< Esta 9 >

1 Sasa katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya kumi na tatu ambayo ni siku ya Adari, siku ambayo adui wa Wayahudi walitarajia kutekeleza sheria ya mfalme na kupata nguvu dhidi ya Wayahudi. Badala yake Wayahudi wakapata nguvu dhidi ya adui zao.
Therefore, on the thirteenth day of the twelfth month, which as we have said before is called Adar, when all the Jews were prepared to be executed and their enemies were greedy for their blood, the situation turned around, and the Jews began to have the upper hand and to vindicate themselves of their adversaries.
2 Wayahudi wote wakakusanyika katika miji yao katika majimbo yote ya Mfalme Ahusiero, kutia mikono juu ya wale waliokusudia ubaya. Hakuna aliye kuwa tayari kusimama zao kwa sababu hofu yao ilikuwa imewaangukia watu wote.
And they gathered together throughout each city, and town, and place, so as to extend their hands against their enemies and their persecutors. And no one dared to resist them, because their great power had pierced all the peoples.
3 Wakuu wote wa majimbo, maakida na magavana, na watawala wa mfalme, waliwasaidia Wayahudi kwa kuwa hofu ya Modekai ilikuwa imewaangukia.
For even the judges of the provinces, and the rulers, and the procurators, and everyone of dignity, who presided over every place and work, extolled the Jews for fear of Mordecai.
4 Kwa kuwa Modekai alikuwa mkuu katika nyumba ya mfalme, na umaarufu wake ukasambaa katika majimbo yote, kwa kuwa Modekai alikuwa akifanyika mkuu.
For they knew him to be the leader of the palace and to have much power. Likewise, the fame of his name increased daily and flew everywhere through word of mouth.
5 Wayahudi wakawavamia maadi zao kwa upanga, wakiwatenda vibaya kama walivyokuwa wamekusudiwa mabaya dhidi yao Wakawatenda kama walivyo ona vyema machoni pao.
And so the Jews struck their enemies like a great plague and killed them, repaying according to what they had prepared to do to them,
6 Katika ngome ya mji wa Shushani pekee jumla ya maadui waliouawa na na kuharibiwa na Wayahudi ni wanaume mia tano.
so much so that even in Susa they executed five hundred men, besides the ten sons of Haman the Agagite, the enemy of the Jews, and their names are these:
7 Miongoni mwa waliouawa ni pamoja na Parishandatha, Dalphoni, Aspatha,
Parshandatha, and Dalphon, and Aspatha
8 Poratha, Adalia, Aridatha,
and Poratha, and Adalia, and Aridatha,
9 Parimashita, Arisai, Aridai, Vaizatha,
and Parmashta, and Arisai, and Aridai, and Vaizatha.
10 na wana kumi wa Hamani, mwana wa Hammedatha, adui wa Wayahudi. Lakini hawakuchua mateka yoyote.
When they had slain them, they were unwilling to touch the spoils of their belongings.
11 Idadi ya wale waliouawa siku hiyo katika mji wa Shushani, ilifikishwa kwa Mfalme Ahusiero.
And immediately the number of those who had been killed in Susa was reported to the king.
12 Mfalme akamwambia malkia Esta. Mfalme akamwambia Malkia Esta, “Wayahudi wameua wanaume mia tano katika mji wa Shushani, wakiwemo wana kumi wa Hamani adui wa Wayahudi. Je wamefanya nini katika majimbo mengine? Na sasa haja yako ni nini? Utapewa. Ombi lako ni nini?”
He said to the queen, “In the city of Susa, the Jews have executed five hundred men, and also the ten sons of Haman. How many executions do you think that they have carried out in all the provinces? What more do you ask, and what do you wish, so that I may order it to be done?”
13 Esta akamjibu, “Mfalme kama ikikupendeza, ruhusu Wayuadi walio katika mji wa Shushani wapige mbiu hii na kesho, na miili ya watoto wa Hamani itundikwe juu ya miti.”
And she answered, “If it pleases the king, may power be granted to the Jews, so as to do tomorrow in Susa just as they have done today, and that the ten sons of Haman may be hung up the gallows.”
14 Mfalme akaamuru ombi la Esta litekelezwe. Mbiu ilipigwa katika mji wa Shushani, na wana kumi wa Hamani wakatundikwa juu ya miti.
And the king instructed that it should be so done. And immediately the edict was hung up in Susa, and the ten sons of Haman were hung up.
15 Wayahudi katika mji wa Shushani walisanyika pamoja siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari, na kuwaua maadui zao mia tatu katika mji wa Shushani, lakini hawakugusa nyara zao.
On the fourteenth day of the month Adar, the Jews gathered themselves together, and they executed in Susa three hundred men, but they did not seize their belongings from them.
16 Na Wayahudi katika majimbo mengine wakakusanyika ili kujilinda na wakapata faraja kutoka kwa maadui na wakawaua maadui zao elfu sabini na tano, lakini hawakugusa mikono yao kwa vitu vya thamani wale waliouwawa.
Moreover, throughout all the provinces which were subject to the king’s dominion, the Jews made a stand for their lives, and they executed their enemies and their persecutors, so much so that the number of those who were killed amounted to seventy-five thousand, and yet no one touched any of their belongings.
17 Katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa Adari, Wayahudi wakapumzika katika siku ya kumi na nne, wakapumzika siku hiyo ya karamu na furaha.
Now the thirteenth day of the month Adar was the first day with all of the executions, and on the fourteenth day they ceased the killing. This day they established to be sacred, so that in all times hereafter they would be free for feasting, joyfulness, and celebration.
18 Lakini Wayahudi walioishi katika mji wa Shushani wakaja pamoja siku ya kumi na tatu na ya kumi na nne. Na siku ya kumi na tano wakapumzika na wafanya karamu na kufurahia.
But, as for those who were carrying out the killings in the city of Susa, they turned to killing on the thirteenth and fourteenth day of the same month. But on the fifteenth day they ceased to attack. And for that reason they established that day as sacred, with feasting and with gladness.
19 Hii ndiyo sababu Wayahudi wa vijijini, wanaishi maeneo ya vijijini, huadhimisha siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari kama siku ya furaha na karamu na siku ambayo hutumiana zawadi kwa kila mmoja.
But in truth, those Jews who were staying in unwalled towns and villages, appointed the fourteenth day of the month Adar for celebration and gladness, so as to rejoice on that day and send one another portions of their feasts and their meals.
20 Modekai akaweka mambo haya na akatuma nyaraka kwa Wayahudi wote waliokuwa katika utawala wa Mfalme Ahusiero,
And so Mordecai wrote down all these things and sent them, composed in letters, to the Jews who were staying in all the king’s provinces, as much to those in nearby places as to those far away,
21 akiwataka kuazimisha siku ya kumi na nne na kumi na tano ya mwezi wa Adari kila mwaka.
so that they would accept the fourteenth and fifteenth day of the month Adar for holy days, and always, at the return of the year, would celebrate them with sacred esteem.
22 Hizi zilikuwa ndizo siku ambazo Wahudi walipata faraja kutoka kwa maadui zao na wakati huu ndio wakati ambao huzuni ya Wayahudi iligeuzwa kuwa furaha, na kutoka kwa maombolezo hadi kwenye pumziko. Walipaswa kuzifanya siku za karamu na furaha, na kutumiana zawadi ya chakula, na zawadi kwa masikini.
For on those days, the Jews vindicated themselves of their enemies, and their mourning and sorrow were turned into mirth and joy, so that these would be days of feasting and gladness, in which they would send one another portions of their feasts, and would grant gifts to the poor.
23 Wayahudi wakaendelea na maadhimisho wakifanya kile ambacho Modekai alikuwa amewaandikia.
And the Jews accepted as a solemn ritual all the things which they had begun to do at that time, which Mordecai had commanded with letters to be done.
24 Na wakati huo Modekai mwana wa Hammedatha mwagagi, adui wa Wayahudi aliyekuwa amepanga njama ya kuwaangamiza Wayahudi, na kwa kupiga Puri (yaani akapiga kura) ili kuwaangamiza kabisa.
For Haman, the son of Hammedatha of Agag lineage, the enemy and adversary of the Jews, had devised evil against them, to kill them and to destroy them. And he had cast Pur, which in our language means the lot.
25 Lakini Mfalme Ahusiero alipopata taarifa ya mpango mbaya huu alioupanga Modekai dhidi ya Wayahudi, aliagiza kwa nyaraka afanyiwe Modekai mwenyewe, na kwamba yeye na wana wake wanyongwe juu ya miti.
And after this, Esther had entered before the king, begging him that his efforts might be made ineffective by the king’s letters, and that the evil he intended against the Jews might return upon his own head. Finally, both he and his sons were fastened to a cross.
26 Hivyo Wayahudi wakaziita siku hizi Purimu, kutokana na jina Puri. Kwa sababu ya mambo yote yaliyo kuwa yameandika katika barua, na mambo yote ambayo walikuwa wameyaona kwa macho yao, na yale yalikuwa yamewapata,
And so, from that time, these days are called Purim, that is, of the lots, because Pur, that is, the lot, was cast into the urn. And all things that had been carried out are contained in the volume of this epistle, that is, of this book.
27 Wayahudi wakapokea jukumu na desturi mpya. Desturi hii iwe kwa ajili yao, watoto wao, na kila ambaye aliyeungana nao. Na itakuwa kwamba maadhimisho haya watayafanya kwa kila mwaka. Wataadhimisha kwa namna fulani na nyakati hizo hizo kila mwaka.
And whatever they suffered, and whatever was altered afterwards, the Jews received for themselves and their offspring and for all who were willing to be joined to their religion, so that none would be permitted to transgress the solemnity of these two days, to which the writing testifies, and which certain times require, as the years continually succeed one another.
28 Siku hizi zilipaswa kuadhimishwa katika kila kizazi, kila familia, kila jimbo na kwa kila mji. Wayahudi hawa na watoto wao hawakuacha kuadhimisha siku hizi za Purimu, ili kwamba wasizisahau.
These are the days which no one ever will erase into oblivion, and which every province in the whole world, throughout each generation, shall celebrate. Neither is there any city wherein the days of Purim, that is, of lots, may not be observed by the Jews, and by their posterity, which has been obligated to these ceremonies.
29 Malkia Esta na Modekai wakaandika kwa mamlaka yote na kuthibitisha barua hii ya pili kuhusu Purimu.
And Esther the queen, the daughter of Abihail, and Mordecai the Jew, also wrote a second letter, so that with all zealousness this day would be confirmed as customary for future generations.
30 Barua zilipelekwa katika majimbo 127 ya mfalme Ahusiero, zikiwatakia Wayahudi wote amani na kweli.
And they sent to all the Jews, who had been stirred up in the one hundred twenty-seven provinces of king Artaxerxes, that they should have peace and receive truth,
31 Na kuthibitisha siku za Purimu sawa sawa na maelekezo ya Modekai na Esta yaliyowataka Wayahudi waadhimishe. Wayahudi wakatii maagizo kwa ajili yao na uzao wao, kama walivyotii siku za kufunga na kuomboleza.
and observe the days of lots, and celebrate them with joy at their proper time, just as Mordecai and Esther had established. And they accepted these to be observed by themselves and by their offspring: fasting, and crying out, and the days of lots,
32 Agizo la Esta likahakikisha sheria hizi kuhusu Purimu, na ikaandikwa katika kitabu.
and all things which are contained in the history of this book, which is called Esther.

< Esta 9 >