazivaše bogatstvo i slavu carstva svojega i diku i krasotu velièine svoje mnogo dana, sto i osamdeset dana.
5 Siku hizi zilipotimia, Mfalme aliaandaa karamu iliyodumu kwa siku saba. Karamu hii ilikuwa kwa watu wote walioishi katika ikulu ya Shushani, tangu mkubwa hadi mdogo. Behewa la bustani ya ikulu ya mfalme ndiyo karamu ilipofanyikia.
I poslije tih dana uèini car svemu narodu što ga bijaše u Susanu carskom gradu od maloga do velikoga gozbu za sedam dana u trijemu u vrtu od carskoga dvora.
6 Behewa la bustani lilipambwa kwa mapazia meupe ya pamba na urujuani, yalifungwa kwa kamba za kitani safi na zambarau, yakiwa yametundikwa kwa pete za fedha na nguzo za marimari. Kulikuwa na makochi ya dhahabu na fedha juu ya sakafu ya marimari, mawe mekundu na meupe, na ya manjano na meusi.
Zavjesi bijeli, zeleni i ljubièasti bijahu obješeni vrvcama bijelijem, lanenijem i skerletnijem o bioèuzima srebrnijem na stupovima mramornijem; odri bijahu zlatni i srebrni po podu od zelenoga, bijeloga, žutoga i crvenoga mramora.
7 Vinywaji viliandaliwa katika vikombe vya dhahabu. Na kila kikombe kilikuwa ni cha kipekee na kwa sababu ya ukarimu wa mfalme kulikuwa mvinyo mwingi.
A piæe davahu u sudovima zlatnijem, i to u sudovima drugim i drugim, a vina carskoga bješe izobila, kako može biti u cara.
8 Mfalme aliwambia wahudumu watu wagawiwe vinywaji kwa kila mtu kulingana na matakwa yake. Maana tayari mfalme alikuwa ametoa agizo kwa watumishi wa ikulu kuwafanyia wageni kulingana na matakwa ya kila mgeni.
I piæem niko ne navaljivaše po naredbi, jer car bješe zapovjedio svijem pristavima doma svojega da èine kako ko hoæe.
9 Wanawake nao walikuwa wamealikwa katika karamu na Malkia Vashiti katika ikulu ya Mfalme Ahusuero.
I carica Astina uèini gozbu ženama u carskom dvoru cara Asvira.
10 katika siku ya saba moyo wa mfalme ulipokuwa na furaha kwa sababu ya mvinyo, aliwaagiza Mehumani, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethari na Karkas (hawa saba ndio waliohudumu mbele ya mfalme)
Sedmi dan kad se car razveseli od vina reèe Meumanu, Visati, Arvoni, Vikti, Avakti, Zetaru i Harkasu, sedmorici dvorana koji dvorahu pred carem Asvirom,
11 kumleta Malkia Vashiti akiwa katika mavazi yake ya kimalkia. Akiwa na lengo la kuwaonyesha watu na maakida urembo wake, maana alikuwa mrembo.
Da dovedu caricu Astinu pred cara pod carskim vijencem, da pokaže narodima i knezovima ljepotu njezinu, jer bijaše lijepa.
12 Pamoja na maagizo ya Mfalme, Malkia Vashiti alikataa kwenda kama alivyokuwa amewaagiza viongozi wake. Hivyo mfalme akakasirika sana; ghadhabu yake ikawaka ndani yake
Ali carica Astina ne htje doæi na rijeè carevu, koju joj poruèi po dvoranima; zato se car vrlo razgnjevi i gnjev se njegov raspali u njemu.
13 Mfalme akawandea wenye hekima, waliofahamu nyakati (kwa kuwa huu ndio uliokuwa utaratibu wa mfalme kuhusu wale waliokuwa watalaamu wa sheria na hukumu.
I reèe car mudarcima koji razumijevahu vremena jer tako car iznošaše stvari pred sve koji razumijevahu zakon i pravdu,
14 Carshena, Shethar, Admatha, Tarshish, Meres, Marsena, na Memucan, majimbo saba ya Uajemi na Umedi walikuwa karibu na mfalme na walikuwa na vyeo vikubwa katika ufalme.
A najbliži do njega bijahu Karsena, Setar, Admata, Tarsis, Meres, Marsena i Memukan, sedam knezova Persijskih i Midskih, koji gledahu lice carevo i sjeðahu na prvijem mjestima u carstvu):
15 Katika kutafsiri nini kifanyike kwa mjibu wa sheria kutoka na mgomo wa Malkia Vashiti dhidi ya agizo la mfalme Ahusiero kwa Malkia Vashiti.
Što treba po zakonu èiniti s caricom Astinom što nije uèinila što je zapovjedio car Asvir preko dvorana?
16 Mmoja wao aliyejulikana kwa jina la Memukani alisema mbele ya Mfalme na mbele ya viongozi, Malkia Vashiti hajamkosea tu mfame na wakuu na watu wote walio katika majimbo ya mfale Ahusiero.
Tada reèe Memukan pred carem i knezovima: nije samo caru skrivila carica Astina nego i svijem knezovima i svijem narodima po svijem zemljama cara Asvira.
17 kwa kuwa jambo la malkia litafahamika kwa wanawake wote. watawatendea waume zao vibaya. Watasema, 'Mfalme Ahusiero Malkia Vashiti hakumtii mme wake, Mfalme Ahusiero alipotaka ahudhurie mbele yake.'
Jer æe se djelo carièino raziæi meðu sve žene, pa æe prezirati muževe svoje govoreæi: car Asvir zapovjedi da dovedu preda nj caricu Astinu, a ona ne doðe.
18 Kabla ya siku hii wanawake wa wakuu wa Uajemi na Umedi walipata taarifa ya mgomo wa malkia Vashiti watawatendea waume zao, viongozi wa mfalme. kutakuwa na ghasia na nyingi hasira.
I od danas æe kneginje Persijske i Midske koje èuju šta je uèinila carica tako govoriti svijem knezovima carevijem; te æe biti mnogo prkosa i svaðe.
19 kama ni jambo jema kwa mfalme, ruhusu tangazo litolewe, na iwe katika sheria ya Waajemi na Wamedi, ambao haiwezi kutanguliwa, kwamba Vashiti hatakuja tena mbele za mfalme kama malkia. Nafasi ya Vashiti apewe mwingine ambaye ni bora zaidi ya Vashiti.
Ako je ugodno caru, da izide carska zapovijest od njega i da se upiše meðu zakone Persijske i Midske da je nepromjenito, da Astina ne izlazi više pred cara Asvira i da æe car dati njezino carstvo drugoj boljoj od nje.
20 Tangazo la mfalme litakapotolewa katika ufalme wote, wanawake wote watawaheshimu waume zao, tangu mwenye cheo hadi asiye na cheo.”
I kad se zapovijest careva koju uèini èuje po carstvu njegovu svemu kolikome, sve æe žene poštovati svoje muževe od velikoga do maloga.
21 Ushauri huu ulikuwa mzuri kwa mfalme na wakuu wengine, mfalme akafamya kama Memkani alivyopendekeza.
I ovo bi po volji caru i knezovima, i uèini car kako reèe Memukan.
22 Akatuma barua katika majimbo yote ya mfalme, kwa kilajambo na andiko lake, na watu kwa makabila yao. Aliamuru kwamba kila mme awe msimamizi katika nyumba yake mwenyewe. Tangazo hili lilitolewa katika lungha ya kila mtu katika ufalme.
I razasla knjige po svijem zemljama carskim, u svaku zemlju njezinijem pismom i svakomu narodu njegovijem jezikom, da bi svaki muž bio gospodar u svojoj kuæi; i bi proglašeno jezikom svakoga naroda.