< Esta 7 >
1 Kwa hiyo mfalme na Hamani wakaenda kausherekea na malkia Esta.
Et le roi avec Aman se rendit au banquet chez la reine Esther.
2 Katika siku ya pili, baada ya kuletwa mvinyo, mfalme akamwambia Esta, “Ni nini haja ya moyo wako? Na nini ombi lako? Hata nusu ya ufalme wangu utapewa.”
Et le roi dit encore à Esther le second jour, quand on servait le vin: Quelle est ta demande, reine Esther? elle te sera accordée; et quel est ton désir? fût-ce la moitié de mon royaume, il sera satisfait.
3 Kisha Malkia amwambia mfalme, kama nimepata kibali machoni pako, na kama ikikupendeza, nipewe maisha yangu, na hili ndio haja ya moyo wangu, na hili pia ni ombi kwa watu wangu pia.
Alors la reine Esther répondit et dit: Si j'ai trouvé grâce à tes yeux, ô roi, et si c'est le bon plaisir du roi, que ma vie soit accordée à ma prière, et mon peuple à ma requête.
4 Kwa kuwa mimi na watu wangu tumeuzwa, ili tuharibiwe, tuuwawe, na tungamizwe. Kama tungeuzwa utumwani, kama wanaume na wanawake, ningenyamaza kimya, na nisingeweza kumsumbua mfame.”
Car nous sommes vendus, moi et mon peuple, à l'extermination, au massacre et à l'assassinat. Et si nous étions vendus pour devenir serviteurs et servantes, je me tairais, mais l'ennemi n'est pas à même de compenser le dommage fait au roi.
5 Kisha Mfalme Ahusiero akamwambia malkia Esta, “Ni nani huyo? Ni nani aliyekusudia moyoni mwake kutenda jambo hili?
Alors le roi Assuérus parla et dit à la reine Esther: Qui est donc celui, et où est celui qui a l'audace d'agir de la sorte?
6 Esta akasema, “Ni huyu mwovu Hamani, adui!” Hamani akashikwa na Hofu mbele za mfalme na malkia.
Et Esther dit: L'homme hostile et l'ennemi, — c'est Aman, c'est ce méchant-là! Et Aman fut atterré en présence du roi et de la reine.
7 Na kwa ghadhabu mfalme akatoka karamuni katika sehemu ya mvinyo na akaenda katika bustani ya ikulu, Lakini Hamani alibaki akimsihi Malkia Esta ili aokoe maisha yake. Kwa sababu aliona mfalme amemkusudia ubaya.
Et le roi se leva dans son courroux, et, quittant le repas, il gagna le jardin du palais; mais Aman resta pour solliciter en faveur de sa vie auprès de la reine Esther, car il voyait que sa ruine était consommée par devers le roi.
8 Mfalme akarudi kutoka katika bustani ya ikulu, na kuingia katika chumba ambamo kulikuwamo mvinyo. Hamani alikuwa ameanguka chini ya kochi alilokuwa ameketi Esta. Mfalme akakasirika na kusema, “atamdharirisha malkia mbele zangu katika nyumba yangu?” Mara tu maneno haya yalipotoka kinywani mwa mfalme, watumizhi wakafunika uso wa Hamani.
Et quand le roi revint du jardin du palais dans la salle du festin, Aman était tombé au pied du lit sur lequel était Esther. Alors le roi dit: Veut-il même faire violence à la reine à mes côtés, au palais? Le mot sorti de la bouche du roi, on voila le visage d'Aman.
9 Kisha Habona, mmoja wa watumishi aliye mtumikia mfalme akamwambia mfalme, “Mti wenye urefu wa futi hamsini uko nyumbani kwa Hamani. Ulikuwa umeandaliwa kwa ajili ya Modekai, aliye toa taarifa kuhusu mpango wa kuangamizwa kwako.” Mfalme akesema,”Mtundikeni Hamani juu yake.”
Et Harbona, l'un des eunuques, dit devant le roi: Vois aussi, le poteau qu'Aman a fait faire pour Mardochée qui a parlé pour le bien du roi, est dressé dans la demeure d'Aman avec la hauteur de cinquante coudées. Alors le roi dit: Pendez-l'y!
10 Kwa hiyo wakamtundika Hamani kwenye mti aliuandaa kwa ajili ya Modekai. Na hasira ya mfalme ikatulia.
Et l'on pendit Aman au poteau qu'il avait préparé pour Mardochée, et la colère du roi fut apaisée.