< Esta 9 >
1 Sasa katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya kumi na tatu ambayo ni siku ya Adari, siku ambayo adui wa Wayahudi walitarajia kutekeleza sheria ya mfalme na kupata nguvu dhidi ya Wayahudi. Badala yake Wayahudi wakapata nguvu dhidi ya adui zao.
and in/on/with two ten month he/she/it month Adar in/on/with three ten day in/on/with him which to touch word [the] king and law his to/for to make: do in/on/with day which to await enemy [the] Jew to/for to domineer in/on/with them and to overturn he/she/it which to domineer [the] Jew they(masc.) in/on/with to hate them
2 Wayahudi wote wakakusanyika katika miji yao katika majimbo yote ya Mfalme Ahusiero, kutia mikono juu ya wale waliokusudia ubaya. Hakuna aliye kuwa tayari kusimama zao kwa sababu hofu yao ilikuwa imewaangukia watu wote.
to gather [the] Jew in/on/with city their in/on/with all province [the] king Ahasuerus to/for to send: reach hand in/on/with to seek distress: harm their and man: anyone not to stand: stand to/for face: before their for to fall: fall dread their upon all [the] people
3 Wakuu wote wa majimbo, maakida na magavana, na watawala wa mfalme, waliwasaidia Wayahudi kwa kuwa hofu ya Modekai ilikuwa imewaangukia.
and all ruler [the] province and [the] satrap and [the] governor and to make: [do] [the] work which to/for king to lift: aid [obj] [the] Jew for to fall: fall dread Mordecai upon them
4 Kwa kuwa Modekai alikuwa mkuu katika nyumba ya mfalme, na umaarufu wake ukasambaa katika majimbo yote, kwa kuwa Modekai alikuwa akifanyika mkuu.
for great: large Mordecai in/on/with house: palace [the] king and report his to go: walk in/on/with all [the] province for [the] man Mordecai to go: continue and to magnify
5 Wayahudi wakawavamia maadi zao kwa upanga, wakiwatenda vibaya kama walivyokuwa wamekusudiwa mabaya dhidi yao Wakawatenda kama walivyo ona vyema machoni pao.
and to smite [the] Jew in/on/with all enemy their wound sword and slaughter and destruction and to make: do in/on/with to hate them like/as acceptance their
6 Katika ngome ya mji wa Shushani pekee jumla ya maadui waliouawa na na kuharibiwa na Wayahudi ni wanaume mia tano.
and in/on/with Susa [the] palace to kill [the] Jew and to perish five hundred man
7 Miongoni mwa waliouawa ni pamoja na Parishandatha, Dalphoni, Aspatha,
and [obj] Parshandatha and [obj] Dalphon and [obj] Aspatha
8 Poratha, Adalia, Aridatha,
and [obj] Poratha and [obj] Adalia and [obj] Aridatha
9 Parimashita, Arisai, Aridai, Vaizatha,
and [obj] Parmashta and [obj] Arisai and [obj] Aridai and [obj] Vaizatha
10 na wana kumi wa Hamani, mwana wa Hammedatha, adui wa Wayahudi. Lakini hawakuchua mateka yoyote.
ten son: child Haman son: child Hammedatha to vex [the] Jew to kill and in/on/with plunder not to send: reach [obj] hand their
11 Idadi ya wale waliouawa siku hiyo katika mji wa Shushani, ilifikishwa kwa Mfalme Ahusiero.
in/on/with day [the] he/she/it to come (in): come number [the] to kill in/on/with Susa [the] palace to/for face: before [the] king
12 Mfalme akamwambia malkia Esta. Mfalme akamwambia Malkia Esta, “Wayahudi wameua wanaume mia tano katika mji wa Shushani, wakiwemo wana kumi wa Hamani adui wa Wayahudi. Je wamefanya nini katika majimbo mengine? Na sasa haja yako ni nini? Utapewa. Ombi lako ni nini?”
and to say [the] king to/for Esther [the] queen in/on/with Susa [the] palace to kill [the] Jew and to perish five hundred man and [obj] ten son: child Haman in/on/with remnant province [the] king what? to make: do and what? petition your and to give: give to/for you and what? request your still and to make: do
13 Esta akamjibu, “Mfalme kama ikikupendeza, ruhusu Wayuadi walio katika mji wa Shushani wapige mbiu hii na kesho, na miili ya watoto wa Hamani itundikwe juu ya miti.”
and to say Esther if upon [the] king pleasant to give: if only! also tomorrow to/for Jew which in/on/with Susa to/for to make: do like/as law [the] day: today and [obj] ten son: child Haman to hang upon [the] tree: stake
14 Mfalme akaamuru ombi la Esta litekelezwe. Mbiu ilipigwa katika mji wa Shushani, na wana kumi wa Hamani wakatundikwa juu ya miti.
and to say [the] king to/for to make: do so and to give: give law in/on/with Susa and [obj] ten son: child Haman to hang
15 Wayahudi katika mji wa Shushani walisanyika pamoja siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari, na kuwaua maadui zao mia tatu katika mji wa Shushani, lakini hawakugusa nyara zao.
and to gather ([the] Jew *Q(k)*) which in/on/with Susa also in/on/with day four ten to/for month Adar and to kill in/on/with Susa three hundred man and in/on/with plunder not to send: reach [obj] hand their
16 Na Wayahudi katika majimbo mengine wakakusanyika ili kujilinda na wakapata faraja kutoka kwa maadui na wakawaua maadui zao elfu sabini na tano, lakini hawakugusa mikono yao kwa vitu vya thamani wale waliouwawa.
and remnant [the] Jew which in/on/with province [the] king to gather and to stand: stand upon soul: life their and rest from enemy their and to kill in/on/with to hate them five and seventy thousand and in/on/with plunder not to send: reach [obj] hand their
17 Katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa Adari, Wayahudi wakapumzika katika siku ya kumi na nne, wakapumzika siku hiyo ya karamu na furaha.
in/on/with day three ten to/for month Adar and to rest in/on/with four ten in/on/with him and to make [obj] him day feast and joy
18 Lakini Wayahudi walioishi katika mji wa Shushani wakaja pamoja siku ya kumi na tatu na ya kumi na nne. Na siku ya kumi na tano wakapumzika na wafanya karamu na kufurahia.
(and [the] Jew *Q(k)*) which in/on/with Susa to gather in/on/with three ten in/on/with him and in/on/with four ten in/on/with him and to rest in/on/with five ten in/on/with him and to make [obj] him day feast and joy
19 Hii ndiyo sababu Wayahudi wa vijijini, wanaishi maeneo ya vijijini, huadhimisha siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari kama siku ya furaha na karamu na siku ambayo hutumiana zawadi kwa kila mmoja.
upon so [the] Jew ([the] villager *Q(k)*) [the] to dwell in/on/with city [the] village to make: do [obj] day four ten to/for month Adar joy and feast and day pleasant and sending portion man: anyone to/for neighbor his
20 Modekai akaweka mambo haya na akatuma nyaraka kwa Wayahudi wote waliokuwa katika utawala wa Mfalme Ahusiero,
and to write Mordecai [obj] [the] word: thing [the] these and to send: depart scroll: document to(wards) all [the] Jew which in/on/with all province [the] king Ahasuerus [the] near and [the] distant
21 akiwataka kuazimisha siku ya kumi na nne na kumi na tano ya mwezi wa Adari kila mwaka.
to/for to arise: establish upon them to/for to be to make: do [obj] day four ten to/for month Adar and [obj] day five ten in/on/with him in/on/with all year and year
22 Hizi zilikuwa ndizo siku ambazo Wahudi walipata faraja kutoka kwa maadui zao na wakati huu ndio wakati ambao huzuni ya Wayahudi iligeuzwa kuwa furaha, na kutoka kwa maombolezo hadi kwenye pumziko. Walipaswa kuzifanya siku za karamu na furaha, na kutumiana zawadi ya chakula, na zawadi kwa masikini.
like/as day which to rest in/on/with them [the] Jew from enemy their and [the] month which to overturn to/for them from sorrow to/for joy and from mourning to/for day pleasant to/for to make [obj] them day feast and joy and sending portion man: anyone to/for neighbor his and gift to/for needy
23 Wayahudi wakaendelea na maadhimisho wakifanya kile ambacho Modekai alikuwa amewaandikia.
and to receive [the] Jew [obj] which to profane/begin: begin to/for to make: do and [obj] which to write Mordecai to(wards) them
24 Na wakati huo Modekai mwana wa Hammedatha mwagagi, adui wa Wayahudi aliyekuwa amepanga njama ya kuwaangamiza Wayahudi, na kwa kupiga Puri (yaani akapiga kura) ili kuwaangamiza kabisa.
for Haman son: child Hammedatha [the] Agagite to vex all [the] Jew to devise: devise upon [the] Jew to/for to perish them and to fall: allot Purim he/she/it [the] allotted to/for to confuse them and to/for to perish them
25 Lakini Mfalme Ahusiero alipopata taarifa ya mpango mbaya huu alioupanga Modekai dhidi ya Wayahudi, aliagiza kwa nyaraka afanyiwe Modekai mwenyewe, na kwamba yeye na wana wake wanyongwe juu ya miti.
and in/on/with to come (in): come she to/for face: before [the] king to say with [the] scroll: document to return: return plot his [the] bad: evil which to devise: design upon [the] Jew upon head his and to hang [obj] him and [obj] son: child his upon [the] tree: stake
26 Hivyo Wayahudi wakaziita siku hizi Purimu, kutokana na jina Puri. Kwa sababu ya mambo yote yaliyo kuwa yameandika katika barua, na mambo yote ambayo walikuwa wameyaona kwa macho yao, na yale yalikuwa yamewapata,
upon so to call: call to to/for day [the] these Purim upon name [the] Purim upon so upon all word [the] letter [the] this and what? to see: see upon thus and what? to touch to(wards) them
27 Wayahudi wakapokea jukumu na desturi mpya. Desturi hii iwe kwa ajili yao, watoto wao, na kila ambaye aliyeungana nao. Na itakuwa kwamba maadhimisho haya watayafanya kwa kila mwaka. Wataadhimisha kwa namna fulani na nyakati hizo hizo kila mwaka.
to arise: establish (and to receive *Q(K)*) [the] Jew upon them and upon seed: children their and upon all [the] to join upon them and not to pass to/for to be to make: do [obj] two [the] day [the] these like/as writing their and like/as time their in/on/with all year and year
28 Siku hizi zilipaswa kuadhimishwa katika kila kizazi, kila familia, kila jimbo na kwa kila mji. Wayahudi hawa na watoto wao hawakuacha kuadhimisha siku hizi za Purimu, ili kwamba wasizisahau.
and [the] day [the] these to remember and to make: do in/on/with all generation and generation family and family province and province and city and city and day [the] Purim [the] these not to pass from midst [the] Jew and memorial their not to cease from seed: children their
29 Malkia Esta na Modekai wakaandika kwa mamlaka yote na kuthibitisha barua hii ya pili kuhusu Purimu.
and to write Esther [the] queen daughter Abihail and Mordecai [the] Jew [obj] all power to/for to arise: establish [obj] letter [the] Purim [the] this [the] second
30 Barua zilipelekwa katika majimbo 127 ya mfalme Ahusiero, zikiwatakia Wayahudi wote amani na kweli.
and to send: depart scroll: document to(wards) all [the] Jew to(wards) seven and twenty and hundred province royalty Ahasuerus word peace and truth: true
31 Na kuthibitisha siku za Purimu sawa sawa na maelekezo ya Modekai na Esta yaliyowataka Wayahudi waadhimishe. Wayahudi wakatii maagizo kwa ajili yao na uzao wao, kama walivyotii siku za kufunga na kuomboleza.
to/for to arise: establish [obj] day [the] Purim [the] these in/on/with time their like/as as which to arise: establish upon them Mordecai [the] Jew and Esther [the] queen and like/as as which to arise: establish upon soul: myself their and upon seed: children their word: thing [the] fast and outcry their
32 Agizo la Esta likahakikisha sheria hizi kuhusu Purimu, na ikaandikwa katika kitabu.
and command Esther to arise: establish word: thing [the] Purim [the] these and to write in/on/with scroll: document